Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, huyu jamaa anafaa. He is a hard core when it comes to decision making. Much love Mh. Edward Lowassa. Mungu akutangulie upite na uwe Rais wa Tanzania. When i listen to him goose-bags all over my body. Mh. Uwe Rais tupate mashamba kama graduate tulime. You have my vote 2015.
Kikwete rafiki na mtu wa karibu kwa lowaasa lkn pia hajawahi kutaka uwe rais alitengeneza mambo mengi kuhusu lowassa alikuweka waziri hlf akatengeneza kashfa ili badai usiweze kuwa rais 😅 shkamoo kikwete
Lowassa i will support u up my last cell! utashinda in high percent not less than eighty! kinyume na apo nakuomba ukiwa madarakan uwatafute watalamu ili wapime thinking capacity of Tanzanian!!!
The President we never had
RiEp Eddo Rais tuliyemkosa, Nchi hii hatukutumia hata NUSU ya your Potential. Pumzika kwa Amani...
Historia itatuhukumu,hakika umeme mpaka leo bado ni kero kubwa na mzee sasa umelala,lala Legendary 🎉
Daah rest in peace my regend
Historia itawahukumu 2024
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, huyu jamaa anafaa. He is a hard core when it comes to decision making. Much love Mh. Edward Lowassa. Mungu akutangulie upite na uwe Rais wa Tanzania. When i listen to him goose-bags all over my body. Mh. Uwe Rais tupate mashamba kama graduate tulime. You have my vote 2015.
Ppl
P
My president lowasa nipo nawe bega bega
we'll stand 4u
Lowassa anajua, Mungu ampe Nuru na Nguvu atauongoze ktk URAIS UJAO
Kikwete rafiki na mtu wa karibu kwa lowaasa lkn pia hajawahi kutaka uwe rais alitengeneza mambo mengi kuhusu lowassa alikuweka waziri hlf akatengeneza kashfa ili badai usiweze kuwa rais 😅 shkamoo kikwete
ulipokuwa kijana ulikuwa unaongea vzr,
Lowassa i will support u up my last cell! utashinda in high percent not less than eighty! kinyume na apo nakuomba ukiwa madarakan uwatafute watalamu ili wapime thinking capacity of Tanzanian!!!
Mwamba alikuwa mtenda haki
Ulale Salama Rais wa Kura Yangu
Namkubali sana mh Lowasa.
Wasaidie wamasai wenzako ukishinda kama ulivyofanya ulipokua PM lakin mm kura yangu huipati
Good
Wale wote wasiopenda maendeleo ya sasa ya uchaguzi ujao waangalie mahpjiano haya.
RIP
AKILI KUBWA
luwasa urashinda yale yote ni wivu na wasaidie wamasai na wafugaji wengine wameteswa sana katika kupata malisho ya mifugo
lowassa tunakupenda xn uku nachingwea tenga muda ututembelee
Tanzania ili kosewa sana, kukukosa wewe Kama rais
Lowasa we kachunge ngo'mbe tu hufai kuwa Rais
sawa