Mansour amwambia Mwinyi na CCM yake wasahau ndoto za kujiongezea miaka bila uchaguzi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 12

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 3 месяца назад +2

    Usiseme mapinduzi unatuuumiza kuna watu wameondokewa na jamaa zao kupitia mapinduzi na baado wanavidonda vya moyo vya hudhuni

  • @hajikiame7551
    @hajikiame7551 3 месяца назад

    Kwani hawa wa zanzibaari wanataka nini

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 3 месяца назад +3

      Wazanzibar wanataka Amani na Nchi yao wajitawale wenyewao,
      Waijenge Nchi yao kwa Mapenzi yao wenyewe na Tamaduni zao na Wamechoka kutawaliwa na Ukoloni wa Kihuni na Kijambazi!!!

    • @AbdallahSalim-is3db
      @AbdallahSalim-is3db 3 месяца назад

      Wanataka upacha wao na omani urejee kama Zamani kabla ya ukoloni na wakoloni.

    • @nassorseif7907
      @nassorseif7907 3 месяца назад +2

      Wanataka mamlaka kamili

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i 3 месяца назад

      Hujuw wanasho taka kumbe

    • @kassim1262
      @kassim1262 3 месяца назад

      Ww unaeuliza wznzbar wnataka nini kwni ww unataka nini manaake wznzbar wpo kwao au wmekuja kuongea chumbani kwamamaako wnamfanyia zogo mamaako chumbani kwake bc tunashida namamaako vp yupo au

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 3 месяца назад +3

    Sawa sawa

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 3 месяца назад +1

    Tenna walikua sio wasomi km tukivyo na watu wanaojiita wao wasomi saiv. Saiv watu wanajisifu na makaratasi wao 2 milioni people hawawezi kuongoza shame ndani ya miaka 60. 2 milioni people hamna ata maji. Pesa zote matumboni na kuzulumu viwanja vya wananchi

    • @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
      @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar 3 месяца назад

      Tena tukirudi huko awamu zilizopita kuna wengine walikua Mawaziri Ndio waliwapora Wazanzibar wanyonge viwanja vyao vya beach na kujenga Ma Hotels na Majumba ya Mji mkongwe, sema Dhulma haidumu ata kama Kiongozi akimaliza muda au akiama Chama

  • @yusuphhamad8494
    @yusuphhamad8494 Месяц назад +1

    Waambie mapimbi ccm

  • @AbdulMajidi-i9m
    @AbdulMajidi-i9m Месяц назад

    Umeongea baba kil tano 👊