Tazama magoli yote dhidi ya Biashara United leo/Simba SC 4-0 Biashara United

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 окт 2024

Комментарии • 343

  • @agnesvintan1538
    @agnesvintan1538 4 года назад +85

    Thanks MK14 kocha ana kila sabab ya kumwanzisha sura ya kaz ,ana uchu na goli ,hachek na kima ,,,,,kama unamkubal kagere weka like hapa watoto wa msimbaz

  • @ngowestanley2535
    @ngowestanley2535 4 года назад +72

    Yanga na timu zingine jifunzeni mpira kucheza,,kutoka chuo cha mpira Simba Sc

  • @freetipseveryday6276
    @freetipseveryday6276 4 года назад +49

    Jaman chama ni wa dunia ipi
    Naombeni mnijibu maana daah
    Simba raha 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @musaking8838
    @musaking8838 4 года назад +16

    Mnyamaaaaaa,,,,,,,,,,,I love you simba sc,

  • @patrickbilago5513
    @patrickbilago5513 4 года назад +22

    Love simba like nyingi kwamnyama

  • @danielmafara7168
    @danielmafara7168 4 года назад +13

    I wish I was in Tanzania , what a game! #nguvumoja my Simba...sijutii kuwa simba

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 4 года назад +7

    Thenx God for your blessing to our team for won the game. #Simbanguvumoja Mungu atuwezeshe tushinde mechi zijazo tena.

    • @asakeith533
      @asakeith533 3 года назад

      I dont mean to be off topic but does any of you know a way to get back into an instagram account..?
      I was stupid forgot the login password. I would appreciate any tricks you can give me.

  • @saidyamiri6131
    @saidyamiri6131 4 года назад +27

    Vile tunaishambulia acounti yetu kibingwa zaidi

  • @YamunguYb
    @YamunguYb 4 года назад +12

    Chamaaaaa Simba Raha

  • @BenMtweve4
    @BenMtweve4 4 года назад +6

    Safii😍😍😍upendo tu kwa chama langu

  • @elishalumwaga2866
    @elishalumwaga2866 4 года назад +8

    Mimi ni yanga ila kwa mpira huu simba mmenikosha(especially Chama) bt tukutane kwa mkapa oct 18 daima mbele nyuma Mwiko🔥

  • @adilgambe6486
    @adilgambe6486 4 года назад +68

    UTO wanataman kusema kuwa Biashara Ni wabovu, lakin wakikumbuka kuwa hata wao walinyooshwa hizo hizo 4 ktoka kwa mnyama 🦁 wanabaki kujisonya tu.

  • @ramaahnaize0190
    @ramaahnaize0190 4 года назад +8

    EWeeee mungu tusimamie na ipe nguvu timu yetu juu ya hii safar ya ligi tuianzayo tysimamie✊💕

    • @khalfanifarisy7445
      @khalfanifarisy7445 4 года назад

      Jiombee Mungu akuongoze umuabudu. Siyo kuomba vitu visivyo na faida kwako kesho Akhera. Dunia mapito, kwa Mungu siyo kwa mzungu. Hata kama ukachukia, ukweli ndio huo. Swali kabla hujaswaliwa.

    • @chescokomba7066
      @chescokomba7066 3 года назад

      masitaha kumi mtajli Tanzania

  • @woltamdete3873
    @woltamdete3873 4 года назад +14

    Next level

  • @seifkhatib4512
    @seifkhatib4512 4 года назад +15

    This is simba

  • @dechaggagirl1614
    @dechaggagirl1614 4 года назад +44

    Kweli kila mchezaji ana umuhimu wake uwanjani nimeamini naangalia izo pasi mara ya nane hii😂😂😂wangapi tumerudia rudia kuwatch gonga like 👇ttwende sawa simba nguvu1💪💪🦁🦁🦁#wearethechampions

  • @fatumaabass7226
    @fatumaabass7226 4 года назад +4

    Nomaaaaaa nguvu moja naomba Moto usipoee wajumbe 🔥🔥👏👏

  • @fbendebende1263
    @fbendebende1263 4 года назад +27

    Luis anavyokimbia Kama umebonyeza kitufe Cha forward kwenye rimot ya deki

  • @emanuelmosses1524
    @emanuelmosses1524 4 года назад +4

    Mechi ilikuwa tamu jana kwakweli,ilikuwa ni mchezo wa nidhamu ya hali ya juu na viwango vya kimataifa,big up kwa chama kubwa SIMBA

  • @linajames2653
    @linajames2653 4 года назад +17

    Hongerreni sana Wachezaji,mungu awatangulie kila mechi tushinde

  • @boazysanga6320
    @boazysanga6320 4 года назад +7

    It's that fantastic team 💪🔥🔥🤞🇹🇿

  • @amanibaleog7408
    @amanibaleog7408 4 года назад +15

    Hao ndo simbaaaaa
    Ni kuwakeraaa tu🤣🤣🔥🦁🦁💪

  • @irenekithojoh4368
    @irenekithojoh4368 4 года назад +6

    Luis co mtu mzr assist 3💪💪

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 4 года назад +5

    Mashabiki wa Simba sports club sisi tuna like tunapenda kazi nzur kama hii waliodislike awo Naona Utoporo watajijuwa wenyewe full seck

  • @jeremiahromward6784
    @jeremiahromward6784 3 года назад +1

    Simba rahaaaaaa Sana kama bado unaiangalia hii gonga like twende sawa

  • @barakamsuya1121
    @barakamsuya1121 4 года назад +3

    Another level,,chamaaaaaaaaaa

  • @jaysonbdst_4685
    @jaysonbdst_4685 4 года назад +53

    Tulio angalia kwenye vibanda umiza na sahii tuko hapa gonga like yako

  • @mbesinghabi1994
    @mbesinghabi1994 4 года назад +3

    This is Simba brothers and sisters

  • @BiasharaKUBWA
    @BiasharaKUBWA 4 года назад +34

    Chama anaumwa nyie sio kwa migoli ile na mi assist ile

  • @lucianjr6807
    @lucianjr6807 4 года назад +23

    Simba imeendeleza wimbi la ushindi

  • @omarichindema6202
    @omarichindema6202 4 года назад +9

    Chama ni balaa

  • @allykibabe8182
    @allykibabe8182 4 года назад +12

    Another level

  • @shabanikamsawa181
    @shabanikamsawa181 4 года назад +110

    Kama umerudia kuangalia zaidi ya mala moja kama mm gonga like hapa tujuane

  • @chidyhood5719
    @chidyhood5719 4 года назад

    Simba will go to be champion of africa

  • @geofreysolomon5954
    @geofreysolomon5954 4 года назад +1

    Miquissone anakimbia jamani hiii kasi ni noma

  • @maikopaulmaiko1900
    @maikopaulmaiko1900 4 года назад +2

    Chama anampenda sana konde boy

  • @sharifumitema4473
    @sharifumitema4473 4 года назад +6

    💪💪💪🦁🦁🦁

  • @wilfredmbussa4930
    @wilfredmbussa4930 4 года назад +2

    Anaye endesha account hii ya RUclips anapaswa kuwa anaandika tareh mwezi na mwaka, akiandika leo, baada ya mwaka mmoja na kuendelea itaendelea kuitwa leo?

  • @davismweli2435
    @davismweli2435 4 года назад

    Kawaida yng kuchelewa ila hii haininyimi haki yakuwapa kongore mashujaa wetu kwa ushindi mnono,ni kama tumeanza ligi rasmi na huu ndio mpira tunaouhitaji sisi kama sisi. Honngereni sana wanarunyasi kwa mpira wa kideoni. Another level.

  • @robertmwenyegoha7463
    @robertmwenyegoha7463 4 года назад

    Chama ni mchezaji hodari sana anaejua nn anafanya na kwa wakati gani tunaona mambo mazito unayo fanya chama big up bro n keep it up

  • @enockbryson8167
    @enockbryson8167 4 года назад +1

    Another level machamion💪💪💪👏👏👏

  • @jumamohamed1318
    @jumamohamed1318 4 года назад +4

    this is SIMBAAAAAAAAAAAAAAA

  • @kisstothevoice6631
    @kisstothevoice6631 4 года назад +6

    Mambo siayo ss

  • @azizjuma7678
    @azizjuma7678 4 года назад

    Chamaaaaaa!!! Jamaa noma sana anajua mpka anakera

  • @smukelomkhize9775
    @smukelomkhize9775 3 года назад

    Simba lpo Vizuri Sana, Wachezaji WA Simba Hata ligi Ya South Africa wanacheza ligi Yetu kidogo lpo Vizuri

  • @joshuaowino2420
    @joshuaowino2420 3 года назад +1

    Simba
    Baba
    Lao

  • @bashirumkoloka2482
    @bashirumkoloka2482 4 года назад +7

    Tunawakeraaaaaaaaaaaaaaa

  • @antonispriani3721
    @antonispriani3721 4 года назад +2

    This is simbaaa 💪 💪

  • @goodlucklinus141
    @goodlucklinus141 4 года назад +2

    Kagereeeee furaha Kama zote😀😀😀😀

  • @haidarikibwana8928
    @haidarikibwana8928 4 года назад +5

    🔥🔥🔥💥💥💥👍👍

  • @josephthomas7056
    @josephthomas7056 4 года назад

    simba nomaaaa nihatari team zingine mjipange

  • @jamesmalegi5682
    @jamesmalegi5682 4 года назад

    Hii ndiyo maana ya next level

  • @hassantwaha5296
    @hassantwaha5296 3 года назад +1

    Pratinam vc simba

  • @venitarugemalila5346
    @venitarugemalila5346 4 года назад +4

    Tanesco nyie mlikaya umeme jmn kigamboni ayaa MK14anatikisa nyaaavu izooo,this is Simba yetu 🥰🤣

  • @emmanuelwangese2649
    @emmanuelwangese2649 4 года назад +1

    Chama roho ya simba !!!

  • @noelynzunda1993
    @noelynzunda1993 3 года назад

    Iko very nice xana

  • @wamoroboy8963
    @wamoroboy8963 3 года назад

    hi n simba brother bendela ya chuma mlingoti chuma show show💪

  • @abasmussa3396
    @abasmussa3396 4 года назад +2

    Fc bayan

  • @emmanuelpoletz6481
    @emmanuelpoletz6481 4 года назад

    Jaman chama n zaid ya hatariiiiiii duuu simba next level tutawakela zaid

  • @jacksonjoakim4115
    @jacksonjoakim4115 4 года назад +11

    Jamani viongozi wetu tunawaomb sana chama aongezewe mkataba mwingine tena wa miaka4 sisi mashabiki tuko tayari kuchangia hizo pesa za mkataba kila mwezi tu nawaomba san

    • @khalfanifarisy7445
      @khalfanifarisy7445 4 года назад

      Hapo mngeambiwa mchangie mambo ya Mungu, mngeropoka sana! Hiyo pesa ya kila mwezi, peleka kwa mayatima Mungu akubariki sana. Ni kosa kubwa kuchangia mpira.

    • @rizikiabely710
      @rizikiabely710 4 года назад

      Kweli hata mimi naunga mkono

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 4 года назад

      @@khalfanifarisy7445 kwani mpira ni dhambi?

    • @khalfanifarisy7445
      @khalfanifarisy7445 4 года назад +1

      @@emmadora7848 Siyo dhambi. Lakini ikiwa utabeti, utabishana, utatukana, utachukia wenzio sababu hizo, ndio husababisha dhambi kubwa. Na kuacha kupuuza mda wa Kuswali.

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 4 года назад

      @@khalfanifarisy7445 nimekupata vizuri kaka

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh203 4 года назад +4

    ALHMDHULILLAH NDILO NENO LANGU

  • @aleymussa5274
    @aleymussa5274 3 года назад

    Simba visisi yang efei

  • @issayamshana3750
    @issayamshana3750 4 года назад

    Kule alikowauliaga Al Ahal ya Misri ndo kawabamiza biashara..... safiii kagere

  • @emmadora7848
    @emmadora7848 4 года назад +3

    Tunashukuru

  • @allysamjo2628
    @allysamjo2628 4 года назад +1

    Alhamdulilah nawashkuru Sana timu yetu kwa kutupa furaha

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 4 года назад +8

    Mpenja upo vzr hata wewe ni wa level nyngne maana sio kwa kututangazia uko

  • @jumamgendy7256
    @jumamgendy7256 4 года назад +7

    Huyu chama ni wa dunia ipi?

  • @josephmyonga2581
    @josephmyonga2581 4 года назад

    Simba Raha sana

  • @hadijamkwawa2049
    @hadijamkwawa2049 4 года назад

    Raha sana simba

  • @shabanimwinchea2696
    @shabanimwinchea2696 4 года назад +2

    Kuitazama simba sc kwa buku 3 ni sawa na dhuluma

  • @isakadavid1767
    @isakadavid1767 4 года назад +1

    Mabingwa wa nchi simba 💪💪💪💪

  • @luluadam3086
    @luluadam3086 4 года назад

    Simba mmenipa raha jana yaan naipend sana simba yangu nkimuona chama,luis,bwalya,morison,kapombe najickia raha sanaa 💪💪💪

  • @agnesvintan1538
    @agnesvintan1538 4 года назад

    Luis Miquison konde Boy sifa ziende kwake😘😘😘

  • @luseshelomwangole3599
    @luseshelomwangole3599 4 года назад +1

    Miqquisonee hatare sana huyu bwana kapika magori matatuu

  • @uwezowamunguutendaokazi3043
    @uwezowamunguutendaokazi3043 4 года назад +1

    AMEN AMEN.

  • @iankrusher2259
    @iankrusher2259 4 года назад

    Chama baba whatever is being said he is a marvel to watch baba

  • @richardchudah5574
    @richardchudah5574 3 года назад

    Fainali

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 4 года назад +1

    Shemj yng Abdull mangalo nn kilikupata mpenzi mnafungwa zote hizo kweli jmn shem

  • @scolamdawalo8788
    @scolamdawalo8788 4 года назад

    Simba

  • @eliaisaya514
    @eliaisaya514 4 года назад

    Chama chama chama pass milioni mia mbili

  • @josephinanikwelimdacki3330
    @josephinanikwelimdacki3330 4 года назад

    Du simba raha sana

  • @kasangakakubwaa1525
    @kasangakakubwaa1525 4 года назад +1

    Simba__ndio team__pekee_inayopiga__mpira_mwingi sanaaaa jaman__ni kichekoo too😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @raphaelgaudence4027
    @raphaelgaudence4027 4 года назад +1

    Show show bendela chuma , mlingoti chumaaaaa

  • @janetyjohn3659
    @janetyjohn3659 4 года назад +1

    Hii ndio game tunayoitakaaaaa!....hakika simba mmetoa burudani............

  • @dausonmyamba3151
    @dausonmyamba3151 2 года назад

    Nice you game

  • @maggefrank3631
    @maggefrank3631 4 года назад +1

    Mmmmh dis iz simbaa acheniii tuwakeree

  • @barakamgovano4962
    @barakamgovano4962 4 года назад

    we are champions

  • @jcbstudioz3793
    @jcbstudioz3793 4 года назад +1

    Kwa simba hii ukinuna unasbabu.hakiyamungu sambusa,biliani,kachori,maziwa asari vinapatikana msimbazi 😁😁💪💪

  • @williamraphael4024
    @williamraphael4024 4 года назад

    Simba rahaaaaaaaaa

  • @michaelsenzela8281
    @michaelsenzela8281 3 года назад

    Yes

  • @ramadhanmwamwa3286
    @ramadhanmwamwa3286 4 года назад +1

    ,,,tuna wakera kidg

  • @barakaruwa6771
    @barakaruwa6771 4 года назад +1

    Simba anang'ata haai!

  • @abdulazizkhamis333
    @abdulazizkhamis333 4 года назад +1

    Morison aliwahi kuwaambia simba ni university of football in tanzania aliliona hilo mapema na sasa watu wale wanakerekaaa na bado mtakereka saaana mwaka huu

  • @makoyerichard5937
    @makoyerichard5937 4 года назад

    Gooooooooooo

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 3 года назад

    Nguvu Moja 🦁🇹🇿

  • @raphaelgaudence4027
    @raphaelgaudence4027 4 года назад

    Simba Nguvu moja Daima

  • @buzakwaya255
    @buzakwaya255 2 месяца назад

    Kama umerud hapa 2024 kutazma Mechi hii gonga like.... we miss this Game 😣😣😣

  • @ezekieladam7007
    @ezekieladam7007 4 года назад

    Simba nguvu moja

  • @josephatsagaswe7886
    @josephatsagaswe7886 4 года назад

    Hiyondo simba braza

  • @jelaakosokos6954
    @jelaakosokos6954 3 года назад

    Waoooooooh