Je, Unamjua Jirani Yako?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Je unamfahamu jirani yako vyema? Kufwatia visa vya ubakaji au hata utekaji nyara, famila nyingi sasa zimeamua kujitenga na majirani wao katika juhudi za kujikinga, hivi idadi kubwa ya wakenya hawana habari kuhusu tabia au mienendo ya majirani zao. Ni mwenendo ambao unaonekana kutoa nafasi kwa wahalifu ambao sasa hawana hofu ya kujificha katikati mwetu. Mwanahabari Esther Kahumbi alizuru tena mtaa wa Githurai ambapo washukiwa wawili wa ugaidi waliuwawa na maafisa wa polisi juma lililopita.

Комментарии • 16

  • @bhokejulian7385
    @bhokejulian7385 6 лет назад +1

    That's why sometimes I like Mwalimu Nyerere the late president of Tz ishi kama ndugu

  • @Giithiomi
    @Giithiomi 6 лет назад +4

    Best thing is to befriend the house maids. They will tell you everything

  • @boerandemo7766
    @boerandemo7766 6 лет назад +3

    That's scene of crime, should be cordoned off boundaries!

  • @thuraku
    @thuraku 11 лет назад +5

    Good reporting Esther.As always,CitizenTV on top of the game.

  • @fahadsanad4163
    @fahadsanad4163 4 года назад

    Waa wenye landi chukueni id number .na mjue mtu kwenye anatoka

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee 6 лет назад +2

    Huku ugerumani jina kwa mlango um Google.

  • @ritanget9174
    @ritanget9174 3 года назад

    Hii tabia huwa iko Nairobi ya watu kukaa bila kujuana njooni mombsa huwezi ishi na mtu humji mombasa mpaka ujue jirani anafanya ini

  • @goleadgolead4044
    @goleadgolead4044 4 года назад

    Ata mm sijui jirani wangu

  • @fundimwenyewe7925
    @fundimwenyewe7925 6 лет назад +1

    Quite informative

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 лет назад

    Mimi pia siwajui majirani wangu

  • @beatriceomino7321
    @beatriceomino7321 6 лет назад

    Pia mm sijui

  • @tonneyodhiambo6482
    @tonneyodhiambo6482 6 лет назад

    Pia mimi siwajui majirani wangu

  • @tonneyodhiambo6482
    @tonneyodhiambo6482 6 лет назад

    Pia mimi siwajui majirani wangu