Wanawake jamaniii tangulini mwanamke akawa mfalme. Mwanamke mzuri anamsadiki pepo. Someni biblia muijue kweli Na hiyo kweli Na hiyo kweli itawaweka huru. Watoto wanaandaliwa kua mapepo. Wakue wakijua zumalidi wasimjue MUNGU alie hai muumba wa mbingu Na nchi.
Huyu mi nilijua ataacha uongo alivokaa jela mwaka mzima
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kumekuchaaaaaaaaaaa dunia imeishaaaaaa kasharejeaaa
Wanawake jamaniii tangulini mwanamke akawa mfalme. Mwanamke mzuri anamsadiki pepo. Someni biblia muijue kweli Na hiyo kweli Na hiyo kweli itawaweka huru. Watoto wanaandaliwa kua mapepo. Wakue wakijua zumalidi wasimjue MUNGU alie hai muumba wa mbingu Na nchi.
Hizo ni nguvu za frimasoni ila cha moto utakiona mbele ya haki
Unaowafanyia utapeli washenzi
Zuma nilijuaga wewe mzuri kumbe unapaka fila usoni
🤣🤣🤣🤣
Huyu mwanamke mshenzi ila washenzi ni hao wanamuamini
Mfalme zumarid, usisahau ghadhabu ya Mungu mwenye enzi ambaye ni mfalme wa milele, inakuja,
kwa jina la mfalme zumaridi???? na sio jina la Yesu?? jamani hii dunia Mungu tusamehe tu🙏
Wanavyo msujudu dadeq afu wanamuita baba
Mtihani hii