Thanks MK14 kocha ana kila sabab ya kumwanzisha sura ya kaz ,ana uchu na goli ,hachek na kima ,,,,,kama unamkubal kagere weka like hapa watoto wa msimbaz
I dont mean to be off topic but does any of you know a way to get back into an instagram account..? I was stupid forgot the login password. I would appreciate any tricks you can give me.
Jiombee Mungu akuongoze umuabudu. Siyo kuomba vitu visivyo na faida kwako kesho Akhera. Dunia mapito, kwa Mungu siyo kwa mzungu. Hata kama ukachukia, ukweli ndio huo. Swali kabla hujaswaliwa.
Kweli kila mchezaji ana umuhimu wake uwanjani nimeamini naangalia izo pasi mara ya nane hii😂😂😂wangapi tumerudia rudia kuwatch gonga like 👇ttwende sawa simba nguvu1💪💪🦁🦁🦁#wearethechampions
Anaye endesha account hii ya RUclips anapaswa kuwa anaandika tareh mwezi na mwaka, akiandika leo, baada ya mwaka mmoja na kuendelea itaendelea kuitwa leo?
Kawaida yng kuchelewa ila hii haininyimi haki yakuwapa kongore mashujaa wetu kwa ushindi mnono,ni kama tumeanza ligi rasmi na huu ndio mpira tunaouhitaji sisi kama sisi. Honngereni sana wanarunyasi kwa mpira wa kideoni. Another level.
Jamani viongozi wetu tunawaomb sana chama aongezewe mkataba mwingine tena wa miaka4 sisi mashabiki tuko tayari kuchangia hizo pesa za mkataba kila mwezi tu nawaomba san
Hapo mngeambiwa mchangie mambo ya Mungu, mngeropoka sana! Hiyo pesa ya kila mwezi, peleka kwa mayatima Mungu akubariki sana. Ni kosa kubwa kuchangia mpira.
@@emmadora7848 Siyo dhambi. Lakini ikiwa utabeti, utabishana, utatukana, utachukia wenzio sababu hizo, ndio husababisha dhambi kubwa. Na kuacha kupuuza mda wa Kuswali.
Morison aliwahi kuwaambia simba ni university of football in tanzania aliliona hilo mapema na sasa watu wale wanakerekaaa na bado mtakereka saaana mwaka huu
Thanks MK14 kocha ana kila sabab ya kumwanzisha sura ya kaz ,ana uchu na goli ,hachek na kima ,,,,,kama unamkubal kagere weka like hapa watoto wa msimbaz
Baikoko
Yanga na timu zingine jifunzeni mpira kucheza,,kutoka chuo cha mpira Simba Sc
Jaman chama ni wa dunia ipi
Naombeni mnijibu maana daah
Simba raha 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dunia ya mbinguni uyoooo
@@mamutz5479 kwakwel maana sio poa
Anakeraa
@@faithsaulo4289 sanaaa yan naweza kuangalia clip za chama hata mara 100 na nisichoke
Simba
Mnyamaaaaaa,,,,,,,,,,,I love you simba sc,
Love simba like nyingi kwamnyama
I wish I was in Tanzania , what a game! #nguvumoja my Simba...sijutii kuwa simba
Thenx God for your blessing to our team for won the game. #Simbanguvumoja Mungu atuwezeshe tushinde mechi zijazo tena.
I dont mean to be off topic but does any of you know a way to get back into an instagram account..?
I was stupid forgot the login password. I would appreciate any tricks you can give me.
Vile tunaishambulia acounti yetu kibingwa zaidi
Chamaaaaa Simba Raha
Safii😍😍😍upendo tu kwa chama langu
Mimi ni yanga ila kwa mpira huu simba mmenikosha(especially Chama) bt tukutane kwa mkapa oct 18 daima mbele nyuma Mwiko🔥
UTO wanataman kusema kuwa Biashara Ni wabovu, lakin wakikumbuka kuwa hata wao walinyooshwa hizo hizo 4 ktoka kwa mnyama 🦁 wanabaki kujisonya tu.
Kweli kabisa
🤣🤣
Hahaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haaaah haaaaah🤪🤪
EWeeee mungu tusimamie na ipe nguvu timu yetu juu ya hii safar ya ligi tuianzayo tysimamie✊💕
Jiombee Mungu akuongoze umuabudu. Siyo kuomba vitu visivyo na faida kwako kesho Akhera. Dunia mapito, kwa Mungu siyo kwa mzungu. Hata kama ukachukia, ukweli ndio huo. Swali kabla hujaswaliwa.
masitaha kumi mtajli Tanzania
Next level
This is simba
Kweli kila mchezaji ana umuhimu wake uwanjani nimeamini naangalia izo pasi mara ya nane hii😂😂😂wangapi tumerudia rudia kuwatch gonga like 👇ttwende sawa simba nguvu1💪💪🦁🦁🦁#wearethechampions
Mm mpaka saiz bado nairudia ty kuangalia
Kama kaawa
Nataman kama mechi irudie vile
Nomaaaaaa nguvu moja naomba Moto usipoee wajumbe 🔥🔥👏👏
Luis anavyokimbia Kama umebonyeza kitufe Cha forward kwenye rimot ya deki
Simba
😂😂😂😂😂umejua kunifurahisha
Mechi ilikuwa tamu jana kwakweli,ilikuwa ni mchezo wa nidhamu ya hali ya juu na viwango vya kimataifa,big up kwa chama kubwa SIMBA
Hongerreni sana Wachezaji,mungu awatangulie kila mechi tushinde
AAAMIIN
Ukitazama kikosi hiki huwezi kuchoka kuitazama Simba
It's that fantastic team 💪🔥🔥🤞🇹🇿
Hao ndo simbaaaaa
Ni kuwakeraaa tu🤣🤣🔥🦁🦁💪
Xxxxxx video
Luis co mtu mzr assist 3💪💪
Mashabiki wa Simba sports club sisi tuna like tunapenda kazi nzur kama hii waliodislike awo Naona Utoporo watajijuwa wenyewe full seck
Simba rahaaaaaa Sana kama bado unaiangalia hii gonga like twende sawa
Another level,,chamaaaaaaaaaa
Tulio angalia kwenye vibanda umiza na sahii tuko hapa gonga like yako
This is Simba brothers and sisters
Chama anaumwa nyie sio kwa migoli ile na mi assist ile
P
Asente fundi
😂😂
Chama ana kheraaaa uyooo
🤸🤸🤸🤸
Simba imeendeleza wimbi la ushindi
Chama ni balaa
Another level
Kama umerudia kuangalia zaidi ya mala moja kama mm gonga like hapa tujuane
Yani nimeangalia i zaidi ya x5 naludia tyuuu
Kweli I ni shooo shoooo👌🏻
Mwaka huu wataisoma wananchi
Xxxx vdeo
Vdeo xxxx
Samba kiboko yap m. K. Fotin
Simba will go to be champion of africa
Miquissone anakimbia jamani hiii kasi ni noma
Chama anampenda sana konde boy
💪💪💪🦁🦁🦁
Anaye endesha account hii ya RUclips anapaswa kuwa anaandika tareh mwezi na mwaka, akiandika leo, baada ya mwaka mmoja na kuendelea itaendelea kuitwa leo?
Kawaida yng kuchelewa ila hii haininyimi haki yakuwapa kongore mashujaa wetu kwa ushindi mnono,ni kama tumeanza ligi rasmi na huu ndio mpira tunaouhitaji sisi kama sisi. Honngereni sana wanarunyasi kwa mpira wa kideoni. Another level.
Chama ni mchezaji hodari sana anaejua nn anafanya na kwa wakati gani tunaona mambo mazito unayo fanya chama big up bro n keep it up
Another level machamion💪💪💪👏👏👏
this is SIMBAAAAAAAAAAAAAAA
Mambo siayo ss
Chamaaaaaa!!! Jamaa noma sana anajua mpka anakera
Simba lpo Vizuri Sana, Wachezaji WA Simba Hata ligi Ya South Africa wanacheza ligi Yetu kidogo lpo Vizuri
Simba
Baba
Lao
Tunawakeraaaaaaaaaaaaaaa
This is simbaaa 💪 💪
Kagereeeee furaha Kama zote😀😀😀😀
🔥🔥🔥💥💥💥👍👍
simba nomaaaa nihatari team zingine mjipange
Hii ndiyo maana ya next level
Pratinam vc simba
Tanesco nyie mlikaya umeme jmn kigamboni ayaa MK14anatikisa nyaaavu izooo,this is Simba yetu 🥰🤣
Chama roho ya simba !!!
Iko very nice xana
hi n simba brother bendela ya chuma mlingoti chuma show show💪
Fc bayan
Jaman chama n zaid ya hatariiiiiii duuu simba next level tutawakela zaid
Jamani viongozi wetu tunawaomb sana chama aongezewe mkataba mwingine tena wa miaka4 sisi mashabiki tuko tayari kuchangia hizo pesa za mkataba kila mwezi tu nawaomba san
Hapo mngeambiwa mchangie mambo ya Mungu, mngeropoka sana! Hiyo pesa ya kila mwezi, peleka kwa mayatima Mungu akubariki sana. Ni kosa kubwa kuchangia mpira.
Kweli hata mimi naunga mkono
@@khalfanifarisy7445 kwani mpira ni dhambi?
@@emmadora7848 Siyo dhambi. Lakini ikiwa utabeti, utabishana, utatukana, utachukia wenzio sababu hizo, ndio husababisha dhambi kubwa. Na kuacha kupuuza mda wa Kuswali.
@@khalfanifarisy7445 nimekupata vizuri kaka
ALHMDHULILLAH NDILO NENO LANGU
Jamani acheni hadi raha
Simba visisi yang efei
Kule alikowauliaga Al Ahal ya Misri ndo kawabamiza biashara..... safiii kagere
Tunashukuru
Alhamdulilah nawashkuru Sana timu yetu kwa kutupa furaha
Mpenja upo vzr hata wewe ni wa level nyngne maana sio kwa kututangazia uko
Huyu chama ni wa dunia ipi?
Simba Raha sana
Raha sana simba
Kuitazama simba sc kwa buku 3 ni sawa na dhuluma
Mabingwa wa nchi simba 💪💪💪💪
Simba mmenipa raha jana yaan naipend sana simba yangu nkimuona chama,luis,bwalya,morison,kapombe najickia raha sanaa 💪💪💪
Luis Miquison konde Boy sifa ziende kwake😘😘😘
Miqquisonee hatare sana huyu bwana kapika magori matatuu
AMEN AMEN.
Chama baba whatever is being said he is a marvel to watch baba
Fainali
Shemj yng Abdull mangalo nn kilikupata mpenzi mnafungwa zote hizo kweli jmn shem
Simba
Chama chama chama pass milioni mia mbili
Du simba raha sana
Simba__ndio team__pekee_inayopiga__mpira_mwingi sanaaaa jaman__ni kichekoo too😀😀😀😀😀😀😀😀
Show show bendela chuma , mlingoti chumaaaaa
Hii ndio game tunayoitakaaaaa!....hakika simba mmetoa burudani............
Nice you game
Mmmmh dis iz simbaa acheniii tuwakeree
we are champions
Kwa simba hii ukinuna unasbabu.hakiyamungu sambusa,biliani,kachori,maziwa asari vinapatikana msimbazi 😁😁💪💪
Simba rahaaaaaaaaa
Yes
,,,tuna wakera kidg
Simba anang'ata haai!
Morison aliwahi kuwaambia simba ni university of football in tanzania aliliona hilo mapema na sasa watu wale wanakerekaaa na bado mtakereka saaana mwaka huu
Gooooooooooo
Nguvu Moja 🦁🇹🇿
Simba Nguvu moja Daima
Kama umerud hapa 2024 kutazma Mechi hii gonga like.... we miss this Game 😣😣😣
Simba nguvu moja
Hiyondo simba braza
Waoooooooh