🔴
HTML-код
- Опубликовано: 7 май 2024
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
❤hongera shujaa wetu na wabarikiwe wazazi waliokuzaa; mtu akijidai kuwa anayo dini alafu yupo ccm dini ya mtu huyo haifai wewe ni rafiki wa mungu lazima mafisadi wakuchukie
Good 👍kamanda
Haya ya Zanzibar namuunga mkono. Kwakua inaonekana wachache wanawatawala wachache
Asnt lisu nakuombea upate urais ili hi nchi ifuate sheria
Tundu lisu kwa nbaguzi hatuta kuunga mkono hata siku moja.
Hapa umdanganya mjinga tu lisu akipewa hii atakuwa dicteta zaidi ya magu
Hizi hoja za lisu zijibiwe kwa usahihi na kwa sheria na kwa haki maana hata kamati zote pamoja na ya jaji Warioba na kwa maoni ya wananchi wengi pamoja na Mimi nilipendekeza kwenye tume hii kuwe na serkali tatu ni serkali ya Tanganyika na serkali ya zanzbar na pawepo na serkali ya Muungano au pawepo na serkali moja tu ya Muungano ya Tanzania na zanzbar iwe mikoa kama mikoa mingine hii itaondoa sintofahamu hii ya daima hii
Wataelewa ingawa kwa kuchelewa
Huko sawa musomi
Hapa ni zaidi ya Shule. Change is inevitable.
Msisaau kuwambia wajiunge na chama yetu nawakumbusha
Wale wanawake hata ninyi mnanufaika. Kwakua kuna wake wa viongozi ndani ya Chadema. Nenda mahakamani kama wamevunja katiba
ukweli unaumiza kivyovyote lazima tu utaitwa mbaguzi ila kiukweli umetupa historia ambayo inatufumbua macho kujua tulikotoka
Lisu anafaa awe MWANAHARAKATI SIO CHEO CHA PREZO SABABU HAJUI MAMBO INGINE NI NATIONAL INTEREST YEYE NI KUSUBIRI MATUKIO TU
Laaah! Balaa, hata nami nilikuwa haya mambo siyajui kwa undani. Kanifungua macho zaidi. Ila kwa kweli jamaa ni msomi na anaongea kwa ushahidi na takwimu. Na ninadhani waliojitokeza hadharani eti kumpinga, kundi la: Nape, Makala, Kinana, Halima Mdee, nk. hawana elimu au ufahamu wa kutosha kuweza kupangua hoja hizi isipokuwa kwa misingi ya uchawa watapinga!
Ccm hawawez kusema hayaa, now nimeanza kukuelewa juu ya hili jambo. Embu endelea kama unakuja kuchukua kura yangu 2025 hivi.
Chadema is on sale
Lisu akili mwingi ✌️✌️
Kwenye biashara na wawekezaji hata ninyi mkiingia madarakani mtawanyanganya watu. Mtatoza tozo. Mbowe amekua kiongozi wa Chadema kwa miaka mingapi. Kwahio nyote mnanunuliwa hadi mnaonekana mko kwenye kuuzwa?
Wajinga na walionywesha benders ya je.be na nyundo awakuelewi.tunataka tanganyika yetu