Edward Lowassa Mahojiano na TBC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 27

  • @danielspatrick8611
    @danielspatrick8611 7 месяцев назад

    The President we never had

  • @fredyelifuraha2553
    @fredyelifuraha2553 8 месяцев назад

    RiEp Eddo Rais tuliyemkosa, Nchi hii hatukutumia hata NUSU ya your Potential. Pumzika kwa Amani...

  • @jr_mkumbojr
    @jr_mkumbojr 8 месяцев назад +1

    Historia itatuhukumu,hakika umeme mpaka leo bado ni kero kubwa na mzee sasa umelala,lala Legendary 🎉

  • @emmanuelnyangi6837
    @emmanuelnyangi6837 8 месяцев назад +2

    Daah rest in peace my regend

  • @NyakiMollel
    @NyakiMollel 8 месяцев назад +2

    Historia itawahukumu 2024

  • @johnmacha2194
    @johnmacha2194 9 лет назад

    Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, huyu jamaa anafaa. He is a hard core when it comes to decision making. Much love Mh. Edward Lowassa. Mungu akutangulie upite na uwe Rais wa Tanzania. When i listen to him goose-bags all over my body. Mh. Uwe Rais tupate mashamba kama graduate tulime. You have my vote 2015.

  • @michaelmathew3914
    @michaelmathew3914 9 лет назад +2

    My president lowasa nipo nawe bega bega

  • @abdulsalumu6876
    @abdulsalumu6876 9 лет назад +1

    we'll stand 4u

  • @jtlehhema
    @jtlehhema 9 лет назад

    Lowassa anajua, Mungu ampe Nuru na Nguvu atauongoze ktk URAIS UJAO

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 8 месяцев назад

    Kikwete rafiki na mtu wa karibu kwa lowaasa lkn pia hajawahi kutaka uwe rais alitengeneza mambo mengi kuhusu lowassa alikuweka waziri hlf akatengeneza kashfa ili badai usiweze kuwa rais 😅 shkamoo kikwete

  • @williamstevenmvanda7923
    @williamstevenmvanda7923 6 лет назад +1

    ulipokuwa kijana ulikuwa unaongea vzr,

  • @bwiganeafwene1039
    @bwiganeafwene1039 9 лет назад +5

    Lowassa i will support u up my last cell! utashinda in high percent not less than eighty! kinyume na apo nakuomba ukiwa madarakan uwatafute watalamu ili wapime thinking capacity of Tanzanian!!!

  • @EliasKuzenza-iu6de
    @EliasKuzenza-iu6de 8 месяцев назад

    Mwamba alikuwa mtenda haki

  • @moorlandsafaris9484
    @moorlandsafaris9484 8 месяцев назад +1

    Ulale Salama Rais wa Kura Yangu

  • @christinatemba9222
    @christinatemba9222 10 лет назад

    Namkubali sana mh Lowasa.

  • @othmanhussein6025
    @othmanhussein6025 9 лет назад

    Wasaidie wamasai wenzako ukishinda kama ulivyofanya ulipokua PM lakin mm kura yangu huipati

  • @stellahombeni9475
    @stellahombeni9475 9 лет назад +1

    Good

  • @godsonlaizer1247
    @godsonlaizer1247 9 лет назад

    Wale wote wasiopenda maendeleo ya sasa ya uchaguzi ujao waangalie mahpjiano haya.

  • @allan3723
    @allan3723 8 месяцев назад

    RIP
    AKILI KUBWA

  • @xajimosko7747
    @xajimosko7747 9 лет назад

    luwasa urashinda yale yote ni wivu na wasaidie wamasai na wafugaji wengine wameteswa sana katika kupata malisho ya mifugo

  • @bakaringwavaya6748
    @bakaringwavaya6748 5 лет назад

    lowassa tunakupenda xn uku nachingwea tenga muda ututembelee

  • @nkyabosi4827
    @nkyabosi4827 4 года назад

    Tanzania ili kosewa sana, kukukosa wewe Kama rais

  • @patrickngachengo8830
    @patrickngachengo8830 9 лет назад +2

    Lowasa we kachunge ngo'mbe tu hufai kuwa Rais

  • @Expedito2512
    @Expedito2512 9 лет назад

    sawa