Acha mara moja. Biblia imesema, wengi watakuja wakisema Bwana tulihubiri kwa jina lako na kutoa pepo kwajina lako. Naye atajibu akisema ondokeni kwangu maana sikuwajua. Swali kwanini hakuwajua na wakati walihubiri kwa jina lake?. Ukitaka kupingana na maandiko sawa endelea.
Wanawake nawanyamaze katika kanisani ,maana hawana ruksa ya kunena. Nakama wanataka kujifunza wakawaulize waume zao . Simpi rukusa mwanamke kufundisha wala kumtawala mwanaume, bali akae katika utulivu kama inenavyo torati nayo. Haijarishi unasema, unahubiri vizuri. Kama Biblia imekukataza kufanya hivyo uko makosanitu.
1Korinto 11:5 Bali kila mwanamke asalipo au anapohutubu bila kufunika kichwa yuaabisha kichwa chake, Hapo tunaona kumbe wanawake wanahubiri sasa wewe ndio mana nikakuambia paulo kila kanisa aliweka misimamo kulingana na kanisa lilivyo
Acha mara moja. Biblia imesema, wengi watakuja wakisema Bwana tulihubiri kwa jina lako na kutoa pepo kwajina lako. Naye atajibu akisema ondokeni kwangu maana sikuwajua.
Swali kwanini hakuwajua na wakati walihubiri kwa jina lake?. Ukitaka kupingana na maandiko sawa endelea.
Wanawake nawanyamaze katika kanisani ,maana hawana ruksa ya kunena. Nakama wanataka kujifunza wakawaulize waume zao .
Simpi rukusa mwanamke kufundisha wala kumtawala mwanaume, bali akae katika utulivu kama inenavyo torati nayo.
Haijarishi unasema, unahubiri vizuri. Kama Biblia imekukataza kufanya hivyo uko makosanitu.
Soma biblia vizuri utaelewa soma matendo 2:17-18
Simpi ruhusa mwanamke,
Huyo ni paulo kulingana na mfumo wa kanisa hilo kipindi kile
Ila hakuna neno linalozuia mwanamke kuhubiri
1Korinto 11:5 Bali kila mwanamke asalipo au anapohutubu bila kufunika kichwa yuaabisha kichwa chake,
Hapo tunaona kumbe wanawake wanahubiri sasa wewe ndio mana nikakuambia paulo kila kanisa aliweka misimamo kulingana na kanisa lilivyo
Soma Biblia vizuri