Katika movies ambazo sijawahi zielewa ni hii yaani umeigiza kibongo bongo sana kudanganywa huku unaona kabisa mfano kama kp hapo alipo fungwa uwezo wa kujifungua unaonekana kabisa pili kamba imefungwa mala moja2 kiasi kwamba akifungua kwa kutumia mdomo anaweza 😂😂😂😂 movies zote uwa unaweza lakini hii 🙅🙅 zebuu anauwezo wa kuyeyuka lakini anatumia mda mwingi kutembea hata wakati wa hatari hapa mmetupiga kitu kizito😂😂😂😂
Jamani ninawapenda kutoka malawi Team ya Kp na Zebuu sema tumewamiss sana Likoma na dibozi manuva 😢 fanyeni mupango mambo yawe mambo sahivi hata ayinogi kama zamani
Kp na zebuu nawapenda sana naomba mkiendelea muongeze mzee likoma na dipoz manuva,❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤am from Kenya 🇰🇪 🎉🎉🎉
Much love guys from team strong #gonga like tukisonga ❤❤❤
Kutoka Burundi Kp nimewai ndugu zangu pls baomben like zangu me mbon sipat like❤❤❤ Nawapend sna
Kazi nzuri sana kp nakupongeza sana bro
Kazi nzuri, mbona inachelewa kutoka
Kazi nzr sana Ila utaratibu wako wakutuletea wachelewa mno
Jaman nimewamiss sana wazee likoma na dibozi manuva pia na sulaji jaman tuna waomba waje plz
Nikweli tumewamiss sna
Safi sana
Ooo shall disw muzazi nawawatoto mama pole kuer
Ndio tunawaomba kina mzee likoma plz
Ooooh hongera kp make nimekuona kwenye kijit mid.kazi nzur hongeren sana
Mnatuchosha hadi mnaboa pubguzeni kutembea sana
Alafu ni majini jamani
Yea wanakula masaa mob na kutembea na afiki
Kabsaa makini hua hawatembei 😂
Yami niwendo wa kuzurura
Nakubali San team KP dude Lina zidi kunoga na kutaradadi noma san
Sipend nikiona mtu mwigin anamupapasa kweny ndevu Nataka Zebuu ❤❤
For sure
Staki kabisa
Wakwanza leo watching from Saudi Arabia ❤❤❤❤❤
Wa kwanza mimi leo wa kwanza nipeni likes zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu from Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💯 Drc sonaa
Tuma salam kwa watu 8
Leta numéro Yako ya airtelmoney 😂😂😂
9
Unaenda kuuza?😂😂
Nimetamani adi nikutukane.😂😂
Sasa huyu malikia hana uwezo wa kujua jambo
Jaman mnajitahid sawa tunakubali lkn Sasa Majin gani yanatembea weee Ata uwalisia wakijin akuna , basi na ayo magaun awabadilishi jaman
Hawa sio majini ni viumbe
Jamani kpnazebuu nawaomba sana mumlete likoma na dibozi manuva
Kweli kbs
Na Mkenya aliyefuatilia tangu Binti Nyoka pia anaeza pata likes?
Norah Anampenda Kp ❤❤ mmeona sasa😂😂
Kp kula mambo usituangushe😅❤ basii❤
Wakwaza like zangu jamani kutoka iringa❤❤❤❤❤❤
Jamani lakini mbona mnachelewesha sana kutoka zingine utam unaisha kbla❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongera Sheila kwa kuokoa Binti Yako wapuuzi hao..napenda neno mpuuzi wewe ukilitamka nakupenda sana sheila
Oyaa kp mwendelezo mwanaaa acha uhuni basi😂😂😂
Wa kwaza hamaniata laiki 10
Sasa
Leo wakwanza nipe like zangu kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤ kazi zuri
Naki kemuna
@@Mattutu Mbuya tebango amageni
@@faithkemuma9113 mbuya inde l would tomanyane 🤔
@@faithkemuma9113 hey
Mbona mzee likoma na diboz siwaoni jamani
My question too
Kisai umbwa mabusu ila Norah mbona hajafurahi kusikia mtoto wa sonaa atarithi😂😂kanaonekana kanampando kabambe Aya ninaangalia nkiwa pale Kenya 🇰🇪
Nakameshapewa nguvu zakutosha😂😂
Nakwambia weee🤣🤣🤣
From Kenya, napenda mchezo.
Katika movies ambazo sijawahi zielewa ni hii yaani umeigiza kibongo bongo sana kudanganywa huku unaona kabisa mfano kama kp hapo alipo fungwa uwezo wa kujifungua unaonekana kabisa pili kamba imefungwa mala moja2 kiasi kwamba akifungua kwa kutumia mdomo anaweza 😂😂😂😂 movies zote uwa unaweza lakini hii 🙅🙅 zebuu anauwezo wa kuyeyuka lakini anatumia mda mwingi kutembea hata wakati wa hatari hapa mmetupiga kitu kizito😂😂😂😂
Ushaon pia wee
Suraji muze likoma n'a di boss Bako wap mbon sibaone hapa
Ukiludi shule utawaona jokes 😂😂😂😂
Nora n mnafiki anania gani y kumficha kp
Daar sjui kwann likoma hayupo
Wa mwisho leo jmn❤❤❤💥💥💯🔥🔥
Dakid na kisai napenda sana mchezo wenu msotaka kushindwa
Ooooh kwanza leooo❤❤❤
Ivi vigagula vinatembea sana hata haviyeyuki yayuu vinamaliza muda kwa kutembea tu😂
Havifanyi akachwiii!😂😂😂
Leo nimewahi, nipewe likes zangu, za Author na za kipindi
😂😂Dakid na mkia [kuona utajiri Kwa macho]❤
Ukisema wa kwanza hatukupi like kila mtu ajilaiki mwenyewe twaangalia msimamo wa comment 😂😂😂😂 imeisha hiyo
😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hongereni sana kwa kazi nzuri ❤❤❤❤❤❤
Kisai wanichekesha😂😂😂😂😂 shei shei hanaasiara😂😂😂😂😂😂😂😂
Darkid mtakuja kupata utajiri kama mmechoka Sana 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Wakwaza more love from kenya
Mnachelewesha movie kp jamani
❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇸🇦waiting for 11
Queen mother ana makofi huyo, muulize kIsai atakwambia
Amazing.... This series is getting hotter and hotter...
Safi sana umedakwa mama tamaa unanikera nora
Mnawaulizia akina likoma sikieni hiyo nyimbo , inaonekana wako huko mbelen. Endeleeni kula mtori nyama iko chini😅
Kiekiekiekiekiekie 😂😂😂🤣❤
Ai kp bna sasa iishie apa dah utamu jameni
Apa ndani kila mtu wa kwanza...xaxa natak wa kwanza awe wa mwisho na wa mwisho awe wa kwanza mwalionaje lilo😂😂😂 yani kwa leo ratiba imebadilisha❤
Jamani ninawapenda kutoka malawi Team ya Kp na Zebuu sema tumewamiss sana Likoma na dibozi manuva 😢 fanyeni mupango mambo yawe mambo sahivi hata ayinogi kama zamani
Atakama nimecelewa naomba like jamani❤❤❤🎉🎉
Salsa 14 IKO wapi n'ai penda Sana sonaa
Sheyshey we ukoje mbona kama unabadirika yaan sekta zoote unafit yan hapo ni kweli umekua mama jaman
Dah😂😂😂 maskini kisaiii mda wowote anakula za uso😅😊 poleni bro😢, tukirudi kwa sasa et nahitaj mtoto kudadeki😅😅😅😅
😂😂😂 NOLA UMEKWISHA NAWAPENDA SANA❤❤❤❤ KAZI NZULI
Wa kwanza kuwotch leo
Mbana mnakimbia. Mkia 😂😂 tamaa mbaya kisai amekumbuka makofi akakimbia😂😂😂😂
Jaman tunatak muendelezo wa bint nyoka kama unakubaliana na Hilo gong like hap
Ilishafika mwisho mbona
Ilishafika mwisho mbona
@@SaidatiAthuman-lm7zb season two bad
C cool 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
♥️♥️♥️♥️
Nampenda sana queen mother jamani
Mtandao unasumbua jamani nipeni like zangu
Much love yaani movie tamu
Jamn kp nakuomb ututolee mzee likom jamn
Waooh yajay yanafurahishq❤❤❤
Amazing......
😂😂😂😂Kali sana Norah mpuuzi sana nagoja kibox media nichele kweli kweli iiii imenonga
Da Sheila mashallah umekua mzuri umefanya mwili mashallah mungu akulinde na husda aki uko poa dadaaa 👌🤍
Kutembeea dakikaa kumi nzimaaa fupishen bwnaaaa
Muendelezo jamanifanyeni wepesi ❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉congratulations guys
Nora kazi unayoo umeazaa tamaa huyu zebuu Kazaa nakakamtuu
Jaman huu utembezi unachosha yaan km tunatembea sisi waangaliaji
Movie ni nzuri lakini mnatembea sana majibu ua yanayayula 😢😂
Jaman nimewamiss mzee likoma,kisai,suraji 😂
Malkia fanya kazi yak mwenyewe uximuachie Nora kwan we c ndo umemzid nguvu
Kazi nzuli sana kp
Dar kiddy kala kona moja tu
😂😂😂😂Darkid na mkia jamani fyuuuuuu 😂😂😂😂😂
aise awa vichwa ngumu wawili wananifuraisha😂😂😂
Good project
Kp vizuli apana nora mimi wa 0nipeni yangu kutoka Burundi❤
Eishy director kumeendaje hii kutembea imetake long anywei nawapenda❤
Sijachelewa sanaa jmn ❤❤🎉🎉😂😂
Jaman naipenda sonaa duh hua naiangalia na familia mungu awabark sana
Yaani nola kana loho mbaya kama kadude ka kuzimu
Nora tamaa umekuponza ❤❤ good job
Wow Nora lazima utuabie ukweli😂😂😂
Nora ushamtamani kp nini acha tamaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahahahahah jaman kisai anawaza mapenzi tu
bongo bwana mtu anagiza anatembea dk 7 mpaka kumi tunaangalia mtu anatembea tuu
Warudisheni likoma suraji na Diboz yaan tamthliya imepouwa sana
Ukute diboz ndo mume wa malkia
@@marygorethtemu4959 😂😂😂nimecheka sana na likoma mlinzi wa mfalme diboz na suraj ndio mwanaume anayempenda Zebul
Awa majini wanatembeya sana na miguu kwanini but anyway is fine great job Mr kp
😂kisai wew hayo maneno yako jamn
Me binafis nora ananivutia sana natamani aje awe mpenzi wa kp
Kabaya
kajini kanajua ku smile
Aki kiasi naipenda hii
Wa kwanza Hapa
Jamani dibozi na likoma mliwapeleka wapi?? Huawananogesha movie hatari
Utawaona tu, subiri muda ufike uko ujinini utawaona
Nlijua tu huyu Norah ana jambo malkia kua makini sana
Watakuwepo tu huko ujinini kwenyew, majini wenyew
Gazi nzuli sana
Uongo mbaya zebuu Ana moyo mm mme wangu hawawez kumshika hivyo norah jaman