Makosa Ya Jana Yasitafsiri Kesho Yako | Pastor Tony Kapola | 3th Oct 2020

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Life Chapel International Church, Morogoro Tanzania.
    Preaching the Word of Life through Our Man Of God Pastor Tony Kapola.
    Unaweza kunifutalia kwenye mitandao yangu mingine kwa kubonyeza links hapa chini:-
    Facebook: / pastortonykapola
    Instagram: / pastortonykapola
    Subscribe My RUclips: / @pastortonykapola
    #PastorTonyKapola#makosayakoyajanayasitafsirikeshoyako

Комментарии • 266

  • @jaredmuthamamutua
    @jaredmuthamamutua 4 года назад +13

    Giza yangu ya Jana sitakumbali izime taa yangu inayo nimulikia Leo na kesho asante Sana mchugaji

  • @emidalumwesa5765
    @emidalumwesa5765 Год назад +2

    Sitoacha kukusikiliza kwa kweli...I gain something here

  • @RonaldoMgollah
    @RonaldoMgollah 24 дня назад

    Amen! Pastor ubarikiwe sana kwa jina la yesu

  • @OnesimoJapheti
    @OnesimoJapheti 25 дней назад

    Amin mchungaji naamin Mungu atafungua njia pasipo na njia atanitendea mem cku moja kupitia maish niliyoyapitia kuanzia mwaka Jan mpaka mwaka huo najua history imeandikw md ukifik mungu atatoa majib

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 4 года назад +7

    YOU ARE A WONDERFUL MAN OF GOD WHO CAN SHOW THE WAY FOR BROKEN HEARTS. BLESSES!

    • @pastortonykapola
      @pastortonykapola  3 года назад +1

      @@pastortoneykapola2764 you are a scam and we have known you and we are working on you... Watch what we will do.

  • @chigodidennis5483
    @chigodidennis5483 2 месяца назад

    Amen, thank you Pastor, may God bless you more🙏

  • @VenansMunish
    @VenansMunish 2 месяца назад

    Ameniii mtumishi barikiwa sanaa

  • @mariasenzighe5395
    @mariasenzighe5395 4 года назад +2

    mchungaji kwakwel sijutii kuchelewa kuyasikiliza mahubiri yako lakini naamini umekuja wakati muafaka katika maisha yangu na katika kunibariki na kuiponya nafsi yangu. Mungu aendelee kukupa nafasi na uzima uendelee kutupa sega la asali kutoka mbinguni.

  • @stellamollen2350
    @stellamollen2350 4 года назад +11

    Very powerful sermon, just what I needed to hear, God bless you sir 🙏🏾

    • @rehemajohnson8544
      @rehemajohnson8544 3 года назад

      W

    • @ellykibale190
      @ellykibale190 3 года назад

      @@rehemajohnson8544
      Nahisi aliyekujibu siyo pastor,ukiangalia jina la Kati utakuta ni tofauti, toney Vs Tony.

  • @sifagubandja1589
    @sifagubandja1589 4 года назад +2

    Ubarikiwe kwa kweli mahubiri yako ndiyo maisha yangu.,na kwa kweli umenipongeza ,kunitiya moyo

  • @nm-tg1bn
    @nm-tg1bn Год назад +3

    Man of God be blessed. You don't know the impact you've had on me through this message. 🙏

  • @silviananjala7941
    @silviananjala7941 Год назад +2

    Umenifunza mengi paster Tony mungu amekupa kipawa continue touching peoples heart Amen

  • @marybaranga7218
    @marybaranga7218 3 года назад +1

    Amen mchungaji wacheni kushusha watu wacha tutiane moyo wonderful sermon

  • @tamiyamukinga1609
    @tamiyamukinga1609 Год назад +1

    Amen nmepokea ujasir mtumishi nashukul

  • @bonifacemmassy5523
    @bonifacemmassy5523 4 года назад +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu nakula chakula kisicho ghoshiwa na kitamu sana

  • @ruthryoba3695
    @ruthryoba3695 2 года назад +1

    Mungu akubariki mwanangu kwa neno . Mafuta ya Bwana yazidi kuwa juu yako.

  • @janenyambura7339
    @janenyambura7339 2 года назад +4

    My dream is to sit at your church and listen to you...God bless you.... your a blessing

    • @gentrixnafula8582
      @gentrixnafula8582 2 года назад

      Huu ujumbe imenijia kwa wakati inao FAA,,mungu azidi kukutumia

  • @allenstian3719
    @allenstian3719 3 года назад +1

    huduma yko haiendi bure,tunapona sana kupitia huduma hii,Mungu anae kutumia azidi kuwekeza ndan yako ,Amina

  • @paulinemuhonja9105
    @paulinemuhonja9105 3 года назад +1

    AMEN AMEN 👏👏,,,, Mungu atabaki kuwa Mungu 🙏🙏🙏

  • @eveanangisye1999
    @eveanangisye1999 4 года назад +1

    Amen, Mungu mpe zaidi Mtumishi wako mafunuo ili neno lako lizidi kujidhihirisha kwetu.

  • @dolphinekhavere2504
    @dolphinekhavere2504 4 года назад +3

    Nabarikiwa sana nkiwa kenya

  • @jacinta_wangari
    @jacinta_wangari 2 года назад +2

    Timely message. Kweli Mungu amenena nami leo

  • @deborahbarasa9558
    @deborahbarasa9558 3 года назад +2

    God bless you man of God

  • @floraritha1454
    @floraritha1454 4 года назад +4

    Ameeen! That is true pastor, Yesu nisaidie kutokukumbuka giza la jana.

  • @twinerjay5323
    @twinerjay5323 4 года назад +2

    Barikiwa sana MTU wa mungu i am really bless with your teaching from Mombasa kenya

  • @emanuelshine
    @emanuelshine 8 месяцев назад

    Nimeguswa sana. Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu zaidi kwa Jina la Yesu. Amen.

  • @priscardanier8264
    @priscardanier8264 2 года назад

    Amina we mtumishi MUNGU azidi kukulinda nimetoka kwenye nyakati ngumu kwa ajir ya mahubir yako

  • @janetsalakana497
    @janetsalakana497 4 года назад +3

    Powerful message

  • @floraritha1454
    @floraritha1454 4 года назад +3

    Kwanzia leo najisamee na naitazama kesho yangu iliyo na nuru.

  • @hdhdhdhdhdh3264
    @hdhdhdhdhdh3264 Год назад

    Amen🙏🙏🙏🙏🙏NITAOLEWA KWA HESHIMA KWA JINA LA YESU🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💃💃💃💃🇰🇪🇰🇪

  • @OndaraSambicha
    @OndaraSambicha 7 месяцев назад

    Ni kweli kabisa katika maisha ya Sasa.Mtumishi barikiwa sana.Tunahitaji mengi.

  • @louisamazutantamukunzi7363
    @louisamazutantamukunzi7363 4 года назад +1

    Mungu akbarikisana saaaaana

  • @emmaevarest3467
    @emmaevarest3467 4 года назад +4

    That Preacher and mentor i was looking for all that time

  • @nissiteddy4877
    @nissiteddy4877 4 года назад +1

    Watching from Kenya,Turkana county

  • @brotherbenardmutinda4459
    @brotherbenardmutinda4459 2 года назад +1

    Woo great revelation

  • @veronicapetro3259
    @veronicapetro3259 11 месяцев назад

    Nafurahi SANA ninapo sikiliza mafundisho yako pasta Huwa najifunza SANA MUNGU AKUBARIKI

  • @DianaThomac
    @DianaThomac 4 месяца назад

    Amen Dady.

  • @mirriumkiamba3455
    @mirriumkiamba3455 4 года назад +3

    So powerful sarmon ,amen.amen🙏

  • @rebbecamgana6059
    @rebbecamgana6059 3 года назад

    Unanitia moyo sana pastor namshukuru Mungunkwa ajili yako.kweli kina vyombo vya Mungu nikishasema hakuna tena mtumishi nitakae mwamini.niliona kama wote ni wabaya na Mungu anisamehe sana kwao kuhukumu anisamehe kabisa niliona kama wote wanafanana.

  • @Kajoba
    @Kajoba 8 месяцев назад

    Mchungaji kwakweli nimebarikiwa na maubiri Aya and I know that am not late bicoz God's time is the best❤

  • @stellanicho
    @stellanicho Год назад

    Amen. Makosa yangu ya Jana sikubali yanirudishe nyuma. I focus to the light

  • @sabinamakio5520
    @sabinamakio5520 4 года назад +4

    Amen man of God u always blessed me

    • @Margy527
      @Margy527 3 года назад

      @@pastortoneykapola2764 fake account only 2 subscribers. Be ware of scammers

  • @jonasmpita2206
    @jonasmpita2206 4 года назад +1

    Nzuri sana Pastor, hakika somo linabariki sana

  • @ellykibale190
    @ellykibale190 3 года назад

    Nimebarikiwa mtumishu, ubarikiwe pia kwa neno lakututia moyo.

  • @rebbecamgana6059
    @rebbecamgana6059 3 года назад

    Haleluya!! Pastor nampenda Mungu wako kweli nabarikiwa mno na mafundisho yako natamani kufika madhabahuni pako siku moja nitafika tu naamini nfuatilia sana mafundisho yako na nasikia amani mno kina mahali navuka kiroho kabisa Mungu anakutumia kweli.Mungu akubariki ubarikike.

  • @happymtundu8023
    @happymtundu8023 3 года назад

    Amina, nasonga mbele ya Jana hayanisumbui tena, asante Yesu

  • @nasrinasri1782
    @nasrinasri1782 3 года назад

    Aminaaaaaa...!aliyoko ndani yangu siyo aliyoko nje yangu asante mtumish wa MUNGU🔥🔥🔥

  • @christinainnocent3240
    @christinainnocent3240 Год назад

    Amen mtumishi kweli anaekutupa leo kuna Mungu aliekupangia kukutoa jalalani alikotupa yule wa jana na Masaki kukaa na kula kuvaa kuishi na majirani mabalozi mawaziri nk

  • @fellowshipwithkitchenpries3814
    @fellowshipwithkitchenpries3814 11 месяцев назад +1

    We baba we unasema na moyo wangu kila siku😭

  • @matldajohn9619
    @matldajohn9619 4 года назад +1

    Amen somo zuri Mungu akuzidishie ulipotoa

  • @deborahpaul353
    @deborahpaul353 Год назад

    Nakushukuru sana mtumishi wa MUNGU nimebarikiwa sana na nitafucus na yaliyo mbele .AMEN

  • @johngervas-yw1es
    @johngervas-yw1es 3 месяца назад

    Ameni 🙏🙏🙏 Mtumishi wa Mungu

  • @sarahluvai6580
    @sarahluvai6580 3 года назад

    Hallelujah!!asante Yesu mwokozi..ninayo kesho yenye amani

  • @happyngulo4722
    @happyngulo4722 4 года назад

    Ameeeeeen 🙏 jamani MUNGU akubaliki mtumishi wa MUMGU moyo wangu ulizimia Ila Sasa umeamka tena

  • @haluwahavla9740
    @haluwahavla9740 Год назад

    Aky pastor una hubiri vzur mungu akubarki xan, hakika na barikiwa

  • @juliethmungure2799
    @juliethmungure2799 4 года назад +2

    Amen pastor huwa unanibariki Sana keep it up my Dady.

  • @gracielast7353
    @gracielast7353 Год назад +1

    Good bless you pastor 🙏

  • @issacklolo4292
    @issacklolo4292 3 года назад

    The way tunavyoishi huku tulipo Mungu asipoingilia Kati maisha yetu hatuna njia ya kutoka nlichokipata kwenye masomo yako ni kwamba hatuhitaji maombi Ila mda tu kidg wa kuyatafakari maish yetu kwa ujumla wake sema neno juu ya maisha ya vijana Kama mm nimesimama hata cna maamuzi Wala cjui pa kuelekea

  • @arynebeybe2012
    @arynebeybe2012 8 месяцев назад

    shetan kaa nyuma yangu
    Asante Mungu wangu

  • @DayanaSospeter-sy8wl
    @DayanaSospeter-sy8wl Год назад

    God bless u

  • @ndenitoriakimaro6090
    @ndenitoriakimaro6090 3 года назад

    MUNGU akiongezee maono Zaidi pastor. Hakika nabarikiwa Sana nikiwa Oman napenda Sana masomo yako ni kweli na Amen

  • @nancymacharia7897
    @nancymacharia7897 Год назад

    These sermon was meant for me regardless of how late i am to hear it , I've been focusing on my mistakes for years and it has derailed my progress but not anymore. The mistakes i did won't dim my progress today abd days to come . I have forgiven myself 🙏. Amen

  • @AgnessAgness-c3j
    @AgnessAgness-c3j 8 месяцев назад

    Amenii mungu azidi kukubariki baba

  • @agnesnzali5724
    @agnesnzali5724 Год назад

    An ay mahubir Leo kesho Bado nayakubali,,,,yamenifungua kifungo flan iv aise achen Mungu aitwe Mungu

  • @LoyceBugalama
    @LoyceBugalama 7 месяцев назад

    Barikiwa mtumishi

  • @IrhynnieSugar-iq8pl
    @IrhynnieSugar-iq8pl 4 месяца назад

    Mungu akubariki mtumishi

  • @martinaolunga7459
    @martinaolunga7459 4 года назад +2

    Am always touched by ur preaching. ....

  • @AnetPetro
    @AnetPetro 4 месяца назад

    Mungu azid kukutumia mtumishi

  • @davidekasere2133
    @davidekasere2133 Год назад

    Ubarikiwe

  • @jacksonkadege2876
    @jacksonkadege2876 Год назад

    Ubalikiwe sanaa kwa ujumbe wenye nguvu sanaaaa

  • @atanasmkondya5952
    @atanasmkondya5952 4 года назад +1

    Asante kwa meji

  • @happyshango8796
    @happyshango8796 3 года назад

    Mungu hutamka mwisho mwanzon...watu hufika salama kwa kuiangalia nuru nasio giza

  • @deborahrkaguo6540
    @deborahrkaguo6540 3 года назад

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako pastor, Mungu azidi kukutumia akupandishe viwango ukahubiri kimataifa na dunia kwa ujumla

  • @judynekesa8682
    @judynekesa8682 Год назад

    Amen mungu akumbe maisha marefu uendelee kuokoa iki kizazi

  • @lilianurassa3543
    @lilianurassa3543 4 года назад +1

    Amen, thank you so much pastor. Hii imenisaidia

  • @biblianenolaukweli5616
    @biblianenolaukweli5616 4 года назад +1

    Amen ubarikiwe

  • @LovenessMbise-tr9yk
    @LovenessMbise-tr9yk 2 месяца назад

    Ameeeeeeen ❤❤❤❤❤❤

  • @nancykenya4007
    @nancykenya4007 3 года назад

    Amen Sana ninafuraha kila wakati waja mungu akubariki tu sana

  • @sarahisaack9674
    @sarahisaack9674 Год назад

    Aliyeko ndani Yangu ni Mkuu kuliko wao Ameeen

  • @lydiamuli3328
    @lydiamuli3328 4 года назад +3

    Amen! Thanks for this teachings pastor they've blessed me

  • @carinej4388
    @carinej4388 Год назад

    You are always a blessing to me watching you from lebanon

  • @salomenyambura4214
    @salomenyambura4214 3 года назад +2

    Amen...Feeling blessed..

  • @pendezawillson3499
    @pendezawillson3499 Год назад

    Mungu akubarik uish miak ming...

  • @prettyprecious2479
    @prettyprecious2479 2 года назад +1

    I really needed this🙏🏼amen I receive

  • @christinaekyando
    @christinaekyando 4 года назад +3

    Am so blessed to have you Pastor Tony🙏

    • @ellykibale190
      @ellykibale190 3 года назад

      Aliyekujibu ni tapeli, cheki jina la Kati Toney Vs Tony.

  • @rachealmwale3897
    @rachealmwale3897 3 года назад

    Amen Amen mtumishi wa mungu. Nazidi kubarikiwa.

  • @leeleehy3923
    @leeleehy3923 Год назад

    Mungu ni mwema

  • @juliusmwinuka6911
    @juliusmwinuka6911 4 года назад +2

    Powerful Wisdom

  • @samsonezekiel5239
    @samsonezekiel5239 Год назад

    Ameeeeni asante

  • @paulbwanana7886
    @paulbwanana7886 3 года назад

    Mungu akuzidishe pastor Tony

  • @dennieswanjala9908
    @dennieswanjala9908 Год назад

    Wow man of God your massage gives me a reason to live tomorrow

  • @winnikwanja9451
    @winnikwanja9451 3 года назад

    Nabarikiwa sana na jumbe zako, Mchungaji Mungu azidi kukuinua tu ni ombi langu,

  • @georsurempunga7101
    @georsurempunga7101 Год назад

    Amine mchungaji munch atusaidiye

  • @samivanjr4872
    @samivanjr4872 Год назад

    Amina mtumishi wa Mungu

  • @edithdaniel208
    @edithdaniel208 2 года назад

    Mungu we wajua kesho yangu🙏

  • @davidekasere2133
    @davidekasere2133 Год назад

    Naomba maandiko haya...yapendeza sana na yatia moyo

  • @joswamjosiabagenda4979
    @joswamjosiabagenda4979 4 года назад

    Hakika hilo ni fundisho lililojaa mafuta na uhalisia blessed pastor.

  • @mcpaulmkopa4798
    @mcpaulmkopa4798 Год назад

    Barikiwa sana pastor ... somo zuri mno

  • @hrt8203
    @hrt8203 3 года назад +3

    So powerful , help me not to remember the past.

  • @glorylema7540
    @glorylema7540 2 года назад +1

    You are always a blessing Pastor