NGUVU YA DAMU YA YESU (02)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 6

  • @mathayomarco9172
    @mathayomarco9172 10 дней назад +1

    Acha mara moja. Biblia imesema, wengi watakuja wakisema Bwana tulihubiri kwa jina lako na kutoa pepo kwajina lako. Naye atajibu akisema ondokeni kwangu maana sikuwajua.
    Swali kwanini hakuwajua na wakati walihubiri kwa jina lake?. Ukitaka kupingana na maandiko sawa endelea.

  • @mathayomarco9172
    @mathayomarco9172 10 дней назад +1

    Wanawake nawanyamaze katika kanisani ,maana hawana ruksa ya kunena. Nakama wanataka kujifunza wakawaulize waume zao .
    Simpi rukusa mwanamke kufundisha wala kumtawala mwanaume, bali akae katika utulivu kama inenavyo torati nayo.
    Haijarishi unasema, unahubiri vizuri. Kama Biblia imekukataza kufanya hivyo uko makosanitu.

    • @bishopstephanosaid9205
      @bishopstephanosaid9205  9 дней назад +2

      Soma biblia vizuri utaelewa soma matendo 2:17-18

    • @bishopstephanosaid9205
      @bishopstephanosaid9205  9 дней назад +2

      Simpi ruhusa mwanamke,
      Huyo ni paulo kulingana na mfumo wa kanisa hilo kipindi kile
      Ila hakuna neno linalozuia mwanamke kuhubiri

    • @bishopstephanosaid9205
      @bishopstephanosaid9205  9 дней назад

      1Korinto 11:5 Bali kila mwanamke asalipo au anapohutubu bila kufunika kichwa yuaabisha kichwa chake,
      Hapo tunaona kumbe wanawake wanahubiri sasa wewe ndio mana nikakuambia paulo kila kanisa aliweka misimamo kulingana na kanisa lilivyo

    • @OmanOman-cl7kv
      @OmanOman-cl7kv 8 дней назад

      Soma Biblia vizuri