ZUMARIDI AELEZA ALIVYOSHUSHA UPONYAJI GEREZANI/AAMURU MTOTO HUYU AZALIWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024

Комментарии • 12

  • @bahatikyusa8864
    @bahatikyusa8864 Год назад +2

    Huyu mi nilijua ataacha uongo alivokaa jela mwaka mzima

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 Год назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kumekuchaaaaaaaaaaa dunia imeishaaaaaa kasharejeaaa

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Год назад

    Wanawake jamaniii tangulini mwanamke akawa mfalme. Mwanamke mzuri anamsadiki pepo. Someni biblia muijue kweli Na hiyo kweli Na hiyo kweli itawaweka huru. Watoto wanaandaliwa kua mapepo. Wakue wakijua zumalidi wasimjue MUNGU alie hai muumba wa mbingu Na nchi.

  • @FelisterMunissy
    @FelisterMunissy 11 месяцев назад

    Hizo ni nguvu za frimasoni ila cha moto utakiona mbele ya haki

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Год назад

    Unaowafanyia utapeli washenzi

  • @henrytimothy3048
    @henrytimothy3048 Год назад

    Zuma nilijuaga wewe mzuri kumbe unapaka fila usoni

  • @omanqqwe4061
    @omanqqwe4061 Год назад

    🤣🤣🤣🤣

  • @Bashitetako
    @Bashitetako Год назад

    Huyu mwanamke mshenzi ila washenzi ni hao wanamuamini

  • @musokedios8162
    @musokedios8162 Год назад +1

    Mfalme zumarid, usisahau ghadhabu ya Mungu mwenye enzi ambaye ni mfalme wa milele, inakuja,

  • @sarafinabutashilaga6990
    @sarafinabutashilaga6990 Год назад

    kwa jina la mfalme zumaridi???? na sio jina la Yesu?? jamani hii dunia Mungu tusamehe tu🙏

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Год назад

    Wanavyo msujudu dadeq afu wanamuita baba

  • @simonitaagesti4765
    @simonitaagesti4765 Год назад

    Mtihani hii