🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • 🔴#LIVE: MASHAMSHAM MUDA HUU NDANI YA WASAFI FM -10 - OCT - 2023
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 21

  • @Kayange-zm1yx
    @Kayange-zm1yx 11 месяцев назад

    sawa

  • @lydi791
    @lydi791 11 месяцев назад +2

    Juma anaongeya point✍️

  • @user-ls3vt6dd7r
    @user-ls3vt6dd7r 11 месяцев назад +1

    Ndioo didah swadaqta kumbe kama mm niko hivo tulipendana tumeachana tushachana 😅

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 11 месяцев назад +3

    Watu wenye mdomo na wanaojifanya mapenzi hayawatesi kama huyo bibi dida ndo huwa wanaumia moyo balaa

  • @shinunasalim2570
    @shinunasalim2570 10 месяцев назад

    dida kweli mpaka sura yake Indonesia yupo poa saana

  • @mereyamhomesmariamhomes3464
    @mereyamhomesmariamhomes3464 11 месяцев назад

    JUMA
    DUBAI sehemu mbaya zipo tele mijumba mibovu ya kutosha tuko uku

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 11 месяцев назад

    Dida you have say my mind

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 11 месяцев назад

    Kwa hiyo esma kabata zake kibenteni😅

  • @MassoudAlly-c9e
    @MassoudAlly-c9e 11 месяцев назад

    eti king'asti afati chakula 😅😅😅

  • @BeatriceKassim-tz8bf
    @BeatriceKassim-tz8bf 11 месяцев назад +1

    tatizo wanaume wengi saivi wanashi kwa wanawake imekua km fashion

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 11 месяцев назад

    Dida kila mtu Ana maoni yake si lazima wakubaliane nawe. Jitahid uwe unawasikiliza wenzako sio kuwakata kauli. Mimi naona ukiwa umempenda mtu basi ukiwachana nae lazima tu utaumia, haimaanishi umshikilie awe nawe, usipoumia itakuwa hujakuwa na mapenzi nae. Hizo ni hisia za binaadam yoyote. Sema watu wengine wanataka kuonekana kama hawajali ndo wanasema hawaumii. Moyo sio chuma 😊

  • @joslinegeorgettedede5550
    @joslinegeorgettedede5550 11 месяцев назад

    Dida una block kwa nini muache tu ila tu usipekuwe statuts yake wala weka mu Silence tu basi

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 11 месяцев назад

    Kuumia kwenye mapenzi pia kuna raha yake, kutokuumia inakua moyo umekufa ganzi 😊

  • @lydi791
    @lydi791 11 месяцев назад

    Marioo:nimwanaume asiye na kazi yani anaudumiwa Kila kituu na mwanamuke

  • @sissis5954
    @sissis5954 11 месяцев назад

    Pia mke wajembe hajajitokeza ila myie ndio mliomtafutaaa

  • @lydi791
    @lydi791 11 месяцев назад

    😂😂😂😂sizani kama Juma anaweza kuzimiya anavyo penda umbeya😂😂😂

  • @neemakalugila7674
    @neemakalugila7674 11 месяцев назад

    Kweli Dida wangu, jitu halikutaki la nini? Achika! Mimi nililileta mpaka Ulaya ! Likarudi lenyewe bongo....linajuta ka nini....from Holland 🇳🇱

  • @sissis5954
    @sissis5954 11 месяцев назад

    Esma anawatoto je petit akiachakuhudumia atafurahi yapasa amhimize jembe ahudumie watt wake

  • @mereyamhomesmariamhomes3464
    @mereyamhomesmariamhomes3464 11 месяцев назад

    Dida uko kama mm sinamuda wa kufatilia mtu