HAYA NDIO MAAJABU MAKUBWA YALIOTOKEA KWENYE HARUSI YA MTOTO WA KANALI MSTAAFU WA ZANZIBAR
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- KARIBU UKITAKA KUFANYIWA SHUHULI YAKO IFANE KAMA VILE HARUSI,MAULID,URADI,MAKONGAMANO N.K TUTAFUTE NA PIA ITAKUWA LIVE KATIKA MITANDAO YA KIJAMII NA KUKUFUNGIA TV KWENYE UKUMBI UNAO FANYIA SHUHULI SIM +255 777 122 543 KARIBU SANA
Mumependeza mashaallah
Mashaallah
Umependeza
Ukaishi
Salama
Salimini❤🎉
Mashaallah
Umependeza
Ukaishi
Salama
Salimini
Hii sherehe wivu tu
MashaAllah amependeza ❤
Mashaalah harusi nzuri,hakuna mma asotaka mwanawe aolewe ,kila mzazi anataka mwanawe afurahie
Nyiny waislam ynn kujitow mpk kweny you're
Tuisome dini yetu jamani ili tuokoke na adhabu ya Allah ,mwmke haitakiwi kuonesha mapambo yake hadharani, sisi tunafanya nini? Itaki llah
❤❤❤mudumu kwenye ndoa yeen inshLlah
Mashaalha
MashaAllah iwe ya heri InshaAllah
Mashaaallah
MashaAllah umechorwa vizur pikoo
Kudhihirisha mapambo hio ndio mtihani wake
Mashallah mungu 🙏 awajalie maakazi mema
Maisha mem dad mukaish mujukuu muzikane lkn so vzr kujituma mitandaoni haipendez kabisa
Mashaalah ongerahs ❤❤❤❤❤❤
Masha Allah
Zanzibar kwetu lakini harusi za skuhizi imekuwa kama bi harusi ni balozi wa tangazo flani
Maxhaaallah
Waislamu acheni mambo ya kujidhalilisha,huo sio ustaarabu wa kiislam
Umeona we,hapo angetakiwa awe Tu na mume wake,Akisha kuomba dua wasal rakaa mbili then wanywe maziwa hivyo ndivyo Mtume wetu SAW alikuwa akifanya.Sasa wamejazana chumba kuzima duh!
@@maccabilal4868 kweli kabisa lnk saiv waislamu thnaziharibu ndoa zetu
@@maccabilal4868 Na hili la kutangazana mitandaoni ni haramu kubwa ila pesa inashetani sana
Na ndio maana ndoa nying hazidumu kw hußda za wa2
Waangalie ndoa za zaman zilikuw hazina mashangwe ila mpaka Leo mashaa allah ila za Sasa ndoa zinafanywa mpaka zaid ya pesa kibao na hawafik ata mwaka wengn wamezd miaka m3 yaan mitihan 2
❤
Na mkigombana pia jirusheni mitandaoni tuwaone
Ndiohapoo
❤❤❤❤🎉
Masha Allah lkn haifai kujianika mitandaon kidha mke wamtu
Mwenzangu ndioyalipo hayo sikuhizii,Astaghafirullah
Mama wifi
Ajabu niliyoiona ni kuodhihirisha mapambo dunia Nani kharam halafu tunamtafuta sababu za sikuhizi kwanini zinafunjika hazidumu sababu kubwa tunachanganya kharamu ktk khalali ndio mtihani unapianzia Allah awajaalie wadumu ktk ndoa Yao na subra kubwa huo ni ushauri Tu na maajabu niliyo yaona
Huyu mwanaume mjinga Sana
Nice
Hakika haipendezi
Mtihani huu waislam tumejisahau kwa kweli hatujui nn tunafanya mambo haya ya wenzetu lkn ss sisi tumekuwa ndio watu wa mbele kutenda dhambi allah. Atustiri lkn mtihani tunao
No dhambi in celebrating wedding
Wivu huo 😂
😂
haipendez muislam mke wa mtu umezagaa mtandaon kama hiv
Mmmh! Wivu huo😂😅
❤❤😂😂
Masha Allah
Ovyo ovyo wapenda ulimwenguuu kama makafir vile
Haaaaaa yangu macho ila mtihani
Limbukeni haya si maadili ya kiislamu.Mcheni Allah. Hayo mufanyao mitandaoni si sifa bali ni kujikashifu paruanja.
Hata haipendez ovyo
@@hassanbinsalman1437maadil y kiislam huku unafanya nini
❤❤