Sioni mkisaidia chochote ata mruke juu mkuje chini hakuna kitu mtabadilisha hakuna hata moja hivyo ndivyo imepangwa hakuna kupanguliwa mtachotewa pia nyinyi fungu lenu kenya tumezoea hatuna wa kututetea Mimi nimekubali kila kitu wacha tufe kama tunakufa yote yatapita
Azimio tulieni hapo hapo ruto anapeleka Kenya vizuri ikifika 22% pesa itakua kila mahali Kenya
Sioni mkisaidia chochote ata mruke juu mkuje chini hakuna kitu mtabadilisha hakuna hata moja hivyo ndivyo imepangwa hakuna kupanguliwa mtachotewa pia nyinyi fungu lenu kenya tumezoea hatuna wa kututetea Mimi nimekubali kila kitu wacha tufe kama tunakufa yote yatapita