SONAA _ Episode 10

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • #bintinyoka #kp #kpnazebuu #lastcard #wamangushi #zebuu #sonaa #kpcomedy

Комментарии • 537

  • @MosesLuvekho
    @MosesLuvekho 4 месяца назад +11

    Kp na zebuu nawapenda sana naomba mkiendelea muongeze mzee likoma na dipoz manuva,❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤am from Kenya 🇰🇪 🎉🎉🎉

  • @AmusedCrescentMoon-bm8qo
    @AmusedCrescentMoon-bm8qo 4 месяца назад +34

    Much love guys from team strong #gonga like tukisonga ❤❤❤

  • @SamanthaMugisha-n9x
    @SamanthaMugisha-n9x 4 месяца назад +27

    Kutoka Burundi Kp nimewai ndugu zangu pls baomben like zangu me mbon sipat like❤❤❤ Nawapend sna

  • @Lastybonyshoka
    @Lastybonyshoka 4 месяца назад +29

    Kazi nzuri sana kp nakupongeza sana bro

    • @GossesMwambene-eg8lo
      @GossesMwambene-eg8lo 4 месяца назад +1

      Kazi nzuri, mbona inachelewa kutoka

    • @tausifautini407
      @tausifautini407 4 месяца назад +2

      Kazi nzr sana Ila utaratibu wako wakutuletea wachelewa mno

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 4 месяца назад +22

    Jaman nimewamiss sana wazee likoma na dibozi manuva pia na sulaji jaman tuna waomba waje plz

  • @GatrinaFredrick-d4e
    @GatrinaFredrick-d4e 4 месяца назад +13

    Ooooh hongera kp make nimekuona kwenye kijit mid.kazi nzur hongeren sana

  • @evesilayo740
    @evesilayo740 4 месяца назад +18

    Mnatuchosha hadi mnaboa pubguzeni kutembea sana

  • @kura.the.boy-
    @kura.the.boy- 4 месяца назад +10

    Nakubali San team KP dude Lina zidi kunoga na kutaradadi noma san

  • @SamanthaMugisha-n9x
    @SamanthaMugisha-n9x 4 месяца назад +12

    Sipend nikiona mtu mwigin anamupapasa kweny ndevu Nataka Zebuu ❤❤

  • @MwanamisiBakari-xh3jo
    @MwanamisiBakari-xh3jo 4 месяца назад +22

    Wakwanza leo watching from Saudi Arabia ❤❤❤❤❤

  • @Baudouin-Tv
    @Baudouin-Tv 4 месяца назад +75

    Wa kwanza mimi leo wa kwanza nipeni likes zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu from Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💯 Drc sonaa

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 4 месяца назад +5

    Sasa huyu malikia hana uwezo wa kujua jambo

  • @Assani12Maharaza
    @Assani12Maharaza 4 месяца назад +6

    Jaman mnajitahid sawa tunakubali lkn Sasa Majin gani yanatembea weee Ata uwalisia wakijin akuna , basi na ayo magaun awabadilishi jaman

  • @Juliussimeo
    @Juliussimeo 4 месяца назад +8

    Jamani kpnazebuu nawaomba sana mumlete likoma na dibozi manuva

  • @wamowamo6897
    @wamowamo6897 4 месяца назад +14

    Na Mkenya aliyefuatilia tangu Binti Nyoka pia anaeza pata likes?

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp 4 месяца назад +6

    Norah Anampenda Kp ❤❤ mmeona sasa😂😂
    Kp kula mambo usituangushe😅❤ basii❤

  • @KutikaWiliam
    @KutikaWiliam 4 месяца назад +20

    Wakwaza like zangu jamani kutoka iringa❤❤❤❤❤❤

  • @KutikaWiliam
    @KutikaWiliam 4 месяца назад +7

    Jamani lakini mbona mnachelewesha sana kutoka zingine utam unaisha kbla❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @rukiahassan7001
    @rukiahassan7001 4 месяца назад +2

    Hongera Sheila kwa kuokoa Binti Yako wapuuzi hao..napenda neno mpuuzi wewe ukilitamka nakupenda sana sheila

  • @AnthonyNdinah9142
    @AnthonyNdinah9142 4 месяца назад +2

    Oyaa kp mwendelezo mwanaaa acha uhuni basi😂😂😂

  • @fatimaamaderachiderachide9998
    @fatimaamaderachiderachide9998 4 месяца назад +13

    Wa kwaza hamaniata laiki 10

    • @Mattutu
      @Mattutu 4 месяца назад

      Sasa

  • @faithkemuma9113
    @faithkemuma9113 4 месяца назад +17

    Leo wakwanza nipe like zangu kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤ kazi zuri

    • @Mattutu
      @Mattutu 4 месяца назад +2

      Naki kemuna

    • @faithkemuma9113
      @faithkemuma9113 4 месяца назад +1

      @@Mattutu Mbuya tebango amageni

    • @Mattutu
      @Mattutu 4 месяца назад

      @@faithkemuma9113 mbuya inde l would tomanyane 🤔

    • @Mattutu
      @Mattutu 4 месяца назад

      @@faithkemuma9113 hey

  • @OmaryRamadan-m8v
    @OmaryRamadan-m8v 4 месяца назад +7

    Mbona mzee likoma na diboz siwaoni jamani

    • @Mattutu
      @Mattutu 4 месяца назад +1

      My question too

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص 4 месяца назад +5

    Kisai umbwa mabusu ila Norah mbona hajafurahi kusikia mtoto wa sonaa atarithi😂😂kanaonekana kanampando kabambe Aya ninaangalia nkiwa pale Kenya 🇰🇪

  • @michaeljapheth1021
    @michaeljapheth1021 4 месяца назад +6

    From Kenya, napenda mchezo.

  • @AnithaStiven
    @AnithaStiven 4 месяца назад +2

    Katika movies ambazo sijawahi zielewa ni hii yaani umeigiza kibongo bongo sana kudanganywa huku unaona kabisa mfano kama kp hapo alipo fungwa uwezo wa kujifungua unaonekana kabisa pili kamba imefungwa mala moja2 kiasi kwamba akifungua kwa kutumia mdomo anaweza 😂😂😂😂 movies zote uwa unaweza lakini hii 🙅🙅 zebuu anauwezo wa kuyeyuka lakini anatumia mda mwingi kutembea hata wakati wa hatari hapa mmetupiga kitu kizito😂😂😂😂

  • @DarmaIgiranezahappy
    @DarmaIgiranezahappy 4 месяца назад +3

    Suraji muze likoma n'a di boss Bako wap mbon sibaone hapa

    • @YusraYaasir
      @YusraYaasir 4 месяца назад +1

      Ukiludi shule utawaona jokes 😂😂😂😂

  • @MwanamisiBakari-xh3jo
    @MwanamisiBakari-xh3jo 4 месяца назад +5

    Nora n mnafiki anania gani y kumficha kp

  • @VivianeCosmas
    @VivianeCosmas 4 месяца назад +1

    Daar sjui kwann likoma hayupo

  • @Barnizeboy
    @Barnizeboy 4 месяца назад +5

    Wa mwisho leo jmn❤❤❤💥💥💯🔥🔥

  • @MesahMwachepha
    @MesahMwachepha 4 месяца назад

    Dakid na kisai napenda sana mchezo wenu msotaka kushindwa

  • @RosemaryWilbard
    @RosemaryWilbard 4 месяца назад +6

    Ooooh kwanza leooo❤❤❤

  • @BarakaMwegoha
    @BarakaMwegoha 4 месяца назад +1

    Ivi vigagula vinatembea sana hata haviyeyuki yayuu vinamaliza muda kwa kutembea tu😂

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 3 месяца назад

      Havifanyi akachwiii!😂😂😂

  • @KammamyLastie
    @KammamyLastie 4 месяца назад +3

    Leo nimewahi, nipewe likes zangu, za Author na za kipindi

  • @AgnesZubedah-zs2xd
    @AgnesZubedah-zs2xd 4 месяца назад +1

    😂😂Dakid na mkia [kuona utajiri Kwa macho]❤

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 4 месяца назад +6

    Ukisema wa kwanza hatukupi like kila mtu ajilaiki mwenyewe twaangalia msimamo wa comment 😂😂😂😂 imeisha hiyo

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 4 месяца назад +2

    Hongereni sana kwa kazi nzuri ❤❤❤❤❤❤

  • @MwanapiliSidi
    @MwanapiliSidi 4 месяца назад +1

    Kisai wanichekesha😂😂😂😂😂 shei shei hanaasiara😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jacklinefatma6263
    @jacklinefatma6263 4 месяца назад +1

    Darkid mtakuja kupata utajiri kama mmechoka Sana 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @janetmaya374
    @janetmaya374 4 месяца назад +3

    Wakwaza more love from kenya

  • @HawaSwaleheh
    @HawaSwaleheh 4 месяца назад +3

    Mnachelewesha movie kp jamani

  • @lucymrombo227
    @lucymrombo227 4 месяца назад +1

    ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇸🇦waiting for 11

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 3 месяца назад

    Queen mother ana makofi huyo, muulize kIsai atakwambia

  • @SaidiAbdallah-nd2wm
    @SaidiAbdallah-nd2wm 4 месяца назад +1

    Amazing.... This series is getting hotter and hotter...

  • @MelaniaTluway
    @MelaniaTluway 19 дней назад

    Safi sana umedakwa mama tamaa unanikera nora

  • @priscandimbo8286
    @priscandimbo8286 4 месяца назад +1

    Mnawaulizia akina likoma sikieni hiyo nyimbo , inaonekana wako huko mbelen. Endeleeni kula mtori nyama iko chini😅

  • @peterkamanga337
    @peterkamanga337 4 месяца назад +2

    Ai kp bna sasa iishie apa dah utamu jameni

  • @foryou9231
    @foryou9231 4 месяца назад

    Apa ndani kila mtu wa kwanza...xaxa natak wa kwanza awe wa mwisho na wa mwisho awe wa kwanza mwalionaje lilo😂😂😂 yani kwa leo ratiba imebadilisha❤

  • @tobiaschirwa9364
    @tobiaschirwa9364 4 месяца назад

    Jamani ninawapenda kutoka malawi Team ya Kp na Zebuu sema tumewamiss sana Likoma na dibozi manuva 😢 fanyeni mupango mambo yawe mambo sahivi hata ayinogi kama zamani

  • @GloriaNahimana-x8p
    @GloriaNahimana-x8p 4 месяца назад +4

    Atakama nimecelewa naomba like jamani❤❤❤🎉🎉

  • @Kaba-z4f
    @Kaba-z4f 3 месяца назад +1

    Salsa 14 IKO wapi n'ai penda Sana sonaa

  • @SalmaDk-c7c
    @SalmaDk-c7c 4 месяца назад

    Sheyshey we ukoje mbona kama unabadirika yaan sekta zoote unafit yan hapo ni kweli umekua mama jaman

  • @alfredtebeka2497
    @alfredtebeka2497 4 месяца назад

    Dah😂😂😂 maskini kisaiii mda wowote anakula za uso😅😊 poleni bro😢, tukirudi kwa sasa et nahitaj mtoto kudadeki😅😅😅😅

  • @khadija2113
    @khadija2113 4 месяца назад

    😂😂😂 NOLA UMEKWISHA NAWAPENDA SANA❤❤❤❤ KAZI NZULI

  • @NeemaJulliet
    @NeemaJulliet 4 месяца назад +5

    Wa kwanza kuwotch leo

  • @LucyChengo
    @LucyChengo 4 месяца назад

    Mbana mnakimbia. Mkia 😂😂 tamaa mbaya kisai amekumbuka makofi akakimbia😂😂😂😂

  • @EMMAMTEY-vh7on
    @EMMAMTEY-vh7on 4 месяца назад +1

    Jaman tunatak muendelezo wa bint nyoka kama unakubaliana na Hilo gong like hap

  • @MrJohnblaiseBlaise
    @MrJohnblaiseBlaise 4 месяца назад +2

    C cool 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 3 месяца назад

    Nampenda sana queen mother jamani

  • @ramadhanisaranga6979
    @ramadhanisaranga6979 4 месяца назад +1

    Mtandao unasumbua jamani nipeni like zangu

  • @beyoncesauda27
    @beyoncesauda27 4 месяца назад

    Much love yaani movie tamu

  • @JaneSanga-b5n
    @JaneSanga-b5n 4 месяца назад

    Jamn kp nakuomb ututolee mzee likom jamn

  • @KarimaKarima-u5c
    @KarimaKarima-u5c 4 месяца назад

    Waooh yajay yanafurahishq❤❤❤

  • @SaidiAbdallah-nd2wm
    @SaidiAbdallah-nd2wm 4 месяца назад +1

    Amazing......

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 4 месяца назад

    😂😂😂😂Kali sana Norah mpuuzi sana nagoja kibox media nichele kweli kweli iiii imenonga

  • @Mwamaisha
    @Mwamaisha 4 месяца назад

    Da Sheila mashallah umekua mzuri umefanya mwili mashallah mungu akulinde na husda aki uko poa dadaaa 👌🤍

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 4 месяца назад

    Kutembeea dakikaa kumi nzimaaa fupishen bwnaaaa

  • @Misheckkazilist-cv2hb
    @Misheckkazilist-cv2hb 4 месяца назад

    Muendelezo jamanifanyeni wepesi ❤❤❤

  • @gaf9874
    @gaf9874 4 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉congratulations guys

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 4 месяца назад

    Nora kazi unayoo umeazaa tamaa huyu zebuu Kazaa nakakamtuu

  • @JasminiAbilah
    @JasminiAbilah Месяц назад

    Jaman huu utembezi unachosha yaan km tunatembea sisi waangaliaji

  • @RusiTembo
    @RusiTembo 4 месяца назад

    Movie ni nzuri lakini mnatembea sana majibu ua yanayayula 😢😂

  • @AishaKhatibu-zd3bk
    @AishaKhatibu-zd3bk 4 месяца назад

    Jaman nimewamiss mzee likoma,kisai,suraji 😂

  • @Ayxha-ez1jj
    @Ayxha-ez1jj 4 месяца назад

    Malkia fanya kazi yak mwenyewe uximuachie Nora kwan we c ndo umemzid nguvu

  • @hassanirambona7520
    @hassanirambona7520 4 месяца назад

    Kazi nzuli sana kp

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 3 месяца назад

    Dar kiddy kala kona moja tu

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 4 месяца назад

    😂😂😂😂Darkid na mkia jamani fyuuuuuu 😂😂😂😂😂

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 4 месяца назад +1

    aise awa vichwa ngumu wawili wananifuraisha😂😂😂

  • @PETERCHIKAWE
    @PETERCHIKAWE 4 месяца назад +1

    Good project

  • @NellyNeema-sj1wq
    @NellyNeema-sj1wq 4 месяца назад

    Kp vizuli apana nora mimi wa 0nipeni yangu kutoka Burundi❤

  • @Nyanchama-c1n
    @Nyanchama-c1n 4 месяца назад

    Eishy director kumeendaje hii kutembea imetake long anywei nawapenda❤

  • @victoriangasa
    @victoriangasa 4 месяца назад +1

    Sijachelewa sanaa jmn ❤❤🎉🎉😂😂

  • @MaryRjabu
    @MaryRjabu 4 месяца назад

    Jaman naipenda sonaa duh hua naiangalia na familia mungu awabark sana

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 3 месяца назад

    Yaani nola kana loho mbaya kama kadude ka kuzimu

  • @reginaIssa-m2j
    @reginaIssa-m2j 4 месяца назад

    Nora tamaa umekuponza ❤❤ good job

  • @LUCYAKOTH-pe7kr
    @LUCYAKOTH-pe7kr 4 месяца назад

    Wow Nora lazima utuabie ukweli😂😂😂

  • @mpundulimbangala6818
    @mpundulimbangala6818 3 месяца назад

    Nora ushamtamani kp nini acha tamaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ChausikuJoseph-bd9fx
    @ChausikuJoseph-bd9fx 4 месяца назад

    Hahahahahah jaman kisai anawaza mapenzi tu

  • @JafariChisagwa
    @JafariChisagwa 4 месяца назад

    bongo bwana mtu anagiza anatembea dk 7 mpaka kumi tunaangalia mtu anatembea tuu

  • @Sarahsaid2648
    @Sarahsaid2648 4 месяца назад +1

    Warudisheni likoma suraji na Diboz yaan tamthliya imepouwa sana

    • @marygorethtemu4959
      @marygorethtemu4959 4 месяца назад

      Ukute diboz ndo mume wa malkia

    • @Sarahsaid2648
      @Sarahsaid2648 4 месяца назад +1

      @@marygorethtemu4959 😂😂😂nimecheka sana na likoma mlinzi wa mfalme diboz na suraj ndio mwanaume anayempenda Zebul

  • @johnkalela2810
    @johnkalela2810 4 месяца назад

    Awa majini wanatembeya sana na miguu kwanini but anyway is fine great job Mr kp

  • @RhodaLukasi
    @RhodaLukasi 4 месяца назад

    😂kisai wew hayo maneno yako jamn

  • @YoashiPetro
    @YoashiPetro 4 месяца назад

    Me binafis nora ananivutia sana natamani aje awe mpenzi wa kp

  • @mosesmashauri2420
    @mosesmashauri2420 3 месяца назад

    kajini kanajua ku smile

  • @Madina-s8j
    @Madina-s8j 4 месяца назад

    Aki kiasi naipenda hii

  • @AMANMEDIATV-iv6ch
    @AMANMEDIATV-iv6ch 4 месяца назад +2

    Wa kwanza Hapa

  • @CurlyAviva
    @CurlyAviva 4 месяца назад +1

    Jamani dibozi na likoma mliwapeleka wapi?? Huawananogesha movie hatari

    • @ahmadally2437
      @ahmadally2437 4 месяца назад

      Utawaona tu, subiri muda ufike uko ujinini utawaona

  • @SummaiyaKassim-zv5nt
    @SummaiyaKassim-zv5nt 4 месяца назад +1

    Nlijua tu huyu Norah ana jambo malkia kua makini sana

    • @ahmadally2437
      @ahmadally2437 4 месяца назад

      Watakuwepo tu huko ujinini kwenyew, majini wenyew

  • @hassanirambona7520
    @hassanirambona7520 4 месяца назад

    Gazi nzuli sana

  • @BhokeMwikwabe
    @BhokeMwikwabe 4 месяца назад

    Uongo mbaya zebuu Ana moyo mm mme wangu hawawez kumshika hivyo norah jaman