Hongera sana sana wanachadema, sauti ya watanzania, na Maria Space kwa kutumia muda wenu kwa pamoja kusimama na kukashifu mbinu chafu za CCM kuiba uchaguzi. Tuendelee kWa pamoja kuleta na kupigania haki ya kila mpiga kura nchini. Mwisho wa kuiba, kupora na kuvunja sheria na haki za mwananchi owe mwisho. Tupiganani kwenye box la kupiga kura na tuhakikishe kila kura inapata haki. Wengi wape, ambao ni watanzania wenyewe na si chama tawala. Inatosha. Mayalama dhaifu kama Bunge kılı yo dhaifu. Ni tatizo kuu la utanalar nchini. Tho doka r na utawala wa Raisi kuwa mtawala wa kila kitu kama Mungu.
Hongera sana sana wanachadema, sauti ya watanzania, na Maria Space kwa kutumia muda wenu kwa pamoja kusimama na kukashifu mbinu chafu za CCM kuiba uchaguzi. Tuendelee kWa pamoja kuleta na kupigania haki ya kila mpiga kura nchini. Mwisho wa kuiba, kupora na kuvunja sheria na haki za mwananchi owe mwisho. Tupiganani kwenye box la kupiga kura na tuhakikishe kila kura inapata haki. Wengi wape, ambao ni watanzania wenyewe na si chama tawala. Inatosha. Mayalama dhaifu kama Bunge kılı yo dhaifu. Ni tatizo kuu la utanalar nchini. Tho doka r na utawala wa Raisi kuwa mtawala wa kila kitu kama Mungu.
Dawa ya mambo ya utapeli huu ni Tanganyika TU SI vinginevyo