Karibu KENYA baba nimokoka chini ya madhabahu hiii mtandaoni na ninamuona MUNGU katika maisha yangu akinitendea makuu . Ibarikiwe sana mtumishi wa MUNGU ameeeen hallelujah
Gwajima ww na mungu ndio mnajua unachokifanya. Mungu atakulipa kwa hilo unalolifanya. Starehe na wadhifa wa dunia ni wakupita tu. Kazi ipo huko tuendapo.
Bshop, Mungu akubariki mno! yaani niliipenda sana huduma ambayo uliifanya hapa moro, ila tunakuhitaji sana mazimbu morogoro tunakiu sana na huduma hii kwani ulipokuja mjini kati kunabaadh ya watu walikosa kuhudhulia kwasababu hakuweza kufika kwaajili ya usafiri nakipato ni duni sana tunakuomba uje tena!
It is true,Covid,Malaria,Asthma &others.Nimepigwa Corona mara kumi nikashinda,Nikaibiwa 1,000,000/=usiku saa 7,akakamatwa amebaki na laki 6,lakini Hakimu,mapolisi walimsaidia kwa kuwa ni mshirika wao na mshirikina wakamwachia huru!
haya ni mambo ya mungu wanaojua ni wana wa mungu wana wa shetani hawawezi kujua na huwa hawapendi kusikia habari za yesu kuwa anaponya haijasnza Leo toka enzi za mfarume herode vizazi vya sheteni haviwezi kuisha had Ieo yana wapinga kristo mungu awabariki watumishi tunaeamini yesu anaweza sema amina
huku ulaya kuna masanam mengi na wanayaabu. lakini ubaribikiwe kusema ukiristo umetoka ulaya. mie kusikiliza haya mafundisho yako. ili kujua matayo 5.37 najifunza mengi na kuchagachia mengi ili kuona lililo kweli na lililo uongo. hakika elimu ni hekima. na uongo ni upumavu
Hukupotea wewe hapo ulipoanvukia huyo fisi aliwaona wenzie wapo kanisani akawafuata wenziwe tu Gwajima msanii yaani unajua kukusanya hela za wajinga hadi zikutoshe
Mmi nakuamni na nazidi kukupenda na siwezi kukusema.MUNGU AZIDI KUKUINUA SANAAAA👏👏
Ee Mungu Naamini kupitia shuhuda hizi, ni zamu yangu kufunguliwa, kuponywa, kuumbiwa moyo safi, maarifa na Hekima zako 👏👏👏💪
M..
...
..
😅😅😊
Mungu akubariki sana mtumishi kwa kzi nzuri Emmanuel Jefwa kutka Lamu Kenya
Mafundisho ya kweli na kina na yanafungua kumwaibisha shetani na kumwinua Mungu. Mungu akulinde na kulinda huduma yako milele
Bishop wewe ni true man of , sema usiogope , unahubiri kwelo
pastor,am really blessed with your word, God bless you pastor.
jamaani mwenyezi mungu tuepushe na maisha ya kishetani tupe nguvu katka iman yetu ya kikristo ili tuuridhi ufalme wako wa mbinguni
Yesu kristo ni bwana na mokozi
Karibu KENYA baba nimokoka chini ya madhabahu hiii mtandaoni na ninamuona MUNGU katika maisha yangu akinitendea makuu . Ibarikiwe sana mtumishi wa MUNGU ameeeen hallelujah
Mungu anatupenda tunaishi kwa neema tunalindwa na mungu Pekee
God bless you! I love your teaching
Na Ishara hizi zitaambatana nao waaminio,kama hauna imani huwezi kuamini kitu chochote ambacho Mungu anakifanya.
MHRM2013 GROUP
That's true
Ubarikiwe pastor
karibu Kenya
Shetan n.a. mambo yake ameshindwa kwa Jina la Yesu Amina
essafi
Nabalikiwa Sana na mafundisho yako Apostel...Wa BWANA MUNGU ANAYEISHI....MBINGUNI NA DUNIANI.....
tunaomba uduma hii tuleteeni hata kagera tunawapenda sana
mungu akubaliki gwajima akupe uzima
Njooni ufufuo na uzima, muone ambavyo Mungu anafanya kazi.tunakupenda sana Baba
Amina
Dah kweli ndugu zetu mbele giza nyuma kiza.
Wachawi wapigwee ktk jina la Yesu Kristy🔥🔥🔥
pastor welcome kenya
Ubarikiwe Sana Mutumishi wa Mungu🙏🙏🙏
yaani makafiri hawataisha kudanganywa
Apigwe shetani, na kazi zake zote.
Rither Sospeter Kati fg.
Bishop naomba hiyo huduma ya ufufuo na uzima iwepo na huku Kenya
Amen
Gwajima ww na mungu ndio mnajua unachokifanya. Mungu atakulipa kwa hilo unalolifanya. Starehe na wadhifa wa dunia ni wakupita tu. Kazi ipo huko tuendapo.
Macho ya rohon na masikio ya rohon yafanye kaz
Kweli Bishop tusaidie tumechoshwa na mashertani, miungu, mizimu na majoka +magonjwa ya kutengenezwa
Wewe ni bishop mukubwa na Ku amini sana tena yesu kristu iko nakutumiya kikweli kabisa
Amen Amen Baba.
mungu Ni muweza
Wapigweeeeeeeee
Ameee🎉
haaaaaaaahaaaaaaa wapigweeeeee
MAJESHI MAJESHI 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kumbe waslam ni wachaw sanaee
Haha hahahaaa msanii imaendeleza usaniii.vipi coronaaaa
nafurahi kwa kupata elimu
pastor karibu tabora
kweli mtumish
Bshop, Mungu akubariki mno! yaani niliipenda sana huduma ambayo uliifanya hapa moro, ila tunakuhitaji sana mazimbu morogoro tunakiu sana na huduma hii kwani ulipokuja mjini kati kunabaadh ya watu walikosa kuhudhulia kwasababu hakuweza kufika kwaajili ya usafiri nakipato ni duni sana tunakuomba uje tena!
bishop mungu akuweke siku mingi uokoe maisha ya watu wengi ningekuomba ukuje kenya
Na mm nayapenda sana haya mahubili maana natiwa nguvu za kiroho pia na kujua kuzitegua mitego za kishetani.
Kweli shetani apigwe
wapigweeeeeee sana
Baba karibu Rwanda kigali nasi tunakuitagi
Ee Mungu naomba ulinzi mimi na Family yangu
God. you
Changa la macho kweupe, waende wakaponye wagonjwa hospitali kama wanaweza
njoo kenya mchungaji
Maombi mazuri ila ya Sunday husikiki vizuri.
It is true,Covid,Malaria,Asthma &others.Nimepigwa Corona mara kumi nikashinda,Nikaibiwa 1,000,000/=usiku saa 7,akakamatwa amebaki na laki 6,lakini Hakimu,mapolisi walimsaidia kwa kuwa ni mshirika wao na mshirikina wakamwachia huru!
PASTOR WE NEED YOU KENYA SANA
Atakuja tu
apigweeeee!!!
pastor karibu karatu
Mungu akubariki Sana mtumishi,naomba namba yako
Fire!fire! 🔥 🔥 🔥🙏🙏🙏
nikweli Baba sema Amen!!
Muongo 2 ww
Amen🙏🙏🙏
Sinema live
dini ya ukweli ni dini ambaye imepiga mapepo
amen mtusi ya mungu
Mtumishi
wapigawa Bab. Amen.
Wapigwee tu!!
mmmmmh mpk naogapa yan apigweeee
Eti Fatuma
Dah mavi achukue kwa mdomo uchaw kazi hahahahahahaaaaaaa nimecheka saan
mungu ni mwema
ubarikiwe Mtumishi
Mmmmmh siku si nyingi ukweli utajidhihirisha.wamesahau ukisema unafufua wafu.
Kama akiuwa watu makinda kamata mshughulikie.
huyu mama ni mmasai. na hizo alama alikwambieni mwenyewe vipi. mchezo wa kuingiza huu
Jamani mungu atusaidie
haya ni mambo ya mungu wanaojua ni wana wa mungu wana wa shetani hawawezi kujua na huwa hawapendi kusikia habari za yesu kuwa anaponya haijasnza Leo toka enzi za mfarume herode vizazi vya sheteni haviwezi kuisha had Ieo yana wapinga kristo mungu awabariki watumishi tunaeamini yesu anaweza sema amina
Nivigum kuyajua mambo ya rohoni ukiwa mtu wa mwilini
nakwako
Usanii mtupu yatupasa kusoma maandiko akuna Usanii utakaofanyika usiujue
Tunaomba microphone ziwe nyingi kurahisisha kazi ya mtumishi.
Makubwa haya
mungu muache aitwe mungu yuko juu sana
Kuna familia wanakufa na ukimwi Kama walivyo zaliwa Yani anaanza kufa aliye anza kuzaliwa
Nonsense
Kila siku mapepo tu hayaishi?
Nani alikuambia shetani anaisha
@@zahilibenard1871 unaakili ww sijui nkupe hela
Mapepo yataishaje wakati hapo ndio makazi yao?
Wachawi wote wana majina ya dini fulani
Johnson thanx
Beto Beto wanaotoa majini ndio wenye majini
huku ulaya kuna masanam mengi na wanayaabu.
lakini ubaribikiwe kusema ukiristo umetoka ulaya.
mie kusikiliza haya mafundisho yako. ili kujua matayo 5.37
najifunza mengi na kuchagachia mengi ili kuona lililo kweli na lililo uongo.
hakika elimu ni hekima. na uongo ni upumavu
Mungu yupo
Mtumishi uko vizur .karibu singida
wtu wamesha pangwa biashara inaendelea wateja karibun
Akina herode mpo hata leo hamtaamini mpaka kifo kiwakute
Jamani fungueni macho na akili zenu.huyu atawafanya Kama kibwetere wa Uganda jamani
Hukupotea wewe hapo ulipoanvukia huyo fisi aliwaona wenzie wapo kanisani akawafuata wenziwe tu Gwajima msanii yaani unajua kukusanya hela za wajinga hadi zikutoshe
mafuzo mazuri na yanafundisha sana
Nyie wote mashetani mmbwa nyie mtachomwa moto sibirieni
Jina lenyewe mwadawa hakuna wa kukulaumu maana siyo wewe ni madawa yanafanyakazi
We binti koma kama hakuhusu c upite
Ubarikiwe pastor
karibu Kenya
Asante sana
Amen
Amen
Amen
Amen