Sheikh Abuu ldi amefanya kazi Mwenyeezi Mngu amrehemu amueke pema ajabu wanaosema alikipinga sunnah huo ni ujinga sababu ameshuhudiwa kwa swala na funga za sunnah na sunnah za swadaka kutembelea wagonjwa salamu ilikua kazi yake aliunga kizazi sasa sijui utamuita vipi sio wa sunnah wacheni ujiga.
Yesu ni mtu kama mm na wewe...unawexa kutujibu YESU KAUMBWA AU KAJIUMBA MWENYWE......VIP MARYAM MAMAKE YESU...ALIUMBWA NA NAN?????UKIJIBU HAYO KWENY BIBILIA UKRISTO NI DINI
Kumwamini yesu kivp yeye mwenyewe hawez mpka awezeshwe na m/mungu yohana 5:30,siku ya mwisho haijui soma mathayo 24:36 sasa utasemaj ni mungu na siku ya hukumu haijui shitukeni Muslim muwe waislm ndomutaupata uzima wa milele
Hizi juhudi angekua anaziweka kuwapinga MASHIA wanaowatukana maswahaba na ahlul sunnah kwa ujumla lakini cha ajabu amewatetea sana na kuwaona hao ndo wapo katika haki na hawa wanaolingania katika tawhiyd na sunnah ni wabaya aisee Allahu Mustaan...Allah Amsameh Makosa Yake
Shia hawawatukani MASAHABA ndugu. Kuwa na akili huru, usiburuzwe. Shia ni watu wa Maulid, Shia ni Watu wa Talaqin, Shia ni Watu wa Tawassul, Shia ni Watu wa Khitima... Shia na Sunni wametofautiana kwenye UKHALIFA tu. Baada ya kufariki Mtume baadhi ya MASAHABA wakaenda kwa Ali, na wengine wakaenda kwa Abu Bakar. SHIA NA SUNNI WOTE WANAWAFUATA SAHABA. Bahati nzuri Shia wanayo Dua ndefu sana ya kuwatukuza na kuwarehemu sahaba wa MTUKUFU Mtume kwa juhudi zao za kutufikishia Uislamu... Dua hii upande wa Sunni hakuna.
@HusenFarahan huoni hata sunna ya kufuga ndevu imemshinda....amefuga sharubu ka za paka khurafi huyu.....Acha ngonjera zako wewe ....acheni kuwadanga watu.....HUYU MPIGA MAULIDI TUU ATATUAMBIA NN
Sheikh Abuu ldi amefanya kazi Mwenyeezi Mngu amrehemu amueke pema ajabu wanaosema alikipinga sunnah huo ni ujinga sababu ameshuhudiwa kwa swala na funga za sunnah na sunnah za swadaka kutembelea wagonjwa salamu ilikua kazi yake aliunga kizazi sasa sijui utamuita vipi sio wa sunnah wacheni ujiga.
MASHAA ALLAH KHEIRAT ALLAH amjalie Janna
Allah akusameh na akurehem Sheikh.... amin
اللهم اغفر له وارحمه وعافه واعف عنه وتقبل حسناته
اللهم اغفر له وارحمه وأسكنه في الجنة
Allah akujalie kauli thabiit
اللهم اغفر ذنوبه فإنه لم يكن عالما بأحكامك الشرعية المتوفرة في كتابك وسنة نبيك محمد صلى الله غليه وسلم
We ndo unajua Hukmu za ALLAH za kisheria au?
@@fahmiiidrisa5110 اللهم اغفر عبدك وابن عبدك فإنه لم يكن ملما بالمعلومات الدينية خاصة في أحكامك الشرعية
MWAMINI MWAMBA WA UZIMA WA MILELE MPATE ONDOLEO LA DHAMBI. YESU NI NJIA SAHIHI. ENDELEENI KUFARIJIANA KWENYE UDANGANYIFU.
Kwanza ujue kuoga majosho ya kawaida na ya waajib,ujue kustanch choo chako kikubwa na choo chako kidogo,kisha ndo uje hapa tukufunze ustaarab.
Yesu ni mtu kama mm na wewe...unawexa kutujibu YESU KAUMBWA AU KAJIUMBA MWENYWE......VIP MARYAM MAMAKE YESU...ALIUMBWA NA NAN?????UKIJIBU HAYO KWENY BIBILIA UKRISTO NI DINI
Kumwamini yesu kivp yeye mwenyewe hawez mpka awezeshwe na m/mungu yohana 5:30,siku ya mwisho haijui soma mathayo 24:36 sasa utasemaj ni mungu na siku ya hukumu haijui shitukeni Muslim muwe waislm ndomutaupata uzima wa milele
Kwani Hirizi yafaa kuvaliwa
Sema sheikh amejitahid sana kupambna na sunna amsamehe.
Suna gani muliokuwa nayo maibilisi wakubwa nyinyi
@@selemohd9060Allah akusamehe
Si bora yasisi nyie ni maqaafir kabisa mlioundwa na mayahudi dini mpya@@selemohd9060
We ndo mbwa kabixaa mawahabi ni kirus
@AlhajiMswaki-de3kb Alhamdulillah,Allah aniongoze mimi pa1 nawewe katika njia ya sawasawa.
Hizi juhudi angekua anaziweka kuwapinga MASHIA wanaowatukana maswahaba na ahlul sunnah kwa ujumla lakini cha ajabu amewatetea sana na kuwaona hao ndo wapo katika haki na hawa wanaolingania katika tawhiyd na sunnah ni wabaya aisee Allahu Mustaan...Allah Amsameh Makosa Yake
Sawa muislamu uliyesilimu upya
Weka wewe juhudi izo
Shida nawewe nikatka waliosilimu
Kuna tofauti ya uislam/tabia za warabu na watu wa pwani 😂😂😂
Alhamdulillah sunna inasonga mbele na masufy wanazidi kuona nuru ya sunnah
We sheikh wewe..
Allah akuswamehe makosa yako!
Unasemaje wewe ?!
Ametoa jitihada kubwa sna kuwapiga vita ahlu sunna na kutetea upotofu😢
Mola amsameh mapungufu yake Amrehemu amlaze pema pamoja na wema
Kila aliyemkataa mwana wa adamu sehemu yake ni kuzimu hakika.
Kha 😢 kwaiyo MASUFI mnavaaga hirizi?? Nilikuwa sijui kabla.......mnapost Makusudi ili tujibu mje mseme mawahabi wanatukana marehemu!!
Mawahabi fitnah si tu kwa Waislam bali kwa Ulimwengu mzima.
KWELI KABISA HAWA MASALAFI HUONA KM HUJAWA SALAFI BASI BADO WEWE HUKO KATIKA HAKKI
Hakuna ktk uisilam maulid
Shia hawawatukani MASAHABA ndugu. Kuwa na akili huru, usiburuzwe. Shia ni watu wa Maulid, Shia ni Watu wa Talaqin, Shia ni Watu wa Tawassul, Shia ni Watu wa Khitima... Shia na Sunni wametofautiana kwenye UKHALIFA tu. Baada ya kufariki Mtume baadhi ya MASAHABA wakaenda kwa Ali, na wengine wakaenda kwa Abu Bakar.
SHIA NA SUNNI WOTE WANAWAFUATA SAHABA.
Bahati nzuri Shia wanayo Dua ndefu sana ya kuwatukuza na kuwarehemu sahaba wa MTUKUFU Mtume kwa juhudi zao za kutufikishia Uislamu... Dua hii upande wa Sunni hakuna.
Khabithi ww maulid Yana asili?
Pembeni na lipicha hilo......ENYI MAKHURAFI HAMUONI MNAMUONHEXEA MADHAMBI HUYU SHEKHE WA KIKHURAFI
Wewe wahabi una shida gani
Kama yahakki haya ameshakutana nayo sisi hatujui
Leo uko mbele ya haki na hao wanaoweka clip wanakusaidia kukujazia mzigo wako vizuri tu
Mzigo wa BIDAAA....NA UZUSHI
Laanatu-llah alaikum antum wahhabiyu
@HusenFarahan huoni hata sunna ya kufuga ndevu imemshinda....amefuga sharubu ka za paka khurafi huyu.....Acha ngonjera zako wewe ....acheni kuwadanga watu.....HUYU MPIGA MAULIDI TUU ATATUAMBIA NN
Huyu shaikh hakua mtu wa sunna...KHURAFI huyu...kwann msipost AKIWA MAULIDINI AKIUFINYA MPUNGA?????ALIKUA MLINGANIZI WA BIDAAA
Sasa shekhe kama Kuna tatizo mtu asiseme wewe una chuki na watu wa sunna
كذاب