Vituko vya Lonardo alivyoanza na mkwara wa ajabu, na kumzalilisha harmonize

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Moja kati ya wachekeshaji waliokuwa wakisubiriwa kwa hamu ni pamoja na leonardo

Комментарии • 119

  • @jackobochisumo6614
    @jackobochisumo6614 4 месяца назад +1

    Kazi nzuri nakukubali sana wa ukerewe

  • @mahungujulius1788
    @mahungujulius1788 4 месяца назад +1

    Your so Good man Congratulations to you

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 5 месяцев назад +9

    Yn leonardo kwa stand up uachiwe😂😂😂

  • @Johnolaizeri
    @Johnolaizeri 5 месяцев назад +11

    Nakukubali san mwamba

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 5 месяцев назад +12

    Duh 4 tena ,mbona kama kasemwa kiongozi

  • @Kautharkabanga
    @Kautharkabanga 3 месяца назад

    You made it

  • @NelbatKasekwa
    @NelbatKasekwa 4 месяца назад +1

    Wewe uone wewe nani! Inawezekana wewe mwenyewe unamapungufu 😂😂😂😂😂😂

  • @JeanLunda-nv5fd
    @JeanLunda-nv5fd 4 месяца назад +1

    Mbona Kali sana 😅😅😅😅

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 5 месяцев назад +6

    Daah uyu anajuaa

  • @DEOMnyukwa
    @DEOMnyukwa 5 месяцев назад +5

    Best comedian

  • @StephanoMofuga
    @StephanoMofuga 3 месяца назад

    Ni 😂😂😂😂😂😅😅Fireeee

  • @AnesyKakwezi
    @AnesyKakwezi 5 месяцев назад +10

    Hv cm yangu ndo mbovu au make kila nikiplya hz cheka tu za juzi sauti kisoda.. jmn 😢😢

  • @Obertan_coolkid-04_
    @Obertan_coolkid-04_ 5 месяцев назад +12

    😂😂 Leonardo mtu na nusu

  • @BaloziKiliwale
    @BaloziKiliwale 5 месяцев назад +2

    Big up sana dogo

  • @priscillachristiansen4331
    @priscillachristiansen4331 5 месяцев назад +2

    Mie pale pa kondeboy na instagram 😂😂😂😂

  • @Luiz6-h6i
    @Luiz6-h6i 5 месяцев назад +6

    Konde na shemegi yetu wanafrah tuu

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 5 месяцев назад +2

    hii ilikuwa free style

  • @kassimkipande1858
    @kassimkipande1858 4 месяца назад

    🔥🔥🔥🔥

  • @emotionwallssimulizi
    @emotionwallssimulizi 5 месяцев назад +4

    sauti umexport ktk mono kk inasikika sikio la kushoto

  • @mountaincoffee7
    @mountaincoffee7 5 месяцев назад

    Nanikaona piss nyuma ya waheshiwa?

  • @snipper4462
    @snipper4462 5 месяцев назад +2

    Big up man

  • @iconlyx2724
    @iconlyx2724 5 месяцев назад +13

    Kama shabiki wa Leonardo, hapa hakumake sense kwa chochote.

  • @MNexNexI
    @MNexNexI 5 месяцев назад +2

    Good

  • @HiziniSimuliziFupi
    @HiziniSimuliziFupi 5 месяцев назад +3

    Shida Anarudia Condent sana
    Na hii ndio tofauti ya Eliudi na Huyu mwamba

    • @MaligaSamwel
      @MaligaSamwel 5 месяцев назад

      Wote wako vizuri ktk Kila mmoja na upekee wake

    • @alakhy9448
      @alakhy9448 5 месяцев назад

      Ni kweli na hiyo ni kwa sababu hawapo serious na kazi ya comedy.
      KAMA COMEDIAN inabidi uumize kichwa hata usiku unaamka unawaza nitachekesha vipi kwa audience inayoenda kunisikiliza siku fulani.
      Lakin pia mchekeshaji lazima ajue vitu vingi saaana ikiwezekana kila eneo alijue kwa undani ili hata akitengeneza content awe na uwezo wa kuwaus kila jamii ya wau.

  • @SimonMengi
    @SimonMengi 4 месяца назад

    😮😮😮

  • @meshackmbilinyi6196
    @meshackmbilinyi6196 5 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉 💥

  • @abdulikibembi
    @abdulikibembi 5 месяцев назад +1

    sio uwoni cha kuchekesha ujamuolewa

  • @hussenihamisi2862
    @hussenihamisi2862 5 месяцев назад +1

    Mim niaona hakuna kitu chochote alichokifanya cha kuchekesha naona kama story2 hapa kazingua hamna kitu hapo

  • @maase2023
    @maase2023 5 месяцев назад

    Internet hatuna nape anashughulika na vichekesho dah mtihani huu

  • @issakisalu9237
    @issakisalu9237 5 месяцев назад +2

    Leo hakuna kitu bro alafu sijui inakuwaje siku ambazo hutegemei ndio inakuwa hivyo

  • @ADABETHFUNGAMWANGO
    @ADABETHFUNGAMWANGO 3 месяца назад

    Wewe unasema huoni chakucheka unauelewa madogo yule anahitaji akili nyingi

  • @SamSon-wd2ri
    @SamSon-wd2ri 5 месяцев назад +1

    hapo kafeli nae

  • @MwajumaShabani-n1s
    @MwajumaShabani-n1s 5 месяцев назад +1

    Kama wew ulivoangalia nichizi pia😮

  • @AnoldNyombwe
    @AnoldNyombwe 4 месяца назад

    Mwamba anajua

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles 5 месяцев назад +3

    Hii ya leo sio kiviiiiiiiiiiiiiile

  • @Josephkp629
    @Josephkp629 5 месяцев назад +1

    😂😂😂

  • @miso-bg2xl
    @miso-bg2xl 5 месяцев назад +1

    Kazngua

  • @stevejohansen6246
    @stevejohansen6246 5 месяцев назад +2

    Itifaki imezingatiwa

  • @ALOYCEKULWA-u7x
    @ALOYCEKULWA-u7x 5 месяцев назад

    unaupga mwing

  • @YohanaemchomvuMchomvu
    @YohanaemchomvuMchomvu 5 месяцев назад +24

    Mimi Sioni chakuchekesha hapo huyo jamaa ni chizi na wote walio msikiliza ni matahira

  • @callicevallice7383
    @callicevallice7383 5 месяцев назад +2

    😂😂😂kakosea sana

  • @bigboys016
    @bigboys016 5 месяцев назад

    Una stress