MWINYI ZAHERA YANGA WANAKURUMBUKA KWENYE USAJILI/CHAMA DUBE HAWANA UWEZO WA KUCHEZA YANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024

Комментарии • 31

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 2 месяца назад +2

    Your very intelligent Mwinyi Zahera because you can’t register somebody which you got already someone more than like him

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 2 месяца назад

      It's not that easy to understand what's happening at Yanga SC right now. Be patient and wait for the results on AUG 8 in the community shield match.

  • @zuberimohamed43
    @zuberimohamed43 2 месяца назад +1

    Kama yanga wakikurupuka ndo hivi wanabeba ubingwa waendelee tu kukurupuka zaidi ya hapo sis tuna enjoy💛💚

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 Месяц назад

    Zahera umepata timu, kwa heshima tunayo kuheshimu kwa yale uliyotufanyia, acha kuzungumzia usajili wa yanga, fanya kazi ya timu yako ya Sasa.

  • @issaselemani491
    @issaselemani491 Месяц назад

    Tunahitaji kikosi kipana na timu haizuiwi kuchukua mchezaji kutoka kwa mpinzani wako.Hao unaowataja ni wachezaji wazuri pia wala siyo wabaya.

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 Месяц назад

    Mkude & Chama political signing

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Месяц назад

    First eleven ni wachezaji 11 kocha hawawezi kuwa timu nzima isipokua ili kazi ya kushiriki mashindano yote bila shida unahitaji kuwa na kikosi kipana,faida ya kuwa na kikosi kipana ilionekans kwenye mechi ya mamelodi baada ya kukosekana kwa kina Aucho na zuzua

  • @makabemwita4843
    @makabemwita4843 2 месяца назад

    Fuatilieni namna Bayern Munich ilivyokuwa unafanya ilo ku dominate soka la ndani, lazima uhakikishe timu zingine hazikai na wachezaji wao wazr, wakati Bayern Munich inawachukua akina Mat humes, kwani haikuwa na mabeki.

  • @boscomalangalila
    @boscomalangalila Месяц назад

    Zahera huna lolote Rudi kwenu Moira was Tz umekushinda

  • @abdallahidrisa710
    @abdallahidrisa710 2 месяца назад +1

    Huyu hana lolote aliuza timu. Hivi shishimbi na chama yupi bora.

  • @JumaMigezo
    @JumaMigezo 2 месяца назад +2

    Alie amini kuwa mwinyi zahera anatafuta kazi agonge like

  • @thomasdimme7899
    @thomasdimme7899 Месяц назад

    Coach ur wrong au unawaonea wivu yanga

  • @user-eu6gl4vs1o
    @user-eu6gl4vs1o 2 месяца назад

    Haikuhusu tulia Namungo

  • @BennBenn-es5fi
    @BennBenn-es5fi 2 месяца назад

    Huyu kocha anajua mpira. Na ukwelii anaipenda sana Yanga.

  • @djnyosoofficial305
    @djnyosoofficial305 2 месяца назад

    Zahera juuu

  • @amosicommedy6917
    @amosicommedy6917 2 месяца назад

    Ameshindwa kusajili timu yake ibaki ligi kuuu kaacja ishuke kashusha na Ingine

  • @vertasmtenga2982
    @vertasmtenga2982 2 месяца назад

    Huyu jamaa akiwa kocha team inacheza Kama inasinzia flan hivi

  • @makabemwita4843
    @makabemwita4843 2 месяца назад

    Nani atampa kazi huyo ni dalali tu timu zimeishamjua, labda achukuliwe na Pamba, alichemka Yanga, Polis Tz, Coastal na hata Namungo kachemka anabaki anazurula tu kusema Mpiyaaa, sijui ndo lugha gani hiyo.

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 2 месяца назад

    Ni team inaelekeya kuanguka unajaza wachezaji wenye wameisha kiwango chama ata Simba alikuwa anatoka bench siku moja moja yani awajui ata atacheza fasi gani

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 2 месяца назад

    Mbona timu ilimshinda atuache na timu yetu

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 2 месяца назад

    Zahera mwehu tu roho mbaya chuki na husda yeye zahera katuletea kindoki pumbavu zake mshenzi tu huyo shishimbi duka amchukue yeye mbwa yeye na shishimbi

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 2 месяца назад

    Kweli kocha!

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 2 месяца назад

    Ni kweli kabisa Uyasemayo

  • @speciallvoice8091
    @speciallvoice8091 2 месяца назад

    Uyu jamaa Yuko vzr sana Zahera nakukubali

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 2 месяца назад

    Kweli zahera umeongea facts sikuona umuhim wa kusajili sajili izi.tumesajili kwa mihemko

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 2 месяца назад

    Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉

    • @user-iz3hs8jl5p
      @user-iz3hs8jl5p 2 месяца назад

      safi kwenye hamna kwahiyo akina debora na akina vale ndo wana uwezo kuliko chama na dube? acheni kupotosha watu huo ni upuuzi usio na maana
      o