Toka niaze kuona take one hii ni yakwaza kwangu anasema mambo yamahana sana kaka yangu mungu akubariki uwe zuri kama iyo iliuwasaidiye wasani wezako mashauri yakufanya asante saaaaaana.
umezungumza ukweli binadam hapendi kweli ww unajua umuhim wa watu wote bt ma kanumba akizungumzia watu wanasema yuwapenda kulalamika hivi huyo brother yuwazungumza point alikuwa hizo kampun zinafanya vibaya huyu kaka anauchungu ndio yuwasema kweli mbna binadam hupenda sana kudhulumu waliyofariki ma kanumba akisema mnamkejeli na kusema yuwapenda kulalamika ukweli huyu nimcha allah halaf mkejeli mamake mwenzenu kaka allah akupe subira umenena point waliomzingira kanumba enzi za uhai ndio waliomkanuka wakati wamepata mauti
Toka niaze kuona take one hii ni yakwaza kwangu anasema mambo yamahana sana kaka yangu mungu akubariki uwe zuri kama iyo iliuwasaidiye wasani wezako mashauri yakufanya asante saaaaaana.
Umemtaja kunumba huu ni mwaka wa Kumi,,,, nina Imani atarudi vile unaongea mungu ni mwema
Atarudishiwa kwa Imani ako njiani atafika hivi karibuni umenena baba waah.
Big up my Brother real talk
umezungumza ukweli binadam hapendi kweli ww unajua umuhim wa watu wote bt ma kanumba akizungumzia watu wanasema yuwapenda kulalamika hivi huyo brother yuwazungumza point alikuwa hizo kampun zinafanya vibaya huyu kaka anauchungu ndio yuwasema kweli mbna binadam hupenda sana kudhulumu waliyofariki ma kanumba akisema mnamkejeli na kusema yuwapenda kulalamika ukweli huyu nimcha allah halaf mkejeli mamake mwenzenu kaka allah akupe subira umenena point waliomzingira kanumba enzi za uhai ndio waliomkanuka wakati wamepata mauti