Mama yangu umebarikiwa sana🙏 Wakati najihisi mnyonge huwa naskia nyimbo zako tu🙏 Status zangu za WhatsApp zimejaa nyimbo zako tu🙏 Siku yangu mara nyingi huwa naweka nyimbo zako zinanipa tumaini nikijitayarisha kuenda kazini nahisi tayari mimi ni mshindi🙏 Ni kwa neema tu🙏🙏 More blessings mum🙏
Ni kwa Neema tu tunaokolewa,tunaanzishwa upya,tunafutwa machozi,Neema ya Mungu inafuta kila historia tunashinda kila gumu,haijalishi ni mateso ya muda gani,Neema ya Mungu inatutetea.Nimeokolewa na hii Neema kutoka kwenye magumu yaliyonitesa zaidi ya miaka 10🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Natamani nimpate Martha siku Moja nimsalimie tu napenda nyimbo zake sana........ From Kenya.....❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💙♠️♠️♠️♠️♠️♠️♠️♠️♠️💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💛💛💛🧡🧡❤️🧡♥️♥️🧡🧡💛💛💚💙💙💜🤎💚💚💛💛💜💜💚💛💛
voice,beats and touching words makes you my favourite gospel artist,you never disappoint...God bless you Martha Mwaipaja as you continue blessing us with your songs
Beautiful voice and Martha mwaipaja nipe like zake hapa zote 🎉🎉🎉🎉🎉 kwa neema to 🎉🎉🎉🎉
😢😮❤😢😢🤫🍄🍄😢😢🍄👌😢 2:33 v😅😅
Mama yangu umebarikiwa sana🙏
Wakati najihisi mnyonge huwa naskia nyimbo zako tu🙏
Status zangu za WhatsApp zimejaa nyimbo zako tu🙏
Siku yangu mara nyingi huwa naweka nyimbo zako zinanipa tumaini nikijitayarisha kuenda kazini nahisi tayari mimi ni mshindi🙏
Ni kwa neema tu🙏🙏
More blessings mum🙏
Jamani Martha ubalikiwe sana maana hamna wimbo unaoimba ukawachukiza watu zaidi ya falaja tu
Ameeeen ❤❤kweli ni kwa neema tu 🥰🙏
Amen
Wow,Martha,my favorite artist,you never disappoint, congratulations,ni kwa neema,amen
Halleluyaah kwa neema tu adui hatuwezi.the lyrics keeps me going 🙏
Ni kwa Neema tu tunaokolewa,tunaanzishwa upya,tunafutwa machozi,Neema ya Mungu inafuta kila historia tunashinda kila gumu,haijalishi ni mateso ya muda gani,Neema ya Mungu inatutetea.Nimeokolewa na hii Neema kutoka kwenye magumu yaliyonitesa zaidi ya miaka 10🙏🏽🙏🏽🙏🏽
My mentor I love your song mama yetu.Yote Ni kwa Neema tu ya Mungu.
Dunia imefika mbali,Mtumishi wa Mungu mwamke anapost picha akiwa amevaa suluali?
Ni aibu!
Ni kwa neema dada ngu mupendwa 💓unatangaza kwele Injili kwa kupitia sauti zako.Wewe ni sauti ya MUNGU. Barikiwa 🙌🎉❤
Natamani nimpate Martha siku Moja nimsalimie tu napenda nyimbo zake sana........ From Kenya.....❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💙♠️♠️♠️♠️♠️♠️♠️♠️♠️💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💛💛💛🧡🧡❤️🧡♥️♥️🧡🧡💛💛💚💙💙💜🤎💚💚💛💛💜💜💚💛💛
Ni neema tu TUKO jinsi turivyo❤❤
Ni kwa Neema Tu😭😭. Good piece. God bless mommy 🙏🙏🙏.
Ni kwa neema hapa tumefika na tunapoenda tukiwa washindi, Amen thanks mum for a hopeful sonng.
Sure 👍🙏my dia sister your songs are a blessing to me
Ni kwa neema kweli❤
Siwezi nikachoka kuusikiza huu wimbo Tena na tena.more grace dada
Mungu akuzidishie kibali chako Mama ju kila kitu ni kwa Neema yke Mungu kuenda nje na kurudi Sante sana mama Marth
Courage vraiment man sœur soit béni oui s par la grâce de Dieu❤❤🇨🇩🇨🇩
Bytheway ni kisikiza your music na barikiwa sana 😇😇🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤
Ni Mungu tu wa neema mummy japo maumivu ni mengi
Vumilia mummy mahali maumivu ni mengi ushindi ni mkubwa❤
@@BeatriceKombe-lz7tk thanks dear
Vyote tuko Navyo nikwa Nema Tu❤ Amen ! Asanteni Martha Wangu!!!
voice,beats and touching words makes you my favourite gospel artist,you never disappoint...God bless you Martha Mwaipaja as you continue blessing us with your songs
Amina minashukuru ni kwa neema mungu akubariki sana maman martha mwaipaja❤❤
Kwa neema tu hakika ninaishi 🕺🕺🕺🕺🔥🔥🔥🔥🔥
Ni kweli martha bila neema sisi sio chochote hapa duniani❤❤❤🎉
Aminaa nilikuwa 'nikingoja wimbo wako ubarikiwe mutumishi wa Mungu
Vraiment kwa neema yote ya timilika
Amen ni kwa neema tu ndipoza bado naishi leo hii🙏🙏
Wimbo mzur sna Dada Martha Mungu akuinue zaid na zaid kwa neema tu
I love your spiritual voice ❤ kweli ni kwa neema🙏
Kwa neema tuu kweli..yaani kufika 2024 ni kwa neema😢😢 si kawaida kabisa..kuvuka nayo si sisi..ni kwa neema tu🎉❤
i will never stop listening your music my favorite
🙌🙌🙌🥰🥰🥰 Asanti Sana Mungu 100% neema a Asante sana Mungu wetu
Kwaneema tu ooh jesus christ
Beautiful song as always...your songs blesses my soul when listening to it...continue to praise God with your music. Love you sis❤
Nikwa NEEMA tu maman mungu apewe sifa sana mungu akubariki maman Martha Nina kumpenda sana
Neema tu naishi nashukuru mungu Kama si neema yake sijui Kama ningesimama Tena neema neema tu nilishinda magonjwa.
Aminaa Mama Kweli Ni Kwa Neema Tu Tunaendelea Mungu Akubariki Sana Mama in Jesus
Amen 🙌 love you 🥰
Naupenda uimbaji wako sana❤
Hakika ni kwa Neema tu...
Listen you from Belgium 🇧🇪... Amina
Umekuwa muimbaji bora kwangu since day one naanza kuzisikiliza nyimbo zako..... I wish siku moja Nitakusikiliza live... I wish you a goodluck
❤🇧🇮 nikwaneematu ya mungu
Ameen nikwa neema🎉🎉🎉
❤Good this time we get a different tune from nifundishe kunyamaza.I like it keep it up dear.
Waaah!! Huyu Martha ile upendo Niko naye kwake❤❤... The composing of all her musics 🎶are 🔥... Ni kwa neema nimefika mwaka 2024... Kakamega 🇰🇪
Sister martha umepigajeeeee hapo....hit song 🎉 🔥🔥🔥🔥
Yes ni kwa neema tu
I cant get enough of this song.Thanks for this piece mum.
Mummie I love your songs..... another hit God bless you ❤❤❤❤
Congratulations sister Martha mwaipaja, ni Kwa neema tu.
Amina Amina! Ni kwa neema ya Mungu wetu tuko hivi tulivyo!L❤❤❤❤u dada Martha Mwaipaja. Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi!
Si kwa nguvu wala uwezo wetu,si kwamba sisi ni wema ila ni kwa neema tuh❤❤❤❤❤❤❤
Ubalikiwe Sana dada matha ❤❤❤ love you Mungu Azidi kukuinua
Nkweli kwel kwa neema❤
Hakika ni kwa NEEMA TU, hata kwa umbali huu amenileta ni kwa NEEMA TU, love YOU Martha, GOD BLESS YOU SANA 🙏🏾. greetings from THE NETHERLANDS 🇳🇱.
Hakika ni Kwa Neema Yake Mungu 🙏
Wimbo Mzuri Sana unabariki 🙏
That is true all things is the grass of god my God bless you.👍👍👍👍👍👍👍👍🙏
Kwa neema tu🙏 tumefika hapa tulipo.Sifa na utukufu tumpe mwenyezi mungu 🙏
Utukufu ni wa Mungu, hakika ni kwa neema🙏
Mimi kuwepo Hadi 2024 Ni Kwa NEEMA Tu 💃💃 Asante YESU ♥️
Can't wait to see the video ❤❤❤
Yesu.nimzuri.haleluya
Hakika.kwaneema.mbingu.zimethibisha.haleluya👍👍🙏
enyewe ni kwa nehema tu
May God heal my wife through His grace.Amen
Nakupenda Marthaaaaaa natamani Viwango vyako Nakupenda we dada
For sure it's through grace I love this song keep going
Amen amen 🙏🙏🙏🙏🙏 tunaishi Kwa neema ya mungu dear sister be blessed
Amina ni kwa neema tu tumefka tulipo🙏🙏🙏🙏
Asante kwa wimbo wa Neema Kila kitu nine neema
Nyimbo zako inanibariki dada Wah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ni kwa nehema ❤Ameen.
❤❤ wooow so amazing be blessed my sister Martha
Kweli ni kwa neema,kenya tunakupenda martha
Kwa neema Tu imetuwezesha♥️♥️
Ni kwa neema tu kabisa❤❤❤❤❤❤
Thinking of how much grace God has had toward me gets me so emotional sometimes. Thank you so much ,Lord
Amina 🙏 beautiful song and lovely voice 🥰🥰🥰 keep shinning dada nakupenda sana❣️
Kwa kweli pale nilipo sasa nikwa neema tu
Utukufu kwa Mungu hallelujah!
Kwa neema tuuh, pekee yetu hatuwezi.
Amen, ni kwa neema to ya mungu🙏🙏
You're truly blessed Martha,,your songs are just amazing,kudos!
U gained a subscriber. I love you ❤❤❤❤❤❤
Ni kweli kwa Neema tu..Ubarikiwe sana
N kwa neem ya Mungu ndio Maana tunaishi n tunazungukwa kwa neema yake❤❤❤
Hongera dada sauti nzuri
Asante YESU kwa neema tunaendelea mbele salama🙏🙏❤️❤️💝🎶🎶
So great be blessed,,nothing above God's grace
Beautiful song I love this ❤ congratulations keep shining
Thanks mummy i love you songs very much and I follow it, Zambia 🎉🎉🎉🎉
Long live my lovely mentor Martha Mwaipaja 💕💕 love you so much mummy
I love your music so much, listening 🎧 from Zambia 🔥🔥🔥🎧🎧🎧
Sufficient grace, I'm grateful
Kweli ni kwa neema God bless you 🎉🎉🎉❤
Powerful 🎉🎉🎉
Ongera xana dada angu mungu akubariki
Thank you Mam, i feel so blessed listening to your music. Stay blessed. Listening from Johannesburg 🎉🎉
Kwa neema tu..Amen🙏🙏🙏
Nmebarikiwa na wimbo huu ❤❤
Hit after hit wow this one is so amazing 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ni kwa Neema tu❤❤