MWALIMU TUMAINI ❤️ /01/

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 153

  • @rehemaali3212
    @rehemaali3212 10 месяцев назад +3

    Napenda sana kazi ambazo baba joan anazifanya jamani naomba like kwa baba joan kwa kazi zake nzuri anazo zifanya

  • @rehemaali3212
    @rehemaali3212 10 месяцев назад +1

    Nimekuwa wa kwanza jaman naomba like zangu

  • @kondebouy1308
    @kondebouy1308 11 месяцев назад +9

    Kazi nzuri sana baba joan mapema ndo best watching you outer doha Qatar likes zikam sitaona mbaya

  • @MarcoWillium
    @MarcoWillium 8 месяцев назад +2

    Baba Joan uko vzr sana kweny sanaa ya uigzaji

  • @SalumuMrimbo
    @SalumuMrimbo 11 месяцев назад +12

    Kam unamkubali babjoan mpe like zake

  • @amosiyohanatz8734
    @amosiyohanatz8734 11 месяцев назад +7

    nimewah kwa baba joan naombeni like

  • @gracemwangangi6335
    @gracemwangangi6335 11 месяцев назад +5

    Hongera baba Joan Kwa tamthilia nyengine lakini isiishe haraka kama hizo zingine love from kenya 🇰🇪

  • @meshackvictoriafarm
    @meshackvictoriafarm 11 месяцев назад +2

    Hongera sana Baba Joan hapa Kenya unatamba sana ✅✅✅✅🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @IRENEIRENE871
    @IRENEIRENE871 11 месяцев назад +7

    Kibara umefika uku hii movie itazidi kungaaa baba Joan na kipara hoyee 🎉😂😂 like bila kukoma aki napenda kipara vile anajua poa kwa movie

  • @DianaSanga-dr3oh
    @DianaSanga-dr3oh 11 месяцев назад +8

    Jaman nimekua wakwanza nipeni like ata mbili nitaxhukulu❤❤

  • @maalimali5513
    @maalimali5513 11 месяцев назад +7

    Hongera baba Joan kwa kutuletea tamthilia nyengine nzuri ❤❤

  • @NuhuMetson-mt1vc
    @NuhuMetson-mt1vc 11 месяцев назад +4

    Kipara welcom nakujua hunag tabia ya umbeaumbea

  • @husseinkarisa9392
    @husseinkarisa9392 11 месяцев назад +6

    Aiseii leo nimekua wakwanza

  • @mannykachele
    @mannykachele 11 месяцев назад +1

    Nawapongeza sana kwa kazi hii nzuri mno. Hapa sio tu mmeibua vipaji, lakini pia mnajenga utamaduni wa msingi wa watoto kujua kuwa uigizaji ni kazi na ajira kama ajira nyingine tu. Wasifikiri kuwa, ni lazima wakafanye kazi ofisi za serikali. Good job.

  • @abrahamemokol
    @abrahamemokol 11 месяцев назад +1

    Hongera baba Joan ❤

  • @taufiqosmond2286
    @taufiqosmond2286 11 месяцев назад +1

    Vipara wanaman😂😂😂😂 na hapa ipo😂

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 11 месяцев назад +1

    Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI

  • @HezronGeorge-rx3lb
    @HezronGeorge-rx3lb 11 месяцев назад

    Dotto na msemo wakeee ❤❤ ila uyu baba joan kama kashushwa kutoaga muv kaliii 🎉🎉❤❤

  • @Jaydannychawaboy.
    @Jaydannychawaboy. 11 месяцев назад +30

    Nimekuwa wa kwanza jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh inatosha ❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😢😢😢😢❤❤❤😢

  • @MrMona_TZ
    @MrMona_TZ 11 месяцев назад +4

    Hahahahah baba joan you are so creative 🤗 congratulations 👏🎉

  • @HadijaKassim-m7g
    @HadijaKassim-m7g 11 месяцев назад

    Ongera sana mwalimu tumaini ukovizuri

  • @mohammedgedow3456
    @mohammedgedow3456 11 месяцев назад +1

    Am happy the way you know how to handle cases baba joan.uko na hekma kabisa kaka

  • @lulupeter-xf9gs
    @lulupeter-xf9gs 11 месяцев назад +1

    Hadi kipara yupo kah noma sana

  • @FaustinaPhilimoni-wc4mc
    @FaustinaPhilimoni-wc4mc 11 месяцев назад

    😂😂😂😂 piga kelele kwa kwa kaka wa mwanafuz

  • @frolencesimchile4719
    @frolencesimchile4719 2 месяца назад

    daah fantastic sana baba joan

  • @vickyramadhani7164
    @vickyramadhani7164 11 месяцев назад

    Hongereni sana kwakazi mnayo fanya ❤❤❤

  • @FurahaKatana-q5z
    @FurahaKatana-q5z 11 месяцев назад

    Kipara oee baba Joan keep it up

  • @Andreaediga
    @Andreaediga 11 месяцев назад +1

    Nimeipenda sana hii move🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @willykijanaa004
    @willykijanaa004 11 месяцев назад

    Kipara vevoooooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Hatanakajunichi
    @Hatanakajunichi 11 месяцев назад +6

    wa kwanza leo

  • @suleimankipyego5143
    @suleimankipyego5143 11 месяцев назад

    Congratulations 🎊 👏 Mr baba joa tuko Kenya 🇰🇪 👏 twawafatili😊😊😊😊❤❤❤❤❤

  • @seraphiadionis675
    @seraphiadionis675 11 месяцев назад

    KAZI nzuri ❤❤❤❤❤❤❤

  • @fidesvenancemshanga5492
    @fidesvenancemshanga5492 11 месяцев назад

    Mamaaweeeee zuu umefika mbali jmn yaan umevuka mipaka khaaa 😂😂😂 eti anataka kitembea na mwalimu wake ili asichapwe😂😂😂😂

  • @izakiel72
    @izakiel72 11 месяцев назад +3

    Wakwanza ... Likes 🎉zenyu from dar es salaam

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 11 месяцев назад

    Baba joan mimi nataka siku moja ufae sura ya kasi wachahuruma mingi❤❤❤

  • @JosphatjamesKalawa
    @JosphatjamesKalawa 11 месяцев назад

    Baba Joan naomba kma itawezekana hiyo kipidi iwe na wimbo pia am from meru na pia naomba kuwa pia kwenye kipindi akh

  • @Ericotaldan
    @Ericotaldan 11 месяцев назад +2

    Kutoka D.R.C wa kwanza mimi,mnipe like zangu.
    Baba munafanya vema hata natamani kuwa mtanzania niwe mchezaji kama nyinyi🇨🇩♥️🇹🇿

    • @نيجي-ن1د
      @نيجي-ن1د 11 месяцев назад

      Ala mwanafunzi anataka mapenzi na mwalimu 🤣🤣🤣🤣🤣kaz ipo haya msitucheleweshee next ep

    • @Ericotaldan
      @Ericotaldan 11 месяцев назад

      Ama vipi

  • @maryd1538
    @maryd1538 11 месяцев назад

    Saf san baba joan🎉🎉

  • @نورة-ذ3غ2ث
    @نورة-ذ3غ2ث 11 месяцев назад

    Hongera sana baba Joan mbona nimewai japo sikua wa kwanza lakini nimewai ya kwanza Yuko pamoja sana Hadi tamati

  • @mremaentrepreneur4555
    @mremaentrepreneur4555 11 месяцев назад

    Patronize wapi jaman 😂 mwamba namkubali sana

  • @ISHOWLUC
    @ISHOWLUC 11 месяцев назад +1

    Wow❤❤❤❤❤❤

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 11 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉Baba Joan hauna baya

  • @Beatrice-z4c
    @Beatrice-z4c 11 месяцев назад

    Kazi nzuri sana baba Joan, na hii kuonyesha ni kali sana juu iko na kipara😂😂😂 😂😂😂😂 nawapenda sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @HassnaNana-yi5lw
    @HassnaNana-yi5lw 11 месяцев назад

    Hongera San babajaon

  • @kibudenismkandaji
    @kibudenismkandaji 11 месяцев назад +6

    Jamani wakwanza leo naombeni like zakutosha

  • @isaacoweke707
    @isaacoweke707 11 месяцев назад

    Very nice and wonderful

  • @jamesmutali4356
    @jamesmutali4356 11 месяцев назад

    kama kawa kama dawa nami nipo

  • @BonnyWekesa-r8s
    @BonnyWekesa-r8s 11 месяцев назад

    Karibu baba Joan

  • @achila254
    @achila254 11 месяцев назад

    Ndouzuli 🎉 from kenya

  • @DishaniDisha-zm2gm
    @DishaniDisha-zm2gm 11 месяцев назад

    Kazinzuri sana kabisa 🙏 🙏 🙏

  • @alfredmoseti1063
    @alfredmoseti1063 11 месяцев назад

    Huyo zuliet ni mrembo walai,,,anaeza fanya niuze niuze Mombasa county nibuy Tanzania nzima 😂
    Nawapenda Shani ❤❤

  • @VioletteManirakiza-n6f
    @VioletteManirakiza-n6f 11 месяцев назад +1

    Nimecherewa lakini naomba like

  • @allyaseid3000
    @allyaseid3000 11 месяцев назад

    excellent baba joan

  • @agriciousmwanji9143
    @agriciousmwanji9143 11 месяцев назад

    Jaman madam Vick mwanafunziiiii❤❤❤

  • @BenedictoTebo
    @BenedictoTebo 11 месяцев назад +3

    Baba joani kwan maisha yetu imaisha?

  • @moniveretz-ij7qk
    @moniveretz-ij7qk 11 месяцев назад +1

    Fire brother 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪

  • @حسنا-ض3ز
    @حسنا-ض3ز 11 месяцев назад

    Good job ❤❤❤😮😮😂😂😂

  • @NasriSalim-gc4bs
    @NasriSalim-gc4bs 11 месяцев назад +2

    Gonga like Kama umefurah kumuona doko

  • @lavana5474
    @lavana5474 11 месяцев назад

    Oe wadau mumemuoba vick😂😂😂😂❤❤❤🎉

  • @aishaallyaishaally3220
    @aishaallyaishaally3220 11 месяцев назад +1

    Umepigaje hapo😂😂😂😂

  • @kiswagaeventstz890
    @kiswagaeventstz890 11 месяцев назад

    Nimekuwa wa mwisho nipeni like zangu😂😂

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 11 месяцев назад

    Naona masomo yamepata walimu wapya🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @StewardMsigwa
    @StewardMsigwa 11 месяцев назад +2

    Wakwanza mm leoooo

  • @OlivierMchelsea
    @OlivierMchelsea 11 месяцев назад +1

    Well done 👍 for the good work you are doing mr ur movies are educating me as a youth and you empower me to have soo much courage and confidence

  • @KheryMgovano
    @KheryMgovano 11 месяцев назад +1

    Kazi nzuri 🎉🎉🎉

  • @captainkastua4830
    @captainkastua4830 11 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤ naikumbali sana kutoka kenya

  • @Wahid-e1c
    @Wahid-e1c 11 месяцев назад +1

    Nice , unajua baba joan

  • @Zulpher-d1x
    @Zulpher-d1x 11 месяцев назад

    Good job

  • @JimmySmart-em4fn
    @JimmySmart-em4fn 11 месяцев назад +2

    Nzuri ❤😂

  • @BintAbdallah-de1jr
    @BintAbdallah-de1jr 11 месяцев назад

    Ongereni ❤🎉❤

  • @PhiniusBundi
    @PhiniusBundi 11 месяцев назад +1

    From Kenya hapa mmi

  • @IbrahimAliahmed-rm6tc
    @IbrahimAliahmed-rm6tc 11 месяцев назад

    Kweliii timuu imetimia humu yaaan hatar kweliiiiiiiiii

  • @TausiMokiwa
    @TausiMokiwa 11 месяцев назад

    Nashidwa hata kuchangia hoja kilamtu wakwaza kwani inamaana gani🤣🤣🤣

  • @keshenidaniel770
    @keshenidaniel770 11 месяцев назад

    Baba levo kwel uchawa ni dili inabidi vyuo vitoe course ya kufundisha uchawa

  • @manibahodaniel8405
    @manibahodaniel8405 11 месяцев назад

    Rwanda 🇷🇼 tuko pamoja

  • @peresdavid9879
    @peresdavid9879 11 месяцев назад

    Sijawahi jua kama hapa ni watu wawili tofauti

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 11 месяцев назад

    Kipara usilete tabia za umbea umbea kwa wanafunzi😂😂😂

  • @Justineprosper
    @Justineprosper 10 месяцев назад

    Sijachelea sana nipen like.zang

  • @SophieTsui-p9g
    @SophieTsui-p9g 11 месяцев назад

    Toba hiyo ya mwisho imenitoa macho kama mwalimu tumaini

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez 11 месяцев назад

    ❤😂😮👍 👌 👏 nice

  • @uchebetz7284
    @uchebetz7284 11 месяцев назад

    Kipara😂

  • @nyokskinyah8246
    @nyokskinyah8246 11 месяцев назад +2

    Niceeee

  • @MwA-ni1uk
    @MwA-ni1uk 11 месяцев назад

    Mwalimu madevu unaulimi Kama mwamke

  • @Kwambo442
    @Kwambo442 11 месяцев назад +1

    Did I hear hasira ya mkisii 🤣🤣🤣 🤣🤣 ama nko zangu

  • @keshenidaniel770
    @keshenidaniel770 11 месяцев назад

    Kiparaaa yooooo

  • @JamesnyakundiOmwenga
    @JamesnyakundiOmwenga 11 месяцев назад +2

    Wa kwanza leo nipeni like zangu

  • @OmmySabin
    @OmmySabin 11 месяцев назад

    Dada zuuu

  • @BahatiKadenge-n5r
    @BahatiKadenge-n5r 11 месяцев назад

    Much love from saudi

  • @Adventistmusicchannel
    @Adventistmusicchannel 11 месяцев назад

    Love you baba Joan🇰🇪

  • @TatuSelemani-b7c
    @TatuSelemani-b7c 11 месяцев назад

    Doko oyoooo wenye vipara hawachekeshii😂😂

  • @HosseaMkwandah-no5ld
    @HosseaMkwandah-no5ld 11 месяцев назад

    Huy mwanafunz anay jisomea kil sik mbn Kam kakonda

  • @SleepyBackgammon-hk9wk
    @SleepyBackgammon-hk9wk 11 месяцев назад

    Nimekuwaa. Wa 50. Nipeni like hata 10 tu. Baba Joan apewe maua yake❤❤🔥🔥

  • @aisha_mohammed5825
    @aisha_mohammed5825 11 месяцев назад

    Baba Juan nakukubali sana

  • @GHgh-hq3zj
    @GHgh-hq3zj 11 месяцев назад

    Saf kbs😂😂😂😂😂

  • @fiakizi
    @fiakizi 11 месяцев назад

    Vipara wanaman😂

  • @Mebo-o9y
    @Mebo-o9y 11 месяцев назад

    Matusi madamu

  • @SiayaFinest
    @SiayaFinest 11 месяцев назад

    nimekwamia apo apo kwa mahusiano ya kimapenzi

  • @celineerick7740
    @celineerick7740 11 месяцев назад

    Bora umemleta uyu kipara😊

  • @AllyMkola-u7e
    @AllyMkola-u7e 11 месяцев назад

    Zujati nimrembo sana

  • @ItsJoyce-r7q
    @ItsJoyce-r7q 11 месяцев назад

    Nakubal San teacher