RECAP: UCHAMBUZI wimbo wa DARASSA na ZUCHU ROMEO, ZUCHU ni balaa, DARASSA ametumia akili kubwa kwake
HTML-код
- Опубликовано: 18 апр 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny - Развлечения
Zuchu namba1 kaumbika sauti❤❤❤❤❤❤
Fact Zuchu ni moto
Zuchu anajua anajua tena❤
Sikupingi Mzee baba
Kaka asante,zuchu❤❤❤❤
Diamond ndio bongo flavor (harmonize,rayvany, zuchu,mbosso,lavalava na huyu mpya) diamond ni master
Mwambie akamsaini na Harmorapa kama yeye ni bongo flv
Diamond akizuba zuchu ataondoka ,Diamond amuwowe talent itakua juu
Kama kuna ngoma zuchu aliuwa zaidi ni wimbo naringa
Mwingine utaniua bonge la ngoma
Yaani nimerudi kusikiza hii Romeo jamani nikiboko tuu sana!!!!!
Yaani nakupenda ukisema ukweli tuu sana!!!! Nakuenda bure!!
Zuu on top always ❤🎉
Zuchu saivi ndo anaingiza hela nyingi pale WCB
Diamond is the best search and he king of bongo
Wewe kaka nakukubali sana big up zuu
Nimeanza kukuerewa
Preach preach preach
Wa kwanza😂
Zuchu ❤️❤️❤️❤️🔥
❤❤
Uyo anamilikiwa, tiwa na yem hao wanasimama wenywwe zuchu yupo chini ya label WCB watch out mtangazaji.
Duniane kirahoto anamilikiwa wewe aujuwi ajuwi
🔥🔥💗💖 I love this 😘
zuchu ni mkali bana kwani ni uongo
Bro some times unaongea too much... lakini zuchu anaimba mahadhi ya pwani sanaa...so some times inaboa kidogo......
Kweli mwanangu natamani zuchu aimbe nyimbo ambazo hazisimami kijinsia maana hizi tunaona aibu t lakn tunaimba
Toa unafiki wako apo naww sijui ulishakoswa chakufanya siushike ata jembe ukalime
❤❤❤❤❤
Apo kwenye kusema ukweli tu africa ndo tulifeli.
Uko very bias ety uwezi kuskiza nyimbo za wanawake....iyo ni taasubi ya kiume
Mtangazaji acha kumlinganisha Tiwasavege na vitu vyaajabu yule mpopo ni namba nyingine. Zuchu mpaka atastafu kimziki akuna siku atafika nafasi ambayo savege alishafika kimziki
Go check bro
Bro Elewa point acha hasira
We nawe acha chuki yan unachuki hadi kwa watoto wa kike duh au gasho wewe
It’s because ya watanzania kama wewe ambao ni mbumbumbu kichwani kama nyie ndio mnairudisha nyuma Tanzania yetu. Zuchu is just as talented as Tiwa Savage na kwanza ana miaka chini ya mitano kwenye music. Tiwa ana miaka Zaidi ya kumi kama sio Zaidi. Tunajivunia Zuchu na Nandy ndio maana nimenunua VIP ticket kwenda kumunuonaa Diamond and Nandy kwenye color festival capital area Washington DC ninapoishi. Arena inachukua 20000 people. We have to support our own ili tuwafikie wa naigeria. Huku USA wa Nigeria wanawasapoti sana wakwaooo. Wanajaaa Davido, Burna Boy wakija. Na sisi ingawa tuko wachache huku Marekani tuwasapoti wa Tanzania wetu. Zuchu utawapita wote usikate tamaa. Tupo kuwasapoti.
👏👏👏👏👏👍🏽