- Видео 30
- Просмотров 26 157
SAFIRI DUNIA!
Добавлен 17 окт 2017
Karibu katika channel hii ili kujifunza zaidi na kuangazia uzuri wa nchi mbalimbali katika mabara saba ya dunia.
Karibu na Tafadhali
Subscribe, Share ,like na Comment.
Endelea kufurahia Channel Hii!!
Tafadhali Wasiliana nasi kupitia👇
Email@maureenkwedy333@gmail.com
📞+255750592833
Karibu na Tafadhali
Subscribe, Share ,like na Comment.
Endelea kufurahia Channel Hii!!
Tafadhali Wasiliana nasi kupitia👇
Email@maureenkwedy333@gmail.com
📞+255750592833
Видео
LIFAHAMU JIJI LA MADHAMBI YOTE UNAYOYAJUA!(SIN CITY, LAS VEGAS)
Просмотров 347Месяц назад
LIFAHAMU JIJI LA MADHAMBI YOTE UNAYOYAJUA!(SIN CITY, LAS VEGAS)
MJI MKONGWE NCHINI USWIZI NI ZANZIBAR KABISA!(BERN)
Просмотров 103Месяц назад
MJI MKONGWE NCHINI USWIZI NI ZANZIBAR KABISA!!
ARUSHA KAMA USWIZI ZIWA LIMEZUNGUKWA NA MILIMA (GENEVA)
Просмотров 1,2 тыс.Месяц назад
ARUSHA KAMA USWIZI ZIWA LIMEZUNGUKWA NA MILIMA
USIJARIBU KWENDA HUKU MWENYEWE KWANI HUTARUDI KWENU🥱😳🙌🏼
Просмотров 8 тыс.Месяц назад
MASHEPU YA WANAWAKE WA KISOUTH NI KUFURU #travel #southafrica #southafricawomen #beautifulgirls #wanwakewarembo
MOROGORO AFRIKA KUSINI WATU WANA ROHO NGUMU HATARI😳🙌🏼
Просмотров 2,1 тыс.Месяц назад
MOROGORO AFRIKA KUSINI WATU WANA ROHO NGUMU HATARI!
SITASAHAU KILICHONIKUTA UWANJA WA NDEGE WA O.R TAMBO😭😭😭
Просмотров 256Месяц назад
SITASAHAU KILICHONIKUTA UWANJA WA NDEGE WA O.R TAMBO😭😭😭
JIFUNZE AMAPIANO NI FULL VIBEEEEEEE🔥🔥🔥🔥🔥
Просмотров 622 месяца назад
JIFUNZE AMAPIANO NI FULL VIBEEEEEEE🔥🔥🔥🔥🔥
MJI MAARUFU KWA KUTENGENEZA WINE SOUTH AFRICA🇿🇦
Просмотров 522 месяца назад
MJI MAARUFU KWA KUTENGENEZA WINE SOUTH AFRICA🇿🇦
SOUTH AFRICA WALIKUWA WANASHANGAA KINGEREZA CHANGU😳🤣🤣🤣
Просмотров 1992 месяца назад
SOUTH AFRICA WALIKUWA WANASHANGAA KINGEREZA CHANGU😳🤣🤣🤣
IJUE SEHEMU ALIYOZALIWA NELSON MANDELA!
Просмотров 1572 месяца назад
IJUE SEHEMU ALIYOZALIWA NELSON MANDELA!
KUMBE SOUTH AFRICA NDO IPO HIVI‼️🤣🤣🙌🏼🙌🏼
Просмотров 8662 месяца назад
KUMBE SOUTH AFRICA NDO IPO HIVI‼️🤣🤣🙌🏼🙌🏼
BRUCE AFRICA NA GIDEON KANI MZIKI BADO UNAENDELEA!!!!!
Просмотров 6 тыс.3 года назад
BRUCE AFRICA NA GIDEON KANI MZIKI BADO UNAENDELEA!!!!!
Nurcsh from Tanzania I you sure.
Ss kinyamwz kimakond na kz
Ni wazuri sawa lakini ni wachafu zaidi hawaoshi uchi zao hawafaiiii
😂 umejuaje juu ya hili?
Mmmh ni balaa
Mimi ni wa kwanza ku toka DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mimi na fatilia Chanel iyi nikiwa DRC 🇨🇩🇨🇩 nawapenda sana
Ujaribu kufocus kwenye headlines. Unaongea mambo mengi yasiyo na maana tofauti na title ya content.
Huuu
We not after matako ,sura,kujioneshana kimwili but we are after intergraty,e-strong woman,eloquent ed submissive to the family/ community
We not after matako ,sura,kujioneshana kimwili but we are after intergraty,e-strong woman,eloquent ed submissive to the family/ community
We not after matako ,sura,kujioneshana kimwili but we are after intergraty,e-strong woman,eloquent ed submissive to the family/ community
We not after matako ,sura,kujioneshana kimwili but we are after intergraty,e-strong woman,eloquent ed submissive to the family/ community
Mm nilikuwepo port elizabert noma nimekaa miaka miwii
Sio utani kwa mzulu watto wakali sana ukimwi uko😊
Hayo ndiyo matokeo ya Kupoteza asili na Tamaduni za kiafrika na kumegwa na Tamaduni za Wazungu Hayo sio maendeleo bali Waafrika tutakuwa watumwa wa nchi za magharibi kwa Kupoteza utambulisho wetu
Tanzania hii roho ngumu ziko kanda ya ziwa tu.nenda maeneo yote hatarishi utawakuta wakurya na wasukuma.hata Kuna mtu,Simba,mahandaki hatarishi utawakuta hao watu na hawaogopi.maana wao hawaendi kulelewa.bari wanaenda kuchukuwa pesa.
Hamuwaziii mengine tz ndio mana hamjielewi haswa
Zuerich ni mji wa kibiashara, mji wa kifedha ambapo kuna mabenki mengi na ofisi nyingi za mashirika ya kimataifa ni Geneva
Salute
Kwahio uzuri wa mwanamke ni umbo?
Najiona kama nimefikaa🤣🤣🤣
khaa
wewe muongo wanauchumi gani hata wawe matajir
Umenikumbusha mbali sana Dada -Thanks
we n mpumbavu…. unaongelea Arusha unaonesha miji ya ulaya
🙏 Excellent
Aaante sana pastor
Wow Kwa kweli nafurahia sana kipindi hiki
Asante sana
🔥🔥🔥
Wowww I love it❤
Ukabajii na ubaguzi zidii yawagenii na cukii kwa wakimbizi kutoka africa nduguzetuu wa africa est africa bakii uko uko msije ukuu africa ya ku sinii ni matatizo
😢😢
Point of correction.Afrika haina nchi inayoitwa Swaziland.Ilikuwepo kwa sasa hilo jina halipo tena Afrika,ila tuna Eswatini.Kuhusu vita kwao tu ndio hakuna vita,ila wanatuma vitani wanajeshi kwenda kuvamia mataifa ya ulimwengu wa tatu Kirumi ndio lugha gani hio?Inatofauti na kitaliani?au ?Na kilatini ni ipi?ila kazi nzuri sana.
Asante saaana saaaana🙏
Kati kati ya swiss wanazungumza lukha ya twitch hio ndio lukha yao kisha kando kando ya mipaka ndio wanazungumza lukha za inchi ambazo zimepakana nazo
Shukrani sana saaana🙏
Wana kamatwa leo kesho wana toka
Wanaongoza kwa umalaya na ukimwi uko wa kutosha huko
Kipindi kizuri sana nafeel npo huko kumbe sijawai kanyagaa 😂😂
Shukrani sana😂🙏
Wapigania Uhuru wa Afrika kusini makazi yao yalikuwa Mazimbu - Morogoro. Baadhi yao walizaa hata na watu wa hapo. Wengine hata kuondoka na watoto waliowazaa na wakazi wa Morogoro.
Wow asante sana
Wazungu walijenga south Africa hadi weasten wakienda huwa hawaamini ni nchi nzuri sanaa na bado walijenga kukiwa na vita kubwa wangetulia ingekuwa nomaa
Arafu Ata awaringi ukimtaka anakupa nakuishi na wewe awana noma
Sio Joz tu,,, Ngoma Nigeria Dogo ni mav
Nipo geita nimefurahi
Noma sanaaaaaa❤
🙌🙌🙌🙌
Hayo mashepu nomaaa 🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Najifunza sana
Aloooo 😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂Weka mbali na watoto aisee hongera sana kwenu
Asante sana❤
Kipindi kizuri sana nimejifunza vitu vingi❤️❤️❤️
❤❤️🙌