AMEN! Nakiri mtazamo wangu umebadilika, mtazamo wa watu huu ya wanavyoniona umebadiluka, vya kwangu vilivyokufa vimehuishwa kwa upya, na nitafanyika kuwa bora zaidi, na napokea kuheshimishwa kwa ukubwa sana kwenye eneo la uchumi kuliko ambavyo nimewahi kuheshimishwa.
🙏AMEN🌟THANK YOU LORD JESUS🌟GLORY BE TO GOD🌟AMEN🙏
Asante MUNGU kwa kubadilisha mtazamo wangu na wale uliowakusudia nipate nafasi kwenye mioyo yao. ❤️💯✅🙏🪑🎉👏
Asantee Yesu kwa kuondoa Hofu ndani yangu kwa jina la Yesu ameeeeeen 🙏
Asante Yesu nakiri mtazamo wangu kubadilika katika jina la Yesu
Mtazamo wangu umebadilika kwajina la Yesu kuazia sikuuu ya leo. ❤
Mtazamo wangu umebadirika AMINA
Amen 🙏 Thank you JESUS 🙏
Ameen 🙏🏽
Mtazamo wangu umebadilika kwajina la Yesu 🙏
🙏 Amen
Vyangu vilivyokufa vinahuishwa kwa jina la YESU
Amen
Ameen mtazamo wangu imebadilika kuanzia sasa na mtazamo wa watu juu yangu imebadilika kwa jina la Yesu
AMEN! Nakiri mtazamo wangu umebadilika, mtazamo wa watu huu ya wanavyoniona umebadiluka, vya kwangu vilivyokufa vimehuishwa kwa upya, na nitafanyika kuwa bora zaidi, na napokea kuheshimishwa kwa ukubwa sana kwenye eneo la uchumi kuliko ambavyo nimewahi kuheshimishwa.
Vyangu vilivyokufa vinahuishwa kwa upya vilivyoteketezwa vinarejeshwa kwa jina la YESU
Amen amen 🙏
Ameeen
Ameen mtazamo wangu imebadilika kuanzia sasa na mtazamo wa watu juu yangu imebadilika kwa jina la Yesu