🔴LIVE:ALLY KAMWE "FEI TOTO HAWEZI KUCHEZA NA DEBORA SIMBA/CHAMA TUMEMPA ULINZI MKUBWA/HATUOKOTIOKOTI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024
  • Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe Leo July 7,2024 amezungumza na Vyombo vya habari,punde tu alipotua kwenye uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere International Airport akitokea Mbeya
    Aidha amefunguka kuhusu usajili unaoendelea huku akigusia kuhusiana na usajili wa Prince Dube.

Комментарии • 110

  • @SalomeEmanuelimpalasinge
    @SalomeEmanuelimpalasinge Месяц назад

    Uko sawa simba no makolo🧡💛💛💛💛

  • @mierin8456
    @mierin8456 Месяц назад +5

    Acha Debora!! 😅ngoja akacheze na Joyce😂😂😂

  • @roi2554
    @roi2554 Месяц назад +2

    Yanga ni namba moja Africa na hamsemi, we huogop

  • @francisngowi7556
    @francisngowi7556 Месяц назад +3

    Na hao watoto wakikomaa tunwachukua. Acha hiyo iwe ni as academy yetu

  • @emmanuelmathiasmpesa9396
    @emmanuelmathiasmpesa9396 Месяц назад +1

    Nikukumbushe acha kuwasimanga wachezaji kwanini unamuonea huyu debora

  • @mimiwajuu
    @mimiwajuu Месяц назад +2

    Mbona watu wanatukana au ni Simba mbovu😂😂😂💚💚💚💛💛💛

  • @AntonyPitter
    @AntonyPitter Месяц назад

    We chama karib yanga

  • @marthajosephdihimbwa2329
    @marthajosephdihimbwa2329 Месяц назад

    anaongea ukweli simba bado mnazidi kuporomoka poleni sana

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Месяц назад +4

    Ally kamwe unaniuwa uku😂😂

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Месяц назад +1

    Eti sisi hatuchukui watu kuja kuwalea.

  • @IbniAbbas-yz3kt
    @IbniAbbas-yz3kt Месяц назад +6

    Mbona alicheza na Joyce

  • @aamarsuleymain2932
    @aamarsuleymain2932 Месяц назад +1

    Tasafu fc

  • @martinkabazo8412
    @martinkabazo8412 Месяц назад +2

    Hata Joyce ni Joyce

  • @TeresiaDeo
    @TeresiaDeo Месяц назад +1

    We huna jipya umeishiwa nyimbo unaemtegea ni scaut was Simba chama ,bareke,mkude na okrahuna jipya pumbaa v
    P kuhusu jous hujui kikongo umesoma kiswahili ndio maana

    • @KevinPhilberth
      @KevinPhilberth Месяц назад +1

      Team kubwa haifanyi scout, wachezaj wanaipenda wenyewe,, na hao waliosajiliwa akiwemo mzuri 2 anaejua bori, anakuja team kubwa..

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus3475 Месяц назад

    Nakubali kamwe

  • @josephndaki8003
    @josephndaki8003 Месяц назад

    Mwana zungumzia na timu zingine kama makolo wasiokuwa na msemaji

  • @user-hv9mb4uy1z
    @user-hv9mb4uy1z Месяц назад +1

    Zoa zoa fc mchukueni na bocco hhhhhhhhh wewe si ulisema chama ni kilema cha ajabu njiti kakata keki mamae

  • @athumanmsuya2688
    @athumanmsuya2688 Месяц назад +1

    Huyu hana taaluma ya uandishi,anaiongelea simba tu

  • @jonasinocent7477
    @jonasinocent7477 Месяц назад

    Simba brand Ili uonekane lazma uisemee Simba ndo maana

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 Месяц назад

    Hivi Deborah na muda nan mkali comment

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤ young African

  • @khayrounabdullah806
    @khayrounabdullah806 Месяц назад +1

    Why debo😅😂

  • @chawalagodfrey9013
    @chawalagodfrey9013 Месяц назад

    Waambie Kamwe❤❤❤😂😂😂

  • @Abdurazaqmbuni714
    @Abdurazaqmbuni714 Месяц назад +1

    Bado hamjasema2

  • @AllyAbdallah-hn9rq
    @AllyAbdallah-hn9rq Месяц назад

    Zungumzia timu Yako,Kila cku Simba Simba,

  • @KibinzaCharles
    @KibinzaCharles Месяц назад

    Hahaha 😅😅😅 huu musim nausubili kwa ham

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m Месяц назад

    Uta umia sana Kwa usajili wa Simba na Bado mpa ukome Usha Anza kuunga unga maneno

    • @sosomacharles9920
      @sosomacharles9920 Месяц назад +1

      Usajili gani huo alioufanya Simba😆😆😆😆 mnachukua watoto wa ili muwalee🤣🤣🤣

  • @brownmasai774
    @brownmasai774 Месяц назад

    Alli umenikumbusha msemo wa Kiingereza usemao: You may be hungry and yet abandon the food that is already on dining table. For it's not hunger that makes one eat from the table but rather it's the arrangement of the table and the mood of its attendant. Yanga inawavutia. wachezaji wakubwa hivi sasa wanapo assess quality ya wachezaji watakao fanya combination nao na hatimaye kufanya familia moja. Lakini pia uongzi, manjonjo na maslahi watakayo kutana nayo kama wanafamilia ktk club.

  • @MunirPingili
    @MunirPingili Месяц назад

    Ali kamwe unajua kukela

  • @salumuomari
    @salumuomari Месяц назад

    Simba sasahv wanaitwa mishangazi wanalea watoto

  • @shaxonboy_
    @shaxonboy_ Месяц назад

    Ila kacheza na Joyce sio

  • @Vedax_mashauri
    @Vedax_mashauri Месяц назад

    Badala aongelee team yake anaongelea simba

  • @KibinzaCharles
    @KibinzaCharles Месяц назад

    Hahaha 😅😅😅 huu musim nausubili kwa ham 9:31

  • @user-ik2fg6iu2m
    @user-ik2fg6iu2m Месяц назад

    Yanga hamna mchezaji wa kuifunga alahli

  • @Kelvin-gi1zp
    @Kelvin-gi1zp Месяц назад

    Duh huyu jamaa akapimwe akili,,coz msemaji mzuri ni yule anayeongelea timu yake sasa huyu mmmh anatia ad huruma

  • @hamadiayossy
    @hamadiayossy Месяц назад

    Uzuri msemaji wetu wa simba akiongea huwa haongelei hawa mashog

  • @YahayaBakari-hf5yk
    @YahayaBakari-hf5yk Месяц назад

    Ww ni chura a,k,,a uto kama kaweza kucheze utopolo timu zingine je

  • @jonasinocent7477
    @jonasinocent7477 Месяц назад

    Kwani fei hakucheza na Joyce

  • @cyprianbernard3378
    @cyprianbernard3378 Месяц назад

    Acha upumbavu wako mbona Feitoto alipokuwaapo alicheza na joyce

  • @user-ik2fg6iu2m
    @user-ik2fg6iu2m Месяц назад

    Unajipendekeza kwa fei

  • @user-yr8eq7rr1z
    @user-yr8eq7rr1z Месяц назад

    Kitoto kinajidai hiki

  • @JumaLuwaly
    @JumaLuwaly Месяц назад +1

    Mkata mauno akiongea anajulikana

  • @bilombelekilozodieudonne123
    @bilombelekilozodieudonne123 Месяц назад +1

    𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲 𝗻𝗮 𝗧𝘂𝗻𝗮 𝗧𝗮𝗺𝗯𝗮 𝗡𝗮𝗲 😂😂😂

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing Месяц назад

    Watapat Tabu Xan Mwaka Huu Makolo Kazi Yaho Kuzurura Tu😅😅

  • @HajiKanju-x8o
    @HajiKanju-x8o Месяц назад

    Acha hizo wewe dogo, kwani Fei hakuiacha Yanga inakwenda Champions Club akaenda Azam ambayo ilicheza Confidaration Cup? watu wana angalia Pesa sio sifa ya kucheza michuano mikubwa.

  • @Marthamajebele-xr8lb
    @Marthamajebele-xr8lb Месяц назад

    Kwan dube kaishafany nn cha maana ????

  • @mimiwajuu
    @mimiwajuu Месяц назад +1

    DC😂😂😂

  • @jacminjosefh4400
    @jacminjosefh4400 Месяц назад

    Debo😂😂😂😂

  • @user-ik2fg6iu2m
    @user-ik2fg6iu2m Месяц назад +1

    Unajipendekeza kwa fei wewe alikamwe

    • @jamessanga6768
      @jamessanga6768 Месяц назад

      Kati ya alikamwe na madunduka nani anajipendekeza😊😂

  • @ZuberiMlanzi
    @ZuberiMlanzi Месяц назад

    Ww zungumza ynu ni NSSF mbna hatuwataji wenu . Kolo ni mjomba kk wa mamako. Utaiga sana .fara ww

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 Месяц назад

    Debora ni mcheza lede huyo hamna ki2

  • @devynnedennis7358
    @devynnedennis7358 Месяц назад

    Mwacheni aongee semaji letu nyie wote mnaomsema ni ya mkosaji

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba1402 Месяц назад

    Michezo sio matusi

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Месяц назад

    Xavi mtupu fei

  • @ZainabSimith-ey6vm
    @ZainabSimith-ey6vm Месяц назад

    Duuu hili nisemaji au ni bwabw tu

  • @johnshija8917
    @johnshija8917 Месяц назад

    Haujakua bado siku ukikua utaacha utoto

  • @emmanuelngussa1529
    @emmanuelngussa1529 Месяц назад +6

    Zungumzia usajir wako acha kuzungumzia wachezaj wasimba na cuf hamfik popote hata robo hamtoboi

    • @user-lr6kf6bf9l
      @user-lr6kf6bf9l Месяц назад +2

      Nani kakutuma umskize....😂😂😂

    • @kolosii4351
      @kolosii4351 Месяц назад

      Unatafuta nini huku choo cha kike??

    • @user-cb3uo6rs7o
      @user-cb3uo6rs7o Месяц назад

      😂😂😂😂 unateseka na maneno

    • @paulnzilo7252
      @paulnzilo7252 Месяц назад

      Mbona mapovu ndugu?!

    • @KevinPhilberth
      @KevinPhilberth Месяц назад +3

      Kasikilize wasemaj watim ndogo achana na mwananchi

  • @user-pf6tl1jy8c
    @user-pf6tl1jy8c Месяц назад +1

    Baba simba namba sita timu yako yaangapi??????😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @johnfrank234
    @johnfrank234 Месяц назад

    Yani huyu jamaa hajui kabisa kuongea Yani ni zero nyeusi

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha9425 Месяц назад

    Yaani Yanga mnasajili watalakiwa 😂

  • @shabanishabani9350
    @shabanishabani9350 Месяц назад +1

    Nimekuwa wakwanza

  • @emmanuelngussa1529
    @emmanuelngussa1529 Месяц назад +2

    Makolo mama yako

  • @jumakalinga2812
    @jumakalinga2812 Месяц назад +1

    Dogo hajielewi uyu

  • @cyprianbernard3378
    @cyprianbernard3378 Месяц назад

    Wewe huna akili ndomaana unajikilimu hunalolotewewe

  • @Busagotz
    @Busagotz Месяц назад

    Wewe zungumzia team yako simba na Azam ndo nn

  • @JustinePogba
    @JustinePogba Месяц назад

    Choko we alikomwe

  • @ZainabSimith-ey6vm
    @ZainabSimith-ey6vm Месяц назад

    Huyu ni zero lipuuuzi m

  • @user-pf6tl1jy8c
    @user-pf6tl1jy8c Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 unachukuatuu sio?? Gonga taarabu babaaaa

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi Месяц назад

    Atacheza. Na. Mamaaako

  • @NadriqDotto-lk5ss
    @NadriqDotto-lk5ss Месяц назад

    Acha zako wewe mbn unakufa kwa maneno muache msemaji wa caf na mashabki wa caf tutambe weweee

  • @RwechungulaBegumisa
    @RwechungulaBegumisa Месяц назад

    We ni kapumbavu kabisa

  • @law93king
    @law93king Месяц назад

    😂😂😂😂

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq Месяц назад

    😂 debora fc 😂😂😂😂😂

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Месяц назад

    Wewe nimjinga mchezaji wa simba anakuhusu nini.mwehu tu wewe

  • @shabanishabani9350
    @shabanishabani9350 Месяц назад

    Waaambie

  • @SanziNzige
    @SanziNzige Месяц назад

    Huyo joisi wako unajizima data humjui.pumbafu wewe.

  • @jonasinocent7477
    @jonasinocent7477 Месяц назад

    Ubingwa unaujua wewe bwaaa

  • @user-hv9mb4uy1z
    @user-hv9mb4uy1z Месяц назад

    😂😂😂 njiti fc mtoeni hiyo miwani mtu unacheza mpira umevaa miwani na huyo si alisema chama mzee chama ni kilema dunia hii lakin sawa zoa zoa fc mchukueni na bocco

  • @KibinzaCharles
    @KibinzaCharles Месяц назад

    Hahaha 😅😅😅 huu musim nausubili kwa ham

  • @ShabaniIssaBenja
    @ShabaniIssaBenja Месяц назад

    Yan Ww mxhukulu Mungu kukuumba wakiume Ila Ungekuwa wakike Ucnge olewa Nahata Asaiv Nina Hofu inaezekana Co Mwenzetu Kwann huzungumzii Timu Yako Ya Wazee lazima uitaje Simba Huo Ndo Mwanzo Wakufeli Mbwa ww