Mimi kama mshabiki na mwanachama wa Yanga tunamtaka Ally Kamwe aendelee kuwa Afisa habari wa timu yetu,hatuhitaji msemaji wa kutukana tu tunataka mtu wa kusemea timu Kwa hekima na ueledi mkubwa sio Kwa kutukana tu watu na timu pinzani,kwani timu yetu sio ya kihuni,Injinia Hersi wewe ni mtu makini amua hilo jambo Kwa hekima na Kamwe aongezewe mkataba tafadhari make anafiti sana ktk nafasi hiyo,Manara atafutiwe tu nafasi nyingine tu afanye hata ya Afisa Masoko atamudu lkn Kamwe🎉🎉🎉
Ally Kamwe amefanya kazi kubwa sana, uongozi wa Yanga utafute namna ya kuwapa kazi wote wawili ila wawatenganishe hawa. Kwa mawazo yangu kitengo Cha habari na mawasiliano abaki Ally Kamwe
Mimi binafsi sikubaliani na kurudi kwa Manara, hapa uongozi wa Yanga utakuwa umekosea sana , timu yetu ilikuwa imetulia sana haina kelele na matusi na kukosa busara.
Tuache kuzunguka sana kwa kifupi Haji hawezi kufanya kazi na mtu mwingine. Wakati wa Bumbuli na Manara ulikuwa unaona sura ya Bumbuli mbele ya hadhira. Ilikuwa ni kama amelamba ndimu. Hili naliona Kwa Ali Kamwe hataweza kufanya kazi na Manara.
Jamani Ally Kamwe ni bora kuliko Manara kwanza Kabisa Ally bado umri wake mdogo ana nguvu zaidi kuliko Haji lakini Haji Manara ni mzee na ni mlemavu lakini pia nna madui kila kona tofauti na Ally Kamwe Yanga please jamani tubaki na huyu mtoto
Ally wee,dah sijui hata cha kuandika lakin Kamwe mpaka sura ni yanga hebu fanyenifanyeni abaki hapo kuna ladha inaenda kupotea chonde muda utaongea ohoo! Tunaenda kupoteana
Eng Hersi nakuomba tumia busara manara atatuharibia timu huyu hana busara kabisa tunaomba tff imwongezee adhabu aendelee kufungiwa aachie vijana wafanye kazi
Ally kamwe jamani Yanga wamuache tu afanye kazi na Huyo Manala ni mgovi akae tu na kushabikia hana ustaarabu Manala kama alifungiwa anamapungufu tena makubwa sana
Management ya wanayanga pamoja na mashabiki wote Tanzania binafsi sitaki nisikie alikamwe aondoke kitengo Cha usemaji manara angariwe kitengo kingine awe tofauti na kamwe tusiivuruge yanga Kwa ajiri hiyo tusiwape madui zetu nafasi
Wa Tanzania 🇹🇿 kweli nyinyi niwajinga sana MANARA ni mtu mkubwa sana apo Tanzania 🇹🇿 kwenu nahana spirit kubwa sana apo kwenu Tanzania 🇹🇿 atakaye mzarau MANARA pole sana kwake
HAPA KUNA SHIDA . VIONGOZI WA YANGA WANAMATATIZO AKITOKA ALI KAMWE HII NI VURUGU. KWA NINI HAJI MANARA ANASUJUDIWA HIVO. HUYU NI MVURUGAJI SANA . ATALETA VURUGU SANA . YEYE NI NANI MMESAHAU ALIVOKUWA AKITUKANA . UPUMBAVU MTUPU
Yanga imeshuka msimu huu kwa mapato na mashabiki viwanjani wamepungua , Pia hata wanachama wanaolipa ada wamepungua,kitu gani kinamfanya Ally kamwe aonekane anafanya kazi nzuri? Acheni Haji arudi ahamasishe mashabiki,na wanachama waongezeke na kuongeza kipato cha timu. Pia local brand kama hii tulieni mjifunze mambo mapya.
Hapo sina furaha kabisa kuondoka kwa Ally Kamwe, uongozi uwe makini
Mimi kama mshabiki na mwanachama wa Yanga tunamtaka Ally Kamwe aendelee kuwa Afisa habari wa timu yetu,hatuhitaji msemaji wa kutukana tu tunataka mtu wa kusemea timu Kwa hekima na ueledi mkubwa sio Kwa kutukana tu watu na timu pinzani,kwani timu yetu sio ya kihuni,Injinia Hersi wewe ni mtu makini amua hilo jambo Kwa hekima na Kamwe aongezewe mkataba tafadhari make anafiti sana ktk nafasi hiyo,Manara atafutiwe tu nafasi nyingine tu afanye hata ya Afisa Masoko atamudu lkn Kamwe🎉🎉🎉
ALLY Kamwe abaki yeye ndiye tunamuelewa huo uafisa habari apewe Haji Manara
MANARA NI MGOMVI SANA CJUI VIONGOZI HAWAONI.
Utu manala hafai kurudi yanga
Akiondoka Ally kamwe itakuwa tatizo Sana. Manara ni mtu wa kukurupuka sana
Nakuombeni Viongozi Wetu Muangalieni sana Ally wapi tulipotoka adi sasa Tunampenda sana Ally
Ally Kamwe amefanya kazi kubwa sana, uongozi wa Yanga utafute namna ya kuwapa kazi wote wawili ila wawatenganishe hawa. Kwa mawazo yangu kitengo Cha habari na mawasiliano abaki Ally Kamwe
Inauma sana kamwe anakipaji bana huwezi kumlinganisha ally kamwe na manara hatumtaki manara ally kamwe abaki tunampenda sana
Mimi binafsi sikubaliani na kurudi kwa Manara, hapa uongozi wa Yanga utakuwa umekosea sana , timu yetu ilikuwa imetulia sana haina kelele na matusi na kukosa busara.
Haji na Ali washilikiane tu Na Ali atambue Haji ni mzoeefu Kitambo ki Soka So Ali akubali washilikiane mambo yatakuwa mazuri Sana Old is Gold.
Manara hatumtaki porojo tu yule ila ally kamwe anakili yakuongea
Ali kamwe abaki kwa msemaji asiondolewe hapo manara awemhamasishaji tu
Ally Kamwe yuko vizur sana..uyo manara akasimamie media yake
Tuache kuzunguka sana kwa kifupi Haji hawezi kufanya kazi na mtu mwingine. Wakati wa Bumbuli na Manara ulikuwa unaona sura ya Bumbuli mbele ya hadhira. Ilikuwa ni kama amelamba ndimu. Hili naliona Kwa Ali Kamwe hataweza kufanya kazi na Manara.
kiukweli Manara hapana Ally abaki tuu jamani dah
Jamani Eng Heris,,,, mpeni Haji nafasi nyingine!
Ally muacheni hapo hapo,,,Panamfaaa sana
Manara anakwepa direct confrontation kwakuwa hakawii kuharibu. Hata hivyo hatochikua muda kabla ya kutundikwa tena
Wanachama harujapenda Ally kuondoka Manara apatiwe nafasi nyingine tu
Manara kazeeka hato weza kumudu vijana wa sasa kama vipi yeye ahamasishe upande wa wazee na Ally abaki na vijana... Kamwe abaki ktk nafasi hiyo
Jamani Ally Kamwe ni bora kuliko Manara kwanza Kabisa Ally bado umri wake mdogo ana nguvu zaidi kuliko Haji lakini Haji Manara ni mzee na ni mlemavu lakini pia nna madui kila kona tofauti na Ally Kamwe Yanga please jamani tubaki na huyu mtoto
Kwangu mimi Ally Shaaban Kamwe angeendelea maana Anajua kuchanganua maneno ya utani na matusi
Manara is old aachie Kazi vijana 😅
Ally kamwe tunakuta sana mnooooo yaaaaani
Sijawahi kumpenda manara hata kidogo
Manara wa Nini tena😢😢😢😢
Haji ana kadi ya Simba, Mwambieni kwanza arudishe kadi hiyo kwa Simba ndipo awahudumie Yanga
Ally wee,dah sijui hata cha kuandika lakin Kamwe mpaka sura ni yanga hebu fanyenifanyeni abaki hapo kuna ladha inaenda kupotea chonde muda utaongea ohoo! Tunaenda kupoteana
Eng Hersi nakuomba tumia busara manara atatuharibia timu huyu hana busara kabisa tunaomba tff imwongezee adhabu aendelee kufungiwa aachie vijana wafanye kazi
Manara mnafiki yule simba kindakindaki mamloki manara
Ally kamweee ,Manara ,manara
Watani mtafeli maoni yangu kamwe aendelee haji anahasilla lakini kamwe yuko vizuri achaneni na huyo Manara mhuni tu
Mpumbavu sana manara uyooo uyo Simba amuache Dogo alli
Niko pale manara lazima awaletee mgogoro..haji hataki kukosolewa hua anahasira sana
Mimi ni simba ila Ali kamwe ni very professional, na napenda hii generation ya ahmed,kamwe na hasheem ibwe.....Manara ana haipu, matusi tu na chuki
Hatutaki Ally aache nyie viongozi mnatuudhi sasa
Kamwe muacheni,Manara mpe kazi nyingine.
Sijawahi kumkubali Manara hata siku moja
Ally kamwe ndo muhimu sana Kwa yanga na ndie kafiti sana
Bado Ali Kamwe anastahili kuendelea cha msingi vitengo vishirikiane
Chukuaiyo😊
Manara amuache Dogo uyooo
Tunamuhitaji Ali kamweeeee
Ila huyu manara anaweza kuikosti timu yetu ilibidi apangiwe kazi nyingine ila si usemaji hadi Ally kamwe kapatiwa uenyekiti wa vilabu kaaminika
Ally kamwe jamani Yanga wamuache tu afanye kazi na Huyo Manala ni mgovi akae tu na kushabikia hana ustaarabu Manala kama alifungiwa anamapungufu tena makubwa sana
Alikamwe abaki
Ali Kamwe alikua msemaji mzuri hana hasira,Manara ana hasira ni mropokaji mtu wa matusi na mbinafsi.
Huyo manara ni Simba damu atatuharibia timu arudi msimbazi tu hafai
Management ya wanayanga pamoja na mashabiki wote Tanzania binafsi sitaki nisikie alikamwe aondoke kitengo Cha usemaji manara angariwe kitengo kingine awe tofauti na kamwe tusiivuruge yanga Kwa ajiri hiyo tusiwape madui zetu nafasi
Mimi ni Mshabiki wa Simba sana: lakini hili la kurudi manara Yanga Ali kuondoka duh:
Ali kamwe asiondoke kwani wote ni muhimu
Naomba uwongozi wasiruhusu ali kuondoka
Haji manara hatumutakii
Viongozi warudi mezani waje na majibu sahihi tunaomba ally abaki ni mtu sana huyo
Ally yupo ye ni Afisa alicho acha ni usemaji na hajji ni msemaji
Kwanini Hawa viongozi wanataka kuharibu jaman
Manara awe mhamasishaji
Pg uwa ali abaki
Kaka kwamajina naitwa KAMKULU BAINA nenolangu mojatu kwayanga wakimuachatu aliy kamwe Simba watamchukua kwamaksudi
Chukua iyo
Manara kamaliza kifungo chake anataka kurudi kweny kitengo chake
Wa Tanzania 🇹🇿 kweli nyinyi niwajinga sana MANARA ni mtu mkubwa sana apo Tanzania 🇹🇿 kwenu nahana spirit kubwa sana apo kwenu Tanzania 🇹🇿 atakaye mzarau MANARA pole sana kwake
Sawa maoni yako Ila bro bado mgogoro wake haujaisha wanatafuta njia ya kumuweka adhabu Tena viongozi wamekurupuka
MANARA ni professional nyinyi wa Tanzania 🇹🇿 acheni umama wenu
Viongoz mnamuacha Ally kamwe mnamchukua mropokaji huyu msubir kufungiwa tena
Dungu zangu wana yanga tutu lie kwanza maneno yetu sisi yatafaya kuharibu tuwe na subira
Tunamta Ali Kwamwe
mimi simba lkn Bumbuli ndie mtu sahihi kua hapo ila ttzo sio mtu wa GSM
Mtoto wa uswahili
UBAYA UBWELA MZEE MAGOMA KAWAPIGA KURUJUHAN😂😂😂😂
HAPA KUNA SHIDA . VIONGOZI WA YANGA WANAMATATIZO AKITOKA ALI KAMWE HII NI VURUGU. KWA NINI HAJI MANARA ANASUJUDIWA HIVO. HUYU NI MVURUGAJI SANA . ATALETA VURUGU SANA . YEYE NI NANI MMESAHAU ALIVOKUWA AKITUKANA . UPUMBAVU MTUPU
SASA NA NYIE VIONGOZI WA YANGA VP TENA? KAMWE NDY MSEMAJI BORA SANA NA PIA NI MTANI SANA
Timu ya Wazee inafukuza vijana ili wamuweke mzee mwenzao, Huyo Mzungu mtasema anaonewa na Ahmed Ali, semaji la CAF maana Ubaya Ubwela.
Jamni ijinia hers tunaomb ali kamwe asiondoke
Hatumtaki manara huyo ni mvurugaji w timu
Manara anajiona mkubwa
Mi naomba niulize, kwani Aly kamwe aliingia pale yanga kama nani, msemaji au afisa habari? Noamba Majibu tafadhali munisaidie
Meneja habari na mawasiliano
kamuulize Mzee Magoma
manara hatumtaki
Alikamwe pga kz ustuangushe
Yanga imeshuka msimu huu kwa mapato na mashabiki viwanjani wamepungua ,
Pia hata wanachama wanaolipa ada wamepungua,kitu gani kinamfanya Ally kamwe aonekane anafanya kazi nzuri?
Acheni Haji arudi ahamasishe mashabiki,na wanachama waongezeke na kuongeza kipato cha timu.
Pia local brand kama hii tulieni mjifunze mambo mapya.
Kwani kipindi Cha Manara mapato yalipanda?