Huu upuuzi nchi hii sasa umezidi; hivi kweli umpeleke ktk tribunal ya kimataifa huyu mbumbumbu asiyeweza hata kusoma/kutamka tu maneno?? Huu ubabaishaji sasa hauna haya hata chembe, hata pale ambapo ni fedheha kwa nchi na dada Kahendaguza mwenyewe na ofisi alikotoka!
Tuli Compromise on the quality of Our Education &This is now the Results. Very poor in even Reading "the so called DICTATION" Tuendelee Tu, kucheza Mifumo.
Ni kweli kuhusu poor education lakini tatizo jingine ni taasisi za serikali kuajiri kutokana na Nani anamjua nani (Nepotism); na sio kutokana na ukweli kuwa anayeajiriwa anakidhi viwango na vigezo vinavyohitajika. Matokeo ya Kuajiri Watoto wa Shangazi na Mjomba 😢
😂😂😂😂😂 mawakili hawa au Mawakala ?? Pthioo mbona kinyaaaa ??? Aibu aiseeee. Hivi hatuna wanasheria wazuri hata wa kujitegemea ?? Wakatutetee kwenye kesi kubwa kama hizi ??? Lazima tupeleke hawa wa Ofisi za serikali ambao hawana uzoevu wa kesi za kimataifa ?
Jaman kweli hiz ajila tunapeana sasa hawa ni wanasheria
why would a learned friend go to a court to read a written statement? tanzania tunafeli wapi?
Tanzania kweli jamani, mbona hii mbombo ngafu. Hakuna kesi ya kimataifa tutashinda sisi.
Huu upuuzi nchi hii sasa umezidi; hivi kweli umpeleke ktk tribunal ya kimataifa huyu mbumbumbu asiyeweza hata kusoma/kutamka tu maneno?? Huu ubabaishaji sasa hauna haya hata chembe, hata pale ambapo ni fedheha kwa nchi na dada Kahendaguza mwenyewe na ofisi alikotoka!
Msomaji mwenyewe anatetemeka, tatizo vilaza ndio wamejaa serikali
Sasa huyu wakili atashindaje kesi kwa kutetemeka huku
Tuli Compromise on the quality of Our Education &This is now the Results. Very poor in even Reading "the so called DICTATION" Tuendelee Tu, kucheza Mifumo.
"DICTATION"
Ni kweli kuhusu poor education lakini tatizo jingine ni taasisi za serikali kuajiri kutokana na Nani anamjua nani (Nepotism); na sio kutokana na ukweli kuwa anayeajiriwa anakidhi viwango na vigezo vinavyohitajika. Matokeo ya Kuajiri Watoto wa Shangazi na Mjomba 😢
😂😂😂😂😂 mawakili hawa au Mawakala ?? Pthioo mbona kinyaaaa ??? Aibu aiseeee. Hivi hatuna wanasheria wazuri hata wa kujitegemea ?? Wakatutetee kwenye kesi kubwa kama hizi ??? Lazima tupeleke hawa wa Ofisi za serikali ambao hawana uzoevu wa kesi za kimataifa ?
MTU ANATETEMEKA HATA KUSOMA Tu,
Let's Change the Way of Conducting Yale Mambo Yetu!.
These Tanzanians Lawyers had very weak arguments.....
Hii ni kesi ya nini ?
Anzia day 1 video 1 utajua jinsi tulivyochapwa
Mines.
Migodi
Isaacs, Wewe nimekukubali!!!.
Kama uko Uganda vile●
Ya Lile Shamba La Bibietu la Tangu Enzi za Mzee Ruksa 😂
Hawa wabaki na kesi za mipaka ya shamba Tanzania. Hivi viwango hawaviwezi. Shule ndogo mno.
HAPANA, Hii Level ni ya Chini Mno hata za Mipaka bado!!!.
@@africaonechannel1289 😀