Kaa Hapa Episode 7 Diamond

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • KAA HAPA ni kipindi maalumu kinachorushwa kila jumatano na jumamosi ndani ya TBC1 kuanzia saa 4 kamili usiku. Hiki ni kipindi kilichoanzishwa na msanii nguli Nchini Tanzania Mrisho Mpoto. Lengo la Mpoto kuanzisha kipindi hiki ni kuwaleta pamoja serikali(watawala) na Wananchi (watawaliwa). Hili ni jukwaa la wananchi kusemea shida zao, ni jukwaa pia kwa viongozi wa serikali kutolea ufumbuzi kero za wananchi wa Tanzania. Kwenye kipindi hiki wanaalikwa viongozi wa serikali, wasanii, wafanyabiashara, wananchi wa kawaida, wakurugenzi wa taasisi mbalimbali na watu wengine maarufu ili kujadili mambo mbali mbali kwenye jamii. Huu ni mchango wa Mpoto kama msanii kwa taifa lake.
    Directed by Tony John
    TANZANIA NI YETU SOTE.

Комментарии • 153