Makosa Ya Jana Yasitafsiri Kesho Yako | Pastor Tony Kapola | 3th Oct 2020
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Life Chapel International Church, Morogoro Tanzania.
Preaching the Word of Life through Our Man Of God Pastor Tony Kapola.
Unaweza kunifutalia kwenye mitandao yangu mingine kwa kubonyeza links hapa chini:-
Facebook: / pastortonykapola
Instagram: / pastortonykapola
Subscribe My RUclips: / @pastortonykapola
#PastorTonyKapola#makosayakoyajanayasitafsirikeshoyako
Giza yangu ya Jana sitakumbali izime taa yangu inayo nimulikia Leo na kesho asante Sana mchugaji
Ameen
kabisaaa baba mchungaji
umenigusa katika hili
Sitoacha kukusikiliza kwa kweli...I gain something here
Amen! Pastor ubarikiwe sana kwa jina la yesu
Amin mchungaji naamin Mungu atafungua njia pasipo na njia atanitendea mem cku moja kupitia maish niliyoyapitia kuanzia mwaka Jan mpaka mwaka huo najua history imeandikw md ukifik mungu atatoa majib
YOU ARE A WONDERFUL MAN OF GOD WHO CAN SHOW THE WAY FOR BROKEN HEARTS. BLESSES!
@@pastortoneykapola2764 you are a scam and we have known you and we are working on you... Watch what we will do.
Amen, thank you Pastor, may God bless you more🙏
Ameniii mtumishi barikiwa sanaa
mchungaji kwakwel sijutii kuchelewa kuyasikiliza mahubiri yako lakini naamini umekuja wakati muafaka katika maisha yangu na katika kunibariki na kuiponya nafsi yangu. Mungu aendelee kukupa nafasi na uzima uendelee kutupa sega la asali kutoka mbinguni.
Ameen🙏🙏
Very powerful sermon, just what I needed to hear, God bless you sir 🙏🏾
W
@@rehemajohnson8544
Nahisi aliyekujibu siyo pastor,ukiangalia jina la Kati utakuta ni tofauti, toney Vs Tony.
Ubarikiwe kwa kweli mahubiri yako ndiyo maisha yangu.,na kwa kweli umenipongeza ,kunitiya moyo
Man of God be blessed. You don't know the impact you've had on me through this message. 🙏
Umenifunza mengi paster Tony mungu amekupa kipawa continue touching peoples heart Amen
Amen mchungaji wacheni kushusha watu wacha tutiane moyo wonderful sermon
Amen nmepokea ujasir mtumishi nashukul
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu nakula chakula kisicho ghoshiwa na kitamu sana
Mungu akubariki mwanangu kwa neno . Mafuta ya Bwana yazidi kuwa juu yako.
My dream is to sit at your church and listen to you...God bless you.... your a blessing
Huu ujumbe imenijia kwa wakati inao FAA,,mungu azidi kukutumia
huduma yko haiendi bure,tunapona sana kupitia huduma hii,Mungu anae kutumia azidi kuwekeza ndan yako ,Amina
AMEN AMEN 👏👏,,,, Mungu atabaki kuwa Mungu 🙏🙏🙏
Amen, Mungu mpe zaidi Mtumishi wako mafunuo ili neno lako lizidi kujidhihirisha kwetu.
Nabarikiwa sana nkiwa kenya
Timely message. Kweli Mungu amenena nami leo
God bless you man of God
Ameeen! That is true pastor, Yesu nisaidie kutokukumbuka giza la jana.
@@pastortoneykapola2764 you are a thief
Barikiwa sana MTU wa mungu i am really bless with your teaching from Mombasa kenya
Nimeguswa sana. Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu zaidi kwa Jina la Yesu. Amen.
Amina we mtumishi MUNGU azidi kukulinda nimetoka kwenye nyakati ngumu kwa ajir ya mahubir yako
Powerful message
Kwanzia leo najisamee na naitazama kesho yangu iliyo na nuru.
Amen🙏🙏🙏🙏🙏NITAOLEWA KWA HESHIMA KWA JINA LA YESU🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💃💃💃💃🇰🇪🇰🇪
Na mume niko hapa karibu
Ni kweli kabisa katika maisha ya Sasa.Mtumishi barikiwa sana.Tunahitaji mengi.
Mungu akbarikisana saaaaana
That Preacher and mentor i was looking for all that time
Watching from Kenya,Turkana county
Woo great revelation
Nafurahi SANA ninapo sikiliza mafundisho yako pasta Huwa najifunza SANA MUNGU AKUBARIKI
Amen Dady.
So powerful sarmon ,amen.amen🙏
Unanitia moyo sana pastor namshukuru Mungunkwa ajili yako.kweli kina vyombo vya Mungu nikishasema hakuna tena mtumishi nitakae mwamini.niliona kama wote ni wabaya na Mungu anisamehe sana kwao kuhukumu anisamehe kabisa niliona kama wote wanafanana.
Mchungaji kwakweli nimebarikiwa na maubiri Aya and I know that am not late bicoz God's time is the best❤
Amen. Makosa yangu ya Jana sikubali yanirudishe nyuma. I focus to the light
Amen man of God u always blessed me
@@pastortoneykapola2764 fake account only 2 subscribers. Be ware of scammers
Nzuri sana Pastor, hakika somo linabariki sana
Nimebarikiwa mtumishu, ubarikiwe pia kwa neno lakututia moyo.
Haleluya!! Pastor nampenda Mungu wako kweli nabarikiwa mno na mafundisho yako natamani kufika madhabahuni pako siku moja nitafika tu naamini nfuatilia sana mafundisho yako na nasikia amani mno kina mahali navuka kiroho kabisa Mungu anakutumia kweli.Mungu akubariki ubarikike.
Amina, nasonga mbele ya Jana hayanisumbui tena, asante Yesu
Aminaaaaaa...!aliyoko ndani yangu siyo aliyoko nje yangu asante mtumish wa MUNGU🔥🔥🔥
Amen mtumishi kweli anaekutupa leo kuna Mungu aliekupangia kukutoa jalalani alikotupa yule wa jana na Masaki kukaa na kula kuvaa kuishi na majirani mabalozi mawaziri nk
We baba we unasema na moyo wangu kila siku😭
Amen somo zuri Mungu akuzidishie ulipotoa
Nakushukuru sana mtumishi wa MUNGU nimebarikiwa sana na nitafucus na yaliyo mbele .AMEN
Ameni 🙏🙏🙏 Mtumishi wa Mungu
Hallelujah!!asante Yesu mwokozi..ninayo kesho yenye amani
Ameeeeeen 🙏 jamani MUNGU akubaliki mtumishi wa MUMGU moyo wangu ulizimia Ila Sasa umeamka tena
Aky pastor una hubiri vzur mungu akubarki xan, hakika na barikiwa
Amen pastor huwa unanibariki Sana keep it up my Dady.
Good bless you pastor 🙏
The way tunavyoishi huku tulipo Mungu asipoingilia Kati maisha yetu hatuna njia ya kutoka nlichokipata kwenye masomo yako ni kwamba hatuhitaji maombi Ila mda tu kidg wa kuyatafakari maish yetu kwa ujumla wake sema neno juu ya maisha ya vijana Kama mm nimesimama hata cna maamuzi Wala cjui pa kuelekea
shetan kaa nyuma yangu
Asante Mungu wangu
God bless u
MUNGU akiongezee maono Zaidi pastor. Hakika nabarikiwa Sana nikiwa Oman napenda Sana masomo yako ni kweli na Amen
These sermon was meant for me regardless of how late i am to hear it , I've been focusing on my mistakes for years and it has derailed my progress but not anymore. The mistakes i did won't dim my progress today abd days to come . I have forgiven myself 🙏. Amen
Amenii mungu azidi kukubariki baba
An ay mahubir Leo kesho Bado nayakubali,,,,yamenifungua kifungo flan iv aise achen Mungu aitwe Mungu
Barikiwa mtumishi
Mungu akubariki mtumishi
Am always touched by ur preaching. ....
Mungu azid kukutumia mtumishi
Ubarikiwe
Ubalikiwe sanaa kwa ujumbe wenye nguvu sanaaaa
Asante kwa meji
Mungu hutamka mwisho mwanzon...watu hufika salama kwa kuiangalia nuru nasio giza
Nabarikiwa sana na mafundisho yako pastor, Mungu azidi kukutumia akupandishe viwango ukahubiri kimataifa na dunia kwa ujumla
Amen mungu akumbe maisha marefu uendelee kuokoa iki kizazi
Amen, thank you so much pastor. Hii imenisaidia
Amen ubarikiwe
Ameeeeeeen ❤❤❤❤❤❤
Amen Sana ninafuraha kila wakati waja mungu akubariki tu sana
Aliyeko ndani Yangu ni Mkuu kuliko wao Ameeen
Amen! Thanks for this teachings pastor they've blessed me
You are always a blessing to me watching you from lebanon
Amen...Feeling blessed..
Mungu akubarik uish miak ming...
I really needed this🙏🏼amen I receive
Am so blessed to have you Pastor Tony🙏
Aliyekujibu ni tapeli, cheki jina la Kati Toney Vs Tony.
Amen Amen mtumishi wa mungu. Nazidi kubarikiwa.
Mungu ni mwema
Powerful Wisdom
Ameeeeni asante
Mungu akuzidishe pastor Tony
Wow man of God your massage gives me a reason to live tomorrow
Nabarikiwa sana na jumbe zako, Mchungaji Mungu azidi kukuinua tu ni ombi langu,
Amine mchungaji munch atusaidiye
Amina mtumishi wa Mungu
Mungu we wajua kesho yangu🙏
Naomba maandiko haya...yapendeza sana na yatia moyo
Hakika hilo ni fundisho lililojaa mafuta na uhalisia blessed pastor.
Barikiwa sana pastor ... somo zuri mno
So powerful , help me not to remember the past.
You are always a blessing Pastor