RATIBA YA CHANJO NA DAWA ZA KUKU NA BATA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Ratiba ya chanjo kwa kuku ni muhimu kuzingatiwa kwa Afya ya kuku wako.
    #chanjozakuku #magonjwayakuku
    ✍️ Tangu siku 1 kuku a nahitaji uangalizi mkubwa Sana. Zingatia chanjo muhimu za kuku na ratiba zake.
    ✍️ Chanjo ya Newcastle AU Kideri/Mdondo, chanjo ya Gumboro na Chanjo ya ugonjwa Ndui/Fowl pox
    ✔️Zingatia mambo muhimu kabla ya kutoa chanjo ya kuku. Fuatilila video hizi👇
    • Chanjo za kuku

Комментарии • 43

  • @MaikoMngongo
    @MaikoMngongo Месяц назад +1

    Chanjo ya kwanza kwa kuku sasso wanapewa wakiwa na sikungapi banda ya kuingia bandani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      Kuku wote ratiba ya chanjo ni Moja . Ukiangalia iyo video inaoensha ratiba nzima tangu siku ya 1 Hadi wiki 8

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      Kuku wote ratiba ya chanjo ni Moja . Ukiangalia iyo video inaoensha ratiba nzima tangu siku ya 1 Hadi wiki 8

  • @NassorMbarouk-qq1rd
    @NassorMbarouk-qq1rd Год назад

    Nakama haija fanya kazi nijue nifeki

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Zingatia mmbo muhimu wakati wa chanjo

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 3 месяца назад +1

    Chanjo hupewa mda gani yaani asubuhi au juoni

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 месяца назад

      Kati ya asbh AU jioni lakini si mchana

  • @SalmaHaji-kp3ol
    @SalmaHaji-kp3ol 3 месяца назад +1

    Asanteen kwa mafunzo mazuri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 месяца назад

      Barikiwa pia

  • @eliphersmlahagu9907
    @eliphersmlahagu9907 24 дня назад

    Nahitaji kujua namna ya kutunza vifaranga wa kienyeji kuanzia siku ya kwanza

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  24 дня назад

      Ok fuatilia video hii itakusaidia Sana ndugu
      ruclips.net/video/bj5xRWqzhhM/видео.html

  • @AgnelaWilbard
    @AgnelaWilbard 10 месяцев назад +1

    Asante Kwa SoMo zuri,swali Kwa wale kuku wakubwa ambao hawakupatiwa chanjo ya gumboro walivyokuwa wadogo ninaweza kuwapa chanjo ya gumboro

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  10 месяцев назад

      Hapana kama hukuwapa basi. Pia kama hawakuumwa hawaaumwa ao wakubwa

  • @laurentzacharia1563
    @laurentzacharia1563 Год назад +1

    Kuku wangu Tetea alitoto vifaranga 15 lakini Toka niwachanje chanjo ya Newcastle wanakufa tu na saizi wamebaki vifaranga nane(8) na Wana muda wa siku kumi je nifanye nini? Au ni ugonjwa gani Niko mwanza

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Pole Sana ndugu uliwapa lishe bora, vitamin je. Na ni wa kienyeji au

  • @reginaluhombo6483
    @reginaluhombo6483 Год назад +1

    Basi ndio maana kuku wangu wakifikisha miezi 2 wanapungua uzito kwa kasi sana wanashindwa kula hatimae wanaanza kufa kwa siku unapata vifo zaidi ya I huenda sababu ni hii huwa nawachoma ndui kabla ya kuwapa minyoo kumbe ni minyoo kwanza halafu ndui. Asante bado najifunza

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Pole Sana TUENDELEE Kujifunza pia🙏🏿🤝✍️

  • @upendogodlove7168
    @upendogodlove7168 Год назад +1

    Msaada kuku wangu wanadhoofu Hadi kufa ila nmempasua ndani mapafu una maji na ini limevimba msaada wako kujua ni ugonjwa gani na Tina yke ni nini

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад +1

      Pole Sana ndugu. NGOJA tutalifanyia kaz✍️🙏🏿

  • @upendoelisha9880
    @upendoelisha9880 Год назад +1

    Samahani mimi nimewatoa vifaranga wangu kwa mama yao Wana wiki mbili nianze kuwapa dawa ipi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Chanjo apo vp uliwapa

  • @gracemkumbwa8937
    @gracemkumbwa8937 Год назад +1

    Antibiotics gani za kuwapa kuanzia wiki ya kwanza na kuendelea

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Chanjo tu na vitamins wiki 4 za mwanzo. Jifunze ratiba za chanjo za kuku

  • @obadiakurwijila4165
    @obadiakurwijila4165 Год назад +1

    Kuku wangu huvimba macho Nini dawa yake na NI ugonjwa gani huo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Kuku kuvimba Macho hutofrutiana na Aina za uvimbaji wake. Kwa Aina mbalimbali za matatizo ya Macho na dawa zake fuatilila video hii
      ruclips.net/video/V_OsGbOnjgA/видео.html

  • @jacksonniyonsaba9527
    @jacksonniyonsaba9527 Год назад +1

    Chaanjo ya Mareks vipi?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Kama kuku wametotolewa kwa mashine kama watotolewa na mama yao waweza acha tu

  • @mujunierick4388
    @mujunierick4388 Год назад +1

    Naulizia sijaona mkisema ugonjwa wa cossidiosis jaman kwenye hyo miezi miwili

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад +1

      Sawa Sawa japo uo ugonjwa unatibika tu. Apa tumeangalia magonjwa yasiyoweza tibika. Maaana kuku akipatwa na ayo kifo kina muhusu

    • @mujunierick4388
      @mujunierick4388 Год назад +1

      @@AGALUSTV asanteni

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Barikiwa Sana ndugu

    • @alicechibanhila3208
      @alicechibanhila3208 11 месяцев назад +1

      Wapi napata bruda maana ninayumia Banda lilitengenezwa Kwa ajili ya sungura. Baada ya kushindws ndio nimegeuza kufugia kuku . Lina partion 4 kubwa.
      Nimeliziba pembwrni hivyo ucku hawapati baridi na asbh natoa hizo partion.
      Asante Kwa masomo. Ni mstaafu nataka nijikite kwenye ufugaji.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 месяцев назад

      Karibu Sana ndugu ktk ufugaji. Bruda tunatengeneza wewe mwenyewe tu

  • @froline5209
    @froline5209 Год назад +1

    Glucose iko ya kuku ama ni hii ya binadamu tunatumia.?

  • @Irene-bz6zz
    @Irene-bz6zz Год назад +1

    Asante sana, sijui nakwama wapi chanjo nawapa lakini kifo kiko palepale jamani shda n nn?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Pole Sana ndugu apo hatujui usafi na Mrzingira ya Banda lako. Pia jitaidi kuimalisha Kinga ya kuku kwa tiba za asili ni muhimu Sana

    • @Irene-bz6zz
      @Irene-bz6zz Год назад +1

      @@AGALUSTV asante, ngoja nijitahudi kuwafatilia kila leo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Barikiwa sana

    • @priscuskimario9813
      @priscuskimario9813 Год назад +1

      Heri ya mwakampya

    • @priscuskimario9813
      @priscuskimario9813 Год назад

      VIP jamani kuusu jee ugonjwa was ndui nao unatesaga Sana watu