KWANINI TUNATOA SADAKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • 🔥Subscribe#Motomoto#Tv#Mwaka 2023 ni Mwaka wa Roho.... Pentecostal Motomoto Church Dare Es Salaam Wilaya ya Kinondoni Kata ya Boko Mtaa Boko Mnadani.Karibu Nyumba ya Makimbilio.Tunamwona Yesu Kristo Kila Siku Akiwafungua Watu mbalimbali Wenye Matatizo Ambayo yameshindikana Kwa akili zakibinadamu Yesu anawaweka Hulu Kabisa.Walete Wagonjwa na Wenye shida Mbalimbali Yesu mtenda Miujiza Yupo Hadi Sasa Anakusubili Wewe Uje upokee uponyaji wako.
    RATIBA ZA IBADA
    🔥⛪(1) Jumapili Saa 3:00 Asubuhi Bible study na Baada ya Bible study Kusifu na Kuabudu.Pamoja na Ibada kuu
    🔥⛪(2) Juma nne Saa 9:00.Jioni Ibada ya Idara ya Wamama
    🔥⛪(3) Juma tano Saa 9:00 Ibada ya Kanisa Zima Haibagui Dini Wala kabila Yeyote anakaribishwa ni Ibada ya Mafundisho ya Neno la Mungu Bible study
    🔥⛪(4) Alhamisi Saa 9:00 Ibada inayo ongozwa na Idala ya Vijana Kwa Kijana Yoyote anakaribishwa Haichagui Dini Wala kabila
    🔥⛪ (5) Ijumaa Mkesha wa Maombi Kuanzia Saa 6:00 Usiku na Kuendelea Hii ni Kwa Watu Wote Njoo umweleze Yesu shida zako Njoo Tuombee Ndugu zetu Rafiki zetu Tuliombee Taifa Letu la Tanzania Njoo Tupaze sauti Kwa Yesu.ipo Nguvu ya Ukombozi Katika Maombi.
    🔥⛪(6) Jumamosi Saa 8:00 Mchana Maombi na Maombezi Kwa Wote na Kwa Mtu Mmojammoja na Utaonana Live na Mtumishi wa Mungu Askofu Eliasaph Mattayo. Mungu anamtumia kwajili ya Mimi na Wewe
    KARIBU NYUMBA YA MAKIMBILIO
    MWAKA 2023 NI MWAKA WA ROHO
    Mawasiliano+255 (0) 655501202
    (Worship With us)
    RUclips Motomoto Tv 🔥🙏
    Chini ya Askofu Mkuu Ezra Mtamya na Askofu Mkuu wa Jimbo la Mashariki Eliasaph Mattayo

Комментарии •