🔴
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- 🔴#LIVE: MASHAMSHAM MUDA HUU NDANI YA WASAFI FM -10 - OCT - 2023
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
sawa
Juma anaongeya point✍️
Ndioo didah swadaqta kumbe kama mm niko hivo tulipendana tumeachana tushachana 😅
Watu wenye mdomo na wanaojifanya mapenzi hayawatesi kama huyo bibi dida ndo huwa wanaumia moyo balaa
dida kweli mpaka sura yake Indonesia yupo poa saana
JUMA
DUBAI sehemu mbaya zipo tele mijumba mibovu ya kutosha tuko uku
Dida you have say my mind
Kwa hiyo esma kabata zake kibenteni😅
eti king'asti afati chakula 😅😅😅
tatizo wanaume wengi saivi wanashi kwa wanawake imekua km fashion
Dida kila mtu Ana maoni yake si lazima wakubaliane nawe. Jitahid uwe unawasikiliza wenzako sio kuwakata kauli. Mimi naona ukiwa umempenda mtu basi ukiwachana nae lazima tu utaumia, haimaanishi umshikilie awe nawe, usipoumia itakuwa hujakuwa na mapenzi nae. Hizo ni hisia za binaadam yoyote. Sema watu wengine wanataka kuonekana kama hawajali ndo wanasema hawaumii. Moyo sio chuma 😊
Dida una block kwa nini muache tu ila tu usipekuwe statuts yake wala weka mu Silence tu basi
Kuumia kwenye mapenzi pia kuna raha yake, kutokuumia inakua moyo umekufa ganzi 😊
Marioo:nimwanaume asiye na kazi yani anaudumiwa Kila kituu na mwanamuke
Pia mke wajembe hajajitokeza ila myie ndio mliomtafutaaa
😂😂😂😂sizani kama Juma anaweza kuzimiya anavyo penda umbeya😂😂😂
Kweli Dida wangu, jitu halikutaki la nini? Achika! Mimi nililileta mpaka Ulaya ! Likarudi lenyewe bongo....linajuta ka nini....from Holland 🇳🇱
Poleeee
@@ZawadMussa-sd1od thanks dear
Esma anawatoto je petit akiachakuhudumia atafurahi yapasa amhimize jembe ahudumie watt wake
Dida uko kama mm sinamuda wa kufatilia mtu