MAJIMAREFU AANZISHA KIWANDA CHA KUFYATUA MATOFALI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini Stephen Ngonyani maarufu Majimarefu ameanzisha kiwanda cha kufyatua matofali kwa ajili ya kuzigawia kata 29 ambazo zitaanzisha mradi wa kujenga zahanati na vyumba vya madarasa.
    Akizungumza na waandishi wa habari waliofika kujionea kiwanda hicho ambacho, majimarefu amesema ameamua kuanzisha kiwanda hicho baada ya kuona akigawa sementi hazifiki kwa walengwa.

Комментарии • 1

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 4 года назад

    RIP, wazo lako nimelikubali na nafikiria kulitumia