🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 май 2024
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Комментарии • 20

  • @aliyachi-oz8vn
    @aliyachi-oz8vn 20 дней назад +1

    ❤hongera shujaa wetu na wabarikiwe wazazi waliokuzaa; mtu akijidai kuwa anayo dini alafu yupo ccm dini ya mtu huyo haifai wewe ni rafiki wa mungu lazima mafisadi wakuchukie

  • @user-tn5ym5gd6s
    @user-tn5ym5gd6s 20 дней назад

    Good 👍kamanda

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 24 дня назад

    Haya ya Zanzibar namuunga mkono. Kwakua inaonekana wachache wanawatawala wachache

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8x 11 дней назад

    Asnt lisu nakuombea upate urais ili hi nchi ifuate sheria

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 24 дня назад +1

    Tundu lisu kwa nbaguzi hatuta kuunga mkono hata siku moja.

  • @rahimzuberi2673
    @rahimzuberi2673 24 дня назад +1

    Hapa umdanganya mjinga tu lisu akipewa hii atakuwa dicteta zaidi ya magu

  • @remigiushaule3302
    @remigiushaule3302 20 дней назад

    Hizi hoja za lisu zijibiwe kwa usahihi na kwa sheria na kwa haki maana hata kamati zote pamoja na ya jaji Warioba na kwa maoni ya wananchi wengi pamoja na Mimi nilipendekeza kwenye tume hii kuwe na serkali tatu ni serkali ya Tanganyika na serkali ya zanzbar na pawepo na serkali ya Muungano au pawepo na serkali moja tu ya Muungano ya Tanzania na zanzbar iwe mikoa kama mikoa mingine hii itaondoa sintofahamu hii ya daima hii

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 15 дней назад

    Wataelewa ingawa kwa kuchelewa

  • @justicebridge
    @justicebridge 16 дней назад

    Huko sawa musomi

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 24 дня назад

    Hapa ni zaidi ya Shule. Change is inevitable.

  • @FredyMichael-ex3kv
    @FredyMichael-ex3kv 22 дня назад

    Msisaau kuwambia wajiunge na chama yetu nawakumbusha

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 24 дня назад

    Wale wanawake hata ninyi mnanufaika. Kwakua kuna wake wa viongozi ndani ya Chadema. Nenda mahakamani kama wamevunja katiba

  • @ongezamaarifatz4241
    @ongezamaarifatz4241 24 дня назад

    ukweli unaumiza kivyovyote lazima tu utaitwa mbaguzi ila kiukweli umetupa historia ambayo inatufumbua macho kujua tulikotoka

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 24 дня назад

    Lisu anafaa awe MWANAHARAKATI SIO CHEO CHA PREZO SABABU HAJUI MAMBO INGINE NI NATIONAL INTEREST YEYE NI KUSUBIRI MATUKIO TU

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 24 дня назад +1

    Laaah! Balaa, hata nami nilikuwa haya mambo siyajui kwa undani. Kanifungua macho zaidi. Ila kwa kweli jamaa ni msomi na anaongea kwa ushahidi na takwimu. Na ninadhani waliojitokeza hadharani eti kumpinga, kundi la: Nape, Makala, Kinana, Halima Mdee, nk. hawana elimu au ufahamu wa kutosha kuweza kupangua hoja hizi isipokuwa kwa misingi ya uchawa watapinga!

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 24 дня назад

    Ccm hawawez kusema hayaa, now nimeanza kukuelewa juu ya hili jambo. Embu endelea kama unakuja kuchukua kura yangu 2025 hivi.

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 24 дня назад

    Chadema is on sale

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n 24 дня назад

    Lisu akili mwingi ✌️✌️

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 24 дня назад

    Kwenye biashara na wawekezaji hata ninyi mkiingia madarakani mtawanyanganya watu. Mtatoza tozo. Mbowe amekua kiongozi wa Chadema kwa miaka mingapi. Kwahio nyote mnanunuliwa hadi mnaonekana mko kwenye kuuzwa?

  • @justicebridge
    @justicebridge 16 дней назад

    Wajinga na walionywesha benders ya je.be na nyundo awakuelewi.tunataka tanganyika yetu