MAGONJWA YA KUTENGENEZA part 1 - Bishop Gwajima

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025

Комментарии • 118

  • @catherineilunda3988
    @catherineilunda3988 4 года назад +3

    Mmi nakuamni na nazidi kukupenda na siwezi kukusema.MUNGU AZIDI KUKUINUA SANAAAA👏👏

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад +4

    Ee Mungu Naamini kupitia shuhuda hizi, ni zamu yangu kufunguliwa, kuponywa, kuumbiwa moyo safi, maarifa na Hekima zako 👏👏👏💪

    • @MathayoDaudi
      @MathayoDaudi 9 месяцев назад +1

      M..
      ...
      ..
      😅😅😊

  • @augustabisetsa5007
    @augustabisetsa5007 3 года назад +1

    Bishop wewe ni true man of , sema usiogope , unahubiri kwelo

  • @sallysalamakenga6329
    @sallysalamakenga6329 2 года назад

    Karibu KENYA baba nimokoka chini ya madhabahu hiii mtandaoni na ninamuona MUNGU katika maisha yangu akinitendea makuu . Ibarikiwe sana mtumishi wa MUNGU ameeeen hallelujah

  • @jefwakalama4336
    @jefwakalama4336 9 месяцев назад

    Mungu akubariki sana mtumishi kwa kzi nzuri Emmanuel Jefwa kutka Lamu Kenya

  • @piusnkwale
    @piusnkwale 2 года назад

    Njooni ufufuo na uzima, muone ambavyo Mungu anafanya kazi.tunakupenda sana Baba

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 2 месяца назад

    Yesuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuunakupenda uwiiiiiiiiiiiiiiiii aYesu anatisha Kwa matendo yk makubwa mazuri

  • @justinaninga135
    @justinaninga135 5 лет назад +1

    Mungu anatupenda tunaishi kwa neema tunalindwa na mungu Pekee

  • @shadrackbendeyeko9229
    @shadrackbendeyeko9229 2 года назад

    Nabalikiwa Sana na mafundisho yako Apostel...Wa BWANA MUNGU ANAYEISHI....MBINGUNI NA DUNIANI.....

  • @boniphacemaziku2890
    @boniphacemaziku2890 10 лет назад +4

    Mafundisho ya kweli na kina na yanafungua kumwaibisha shetani na kumwinua Mungu. Mungu akulinde na kulinda huduma yako milele

  • @mukamutsinzimarygorette5108
    @mukamutsinzimarygorette5108 2 года назад

    Wachawi wapigwee ktk jina la Yesu Kristy🔥🔥🔥

  • @saidibakari1479
    @saidibakari1479 6 лет назад +2

    jamaani mwenyezi mungu tuepushe na maisha ya kishetani tupe nguvu katka iman yetu ya kikristo ili tuuridhi ufalme wako wa mbinguni

  • @janenguma730
    @janenguma730 5 лет назад +2

    God bless you! I love your teaching

  • @mukamutsinzimarygorette5108
    @mukamutsinzimarygorette5108 2 года назад

    Ubarikiwe Sana Mutumishi wa Mungu🙏🙏🙏

  • @edwardkenga6764
    @edwardkenga6764 7 лет назад +4

    pastor,am really blessed with your word, God bless you pastor.

  • @rithersospeterkati7957
    @rithersospeterkati7957 2 года назад

    Amen Amen Baba.

  • @neyhmrs7704
    @neyhmrs7704 2 года назад

    Ee Mungu naomba ulinzi mimi na Family yangu

  • @jackypottrick1pottrick641
    @jackypottrick1pottrick641 6 лет назад +3

    Ubarikiwe pastor
    karibu Kenya

  • @pstemmanuelofficial1323
    @pstemmanuelofficial1323 5 лет назад

    Wewe ni bishop mukubwa na Ku amini sana tena yesu kristu iko nakutumiya kikweli kabisa

  • @enockkiluswa4606
    @enockkiluswa4606 7 лет назад +2

    mungu akubaliki gwajima akupe uzima

  • @wilsonkombeyeri4623
    @wilsonkombeyeri4623 9 месяцев назад

    Bishop naomba hiyo huduma ya ufufuo na uzima iwepo na huku Kenya

  • @drazzadrazza4165
    @drazzadrazza4165 5 лет назад +1

    Dah kweli ndugu zetu mbele giza nyuma kiza.

  • @sallysalamakenga6329
    @sallysalamakenga6329 2 года назад

    MAJESHI MAJESHI 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @janetrixmukade8557
    @janetrixmukade8557 8 лет назад +3

    Shetan n.a. mambo yake ameshindwa kwa Jina la Yesu Amina

  • @binmungiadinininasahachane5888
    @binmungiadinininasahachane5888 6 лет назад +3

    Gwajima ww na mungu ndio mnajua unachokifanya. Mungu atakulipa kwa hilo unalolifanya. Starehe na wadhifa wa dunia ni wakupita tu. Kazi ipo huko tuendapo.

  • @MHRMGROUP
    @MHRMGROUP 10 лет назад +14

    Na Ishara hizi zitaambatana nao waaminio,kama hauna imani huwezi kuamini kitu chochote ambacho Mungu anakifanya.

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад +1

    Amina

  • @richmanbeatpro2691
    @richmanbeatpro2691 6 лет назад +5

    Yesu kristo ni bwana na mokozi

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад +1

    Kweli Bishop tusaidie tumechoshwa na mashertani, miungu, mizimu na majoka +magonjwa ya kutengenezwa

  • @rashidsaid4369
    @rashidsaid4369 3 года назад +1

    Haha hahahaaa msanii imaendeleza usaniii.vipi coronaaaa

  • @tinamtewa3462
    @tinamtewa3462 10 лет назад +5

    Bshop, Mungu akubariki mno! yaani niliipenda sana huduma ambayo uliifanya hapa moro, ila tunakuhitaji sana mazimbu morogoro tunakiu sana na huduma hii kwani ulipokuja mjini kati kunabaadh ya watu walikosa kuhudhulia kwasababu hakuweza kufika kwaajili ya usafiri nakipato ni duni sana tunakuomba uje tena!

    • @umarfardoos6540
      @umarfardoos6540 7 лет назад

      bishop mungu akuweke siku mingi uokoe maisha ya watu wengi ningekuomba ukuje kenya

    • @jastinjoram4068
      @jastinjoram4068 7 лет назад

      Na mm nayapenda sana haya mahubili maana natiwa nguvu za kiroho pia na kujua kuzitegua mitego za kishetani.
      Kweli shetani apigwe

    • @gisubizothedy9954
      @gisubizothedy9954 6 лет назад

      wapigweeeeeee sana

    • @gisubizothedy9954
      @gisubizothedy9954 6 лет назад

      Baba karibu Rwanda kigali nasi tunakuitagi

  • @AdamMdolo-cm6qi
    @AdamMdolo-cm6qi Год назад

    Ameee🎉

  • @Janet_xd-rj5ec
    @Janet_xd-rj5ec 8 лет назад +7

    pastor welcome kenya

  • @jimmisonndolele5480
    @jimmisonndolele5480 8 лет назад +4

    tunaomba uduma hii tuleteeni hata kagera tunawapenda sana

  • @kakajaymoe8713
    @kakajaymoe8713 2 года назад

    Fire!fire! 🔥 🔥 🔥🙏🙏🙏

  • @juliawanjiku2322
    @juliawanjiku2322 3 года назад +1

    Wapigweeeeeeeee

  • @joshuallesasi5099
    @joshuallesasi5099 5 лет назад +1

    haaaaaaaahaaaaaaa wapigweeeeee

  • @agnessally7234
    @agnessally7234 7 лет назад +1

    mungu Ni muweza

  • @petermpanduka8069
    @petermpanduka8069 4 года назад +1

    Kumbe waslam ni wachaw sanaee

  • @mukamutsinzimarygorette5108
    @mukamutsinzimarygorette5108 2 года назад

    Amen🙏🙏🙏

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 7 лет назад +7

    Apigwe shetani, na kazi zake zote.

  • @hanifaharet3739
    @hanifaharet3739 6 лет назад +3

    yaani makafiri hawataisha kudanganywa

  • @zedekiazakayo156
    @zedekiazakayo156 7 лет назад +1

    pastor karibu tabora

  • @maishatzmartin5468
    @maishatzmartin5468 5 лет назад +1

    kweli mtumish

  • @franciscalazaro4971
    @franciscalazaro4971 7 лет назад

    pastor karibu karatu

  • @kiangejoseph3439
    @kiangejoseph3439 6 лет назад +1

    njoo kenya mchungaji

  • @edinaubarikiwemtumishijohn4320
    @edinaubarikiwemtumishijohn4320 8 лет назад

    mungu ni mwema

    • @joycemwaipaja4618
      @joycemwaipaja4618 7 лет назад

      ubarikiwe Mtumishi

    • @rashidsaid4369
      @rashidsaid4369 3 года назад

      Mmmmmh siku si nyingi ukweli utajidhihirisha.wamesahau ukisema unafufua wafu.

  • @felixsanga
    @felixsanga 11 месяцев назад

    It is true,Covid,Malaria,Asthma &others.Nimepigwa Corona mara kumi nikashinda,Nikaibiwa 1,000,000/=usiku saa 7,akakamatwa amebaki na laki 6,lakini Hakimu,mapolisi walimsaidia kwa kuwa ni mshirika wao na mshirikina wakamwachia huru!

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 5 лет назад +1

    Changa la macho kweupe, waende wakaponye wagonjwa hospitali kama wanaweza

  • @khatibumwalumbunga5824
    @khatibumwalumbunga5824 5 лет назад +4

    Macho ya rohon na masikio ya rohon yafanye kaz

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina5806 8 лет назад +1

    nikweli Baba sema Amen!!

  • @placidelutanda3150
    @placidelutanda3150 8 лет назад +1

    God. you

  • @vundimuli6478
    @vundimuli6478 6 лет назад +3

    PASTOR WE NEED YOU KENYA SANA

  • @fibioko8916
    @fibioko8916 7 лет назад

    amen mtusi ya mungu

  • @josuesindihebura3625
    @josuesindihebura3625 6 лет назад +1

    Amen

  • @lucyasmath6395
    @lucyasmath6395 8 лет назад +2

    Maombi mazuri ila ya Sunday husikiki vizuri.

  • @edithanchimbi2754
    @edithanchimbi2754 2 года назад

    Mungu akubariki Sana mtumishi,naomba namba yako

  • @paschaldamian4540
    @paschaldamian4540 7 лет назад

    apigweeeee!!!

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina5806 8 лет назад +1

    wapigawa Bab. Amen.

  • @annastaziakibole5603
    @annastaziakibole5603 7 лет назад +1

    mmmmmh mpk naogapa yan apigweeee

  • @burtonsatshop2061
    @burtonsatshop2061 7 лет назад +1

    Wapigwee tu!!

  • @mordally
    @mordally 6 лет назад +2

    Sinema live

  • @MyShau
    @MyShau 10 лет назад +3

    nafurahi kwa kupata elimu

  • @samirizomboko5005
    @samirizomboko5005 5 лет назад +1

    Eti Fatuma

  • @danielilubango4226
    @danielilubango4226 6 лет назад +1

    Dah mavi achukue kwa mdomo uchaw kazi hahahahahahaaaaaaa nimecheka saan

  • @powerplus1933
    @powerplus1933 3 года назад

    Tunaomba microphone ziwe nyingi kurahisisha kazi ya mtumishi.

  • @MyShau
    @MyShau 10 лет назад +6

    huyu mama ni mmasai. na hizo alama alikwambieni mwenyewe vipi. mchezo wa kuingiza huu

    • @lainesimsigala1069
      @lainesimsigala1069 9 лет назад

      Jamani mungu atusaidie

    • @gerymwakiembesimuewigery1118
      @gerymwakiembesimuewigery1118 7 лет назад +7

      haya ni mambo ya mungu wanaojua ni wana wa mungu wana wa shetani hawawezi kujua na huwa hawapendi kusikia habari za yesu kuwa anaponya haijasnza Leo toka enzi za mfarume herode vizazi vya sheteni haviwezi kuisha had Ieo yana wapinga kristo mungu awabariki watumishi tunaeamini yesu anaweza sema amina

    • @paulmadeba8432
      @paulmadeba8432 6 лет назад +3

      Nivigum kuyajua mambo ya rohoni ukiwa mtu wa mwilini

    • @yovithasanga5990
      @yovithasanga5990 6 лет назад

      nakwako

    • @designdesign4426
      @designdesign4426 5 лет назад

      Usanii mtupu yatupasa kusoma maandiko akuna Usanii utakaofanyika usiujue

  • @latifachilala2015
    @latifachilala2015 4 года назад +1

    Kuna familia wanakufa na ukimwi Kama walivyo zaliwa Yani anaanza kufa aliye anza kuzaliwa

  • @estherwaga2015
    @estherwaga2015 6 лет назад +1

    Makubwa haya

  • @richmanbeatpro2691
    @richmanbeatpro2691 6 лет назад +3

    dini ya ukweli ni dini ambaye imepiga mapepo

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 6 лет назад +1

    Kama akiuwa watu makinda kamata mshughulikie.

  • @julianlaurent2107
    @julianlaurent2107 5 лет назад +1

    Kila siku mapepo tu hayaishi?

  • @MyShau
    @MyShau 10 лет назад +1

    huku ulaya kuna masanam mengi na wanayaabu.
    lakini ubaribikiwe kusema ukiristo umetoka ulaya.
    mie kusikiliza haya mafundisho yako. ili kujua matayo 5.37
    najifunza mengi na kuchagachia mengi ili kuona lililo kweli na lililo uongo.
    hakika elimu ni hekima. na uongo ni upumavu

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 5 лет назад +1

    Hukupotea wewe hapo ulipoanvukia huyo fisi aliwaona wenzie wapo kanisani akawafuata wenziwe tu Gwajima msanii yaani unajua kukusanya hela za wajinga hadi zikutoshe

  • @cmsa1r
    @cmsa1r 8 лет назад +1

    Wachawi wote wana majina ya dini fulani

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 8 лет назад +5

    wtu wamesha pangwa biashara inaendelea wateja karibun

    • @lazaromnjeja4572
      @lazaromnjeja4572 5 лет назад +1

      Akina herode mpo hata leo hamtaamini mpaka kifo kiwakute

    • @rashidsaid4369
      @rashidsaid4369 3 года назад

      Jamani fungueni macho na akili zenu.huyu atawafanya Kama kibwetere wa Uganda jamani

  • @nancyosumba9060
    @nancyosumba9060 8 лет назад +1

    mafuzo mazuri na yanafundisha sana

  • @hanifaharet3739
    @hanifaharet3739 6 лет назад +1

    Nonsense

  • @mwadawasaidi723
    @mwadawasaidi723 7 лет назад +4

    Nyie wote mashetani mmbwa nyie mtachomwa moto sibirieni

    • @lazaromnjeja4572
      @lazaromnjeja4572 5 лет назад +2

      Jina lenyewe mwadawa hakuna wa kukulaumu maana siyo wewe ni madawa yanafanyakazi

    • @rashidawanga
      @rashidawanga 5 лет назад

      We binti koma kama hakuhusu c upite

  • @jackypottrick1pottrick641
    @jackypottrick1pottrick641 6 лет назад +3

    Ubarikiwe pastor
    karibu Kenya

  • @dianajepkorir3821
    @dianajepkorir3821 6 лет назад +2

    Amen

  • @aminaasman7778
    @aminaasman7778 5 лет назад +1

    Amen

  • @helenjonsob5718
    @helenjonsob5718 5 лет назад +1

    Amen

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад +1

    Amen