MC PILIPILI ASHINDWA KUJIZUIA AMLILIA MAMA YAKE 'BADO SINA UJASIRI WA KUMUITA MAREHEMU/MAMA AMKA'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024

Комментарии • 593

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 3 года назад +23

    Pole mc pilipili, kwa msiba ,mungu amuweke mama Pema penye waja wake wema 😭😭

    • @milkermbilinyi2896
      @milkermbilinyi2896 3 года назад

      Pole Sana kweli nimejisikia machozi yananitoka MUNGU awe faraja kwako ndugu yangu

    • @bethmsigwa6742
      @bethmsigwa6742 3 года назад

      Pole sana

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 3 года назад +7

    Mungu akutie nguvu. Hii njia haijawahi kuwa rahisi wala kuzoeleka. Mungu amlaze mahala pazuri.

  • @janekichonge4957
    @janekichonge4957 3 года назад +6

    Pole ni saana jamani imeniuma saana mpaka tumelia hapa ujeruman mungu ampumzishe kwa amani na nyinyi watoto mungu awatie nguvu katika kipindi hiki cha majonzi

  • @momobakari9588
    @momobakari9588 3 года назад +2

    Pumzika kwa amani mama, mungu akupe subra mc pili pili na familia yako katika kipindi hiki kigumu,pole sana pilipili

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 3 года назад +4

    Poleni sana wafiwa! Polen sana wanafamilia! Allah Awape subra katika kipind hiki kigumu kwenu. Tunamuomba Mola Awarehemu mama zetu wote huko walipo akhera_Amiin. Inauma sana ila kazi ya Mungu huwa haina makosa siku zote.

  • @christinanickison1363
    @christinanickison1363 3 года назад +1

    Hakika umenikumbusha siku mama yangu alipofariki ni kama vile wewe yaani sikuyaamin masikio yangu wala macho yangu. Hakika inauma sana. Pole sana kwa wafiwa wote.

  • @winfridapeter969
    @winfridapeter969 3 года назад +4

    Nimejikuta naungana nae kilio,nimemkumbuka MAMA yangu kipenzi😓😓😓,pumzikeni MAMA zetu na nuru ya bwana MUNGU itawale 🙏

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 3 года назад +4

    Innalillah wainnaillah rajiun allah amsamehe maovu yake amina yarabi pole kaka allah akupe nguvu ktk kipind hiki kigum kwako jmn nimekumbuka ck alonitoka mama yng ni maumiv kaka achen

    • @mariajohn123john5
      @mariajohn123john5 3 года назад

      Daaahh polen sana wafiwa nimejikuta nalia kwa kweli msiba usikie hivyo Kwa mwenzio

    • @angelgerald7562
      @angelgerald7562 3 года назад

      Pole sana

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 3 года назад

      @@angelgerald7562 ndio mwisho wa mwanadam ndg yng njia yetu wote japo wametangulia

  • @pancraskazimoto3028
    @pancraskazimoto3028 3 года назад +1

    Inaumiza mnoooo. Pole sanaa ndugu no one like Mama kwenye hii Dunia. Akapumzika Mahala pema peponi Mama.

  • @mariamsingo9910
    @mariamsingo9910 3 года назад +4

    Pole Kaka, maisha ya mwanadam yana Siri nzito sana hakuna aijuae kesho yake. Pole kwa familia yote kwa ujumla hakika umejua kuniliza

    • @jamilajamila4572
      @jamilajamila4572 3 года назад

      😭😭😭😭😭Jamani pole sana ms pilipili haki nimejiskia vby mno

  • @shakila3982
    @shakila3982 3 года назад +7

    Kumpoteza mama ni maumivu ambayo hayaishi kamwe, pole kakangu, Mwenyezi Mungu ameweke maali pema peponi

    • @shumbusho8579
      @shumbusho8579 3 года назад

      Kweli kabisa! Wa kwangu amekwenda miezi 3 iliyopita lakini kila siku ni msiba! Nani kama mama

    • @ummuqaasim5227
      @ummuqaasim5227 3 года назад

      Miezi ? Mie Nina miaka Ila bado

    • @wemapanga1547
      @wemapanga1547 3 года назад

      Dah jamani mama anauma kuliko kitu chochote, natamani nipige hata cm kumbe hayupo tena

  • @benjaminmushi2780
    @benjaminmushi2780 3 года назад +1

    Pole saana kakayetu kwa msiba mzito,Ila Ni Kama wazo tu ifike muda video Kama hizi zikae kwa muda was kipindi Fulani mtandaon na zifutwe maana kwa mtazamo wangu naona Kama zinakuwa zikii umiza watu kwa kukumbuka kumbukumbu mbaya kifo sikitu kizuri!!!

  • @AnnKk-sj8ij
    @AnnKk-sj8ij 3 года назад +11

    Mc PiliPili pole sana take heart .R.I.P. Mum.🇦🇪🇦🇪+254

  • @danfordjackline9426
    @danfordjackline9426 3 года назад +11

    Pole bro,mungu akakupe moyo wa ujasiri ktk kipindi hiki kigumu

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara5480 3 года назад +21

    Inauma kwa kweli, pole sana kaka!

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 3 года назад +28

    Poleni sana akiamungu nimeshindwa kuzuia machozi 😭😭😭😭😭🙆‍♂️

    • @frankdngoma1174
      @frankdngoma1174 3 года назад +1

      Daah pory ndugu yangu mc pilipili kazi yamungu hainaga makosa mungu airaze roho pema peponi amina

    • @pendondossy4181
      @pendondossy4181 3 года назад +1

      Pole mc

    • @pienicolaus2952
      @pienicolaus2952 3 года назад +1

      Hat mm nimeshindwa inauma sana

  • @dianamkita6571
    @dianamkita6571 3 года назад +13

    Pole sana MC Pilipili na familia,,,Jipeni moyo mkuu..Mungu atawashindia.

  • @victoriadaizy5277
    @victoriadaizy5277 3 года назад +10

    I can't imagine loosing my mom 😢😢😢😢 sorry MC pilipili . Receive Divine healing From our Lord Jesus Christ 🙏🏼

    • @afrigrowers
      @afrigrowers 3 года назад

      kwakweli its tooooo painful haki vile yaani ni kulia milele na wala sitaacha kulia mm 7 years bado naliaga tu kila nikikutwa na huzuni au furaha

  • @monicameela3796
    @monicameela3796 3 года назад +4

    Pole sana Mc 😭😭😭😭😭😭 Mwenyezi Mungu awakumbatie na kuwafariji

  • @numpemwansasu4492
    @numpemwansasu4492 3 года назад +23

    Pole sn, ngumu kuipokea lkn hatuna namna, mapenz yake yatimizwe

    • @khadijaabdallah4687
      @khadijaabdallah4687 3 года назад

      Amina

    • @uladaonline9630
      @uladaonline9630 3 года назад

      KAKA NA DADA WAFUNGA NDOA BILA KUJUANA
      👇👇👇
      ruclips.net/video/-jcQDn_0m-Y/видео.html

  • @marynyerere919
    @marynyerere919 3 года назад +4

    Pole sana mwanangu, Mungu akupe ujasiri. Ameondoka ni mapema lakini kumbuka Mungu ni Baba wa Yatima. Be strong.🙏🏾

  • @evaristmrope
    @evaristmrope 3 года назад +7

    Mwenyezi MUNGU awape nguvu wafiwa wote katika kipindi hiki kigumu 🙏

  • @Styner356
    @Styner356 3 года назад +16

    So sad!!! Pole sana kaka Mungu awatie nguvu jamani

    • @pilikhamis2924
      @pilikhamis2924 3 года назад

      Pole sana kaka yangu ina uma sana mungu amuondoshe azabu ya kabri innalilahiwanlarajinn

  • @minsharley3926
    @minsharley3926 3 года назад +6

    Daah,poleni sana,hadi nmeshindwa kujizuia kutoa machozi😭😭😭😭😭😭

  • @fautz9778
    @fautz9778 3 года назад +1

    Nimelia Mimi jmn huyu mama kaniuma sana hanijui simjui ila nilikuwa nikimpenda tu kupitia mc pili pili pole sana kaka mungu akupe amani ya moyo 😭😭😭😭😭💔💔💔💔

  • @annamashiri3921
    @annamashiri3921 3 года назад

    pole mc pilipli najuwa maumivu yakuondokewa na mzazi. umeni bugujisha machozi kwa maneno hayo. pole sana endelea kum ombea mama tutakutana kwamungu.

  • @priscamagambo5320
    @priscamagambo5320 3 года назад +15

    Isee pole sana mc pilipili,ningumu sana ,Mungu awape faraja familia yote daa!!!!

  • @vero57
    @vero57 3 года назад +10

    Poleni sana, mimi pia nimepoteza my family member,miezi 2 uliyo pita kwa ajali ya boda boda, RIP mama mc pili pili

  • @rosemarykuni6596
    @rosemarykuni6596 3 года назад +13

    Pole Sana brother, jina la bwana lihimidiwe milele.

    • @fromenahamisi8467
      @fromenahamisi8467 3 года назад

      pole sana mc pilipli kwa kuondokewa na mama yako kipenzi

  • @magejosia9026
    @magejosia9026 3 года назад +6

    Daaaah mungu akupe moyo wa uvumilivu inauma sio kidogo jmn pole saana mc

  • @credentialegidy5959
    @credentialegidy5959 3 года назад +7

    Daaa hadi machozi yamenitoka. 😢 pole sana.... Mbele yetu nyuma yake

    • @stellakigomba7648
      @stellakigomba7648 3 года назад

      Poleee ninalia mm pole sanaaa mama mama anaumaaa jamaniii

  • @pienicolaus2952
    @pienicolaus2952 3 года назад

    Nmeishia kulia tu ,Mungu pekee maan hii huwa ni tofauti kabsa,Mungu awatie nguvu

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 3 года назад +1

    😭😭😭daaa jamani pole sana mc pilipili Mungu akufute machozi yako unayomlilia mama yako mpendwa Mungu wa mbinguni aendelee kukutia nguvu ktk kipindi hiki kigumu ulichonacho.R.I.P mama mbele yako nyuma yako pumzika kwa amani.

  • @beatricemapembe2595
    @beatricemapembe2595 3 года назад +4

    Dah! Poleni sana wapendwa. Mungu awape faraja ya kweli

  • @elishangomele9937
    @elishangomele9937 3 года назад

    Bwana alitoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe, pole sana mc pilipili maumivu ya msiba hayajawahi kuwa mepesi mungu amutie nguvu MC pilipili na family yake

  • @margareosoro1875
    @margareosoro1875 3 года назад +11

    Pole sana ndugu May God give you strength and comfort

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 3 года назад +3

    Mwendo wameumaliza salama ,,,sisi je Ee mwenyezi mungu tupo mwisho mwema,,poleni sana wafiwa ,,ni ngumu sana kuamini ila Kazi yake haina makosa

  • @chantalnizigama5012
    @chantalnizigama5012 3 года назад +3

    😭😭😭😭poleni sana.lnauma saana hata mama yangu alifariki ghafula tarehe 19/12/18. Naelewa maumivu yenu. Pole 😪😔😔😭😭😭🙏

  • @evainnocent9520
    @evainnocent9520 3 года назад +8

    Da! Hii kitu uisikie Kwa wengine jamn. Uwiiii nimaimivu mnoooo

    • @happynessmolla1781
      @happynessmolla1781 3 года назад +1

      Acha kabisa nililiaga mno😭😭😭

    • @evainnocent9520
      @evainnocent9520 3 года назад +1

      Ni Mungu tu nikumkumbusha Wema wake Mungu wakat wamagumu

  • @sharifabdul6085
    @sharifabdul6085 3 года назад

    Pole sana bro,mama anabeba nafasi kubwa ktk maisha ya mtoto,mama ni mtu pekee anaeweza kukupokea wakati jamii imekuchoka,mama ndio mtu pekee anaethamini na kujali maumivu na mazuri yako,mama ndie mtu alieweza kutunza ukuaji wako wakati ukiwa mwilini mwake hadi unapata umri wa kuacha ziwa lake na wakati mwengine hadi unapoweza kujitegemea au maisha yako yote

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 3 года назад

    Brother pole sana ,umenifanya nilie.Mungu akutie nguvu,ninajua thamani ya Mama, uli mtesa kwa kila namna ukiwa mdogo, lakini hakukuchoka una kila sababu ya kulia brother, pole, pole,poleeeeeee.

  • @namsifumihungo86
    @namsifumihungo86 3 года назад +5

    Pole Kaka,lkn Mungu ni mwema uliandaa safar ya mama kwa Mapenzi ya Mungu..Jipe moyo kaka,Mungu amekupa nafasi na mama yetu

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 3 года назад +4

    Pole sana mc pili pili namuomba mwenyezi mungu amlaze mahala pema

  • @asteriajohn4755
    @asteriajohn4755 3 года назад

    Daaaaah...pole sana mc pilipili Mungu akutie nguvu ktk kipind hiki kigumu.

  • @ziadasalim1459
    @ziadasalim1459 3 года назад

    Dah pole Sana Kaka kazi ya Mungu haina makosa jikaze inauma jamani

  • @crepinakatundu1831
    @crepinakatundu1831 3 года назад

    Pole sana kwa msiba mzito Mc Pilipili.Mwenyezi Mungu akutie nguvu kwa kipindi hiki kizito.

  • @veronicakieguro8032
    @veronicakieguro8032 3 года назад +2

    Nimajonzi makubwa, pole xn mc pilipili na familia kwaujumla, tumuombee mama apumzike kwa amani 🙏🙏

  • @veronicaoman8764
    @veronicaoman8764 3 года назад

    Daaa pole sana mc pilipili umeniliza sana Mungu amtangulize mbele ya hani mama ako kipenzi pole sana

  • @piusjackson7265
    @piusjackson7265 3 года назад +2

    Pole Sana Kaka pole Sana Kaka,mungu akupe wepesi katika kipindi hiki kigumu kwako,inauma Sana Sana.

  • @ashamikidadi6749
    @ashamikidadi6749 3 года назад

    Pole sana pili pili hayo ni maisha ambae tunayoipita ote kwa pamoja

  • @hadijayusuf3888
    @hadijayusuf3888 3 года назад +5

    Imeniumaaa Poleni Sana Yehova Mungu awape uvumilivu

  • @rosejoseph9378
    @rosejoseph9378 3 года назад

    Dahhhhhhh inauma sana poleni sana kwa kumpoteza mama enuu apumzike kwa amani

  • @ramaamiri7964
    @ramaamiri7964 3 года назад +2

    Daaah machoz yamenitoka kwakwel pole san san san kaka hii nimoja ua safar tutakayo isafiri watu wote pole kaka 😢😢😢

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 3 года назад +1

    Faraja ishukayo kutoka mbinguni ikawafariji wote wafiwa. Mungu akupe nguvu na kukuongoza na kukuondolea uchungu MC pilipili. Upendo wako kwa mama yako ni zaidi ya dhahabu na fedha na utajiri wowote wa dunia hii.

  • @evangunge8348
    @evangunge8348 3 года назад +1

    Aisee inauma jaman kufiwa na mama😥😥 kila nikikumbuka machozi yananitoka....polen sana

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Pole Sana kaka Mungu akutie Nguvu poleni wafiwa wote Mungu awape faraja

  • @tingbatuuka7278
    @tingbatuuka7278 3 года назад +4

    Nimeumia. Sana. Nguo ya harusi mama kavaa kwenye jeneza😭😭😭😭😭

  • @fatumachagudadui3138
    @fatumachagudadui3138 3 года назад +7

    Pole nmesoma heading tu nywele zikasimama Ee Mungu tupe mwisho mwema

  • @aminaathumani6161
    @aminaathumani6161 3 года назад +5

    Inna Lilah wainna illah rajiun 😭😭😭😭, pole Sana brz

  • @neemakaranje3823
    @neemakaranje3823 3 года назад

    Inauma sana kaka poleni wafiwa kweli msiba unaumaa sanaa Mungu awafariji maana faraja yake yapita faraja ya wanadamu Mungu awatie nguvu.

  • @mename6020
    @mename6020 3 года назад +4

    Mc pilipil inauma na inatuliza wengne pia 😭😭😭😭😭 Pole Sana.

  • @julianakarani3134
    @julianakarani3134 3 года назад

    Pole sana kaka kwa kweli hicho kiatu ni kizito sana,bwana Yesu akawe mfariji wako.

  • @gracenjeri2035
    @gracenjeri2035 3 года назад

    You made me shed a tear...may God strengthen you Mc Pilipili...pole Sana kea msiba.RIP Mama Pilipili

  • @jasmine.mayala7597
    @jasmine.mayala7597 3 года назад +29

    Pole mwaya yaan hd nimejickia vibaya 😣😣😣😣pole mc pilipil mzazi anauma jaman

  • @lizymsuta4594
    @lizymsuta4594 3 года назад

    Pole Sana mgogo mwenzetu kwa kuondokewa na mama

  • @nkambajohn2048
    @nkambajohn2048 3 года назад

    Pole sana MC pilipili sote ni wa Mungu na kwake tutarejea!!Mungu akutie nguvu!!

  • @amnewarji1707
    @amnewarji1707 3 года назад +8

    Mc pilipili umenitoa machozi jamani,mama mwendo umeumaliza pumzika kwa amani.poleni sana wanafamilia.

  • @evancechangae
    @evancechangae 3 года назад +2

    MSIBA USIKIE KWA MWINGINE... YAKIKUKUTA, HATA HUO UJASIRI WA KUONGEA HAUTA KUWEPO. R.I.P MAMA PILIPILI. SO SAD ILA NDIO SAFARI YETU SOTE!

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 3 года назад

      lnna lilah wainna ilah lajiun

  • @pqolai7740
    @pqolai7740 3 года назад +1

    Pole sana ndugu mwenyezi Mungu ampe makao mema huko anakoenda 😭😭😭😭

  • @stacyjames6676
    @stacyjames6676 3 года назад +2

    Jamn 😭😭😭😭😭pole Sana brother mungu akutie nguvu katika hiki kipind kigum

  • @priscamasanga7038
    @priscamasanga7038 3 года назад +1

    Pole sana classmet wangu kwa kuondokewa na mama

  • @hjhj6230
    @hjhj6230 3 года назад +1

    Innalilah wainna ilah rajiuun. Poleni saana kwa mcba mzito

  • @samwelntevi9620
    @samwelntevi9620 3 года назад

    Pole Bro Mungu akutie Nguvu kwenye kipindi kigumu Kama hichi Cha Majonzi tupopamoja sanaaa bro

  • @hamidbhos8297
    @hamidbhos8297 3 года назад +6

    Jaman stive nyerere anajitoa sna kwenye misiba na mashuhul mbaimbal

  • @sakinafati3731
    @sakinafati3731 3 года назад +1

    Pole sana mc pili2 mama anauma sana niulizeni mimi ni miez 9 sasa lakini bado nalia kila siku😭

  • @shiksshiks8494
    @shiksshiks8494 3 года назад +2

    Pole mingi kutoka kenya🇰🇪🇰🇪 mc pili pili

  • @hadijajohn7434
    @hadijajohn7434 2 года назад

    Pole msiba hauzkeleki eeee mungu wapokee wajaa wako Ameen

  • @amnewarji1707
    @amnewarji1707 3 года назад +1

    Nimelia sana na nimemkumbuka sana marehemu mama yangu jamani mzazi anauma sana hasa mama.

  • @jafarijumanne2404
    @jafarijumanne2404 3 года назад

    Poleni sana Kwa kipindi hichi kigumu MC pilipili

  • @verymangapi2754
    @verymangapi2754 3 года назад

    Inauma sana ,poleni sana Mungu awatie nguvu

  • @elizabetbaraka6036
    @elizabetbaraka6036 3 года назад

    Pole Sana. Mungu akutie nguvu

  • @nelvicstivin9220
    @nelvicstivin9220 3 года назад +5

    Jmn dah polen wafiwa Mungu awatie nguvu

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 3 года назад +3

    Mc pilipili pole sana MUNGU akutie nguvu kaka maana umejua kuniuliza mpaka nimemkumbuka mama angu😭

  • @mk-ed5py
    @mk-ed5py 3 года назад +2

    Dah Pole Sana, ila steve Nyerere anajitoa sana Mungu amzidishie

  • @yvonnevictoriabenedict4501
    @yvonnevictoriabenedict4501 3 года назад +3

    May God give you strength in this difficult time

  • @asheilla
    @asheilla 3 года назад

    Pole sana kwa msiba mc mzuri

  • @zamzamhassan4159
    @zamzamhassan4159 3 года назад

    Umeniliza hapo mwisho mc pikipiki
    Pole sn ndugu yangu mungu awape nguvu na subra ktka kipindi hichi kigum

  • @fatumachagudadui3138
    @fatumachagudadui3138 3 года назад

    Pole sana mc pilipil umeniumiza hadi nmelia sana

  • @jamilaezekiel6174
    @jamilaezekiel6174 3 года назад

    Pole sana kaka yangu mungu akwinue akufute machozi ya uchungu inauma sana Bora hata angeumwa jmn mama anauma sana ,pole pole sana wanafamilia😭😭😭🙏🙏🙏

  • @dianangailo9878
    @dianangailo9878 3 года назад

    Poleni Sana wanafamilia Mungu awape nguvu wanafamilia wote, pole Sana pilipili

  • @tumainiezekia5873
    @tumainiezekia5873 3 года назад

    Pole Sana mungu akutie nguvukatika kipindi kigum

  • @victoriatwinzi252
    @victoriatwinzi252 3 года назад +1

    Pole Sana Kaka Mungu awafariji wafiwa wote 😭😭😭

  • @officialnifer6373
    @officialnifer6373 3 года назад

    Pole sana kaka nyeee khaaa yaaan nimeangalia hii hadi chozi limenitoka

  • @segolinamkojers8437
    @segolinamkojers8437 3 года назад

    Duh pole sana mc pilipili inauma sana mwenyezi Mungu akufanyie wepesi

  • @catherineamos7087
    @catherineamos7087 3 года назад

    Pole sana Mc Pilipili inauma sana

  • @mrwesyande7163
    @mrwesyande7163 3 года назад +1

    Polen Sana familia nzima

  • @victorialuoga6568
    @victorialuoga6568 3 года назад

    Aiseeee😭😭😭😭😭 pole sana Mc pilipili najua maumivu unayopitia pole sana

  • @glorykalunga4849
    @glorykalunga4849 3 года назад

    Pole sana kaka Mungu akutie nguvu katika wakati mungum unayo pitia pole sana

  • @abubakaryalmas7673
    @abubakaryalmas7673 3 года назад

    Pole sana kaka kwa msiba mzito, Mungu akawe mfariji wenu

  • @zuuhamy9969
    @zuuhamy9969 3 года назад +1

    Mbele yake nyuma yetu pumzika kwa amani mama yetu tulikupenda ila mungu kakupenda zaidi