RATIBA YA CHANJO NA DAWA ZA KUKU NA BATA
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Ratiba ya chanjo kwa kuku ni muhimu kuzingatiwa kwa Afya ya kuku wako.
#chanjozakuku #magonjwayakuku
✍️ Tangu siku 1 kuku a nahitaji uangalizi mkubwa Sana. Zingatia chanjo muhimu za kuku na ratiba zake.
✍️ Chanjo ya Newcastle AU Kideri/Mdondo, chanjo ya Gumboro na Chanjo ya ugonjwa Ndui/Fowl pox
✔️Zingatia mambo muhimu kabla ya kutoa chanjo ya kuku. Fuatilila video hizi👇
• Chanjo za kuku
Chanjo ya kwanza kwa kuku sasso wanapewa wakiwa na sikungapi banda ya kuingia bandani
Kuku wote ratiba ya chanjo ni Moja . Ukiangalia iyo video inaoensha ratiba nzima tangu siku ya 1 Hadi wiki 8
Kuku wote ratiba ya chanjo ni Moja . Ukiangalia iyo video inaoensha ratiba nzima tangu siku ya 1 Hadi wiki 8
Nakama haija fanya kazi nijue nifeki
Zingatia mmbo muhimu wakati wa chanjo
Chanjo hupewa mda gani yaani asubuhi au juoni
Kati ya asbh AU jioni lakini si mchana
Asanteen kwa mafunzo mazuri
Barikiwa pia
Nahitaji kujua namna ya kutunza vifaranga wa kienyeji kuanzia siku ya kwanza
Ok fuatilia video hii itakusaidia Sana ndugu
ruclips.net/video/bj5xRWqzhhM/видео.html
Asante Kwa SoMo zuri,swali Kwa wale kuku wakubwa ambao hawakupatiwa chanjo ya gumboro walivyokuwa wadogo ninaweza kuwapa chanjo ya gumboro
Hapana kama hukuwapa basi. Pia kama hawakuumwa hawaaumwa ao wakubwa
Kuku wangu Tetea alitoto vifaranga 15 lakini Toka niwachanje chanjo ya Newcastle wanakufa tu na saizi wamebaki vifaranga nane(8) na Wana muda wa siku kumi je nifanye nini? Au ni ugonjwa gani Niko mwanza
Pole Sana ndugu uliwapa lishe bora, vitamin je. Na ni wa kienyeji au
Basi ndio maana kuku wangu wakifikisha miezi 2 wanapungua uzito kwa kasi sana wanashindwa kula hatimae wanaanza kufa kwa siku unapata vifo zaidi ya I huenda sababu ni hii huwa nawachoma ndui kabla ya kuwapa minyoo kumbe ni minyoo kwanza halafu ndui. Asante bado najifunza
Pole Sana TUENDELEE Kujifunza pia🙏🏿🤝✍️
Msaada kuku wangu wanadhoofu Hadi kufa ila nmempasua ndani mapafu una maji na ini limevimba msaada wako kujua ni ugonjwa gani na Tina yke ni nini
Pole Sana ndugu. NGOJA tutalifanyia kaz✍️🙏🏿
Samahani mimi nimewatoa vifaranga wangu kwa mama yao Wana wiki mbili nianze kuwapa dawa ipi
Chanjo apo vp uliwapa
Antibiotics gani za kuwapa kuanzia wiki ya kwanza na kuendelea
Chanjo tu na vitamins wiki 4 za mwanzo. Jifunze ratiba za chanjo za kuku
Kuku wangu huvimba macho Nini dawa yake na NI ugonjwa gani huo
Kuku kuvimba Macho hutofrutiana na Aina za uvimbaji wake. Kwa Aina mbalimbali za matatizo ya Macho na dawa zake fuatilila video hii
ruclips.net/video/V_OsGbOnjgA/видео.html
Chaanjo ya Mareks vipi?
Kama kuku wametotolewa kwa mashine kama watotolewa na mama yao waweza acha tu
Naulizia sijaona mkisema ugonjwa wa cossidiosis jaman kwenye hyo miezi miwili
Sawa Sawa japo uo ugonjwa unatibika tu. Apa tumeangalia magonjwa yasiyoweza tibika. Maaana kuku akipatwa na ayo kifo kina muhusu
@@AGALUSTV asanteni
Barikiwa Sana ndugu
Wapi napata bruda maana ninayumia Banda lilitengenezwa Kwa ajili ya sungura. Baada ya kushindws ndio nimegeuza kufugia kuku . Lina partion 4 kubwa.
Nimeliziba pembwrni hivyo ucku hawapati baridi na asbh natoa hizo partion.
Asante Kwa masomo. Ni mstaafu nataka nijikite kwenye ufugaji.
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji. Bruda tunatengeneza wewe mwenyewe tu
Glucose iko ya kuku ama ni hii ya binadamu tunatumia.?
Ni hii ya binadamu
Yes Unatumia tu
Asante sana, sijui nakwama wapi chanjo nawapa lakini kifo kiko palepale jamani shda n nn?
Pole Sana ndugu apo hatujui usafi na Mrzingira ya Banda lako. Pia jitaidi kuimalisha Kinga ya kuku kwa tiba za asili ni muhimu Sana
@@AGALUSTV asante, ngoja nijitahudi kuwafatilia kila leo
Barikiwa sana
Heri ya mwakampya
VIP jamani kuusu jee ugonjwa was ndui nao unatesaga Sana watu