Ni kweli na hiyo ni kwa sababu hawapo serious na kazi ya comedy. KAMA COMEDIAN inabidi uumize kichwa hata usiku unaamka unawaza nitachekesha vipi kwa audience inayoenda kunisikiliza siku fulani. Lakin pia mchekeshaji lazima ajue vitu vingi saaana ikiwezekana kila eneo alijue kwa undani ili hata akitengeneza content awe na uwezo wa kuwaus kila jamii ya wau.
Kazi nzuri nakukubali sana wa ukerewe
Your so Good man Congratulations to you
Yn leonardo kwa stand up uachiwe😂😂😂
Nakukubali san mwamba
Duh 4 tena ,mbona kama kasemwa kiongozi
You made it
Wewe uone wewe nani! Inawezekana wewe mwenyewe unamapungufu 😂😂😂😂😂😂
Mbona Kali sana 😅😅😅😅
Daah uyu anajuaa
Best comedian
Ni 😂😂😂😂😂😅😅Fireeee
Hv cm yangu ndo mbovu au make kila nikiplya hz cheka tu za juzi sauti kisoda.. jmn 😢😢
tazama kwenye azam max, hapa Zimezuiliwa sauti kwakuwa nimali ya chekatu.
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Pole
😂😂 Leonardo mtu na nusu
Big up sana dogo
Mie pale pa kondeboy na instagram 😂😂😂😂
Konde na shemegi yetu wanafrah tuu
hii ilikuwa free style
🔥🔥🔥🔥
sauti umexport ktk mono kk inasikika sikio la kushoto
Nanikaona piss nyuma ya waheshiwa?
Big up man
Kama shabiki wa Leonardo, hapa hakumake sense kwa chochote.
Good
Shida Anarudia Condent sana
Na hii ndio tofauti ya Eliudi na Huyu mwamba
Wote wako vizuri ktk Kila mmoja na upekee wake
Ni kweli na hiyo ni kwa sababu hawapo serious na kazi ya comedy.
KAMA COMEDIAN inabidi uumize kichwa hata usiku unaamka unawaza nitachekesha vipi kwa audience inayoenda kunisikiliza siku fulani.
Lakin pia mchekeshaji lazima ajue vitu vingi saaana ikiwezekana kila eneo alijue kwa undani ili hata akitengeneza content awe na uwezo wa kuwaus kila jamii ya wau.
😮😮😮
🎉🎉🎉 💥
sio uwoni cha kuchekesha ujamuolewa
Mim niaona hakuna kitu chochote alichokifanya cha kuchekesha naona kama story2 hapa kazingua hamna kitu hapo
😁😁😁ww unaasiraa
Kafanye na ww kam kuna atacheka hata mmoja
Internet hatuna nape anashughulika na vichekesho dah mtihani huu
Leo hakuna kitu bro alafu sijui inakuwaje siku ambazo hutegemei ndio inakuwa hivyo
Wewe unasema huoni chakucheka unauelewa madogo yule anahitaji akili nyingi
hapo kafeli nae
Kama wew ulivoangalia nichizi pia😮
Mwamba anajua
Hii ya leo sio kiviiiiiiiiiiiiiile
😂😂😂
Kazngua
Itifaki imezingatiwa
unaupga mwing
Mimi Sioni chakuchekesha hapo huyo jamaa ni chizi na wote walio msikiliza ni matahira
Limekushuka
We nd akil umezikalia
Usiwe hivy mwenzio yup kazn
weee ndo chizi
Mbona hasiraa? Tujifunze kutakiana mema,
😂😂😂kakosea sana
Ilaa anajitahid sanaaa
Una stress