VITUKO VYA RAYVANNY AMTUNZA DIAMOND ELFU 5/AUNTY/MBOSO/WOLPER/MANARA WAFANYA KUFURU YA PESA

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 821

  • @lightnessseifu5983
    @lightnessseifu5983 4 года назад +37

    Anaemkubali RAYVANY Kama mimi jomon aweke like hapa

  • @saidamsangi8573
    @saidamsangi8573 4 года назад +386

    Jamani rayvany anavituko hatari anae mpenda rayvany kma mm like hapa plzi

  • @faithcherono6003
    @faithcherono6003 4 года назад +31

    I love rayvanny with my everything😘😘😘😘😘

    • @musaenoch2277
      @musaenoch2277 2 года назад

      I realize I am pretty randomly asking but do anybody know a good place to stream newly released movies online ?

    • @priscillakageha1689
      @priscillakageha1689 2 года назад

      Thus fantastic

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai6805 4 года назад +41

    Mimi ni me enjoy mziki mkali uliotengezwa na s2kizy kiukweli umefanya kazi nyingi na Kali sana Kama unamkubali s2kizy zombie like hapa

  • @saciidloveloveofficial8721
    @saciidloveloveofficial8721 4 года назад +8

    Diamond beg man love you Tanzania like plz from somali🇸🇴👈

  • @lovenessrichard1473
    @lovenessrichard1473 4 года назад +223

    Ambao wana mashida kama yangu wanataman hizo hela tujuane hapa😂😂😂😂😂

  • @jumaveraofficial9136
    @jumaveraofficial9136 2 года назад +1

    Kaka sana nakupenda mondi kweli ndio baba lao wasafi chama lao NAMI napenda sana kuimba tupambane mpak kufika wcb msaada wako mm Jr music kutoka kigoma kasulu Mungu akubaliki

  • @stellastela696
    @stellastela696 4 года назад +30

    Ray vany et uyu mtoto wangap shika kwanza elf 5

  • @thomasmutero1911
    @thomasmutero1911 4 года назад +21

    Mbosso mkali wao..254

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 4 года назад +50

    Manara kanikosha Kama umemuangalia Manara zaidi ya mara moja naomba like

  • @respiciuserick7486
    @respiciuserick7486 4 года назад +19

    Jamn pesa nnavyoteseka kupata jero ya bando halaf huku zinamwangwa hiv mungu tujarie na ss

  • @koromaabdulai9766
    @koromaabdulai9766 4 года назад +20

    Tanzania is my dream country, I wish to visit one day, l love the culture and the people, but I don't understand the language

    • @koromaabdulai9766
      @koromaabdulai9766 4 года назад +1

      @@mercyselinah3252 OK no problem with that

    • @ahmedyally3088
      @ahmedyally3088 3 года назад

      Kiswahili good language

    • @Muganyizi
      @Muganyizi 2 года назад

      Oooh! We speak venacular language as our national language. Don bother welcome

    • @catherinelandas1938
      @catherinelandas1938 2 года назад +1

      I will teach you

  • @giftysamwely4398
    @giftysamwely4398 4 года назад +10

    Namkbal San vany mnaish poa xan na mond yan kam vil sio boss wak nawakbl san

  • @miriamotundo3496
    @miriamotundo3496 4 года назад +12

    Vanny boy got mad swagg

  • @salimkhamis3638
    @salimkhamis3638 4 года назад +152

    Watu wanafanya kufru ya pesa wakati sisi tuna njaa nazo!

    • @Seif1559
      @Seif1559 4 года назад +3

      Pia wwe tafta rafiki ambae ataweza kukupa ivyo au zisake. Sio kulalamika

    • @jamilajunior5651
      @jamilajunior5651 4 года назад +2

      Kwakeli

    • @josephbalayata4506
      @josephbalayata4506 4 года назад +1

      Pambana na Ali yako

    • @lamekisimoni2809
      @lamekisimoni2809 4 года назад +6

      Kwakweli usiseme tunakufa na njaa sema nakufa njaa

    • @fadebashilu5628
      @fadebashilu5628 4 года назад +5

      Unakufa na njaa wakati una ela ya kueka MB acha kutuektia

  • @brendaulomi6482
    @brendaulomi6482 4 года назад +23

    Tusioo na pesa tunaona kama watunzajii wanachezeaa hela🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @aminajuma1435
    @aminajuma1435 4 года назад +19

    Kwahiyo aunt zilepesa ulizotunzwa kwenye birthday ndiounazirudisha au !!!!! … yaani huu mchezo wao wapesa hadi nashindwa kushangaa.

  • @sharifajanqabari4731
    @sharifajanqabari4731 4 года назад +11

    Wewe umeniflaisha queen nimejikuta nasema tuu wewe😂😂😂😍😍😍😍

  • @annielboffi4625
    @annielboffi4625 4 года назад +2

    Congrats platnum ila daaah rayvanny umetxha bana ndoman nakupendag😘😘

  • @rachaelkiarie3451
    @rachaelkiarie3451 4 года назад +4

    Nampenda Rayvanny

  • @hadijaally5961
    @hadijaally5961 4 года назад +6

    Gonga like kama umeona rayvanny katunza elf40

  • @eliudeliabu8378
    @eliudeliabu8378 4 года назад +13

    Uyumpumbavu kama kongea ujinga lakin kaongea point

  • @asmaally8353
    @asmaally8353 4 года назад +98

    Ukiwa huna hela,ukiona wenzio wakitunzana hivyo unaona kma wanachezea tu

  • @mamugonas607
    @mamugonas607 4 года назад +15

    Rayvany huishi vi2ko aisee

  • @annastaziamashimi4236
    @annastaziamashimi4236 4 года назад +12

    Manara wewe mungu anakuona

  • @momscute4550
    @momscute4550 4 года назад +5

    Vanny yo a comedian 4 sure

  • @swalehissa675
    @swalehissa675 4 года назад +9

    Jmn jmn rait kwamb wangeungan na hiz hela wanazotoa duh watot yatima wasinge pat tabu na kuzunguk mitaan

    • @monifrank347
      @monifrank347 4 года назад +1

      Tabu azitaisha mzee usikalili

    • @ifahbae4782
      @ifahbae4782 4 года назад +1

      Jmn wapeni nafac wavute pumzi misaada yote io wanayotoa km wnyw watakua hawaztumii izo pesa itakua co poa kbxaaa

  • @zaibonge7867
    @zaibonge7867 4 года назад +50

    Pangenoga zaidi hapo wangekuwepo watoto wamitaani wenye shida ma mayatima wangepata chakula kwa pamoja ❤pangezidi kupendeza sanaaa.... 😭

    • @mohammedabdallah6390
      @mohammedabdallah6390 4 года назад +1

      Point

    • @zaibonge7867
      @zaibonge7867 4 года назад +1

      @@mohammedabdallah6390 shughuli kubwa ma nzuri pia Ila wangefanya hivyo wallah ingezidi kupanda thamani maana 40 ya kiislam haifanyikagi hivi. Ila haya kila mtu na makuaji take aliyolelewa

    • @Ndiminijunior
      @Ndiminijunior 4 года назад +1

      Ni kweli na hajala na yatima Mara moja mbona

    • @aidanhamza4656
      @aidanhamza4656 4 года назад +3

      Hata wangekuwepo hao ulio sema angetokezea mwingine angesema kile??kwa hiyo hiyo huwez fanya kitu ukalidhisha wote

    • @zaibonge7867
      @zaibonge7867 4 года назад

      @@aidanhamza4656 hatujaongelea kuwa furahisha watu hapa koment tu unachojisikia... Na kuhusu kulidhisha binaadamu hilo linajulikana Kama haliwezekani so tuliza mshono 😙

  • @miriammuthoka8721
    @miriammuthoka8721 4 года назад +13

    Furaha tu👏👏👏👏👏👏👏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @denisleon3920
    @denisleon3920 4 года назад +12

    Ongera sana simbaaaaaah😜

  • @josephlotto996
    @josephlotto996 4 года назад +7

    Mbao walet zao hazisomi alafu wanayaona mahela ayo tujuane

  • @rukiarashid3772
    @rukiarashid3772 4 года назад +18

    Kwan elfu tano sio hela?

  • @mkwabaconscious1216
    @mkwabaconscious1216 4 года назад +18

    Nani kasikia MC anaimba UNO

  • @partnersah8802
    @partnersah8802 4 года назад +6

    Kwa hali hii. Ukipokea mualiko unaweza kukataa aseee

  • @FREENETNAME
    @FREENETNAME 4 года назад +8

    Upuuzi gani huu m’ngu awaongoze in Shaa Allah

  • @sniperislam4547
    @sniperislam4547 4 года назад +48

    Hyu aunt mh kama anatengeneza hela yy

  • @sharoneric8017
    @sharoneric8017 4 года назад +12

    Kwa kweli Ray cartoon asiyempenda ana tabu

  • @jacklinesamwel2457
    @jacklinesamwel2457 4 года назад +10

    Jaman me naombeni elf kumi mnitumie M-pessa jamaan

    • @mrsjj8804
      @mrsjj8804 3 года назад

      Ahaahahahahaayyyu

  • @Noah-se3ni
    @Noah-se3ni 4 года назад +35

    Rayvanny you are very funny🤣😂😂🤣

  • @sweetmelody9927
    @sweetmelody9927 4 года назад +14

    Vanny wafanyaje mondi😂😂😂

  • @ashuramatata595
    @ashuramatata595 4 года назад +36

    Kwakwl sherehe ilinoga hongera xna plutnum

  • @ritamrembo3351
    @ritamrembo3351 4 года назад +4

    Hizi pesa mnazirudia badae ama ni kweli ninacho kiona wajameni!!!!!

  • @beethkapiesh3457
    @beethkapiesh3457 4 года назад +34

    Aunty Ezekiel ana makasiriko😂😂

  • @ashuramatata595
    @ashuramatata595 4 года назад +48

    Waooh mbosso ww una mbwembwe 😂😂😂

  • @Smart_package
    @Smart_package 4 года назад +6

    Manara ana mbwembwe

  • @fidelislumetta3865
    @fidelislumetta3865 4 года назад +10

    Mhh qwli mwenye nacho anaongezew🤣

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 4 года назад +22

    Dida weweee🤣🤣🤣🤣nmekupenda mama

  • @giddynyab4776
    @giddynyab4776 4 года назад +3

    from kenya mbosso your are funny

  • @djkibu_official1559
    @djkibu_official1559 4 года назад +5

    Unooo Siungemalizia Ahhhhhhhhhh Unooo Kimyaaa

  • @abdulykalimu8112
    @abdulykalimu8112 4 года назад +2

    Wakopw sana vanyboynamond

  • @djjum3622
    @djjum3622 4 года назад +1

    Aunty Ezekiel jameni katoa hela😎😎😎😋😋😋

  • @peninasafi1664
    @peninasafi1664 4 года назад +11

    Congratulations

  • @teenstalkwithclassicventur2545
    @teenstalkwithclassicventur2545 4 года назад +3

    Mbosso muhindi anakuja na maua dah kijana wa mapenzi

  • @tatukachingwe2290
    @tatukachingwe2290 4 года назад +49

    Kwanielaaaaaa izi ninazotafuta mm au 🤔🤔🤔🤔au vipeperushi

  • @sarahhamisi2070
    @sarahhamisi2070 4 года назад +22

    mke wa iyobo/ umetisha

    • @swahibamussa2347
      @swahibamussa2347 4 года назад

      Mke wa iyobo kaziludisha maan kwenye happy birthday yake alipewa era nyingi na mondi

  • @hancykigoda7981
    @hancykigoda7981 4 года назад

    Nakubali sana Team wasafi
    VannyBoy show sana

  • @ramamanyama2944
    @ramamanyama2944 4 года назад +3

    Angekuwa Hana Hela Asingetunzwa Hzo Hela Zote Apo Kwel jala inaenda kwnye jala gonga like kama unakubaliana nami

  • @thamiyuucute7098
    @thamiyuucute7098 4 года назад +15

    Tunoumia sie tunoamka alfajiri oman 😂😂😂kutafut hizop

    • @lilym704
      @lilym704 4 года назад +2

      Shukuru mungu wewe una amka asubuhi una pata Riziki wako kuna wangine wa natamani hiyo fasi omani nahawapati mjinga

    • @thamiyuucute7098
      @thamiyuucute7098 4 года назад

      @@lilym704 mjinga mwenyewe paka weeee....mfuyuuuu..kenge
      ..

    • @lilym704
      @lilym704 4 года назад

      Asante kwa kutukana ndo mtu mjinga ukiambiwa ukweli una jibu kwa ufidhuli huto endeleya utakuwa ivo ivo ulivo 👹

    • @thamiyuucute7098
      @thamiyuucute7098 4 года назад

      @@lilym704 kama Riziki atowa babaako basi nitakuwa hivi...nanilivonavo atavichukuwa..ila kma sio basi umefeli fala weee....unanitaje mjinga wakati just maongezi tuu...au ndoujulikane unajuwa sana..kwenda zakooo

  • @avianboy592
    @avianboy592 2 года назад

    Kazi Safi bro ila vanny boy your my role model namini ipo siku yangu

  • @africanews7302
    @africanews7302 3 года назад +2

    11:54 Dida alitaka kuimba uno ya Harmonize!
    Jamani😂😂😂

  • @marcelinammasa3114
    @marcelinammasa3114 4 года назад +7

    Ray weeeeh😂😂

  • @dicksoniomondi2119
    @dicksoniomondi2119 4 года назад +2

    Naomba kuuliza iv kiungo cha manara sio dili

  • @harunasaidmussa1543
    @harunasaidmussa1543 4 года назад +13

    Yani apo ukiendekeza sifa sifa usiku hauli pesa unaacha mond

  • @boniphacebelius1544
    @boniphacebelius1544 4 года назад +5

    Naombeni like

  • @almasmaige3981
    @almasmaige3981 4 года назад +16

    Mwenye nacho atazidi kuongezewa asienacho hivho hicho kidgo kinachukuliwaaa

  • @nduwimanavovobi8433
    @nduwimanavovobi8433 4 года назад +6

    Wasafi munajuwa kunipa raha jamaniiiii nawapenda sana 😂😂😂😂😂😂😗😗😘😘😘

  • @chirrakibona4962
    @chirrakibona4962 4 года назад +4

    Me anenifukaisha rayvanny tu nimecheka 😁😁😁kweliii

  • @mariamjereman2674
    @mariamjereman2674 4 года назад +3

    nakupenda bure vany boy

  • @kelemeswanga9874
    @kelemeswanga9874 4 года назад +5

    Manara oyeee

  • @mwanyosodaniel16
    @mwanyosodaniel16 4 года назад +67

    Jmn hzo hela mnazichimba wp n mm nije maan x kwa shida hzi nlizonazo

  • @raxhidymono9258
    @raxhidymono9258 4 года назад +2

    Watu napesa zao mjini

  • @thomasedward9582
    @thomasedward9582 4 года назад +1

    Good rayvan namkbl kwa ucheshi

  • @sweetmelody9927
    @sweetmelody9927 4 года назад +2

    Mbosso 😂😂😂😂ako wapi yule dada yetu Alie kuja kukutafuta huko

  • @mubofuthegreat4955
    @mubofuthegreat4955 4 года назад +6

    Nani kashtukia kuwa mc amesema unoo af akajishtukia😁😂😂😂akazuga uno jamani 11:54

  • @halimahamid9081
    @halimahamid9081 4 года назад +4

    😂Ila manara anajikuta kijana

  • @emmypc8362
    @emmypc8362 4 года назад +2

    Hii ndo Tz ye2 wenye nazo wanaongezewa tusonazo tunanyan'anywa kabisa daaah mungu tuone nasi

  • @mokotvonline6456
    @mokotvonline6456 4 года назад +18

    Jaman kwan like zinauzwa duka gan

  • @mamatee4424
    @mamatee4424 4 года назад +1

    Hajj manara anaomba mate,,Duh watu na hela zao

  • @youngj.d559
    @youngj.d559 4 года назад +6

    Hii party kanoga kweli

  • @careenmshana1028
    @careenmshana1028 4 года назад +2

    Wasaf for life

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 4 года назад +6

    Wema sija muona jamani 🙈😅

  • @nabyabraham335
    @nabyabraham335 4 года назад +2

    Hela unachagua pakwendaa😢😢

  • @berthajacob5810
    @berthajacob5810 3 года назад

    Jamani Mimi kupata elfu kumi shida buku tu Kaz dah

  • @princesedgr9068
    @princesedgr9068 4 года назад +6

    Mmmmh jamn kwan nni hiki mbn m sielew

  • @berylmilando4570
    @berylmilando4570 4 года назад +3

    Mtu ywatoa prado watu waimba hela😱

  • @switbird24love57
    @switbird24love57 4 года назад +18

    The party was Lit🙌😘

  • @tikoshonde2638
    @tikoshonde2638 4 года назад +26

    Rayvan kavulugwa

  • @heltonochieng2440
    @heltonochieng2440 4 года назад +13

    Diamond jiite diamond waschana Na simba ujui meaning yake

    • @teenstalkwithclassicventur2545
      @teenstalkwithclassicventur2545 4 года назад +1

      Wivu ni ya nny

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 4 года назад +1

      Helton wew kama huna lakusema kaa kimya hivi wew ndo mwenye hakili kuliko wote walofunga midomo??

    • @heltonochieng2440
      @heltonochieng2440 4 года назад

      @@officialmrtop1018 bana tusifikishane Kumbe pia wewe mpotevu? Simba ni mola bana ushenzi Wacha basi nmekuacha muabudu huyo diamond wako

    • @heltonochieng2440
      @heltonochieng2440 4 года назад

      @@teenstalkwithclassicventur2545 Sina wivu Kwani wewe au Yeye ndo huwa ananilisha potelea kaka

    • @teenstalkwithclassicventur2545
      @teenstalkwithclassicventur2545 4 года назад +1

      @@heltonochieng2440 bro kwani kuna shida diamond akijiita simba?

  • @kasomamama4774
    @kasomamama4774 4 года назад +1

    Duuuh mim nawaza debe la unga kweli mungu mkubwa

  • @aishaabdallah6232
    @aishaabdallah6232 3 года назад +1

    Manaraaa💪💪💪❤️

  • @masoudgaee8922
    @masoudgaee8922 4 года назад +4

    U nalipa zile

  • @MingoTrivia1
    @MingoTrivia1 4 года назад +4

    it's so funny at all

  • @aronmihayo1602
    @aronmihayo1602 4 года назад

    Rayvan

  • @kelemeswanga9874
    @kelemeswanga9874 4 года назад +2

    Manara big

  • @villykavindi105
    @villykavindi105 4 года назад +3

    Hiyo ndo WCB family

  • @ifahbae4782
    @ifahbae4782 4 года назад +1

    Ivo watu wanvyotoa mnn km izo wameziokota wakat wamezfanyia kaz nd wakazpt acheni mamb y kishamba ayo

  • @marckgft9764
    @marckgft9764 4 года назад +1

    Watu wanna hela jmn usisem hatun hel sema sina helaaa ee MUNGU wee nni hiki jmn ntmn ht nipish mkon tu maan sio kwa majukum hya

  • @mariamjereman2674
    @mariamjereman2674 4 года назад +3

    point ya mbosso iko wapy jamani

  • @wizzyfernando8655
    @wizzyfernando8655 4 года назад +4

    Wasenge nyie kwa sifa ty marhaba

  • @zaxonthebest9585
    @zaxonthebest9585 4 года назад

    Nimemkubali sana vany boooy