SABABU ZA MSHAMBULIAJI WA SIMBA, KIBU DENIS KUPEWA URAIA ZAVUJA / YANGA WAHUSIKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 33

  • @eliasiasende7115
    @eliasiasende7115 Год назад

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 3 года назад +2

    🔥🔥🔥

  • @bilombelekilozodieudonne123
    @bilombelekilozodieudonne123 3 года назад +1

    Good sana ndugu yangu

  • @hamdukhamis6067
    @hamdukhamis6067 3 года назад +1

    Yanga roho mbaya

  • @mbonimpayealoys1588
    @mbonimpayealoys1588 3 года назад

    Umekos story nyingine bila kuwaponda wenzenu?ach roho mbaya

  • @morandraymond8602
    @morandraymond8602 3 года назад +2

    Kina kibu wapo wengi sana ila inakuwaje tff kumuombea urai alafu siku hiyo hiyo anapewa bila kuchunguza alivyoingia nchini huko alikotoka hakufanya baya

    • @kefajoseph158
      @kefajoseph158 3 года назад

      We unataka he mjiga kama samia

    • @009biafra8
      @009biafra8 3 года назад

      Amekuja akiwa mtoto alifanya kosa la NYOKO

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад

      Na yeye mwenyewe kataka kuwa raia watanzania sasa wewe unasemaje kwani haujui kama kuna watu wanabadirishaga uraia je kwani wewe jambo hili ni geni masikioni mwako

  • @mosesmuhanuz1072
    @mosesmuhanuz1072 3 года назад +1

    Sema yanga unaogopa Nini💚💚💚

    • @yohanayohanaadamu6483
      @yohanayohanaadamu6483 3 года назад

      Yaani utopolo wanamajungu Atari na wanaogopa kichapo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Emmamusiccmb
    @Emmamusiccmb 3 года назад +3

    *Ndugu zangu kwa heshima naomba muangalie video ya wimbo uitwao Je Utavumilia kwa bofya picha pembeni 👈💕🙏👈 kuutazama naamini utaupendaaa*

  • @Lastbornecadet
    @Lastbornecadet 2 года назад

    Nyie matako mna zarau! Mna feli mpaka wageni ndo wanakuja kushika sehamu zakwanza

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 года назад +1

    Wewe mbona unasimama kama gwajima?

  • @augustinokaguo7932
    @augustinokaguo7932 3 года назад +2

    Wewe pumbavu kabisa achunguzwe kitu gani wakati amekulia hapahapa Tanzania

  • @yohanamorange3011
    @yohanamorange3011 3 года назад

    Huyo jamaa mwenye nguo ya njano inawezekana ht hajui taaruma yake nini maana jins anavyoelezea sababu za kibu kuambiwa sio mtz anaonekana hajielewi

  • @richardwaniha2906
    @richardwaniha2906 3 года назад +1

    Morrison chukua uraia wewe

  • @abdulismail79
    @abdulismail79 3 года назад

    Acheni kupotosha umma suala la uraia ni gumu sana muwe mnatoa maoni ambayo yanafahamika sio kufurahisha watu tu. Unajua kama sio raia wa Tanzania basi unatakiwa unapofika umri wa miaka kumi na nane tu (18)uukane (uukatae) araia wako wa awali na uombe wa Tanzania hasa ikiwa mmoja wa wazazi wako wamezaliwa Tanzania hapo unaweza kuomba uraia wa Tanzania.

    • @009biafra8
      @009biafra8 3 года назад

      M naona morrison apewe uraia kabisaa na yy ili team ya taifa iwe na wachezaji wazuri

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад

      @@009biafra8 Apewe je yeye mwenyewe anaitaji ?

  • @009biafra8
    @009biafra8 3 года назад

    Kwann tusimpe uraia na Morrison pia wadau🤔🤔

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад

      Kwanza yeye mwenyewe anautaka huo uraia

    • @009biafra8
      @009biafra8 3 года назад

      @@Mpakauseme Tumshawishi aombee

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 3 года назад

    Mzee wa ku dere unacho jua ni umbea tu afadhari Ahmedi kakuelewesha

  • @ezemhagama734
    @ezemhagama734 3 года назад

    Hfuu hyuu jamaa msumbufu sana

  • @maigathomas2353
    @maigathomas2353 3 года назад +1

    Utopolo anazengua

  • @yohanayohanaadamu6483
    @yohanayohanaadamu6483 3 года назад

    Yanga mazombi acheni fitina

  • @khadijamisayo7476
    @khadijamisayo7476 3 года назад

    yanga wamechoma dawa yambu