MAGONJWA YA KUTENGENEZA part 1 - Bishop Gwajima

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 фев 2014

Комментарии • 117

  • @catherineilunda3988
    @catherineilunda3988 3 года назад +3

    Mmi nakuamni na nazidi kukupenda na siwezi kukusema.MUNGU AZIDI KUKUINUA SANAAAA👏👏

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 2 года назад +3

    Ee Mungu Naamini kupitia shuhuda hizi, ni zamu yangu kufunguliwa, kuponywa, kuumbiwa moyo safi, maarifa na Hekima zako 👏👏👏💪

  • @jefwakalama4336
    @jefwakalama4336 Месяц назад

    Mungu akubariki sana mtumishi kwa kzi nzuri Emmanuel Jefwa kutka Lamu Kenya

  • @boniphacemaziku2890
    @boniphacemaziku2890 9 лет назад +4

    Mafundisho ya kweli na kina na yanafungua kumwaibisha shetani na kumwinua Mungu. Mungu akulinde na kulinda huduma yako milele

  • @augustabisetsa5007
    @augustabisetsa5007 3 года назад +1

    Bishop wewe ni true man of , sema usiogope , unahubiri kwelo

  • @edwardkenga6764
    @edwardkenga6764 7 лет назад +4

    pastor,am really blessed with your word, God bless you pastor.

  • @saidibakari1479
    @saidibakari1479 5 лет назад +2

    jamaani mwenyezi mungu tuepushe na maisha ya kishetani tupe nguvu katka iman yetu ya kikristo ili tuuridhi ufalme wako wa mbinguni

  • @richmanbeatpro2691
    @richmanbeatpro2691 5 лет назад +5

    Yesu kristo ni bwana na mokozi

  • @sallysalamakenga6329
    @sallysalamakenga6329 2 года назад

    Karibu KENYA baba nimokoka chini ya madhabahu hiii mtandaoni na ninamuona MUNGU katika maisha yangu akinitendea makuu . Ibarikiwe sana mtumishi wa MUNGU ameeeen hallelujah

  • @justinaninga135
    @justinaninga135 4 года назад +1

    Mungu anatupenda tunaishi kwa neema tunalindwa na mungu Pekee

  • @janenguma730
    @janenguma730 4 года назад +2

    God bless you! I love your teaching

  • @MHRMGROUP
    @MHRMGROUP 9 лет назад +14

    Na Ishara hizi zitaambatana nao waaminio,kama hauna imani huwezi kuamini kitu chochote ambacho Mungu anakifanya.

  • @jackypottrick1pottrick641
    @jackypottrick1pottrick641 5 лет назад +3

    Ubarikiwe pastor
    karibu Kenya

  • @janetrixmukade8557
    @janetrixmukade8557 7 лет назад +3

    Shetan n.a. mambo yake ameshindwa kwa Jina la Yesu Amina

  • @shadrackbendeyeko9229
    @shadrackbendeyeko9229 2 года назад

    Nabalikiwa Sana na mafundisho yako Apostel...Wa BWANA MUNGU ANAYEISHI....MBINGUNI NA DUNIANI.....

  • @jimmisonndolele5480
    @jimmisonndolele5480 8 лет назад +4

    tunaomba uduma hii tuleteeni hata kagera tunawapenda sana

  • @enockkiluswa4606
    @enockkiluswa4606 7 лет назад +2

    mungu akubaliki gwajima akupe uzima

  • @piusnkwale
    @piusnkwale Год назад

    Njooni ufufuo na uzima, muone ambavyo Mungu anafanya kazi.tunakupenda sana Baba

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 2 года назад +1

    Amina

  • @drazzadrazza4165
    @drazzadrazza4165 5 лет назад +1

    Dah kweli ndugu zetu mbele giza nyuma kiza.

  • @mukamutsinzimarygorette5108
    @mukamutsinzimarygorette5108 Год назад

    Wachawi wapigwee ktk jina la Yesu Kristy🔥🔥🔥

  • @Janet_xd-rj5ec
    @Janet_xd-rj5ec 7 лет назад +7

    pastor welcome kenya

  • @mukamutsinzimarygorette5108
    @mukamutsinzimarygorette5108 Год назад

    Ubarikiwe Sana Mutumishi wa Mungu🙏🙏🙏

  • @hanifaharet3739
    @hanifaharet3739 6 лет назад +3

    yaani makafiri hawataisha kudanganywa

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 7 лет назад +7

    Apigwe shetani, na kazi zake zote.

  • @wilsonkombeyeri4623
    @wilsonkombeyeri4623 2 месяца назад

    Bishop naomba hiyo huduma ya ufufuo na uzima iwepo na huku Kenya

  • @dianajepkorir3821
    @dianajepkorir3821 5 лет назад +2

    Amen

  • @binmungiadinininasahachane5888
    @binmungiadinininasahachane5888 6 лет назад +3

    Gwajima ww na mungu ndio mnajua unachokifanya. Mungu atakulipa kwa hilo unalolifanya. Starehe na wadhifa wa dunia ni wakupita tu. Kazi ipo huko tuendapo.

  • @khatibumwalumbunga5824
    @khatibumwalumbunga5824 5 лет назад +4

    Macho ya rohon na masikio ya rohon yafanye kaz

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 2 года назад +1

    Kweli Bishop tusaidie tumechoshwa na mashertani, miungu, mizimu na majoka +magonjwa ya kutengenezwa

  • @pstemmanuelofficial1323
    @pstemmanuelofficial1323 4 года назад

    Wewe ni bishop mukubwa na Ku amini sana tena yesu kristu iko nakutumiya kikweli kabisa

  • @rithersospeterkati7957
    @rithersospeterkati7957 2 года назад

    Amen Amen Baba.

  • @agnessally7234
    @agnessally7234 6 лет назад +1

    mungu Ni muweza

  • @juliawanjiku2322
    @juliawanjiku2322 3 года назад +1

    Wapigweeeeeeeee

  • @AdamMdolo-cm6qi
    @AdamMdolo-cm6qi 10 месяцев назад

    Ameee🎉

  • @joshuallesasi5099
    @joshuallesasi5099 4 года назад +1

    haaaaaaaahaaaaaaa wapigweeeeee

  • @sallysalamakenga6329
    @sallysalamakenga6329 2 года назад

    MAJESHI MAJESHI 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @petermpanduka8069
    @petermpanduka8069 4 года назад +1

    Kumbe waslam ni wachaw sanaee

  • @rashidsaid4369
    @rashidsaid4369 2 года назад +1

    Haha hahahaaa msanii imaendeleza usaniii.vipi coronaaaa

  • @MyShau
    @MyShau 9 лет назад +3

    nafurahi kwa kupata elimu

  • @zedekiazakayo156
    @zedekiazakayo156 6 лет назад +1

    pastor karibu tabora

  • @maishatzmartin5468
    @maishatzmartin5468 5 лет назад +1

    kweli mtumish

  • @tinamtewa3462
    @tinamtewa3462 10 лет назад +5

    Bshop, Mungu akubariki mno! yaani niliipenda sana huduma ambayo uliifanya hapa moro, ila tunakuhitaji sana mazimbu morogoro tunakiu sana na huduma hii kwani ulipokuja mjini kati kunabaadh ya watu walikosa kuhudhulia kwasababu hakuweza kufika kwaajili ya usafiri nakipato ni duni sana tunakuomba uje tena!

    • @umarfardoos6540
      @umarfardoos6540 6 лет назад

      bishop mungu akuweke siku mingi uokoe maisha ya watu wengi ningekuomba ukuje kenya

    • @jastinjoram4068
      @jastinjoram4068 6 лет назад

      Na mm nayapenda sana haya mahubili maana natiwa nguvu za kiroho pia na kujua kuzitegua mitego za kishetani.
      Kweli shetani apigwe

    • @gisubizothedy9954
      @gisubizothedy9954 6 лет назад

      wapigweeeeeee sana

    • @gisubizothedy9954
      @gisubizothedy9954 6 лет назад

      Baba karibu Rwanda kigali nasi tunakuitagi

  • @neyhmrs7704
    @neyhmrs7704 2 года назад

    Ee Mungu naomba ulinzi mimi na Family yangu

  • @placidelutanda3150
    @placidelutanda3150 8 лет назад +1

    God. you

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 5 лет назад +1

    Changa la macho kweupe, waende wakaponye wagonjwa hospitali kama wanaweza

  • @kiangejoseph3439
    @kiangejoseph3439 6 лет назад +1

    njoo kenya mchungaji

  • @lucyasmath6395
    @lucyasmath6395 8 лет назад +2

    Maombi mazuri ila ya Sunday husikiki vizuri.

  • @felixsanga
    @felixsanga 3 месяца назад

    It is true,Covid,Malaria,Asthma &others.Nimepigwa Corona mara kumi nikashinda,Nikaibiwa 1,000,000/=usiku saa 7,akakamatwa amebaki na laki 6,lakini Hakimu,mapolisi walimsaidia kwa kuwa ni mshirika wao na mshirikina wakamwachia huru!

  • @vundimuli6478
    @vundimuli6478 6 лет назад +3

    PASTOR WE NEED YOU KENYA SANA

  • @paschaldamian4540
    @paschaldamian4540 7 лет назад

    apigweeeee!!!

  • @franciscalazaro4971
    @franciscalazaro4971 6 лет назад

    pastor karibu karatu

  • @edithanchimbi2754
    @edithanchimbi2754 2 года назад

    Mungu akubariki Sana mtumishi,naomba namba yako

  • @kakajaymoe8713
    @kakajaymoe8713 Год назад

    Fire!fire! 🔥 🔥 🔥🙏🙏🙏

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina5806 7 лет назад +1

    nikweli Baba sema Amen!!

  • @mukamutsinzimarygorette5108
    @mukamutsinzimarygorette5108 Год назад

    Amen🙏🙏🙏

  • @mordally
    @mordally 5 лет назад +2

    Sinema live

  • @richmanbeatpro2691
    @richmanbeatpro2691 5 лет назад +3

    dini ya ukweli ni dini ambaye imepiga mapepo

  • @fibioko8916
    @fibioko8916 6 лет назад

    amen mtusi ya mungu

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina5806 7 лет назад +1

    wapigawa Bab. Amen.

  • @burtonsatshop2061
    @burtonsatshop2061 7 лет назад +1

    Wapigwee tu!!

  • @annastaziakibole5603
    @annastaziakibole5603 6 лет назад +1

    mmmmmh mpk naogapa yan apigweeee

  • @samirizomboko5005
    @samirizomboko5005 5 лет назад +1

    Eti Fatuma

  • @danielilubango4226
    @danielilubango4226 5 лет назад +1

    Dah mavi achukue kwa mdomo uchaw kazi hahahahahahaaaaaaa nimecheka saan

  • @edinaubarikiwemtumishijohn4320
    @edinaubarikiwemtumishijohn4320 7 лет назад

    mungu ni mwema

    • @joycemwaipaja4618
      @joycemwaipaja4618 6 лет назад

      ubarikiwe Mtumishi

    • @rashidsaid4369
      @rashidsaid4369 2 года назад

      Mmmmmh siku si nyingi ukweli utajidhihirisha.wamesahau ukisema unafufua wafu.

  • @ramadhaniomarishauri9905
    @ramadhaniomarishauri9905 5 лет назад +1

    Kama akiuwa watu makinda kamata mshughulikie.

  • @MyShau
    @MyShau 9 лет назад +6

    huyu mama ni mmasai. na hizo alama alikwambieni mwenyewe vipi. mchezo wa kuingiza huu

    • @lainesimsigala1069
      @lainesimsigala1069 9 лет назад

      Jamani mungu atusaidie

    • @gerymwakiembesimuewigery1118
      @gerymwakiembesimuewigery1118 6 лет назад +7

      haya ni mambo ya mungu wanaojua ni wana wa mungu wana wa shetani hawawezi kujua na huwa hawapendi kusikia habari za yesu kuwa anaponya haijasnza Leo toka enzi za mfarume herode vizazi vya sheteni haviwezi kuisha had Ieo yana wapinga kristo mungu awabariki watumishi tunaeamini yesu anaweza sema amina

    • @paulmadeba8432
      @paulmadeba8432 5 лет назад +3

      Nivigum kuyajua mambo ya rohoni ukiwa mtu wa mwilini

    • @yovithasanga5990
      @yovithasanga5990 5 лет назад

      nakwako

    • @designdesign4426
      @designdesign4426 5 лет назад

      Usanii mtupu yatupasa kusoma maandiko akuna Usanii utakaofanyika usiujue

  • @powerplus1933
    @powerplus1933 2 года назад

    Tunaomba microphone ziwe nyingi kurahisisha kazi ya mtumishi.

  • @estherwaga2015
    @estherwaga2015 5 лет назад +1

    Makubwa haya

  • @latifachilala2015
    @latifachilala2015 3 года назад +1

    Kuna familia wanakufa na ukimwi Kama walivyo zaliwa Yani anaanza kufa aliye anza kuzaliwa

  • @hanifaharet3739
    @hanifaharet3739 6 лет назад +1

    Nonsense

  • @julianlaurent2107
    @julianlaurent2107 5 лет назад +1

    Kila siku mapepo tu hayaishi?

  • @cmsa1r
    @cmsa1r 8 лет назад +1

    Wachawi wote wana majina ya dini fulani

  • @MyShau
    @MyShau 9 лет назад +1

    huku ulaya kuna masanam mengi na wanayaabu.
    lakini ubaribikiwe kusema ukiristo umetoka ulaya.
    mie kusikiliza haya mafundisho yako. ili kujua matayo 5.37
    najifunza mengi na kuchagachia mengi ili kuona lililo kweli na lililo uongo.
    hakika elimu ni hekima. na uongo ni upumavu

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 7 лет назад +5

    wtu wamesha pangwa biashara inaendelea wateja karibun

    • @lazaromnjeja4572
      @lazaromnjeja4572 5 лет назад +1

      Akina herode mpo hata leo hamtaamini mpaka kifo kiwakute

    • @rashidsaid4369
      @rashidsaid4369 2 года назад

      Jamani fungueni macho na akili zenu.huyu atawafanya Kama kibwetere wa Uganda jamani

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 года назад +1

    Hukupotea wewe hapo ulipoanvukia huyo fisi aliwaona wenzie wapo kanisani akawafuata wenziwe tu Gwajima msanii yaani unajua kukusanya hela za wajinga hadi zikutoshe

  • @nancyosumba9060
    @nancyosumba9060 8 лет назад +1

    mafuzo mazuri na yanafundisha sana

  • @mwadawasaidi723
    @mwadawasaidi723 6 лет назад +4

    Nyie wote mashetani mmbwa nyie mtachomwa moto sibirieni

    • @lazaromnjeja4572
      @lazaromnjeja4572 5 лет назад +2

      Jina lenyewe mwadawa hakuna wa kukulaumu maana siyo wewe ni madawa yanafanyakazi

    • @rashidawanga
      @rashidawanga 5 лет назад

      We binti koma kama hakuhusu c upite

  • @jackypottrick1pottrick641
    @jackypottrick1pottrick641 5 лет назад +3

    Ubarikiwe pastor
    karibu Kenya

  • @helenjonsob5718
    @helenjonsob5718 4 года назад +1

    Amen

  • @aminaasman7778
    @aminaasman7778 5 лет назад +1

    Amen

  • @josuesindihebura3625
    @josuesindihebura3625 5 лет назад +1

    Amen

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 2 года назад +1

    Amen