ALLY KAMWE ATANGAZA KUACHA KAZI YANGA!!KISA MANARA NA UKWELI UKO HIVI...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 84

  • @robertmatabalo5454
    @robertmatabalo5454 2 месяца назад +13

    Hapo sina furaha kabisa kuondoka kwa Ally Kamwe, uongozi uwe makini

  • @bonnynyahega9353
    @bonnynyahega9353 2 месяца назад +8

    Mimi kama mshabiki na mwanachama wa Yanga tunamtaka Ally Kamwe aendelee kuwa Afisa habari wa timu yetu,hatuhitaji msemaji wa kutukana tu tunataka mtu wa kusemea timu Kwa hekima na ueledi mkubwa sio Kwa kutukana tu watu na timu pinzani,kwani timu yetu sio ya kihuni,Injinia Hersi wewe ni mtu makini amua hilo jambo Kwa hekima na Kamwe aongezewe mkataba tafadhari make anafiti sana ktk nafasi hiyo,Manara atafutiwe tu nafasi nyingine tu afanye hata ya Afisa Masoko atamudu lkn Kamwe🎉🎉🎉

    • @chiefnumborecords4819
      @chiefnumborecords4819 2 месяца назад

      ALLY Kamwe abaki yeye ndiye tunamuelewa huo uafisa habari apewe Haji Manara

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 месяца назад +1

    MANARA NI MGOMVI SANA CJUI VIONGOZI HAWAONI.

  • @Ally-zz2hv
    @Ally-zz2hv 2 месяца назад +8

    Utu manala hafai kurudi yanga

  • @uswegemwakalobo6220
    @uswegemwakalobo6220 2 месяца назад +4

    Akiondoka Ally kamwe itakuwa tatizo Sana. Manara ni mtu wa kukurupuka sana

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 2 месяца назад

    Nakuombeni Viongozi Wetu Muangalieni sana Ally wapi tulipotoka adi sasa Tunampenda sana Ally

  • @DanielDulla
    @DanielDulla 2 месяца назад

    Ally Kamwe amefanya kazi kubwa sana, uongozi wa Yanga utafute namna ya kuwapa kazi wote wawili ila wawatenganishe hawa. Kwa mawazo yangu kitengo Cha habari na mawasiliano abaki Ally Kamwe

  • @rashidmalilo3657
    @rashidmalilo3657 2 месяца назад +1

    Inauma sana kamwe anakipaji bana huwezi kumlinganisha ally kamwe na manara hatumtaki manara ally kamwe abaki tunampenda sana

  • @robertmatabalo5454
    @robertmatabalo5454 2 месяца назад +8

    Mimi binafsi sikubaliani na kurudi kwa Manara, hapa uongozi wa Yanga utakuwa umekosea sana , timu yetu ilikuwa imetulia sana haina kelele na matusi na kukosa busara.

  • @GadsonEnos
    @GadsonEnos 2 месяца назад

    Haji na Ali washilikiane tu Na Ali atambue Haji ni mzoeefu Kitambo ki Soka So Ali akubali washilikiane mambo yatakuwa mazuri Sana Old is Gold.

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 2 месяца назад +3

    Manara hatumtaki porojo tu yule ila ally kamwe anakili yakuongea

  • @frankmataka7185
    @frankmataka7185 2 месяца назад +4

    Ali kamwe abaki kwa msemaji asiondolewe hapo manara awemhamasishaji tu

  • @JuleeylynnaeRoom
    @JuleeylynnaeRoom 2 месяца назад

    Ally Kamwe yuko vizur sana..uyo manara akasimamie media yake

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 2 месяца назад +3

    Tuache kuzunguka sana kwa kifupi Haji hawezi kufanya kazi na mtu mwingine. Wakati wa Bumbuli na Manara ulikuwa unaona sura ya Bumbuli mbele ya hadhira. Ilikuwa ni kama amelamba ndimu. Hili naliona Kwa Ali Kamwe hataweza kufanya kazi na Manara.

    • @zawadishomari98
      @zawadishomari98 2 месяца назад

      kiukweli Manara hapana Ally abaki tuu jamani dah

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 2 месяца назад

    Jamani Eng Heris,,,, mpeni Haji nafasi nyingine!
    Ally muacheni hapo hapo,,,Panamfaaa sana

  • @thomaslali705
    @thomaslali705 2 месяца назад +3

    Manara anakwepa direct confrontation kwakuwa hakawii kuharibu. Hata hivyo hatochikua muda kabla ya kutundikwa tena

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 2 месяца назад

    Wanachama harujapenda Ally kuondoka Manara apatiwe nafasi nyingine tu

  • @brunotemu8069
    @brunotemu8069 2 месяца назад +1

    Manara kazeeka hato weza kumudu vijana wa sasa kama vipi yeye ahamasishe upande wa wazee na Ally abaki na vijana... Kamwe abaki ktk nafasi hiyo

  • @Marjeby
    @Marjeby 2 месяца назад +1

    Jamani Ally Kamwe ni bora kuliko Manara kwanza Kabisa Ally bado umri wake mdogo ana nguvu zaidi kuliko Haji lakini Haji Manara ni mzee na ni mlemavu lakini pia nna madui kila kona tofauti na Ally Kamwe Yanga please jamani tubaki na huyu mtoto

  • @bonisachubwa1046
    @bonisachubwa1046 2 месяца назад +2

    Kwangu mimi Ally Shaaban Kamwe angeendelea maana Anajua kuchanganua maneno ya utani na matusi

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 2 месяца назад +3

    Manara is old aachie Kazi vijana 😅

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 2 месяца назад

    Ally kamwe tunakuta sana mnooooo yaaaaani

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 2 месяца назад

    Sijawahi kumpenda manara hata kidogo

  • @SamwelMnaga
    @SamwelMnaga 2 месяца назад

    Manara wa Nini tena😢😢😢😢

  • @theonasmkoba6121
    @theonasmkoba6121 2 месяца назад

    Haji ana kadi ya Simba, Mwambieni kwanza arudishe kadi hiyo kwa Simba ndipo awahudumie Yanga

  • @JosephMakaranga-b8k
    @JosephMakaranga-b8k 2 месяца назад

    Ally wee,dah sijui hata cha kuandika lakin Kamwe mpaka sura ni yanga hebu fanyenifanyeni abaki hapo kuna ladha inaenda kupotea chonde muda utaongea ohoo! Tunaenda kupoteana

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 2 месяца назад +2

    Eng Hersi nakuomba tumia busara manara atatuharibia timu huyu hana busara kabisa tunaomba tff imwongezee adhabu aendelee kufungiwa aachie vijana wafanye kazi

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 2 месяца назад +1

    Manara mnafiki yule simba kindakindaki mamloki manara

  • @Namtumbo
    @Namtumbo 2 месяца назад

    Ally kamweee ,Manara ,manara

  • @NyasanaTv-ol4ix
    @NyasanaTv-ol4ix 2 месяца назад

    Watani mtafeli maoni yangu kamwe aendelee haji anahasilla lakini kamwe yuko vizuri achaneni na huyo Manara mhuni tu

  • @DinosaurPower-y2h
    @DinosaurPower-y2h 2 месяца назад

    Mpumbavu sana manara uyooo uyo Simba amuache Dogo alli

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 2 месяца назад +1

    Niko pale manara lazima awaletee mgogoro..haji hataki kukosolewa hua anahasira sana

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 2 месяца назад

    Mimi ni simba ila Ali kamwe ni very professional, na napenda hii generation ya ahmed,kamwe na hasheem ibwe.....Manara ana haipu, matusi tu na chuki

  • @HarunaOmari-e8o
    @HarunaOmari-e8o 2 месяца назад +1

    Hatutaki Ally aache nyie viongozi mnatuudhi sasa

  • @JaphetRugalema
    @JaphetRugalema 2 месяца назад

    Kamwe muacheni,Manara mpe kazi nyingine.

  • @anthonymedaa5375
    @anthonymedaa5375 2 месяца назад

    Sijawahi kumkubali Manara hata siku moja

  • @JovenaryNduka
    @JovenaryNduka 2 месяца назад +2

    Ally kamwe ndo muhimu sana Kwa yanga na ndie kafiti sana

  • @bmkaskazinib4363
    @bmkaskazinib4363 2 месяца назад

    Bado Ali Kamwe anastahili kuendelea cha msingi vitengo vishirikiane

  • @REHEMAOMARY-b2u
    @REHEMAOMARY-b2u 2 месяца назад

    Chukuaiyo😊

  • @DinosaurPower-y2h
    @DinosaurPower-y2h 2 месяца назад

    Manara amuache Dogo uyooo

  • @nassorkassim7585
    @nassorkassim7585 2 месяца назад

    Tunamuhitaji Ali kamweeeee

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 2 месяца назад

    Ila huyu manara anaweza kuikosti timu yetu ilibidi apangiwe kazi nyingine ila si usemaji hadi Ally kamwe kapatiwa uenyekiti wa vilabu kaaminika

  • @YohanaJumanne-v3v
    @YohanaJumanne-v3v 2 месяца назад

    Ally kamwe jamani Yanga wamuache tu afanye kazi na Huyo Manala ni mgovi akae tu na kushabikia hana ustaarabu Manala kama alifungiwa anamapungufu tena makubwa sana

  • @HassanHenery
    @HassanHenery 2 месяца назад +3

    Alikamwe abaki

  • @brysonmandari5694
    @brysonmandari5694 2 месяца назад

    Ali Kamwe alikua msemaji mzuri hana hasira,Manara ana hasira ni mropokaji mtu wa matusi na mbinafsi.

  • @EmmanuelMalangahe
    @EmmanuelMalangahe 2 месяца назад

    Huyo manara ni Simba damu atatuharibia timu arudi msimbazi tu hafai

  • @Elly-w3i
    @Elly-w3i 2 месяца назад

    Management ya wanayanga pamoja na mashabiki wote Tanzania binafsi sitaki nisikie alikamwe aondoke kitengo Cha usemaji manara angariwe kitengo kingine awe tofauti na kamwe tusiivuruge yanga Kwa ajiri hiyo tusiwape madui zetu nafasi

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 месяца назад

    Mimi ni Mshabiki wa Simba sana: lakini hili la kurudi manara Yanga Ali kuondoka duh:

  • @Bahati-h9i
    @Bahati-h9i 2 месяца назад

    Ali kamwe asiondoke kwani wote ni muhimu

  • @saidyussuf-my8ew
    @saidyussuf-my8ew 2 месяца назад

    Naomba uwongozi wasiruhusu ali kuondoka

  • @AminaAmina-cr8jq
    @AminaAmina-cr8jq 2 месяца назад

    Haji manara hatumutakii

  • @ProjetusRwiza
    @ProjetusRwiza 2 месяца назад

    Viongozi warudi mezani waje na majibu sahihi tunaomba ally abaki ni mtu sana huyo

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 2 месяца назад

    Ally yupo ye ni Afisa alicho acha ni usemaji na hajji ni msemaji

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 2 месяца назад

    Kwanini Hawa viongozi wanataka kuharibu jaman

  • @emmaboka959
    @emmaboka959 2 месяца назад

    Manara awe mhamasishaji

  • @saidyussuf-my8ew
    @saidyussuf-my8ew 2 месяца назад

    Pg uwa ali abaki

  • @REHEMAOMARY-b2u
    @REHEMAOMARY-b2u 2 месяца назад

    Kaka kwamajina naitwa KAMKULU BAINA nenolangu mojatu kwayanga wakimuachatu aliy kamwe Simba watamchukua kwamaksudi

  • @stevensoso7506
    @stevensoso7506 2 месяца назад

    Manara kamaliza kifungo chake anataka kurudi kweny kitengo chake

  • @mbokanitaribo5106
    @mbokanitaribo5106 2 месяца назад

    Wa Tanzania 🇹🇿 kweli nyinyi niwajinga sana MANARA ni mtu mkubwa sana apo Tanzania 🇹🇿 kwenu nahana spirit kubwa sana apo kwenu Tanzania 🇹🇿 atakaye mzarau MANARA pole sana kwake

    • @aliferuzi1537
      @aliferuzi1537 2 месяца назад

      Sawa maoni yako Ila bro bado mgogoro wake haujaisha wanatafuta njia ya kumuweka adhabu Tena viongozi wamekurupuka

  • @mbokanitaribo5106
    @mbokanitaribo5106 2 месяца назад +1

    MANARA ni professional nyinyi wa Tanzania 🇹🇿 acheni umama wenu

  • @DenisNdandika
    @DenisNdandika 2 месяца назад

    Viongoz mnamuacha Ally kamwe mnamchukua mropokaji huyu msubir kufungiwa tena

  • @RashidTanga-vt1vz
    @RashidTanga-vt1vz 2 месяца назад

    Dungu zangu wana yanga tutu lie kwanza maneno yetu sisi yatafaya kuharibu tuwe na subira

  • @mectridamathias
    @mectridamathias 2 месяца назад

    Tunamta Ali Kwamwe

  • @SULEIMAN-l8v
    @SULEIMAN-l8v 2 месяца назад

    mimi simba lkn Bumbuli ndie mtu sahihi kua hapo ila ttzo sio mtu wa GSM

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 2 месяца назад +1

    Mtoto wa uswahili

  • @nicoluskanegene5394
    @nicoluskanegene5394 2 месяца назад

    UBAYA UBWELA MZEE MAGOMA KAWAPIGA KURUJUHAN😂😂😂😂

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 2 месяца назад

    HAPA KUNA SHIDA . VIONGOZI WA YANGA WANAMATATIZO AKITOKA ALI KAMWE HII NI VURUGU. KWA NINI HAJI MANARA ANASUJUDIWA HIVO. HUYU NI MVURUGAJI SANA . ATALETA VURUGU SANA . YEYE NI NANI MMESAHAU ALIVOKUWA AKITUKANA . UPUMBAVU MTUPU

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 месяца назад

    SASA NA NYIE VIONGOZI WA YANGA VP TENA? KAMWE NDY MSEMAJI BORA SANA NA PIA NI MTANI SANA

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 2 месяца назад

    Timu ya Wazee inafukuza vijana ili wamuweke mzee mwenzao, Huyo Mzungu mtasema anaonewa na Ahmed Ali, semaji la CAF maana Ubaya Ubwela.

  • @AminaAmina-cr8jq
    @AminaAmina-cr8jq 2 месяца назад

    Jamni ijinia hers tunaomb ali kamwe asiondoke

  • @AminaAmina-cr8jq
    @AminaAmina-cr8jq 2 месяца назад

    Hatumtaki manara huyo ni mvurugaji w timu

  • @emmaboka959
    @emmaboka959 2 месяца назад

    Manara anajiona mkubwa

  • @Mboemo
    @Mboemo 2 месяца назад +4

    Mi naomba niulize, kwani Aly kamwe aliingia pale yanga kama nani, msemaji au afisa habari? Noamba Majibu tafadhali munisaidie

  • @Wemakaminyoghe
    @Wemakaminyoghe 2 месяца назад

    manara hatumtaki

  • @saidyussuf-my8ew
    @saidyussuf-my8ew 2 месяца назад

    Alikamwe pga kz ustuangushe

  • @JumbeOjaso
    @JumbeOjaso 2 месяца назад +1

    Yanga imeshuka msimu huu kwa mapato na mashabiki viwanjani wamepungua ,
    Pia hata wanachama wanaolipa ada wamepungua,kitu gani kinamfanya Ally kamwe aonekane anafanya kazi nzuri?
    Acheni Haji arudi ahamasishe mashabiki,na wanachama waongezeke na kuongeza kipato cha timu.
    Pia local brand kama hii tulieni mjifunze mambo mapya.