Mutukula ulikuwa unatoka wapi? Ulikwenda kutembea au kikazi? Mimi nilikuwa napita Mutukula nikiwa nakwenda nyumbani, wakati tulipokuwa tunazunguka kupita Kenya na Uganda kwenda Bukoba!
Dada mm nina passport nina nauli nina kitambulisho cha nida nina Driving licence nina tin number nimejisajili brella maana nafanya kajibiashara kadogo kwaujumla vitu muhimu ninavyo ninchotaka ni jinsi ya kupata mtu wa kunitafutia kibali cha kazi yoyote nipo tayali kumlipa
kabla ya kutafuta mtu huyo ni vyema kwanza kujua unachotaka kwenda kufanya, hata kwenye maombi ya kibali cha kazi ni lazima useme una ujuzi gani au elimu gani ya kazi husika @@johnochora8438
@@MwalimuShaurishikamo dada hongera sana dada yangu unafanya kazi nzuri sana kiukweli nimejifunza mambo mengi kupitia wewe kuhusu kwenda nje ya nchi.... dada naomba unisaidie jinsi ya kupata Kigali cha kaxi au naweza kwenda kwa tourist visa then nikifika huko natafuta kaxi nikipata narudi tanzania kwa ajili ya kibali kingine ....? Nisaidie njia dada vitu vyote vya muhimu kuhusu passport ,pesa ya kujikimu ninayo ...asante
Nimelipenda somo
asante sana kwa mrejesho
Dogo napenda unaongea kiswaili kizr mnooo haujakaa kama wengine wanaoenda huko nchi za mwenyewe
Kiswahili ni lugha yangu kwahiyo siwezi kuacha kuiongea @@MiriamAbdallah
Ubarikiwe sana
Amina, na wewe pia
Tunaomba yako ya whatsap dada please
@@johnochora8438 niandikie kupitia instagram yangu @mwalimu__shauri
Ahsante sana Mwalimu kwa ufafanuzi wako.
asante kwa kushukuru
Hongera sanaa dada
shukrani sana
Asante sana dada yetu.
Nashukuru pia kwa ushirikiano wako
Mambo dada ? Er du i Oslo eller Bergen?
Nei, jeg er i Kristiansand. Er du in Norge også?
Dada mm naomba kujua hii ofisi ya kushuhukia visa hapa Dsm ipo wapi
Ipo Posta jengo linaitwa Maktaba square, ghorofa ya 4
Nielekeze namna ya kuomba kibali cha kazi
Sawa, ninafanyia kazi
Mutukula ulikuwa unatoka wapi? Ulikwenda kutembea au kikazi? Mimi nilikuwa napita Mutukula nikiwa nakwenda nyumbani, wakati tulipokuwa tunazunguka kupita Kenya na Uganda kwenda Bukoba!
ilikuwa ni safari kwa ajili ya interview
Dada mm nipo tayari nipo nahitaji mtu wa kunifanyia proses hapa Dar
Umefikia hatua gani? Hongera sana
Dada mm nina passport nina nauli nina kitambulisho cha nida nina Driving licence nina tin number nimejisajili brella maana nafanya kajibiashara kadogo kwaujumla vitu muhimu ninavyo ninchotaka ni jinsi ya kupata mtu wa kunitafutia kibali cha kazi yoyote nipo tayali kumlipa
kabla ya kutafuta mtu huyo ni vyema kwanza kujua unachotaka kwenda kufanya, hata kwenye maombi ya kibali cha kazi ni lazima useme una ujuzi gani au elimu gani ya kazi husika
@@johnochora8438
Samahani dada unaweza nipe namb yako samahani lakn
Naomba uniandikie kupitia instagram yangu @mwalimu__shauri
Sorry madam,
Can i have your email please?
asnatshauri@gmail.com
@@MwalimuShaurishikamo dada hongera sana dada yangu unafanya kazi nzuri sana kiukweli nimejifunza mambo mengi kupitia wewe kuhusu kwenda nje ya nchi.... dada naomba unisaidie jinsi ya kupata Kigali cha kaxi au naweza kwenda kwa tourist visa then nikifika huko natafuta kaxi nikipata narudi tanzania kwa ajili ya kibali kingine ....? Nisaidie njia dada vitu vyote vya muhimu kuhusu passport ,pesa ya kujikimu ninayo ...asante