MKUU "MPYA" WA MKOA WA IRINGA AZUNGUMZA KWA MARA YA KWANZA KWENYE UASKOFISHO MAFINGA!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • Baada ya kubadilishwa kituo cha kazi kutoka Mkoa wa Singida na Sasa Mkoa wa Iringa Mh. Peter Joseph Serukamba anapata nafasi ya kuzungumza na kuwatambulisha viongozi wengine wa serikali waliohudhuria Tukio Kubwa la kumuweka wakfu na kumsimika Askofu wa Jimbo la Mafinga Mhashamu Askofu Vicent Cosmas Mwagala.
    Itakumbukwa kuwa March 9. 2024 Mh. Rais alifanya mbadiliko madogo ya Wakuu wa mikoa, Makatibu Tawala na hata Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri ambapo Kabla ya hapo Mh.s
    Serukamba alikua Mkuu wa mkoa wa Singida.
    Tangu kuwa rasmi Mkuu wa mkoa wa Iringa hatimae leo March 19 anapata nafasi ya kuzungumza katika hadhara kubwa Mbele ya Maaskofu, Mapdre, Watawa na waumini/ wananchi wa mkoa wa iringa.
    Katika hatua ingine amempongeza Askofu mpya na kumuahidi Ushirikiano Katika ngazi ya Mkoa.
    MPENDWA MTAZAMAJI WA JOHARI MEDIA WAWEZA KUTUALIKA KWENYE TUKIO LAKO LOLOTE KWA NAMBA 0716225187 AU 0621969004. POPOTE TUNAFIKA.
    KADIRI YA UKARIMU WAKO WAWEZA KUWEZESHA UTUME WETU KWA NO HIZO AU KWA NAMBA YETU YA LIPA NO YA JOHARI MEDIA 5461105

Комментарии • 2