- Видео 563
- Просмотров 1 198 799
Manyunyu Tv
Танзания
Добавлен 6 апр 2023
Manyunyu TV ni channel ya RUclips ambayo inakuletea matukio mbalimbali ya kusisimua kutoka kwenye jamii. Tunaangazia maisha ya kila siku ya watu wa kawaida, shughuli za kijamii, na matukio muhimu yanayohusu jamii yetu.
Tunajitahidi kuleta vipindi mbalimbali vya burudani kama vile michezo, nyimbo, na vichekesho. Tunapenda kuwasiliana na watazamaji wetu, hivyo tunawakaribisha kutoa maoni yao na kuuliza maswali.
Tunajitahidi kuwa bora katika kila kitu tunachofanya. Tuna ubunifu mkubwa na tunaonyesha ubora katika video zetu. Tunaamini katika upendo kwa jamii na tunataka kuwahamasisha wengine kufanya kazi kwa bidii na kufikia malengo yao.
Karibu ujiunge na Manyunyu TV, mahali pazuri pa kujifunza, kuburudika na kujumuika na wengine. Asante kwa kuwa nasi!
Tupigie: +255652730422
MASHINDANO YA MAJI CUP YAFUNGWA RASMI...
Manyunyu TV ni channel ya RUclips ambayo inakuletea matukio mbalimbali kutoka kwenye jamii. Tunaangazia maisha ya kila siku ya watu wa kawaida, shughuli za kijamii, na matukio muhimu yanayohusu jamii yetu.
Tunajitahidi kuleta vipindi mbalimbali vya burudani kama vile michezo, nyimbo, na vichekesho. Tunapenda kuwasiliana na watazamaji wetu, hivyo tunawakaribisha kutoa maoni yao na kuuliza maswali.
Tunajitahidi kuwa bora katika kila kitu tunachofanya. Tuna ubunifu mkubwa na tunaonyesha ubora katika video zetu. Tunaamini katika upendo kwa jamii na tunataka kuwahamasisha wengine kufanya kazi kwa bidii na kufikia malengo yao.
Karibu ujiunge na Manyunyu TV, mahali pazuri pa kujifunza, kuburudika n...
Tunajitahidi kuleta vipindi mbalimbali vya burudani kama vile michezo, nyimbo, na vichekesho. Tunapenda kuwasiliana na watazamaji wetu, hivyo tunawakaribisha kutoa maoni yao na kuuliza maswali.
Tunajitahidi kuwa bora katika kila kitu tunachofanya. Tuna ubunifu mkubwa na tunaonyesha ubora katika video zetu. Tunaamini katika upendo kwa jamii na tunataka kuwahamasisha wengine kufanya kazi kwa bidii na kufikia malengo yao.
Karibu ujiunge na Manyunyu TV, mahali pazuri pa kujifunza, kuburudika n...
Просмотров: 63
Видео
TUME YA UCHAGUZI IMEFUNGUA MAFUNZO KWA WATENDAJI WA UCHAGUZI NGAZI YA MKOA..
Просмотров 1684 часа назад
Manyunyu TV ni channel ya RUclips ambayo inakuletea matukio mbalimbali kutoka kwenye jamii. Tunaangazia maisha ya kila siku ya watu wa kawaida, shughuli za kijamii, na matukio muhimu yanayohusu jamii yetu. Tunajitahidi kuleta vipindi mbalimbali vya burudani kama vile michezo, nyimbo, na vichekesho. Tunapenda kuwasiliana na watazamaji wetu, hivyo tunawakaribisha kutoa maoni yao na kuuliza maswal...
MASHINDANO YA MAJI CUP YAZINDULIWA RASMI DODOMA..
Просмотров 28819 часов назад
Manyunyu TV ni channel ya RUclips ambayo inakuletea matukio mbalimbali kutoka kwenye jamii. Tunaangazia maisha ya kila siku ya watu wa kawaida, shughuli za kijamii, na matukio muhimu yanayohusu jamii yetu. Tunajitahidi kuleta vipindi mbalimbali vya burudani kama vile michezo, nyimbo, na vichekesho. Tunapenda kuwasiliana na watazamaji wetu, hivyo tunawakaribisha kutoa maoni yao na kuuliza maswal...
MAMA WA MTOTO ALIYE BAKWA NA BABA YAKE HADI KUFA WANAWAKE NA SAMIA WAMTEMBELEA...
Просмотров 503День назад
Manyunyu TV ni channel ya RUclips ambayo inakuletea matukio mbalimbali kutoka kwenye jamii. Tunaangazia maisha ya kila siku ya watu wa kawaida, shughuli za kijamii, na matukio muhimu yanayohusu jamii yetu. Tunajitahidi kuleta vipindi mbalimbali vya burudani kama vile michezo, nyimbo, na vichekesho. Tunapenda kuwasiliana na watazamaji wetu, hivyo tunawakaribisha kutoa maoni yao na kuuliza maswal...
MAKALA: ZIARA YA MKUU WA MKOA WA DODOMA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI...
Просмотров 263День назад
Manyunyu TV ni channel ya RUclips ambayo inakuletea matukio mbalimbali kutoka kwenye jamii. Tunaangazia maisha ya kila siku ya watu wa kawaida, shughuli za kijamii, na matukio muhimu yanayohusu jamii yetu. Tunajitahidi kuleta vipindi mbalimbali vya burudani kama vile michezo, nyimbo, na vichekesho. Tunapenda kuwasiliana na watazamaji wetu, hivyo tunawakaribisha kutoa maoni yao na kuuliza maswal...
WAZIRI KABUDI AZINDUWA KITUO CHA HUDUMA KWA MTEJA, HUDUMA YA KISHERIA SIO TATIZO TENA..
Просмотров 306День назад
Manyunyu TV ni channel ya RUclips ambayo inakuletea matukio mbalimbali kutoka kwenye jamii. Tunaangazia maisha ya kila siku ya watu wa kawaida, shughuli za kijamii, na matukio muhimu yanayohusu jamii yetu. Tunajitahidi kuleta vipindi mbalimbali vya burudani kama vile michezo, nyimbo, na vichekesho. Tunapenda kuwasiliana na watazamaji wetu, hivyo tunawakaribisha kutoa maoni yao na kuuliza maswal...
FAHAMU NJIA YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA HOMA YA NYANI...
Просмотров 60914 дней назад
Manyunyu TV ni channel ya RUclips ambayo inakuletea matukio mbalimbali kutoka kwenye jamii. Tunaangazia maisha ya kila siku ya watu wa kawaida, shughuli za kijamii, na matukio muhimu yanayohusu jamii yetu. Tunajitahidi kuleta vipindi mbalimbali vya burudani kama vile michezo, nyimbo, na vichekesho. Tunapenda kuwasiliana na watazamaji wetu, hivyo tunawakaribisha kutoa maoni yao na kuuliza maswal...
WIMBI LA UTEKAJI WATOTO DC WA CHAMWINO AWATAKA WANANCHI WASICHUKUE SHERIA MKONI..
Просмотров 33214 дней назад
Manyunyu TV ni channel ya RUclips ambayo inakuletea matukio mbalimbali kutoka kwenye jamii. Tunaangazia maisha ya kila siku ya watu wa kawaida, shughuli za kijamii, na matukio muhimu yanayohusu jamii yetu. Tunajitahidi kuleta vipindi mbalimbali vya burudani kama vile michezo, nyimbo, na vichekesho. Tunapenda kuwasiliana na watazamaji wetu, hivyo tunawakaribisha kutoa maoni yao na kuuliza maswal...
HALMASHAURI YA CHAMWINO YAJIPANGA KUTOA ELIMU YA KUPAMBANA NA HOMA YA NYANI..
Просмотров 24514 дней назад
Manyunyu TV ni channel ya RUclips ambayo inakuletea matukio mbalimbali kutoka kwenye jamii. Tunaangazia maisha ya kila siku ya watu wa kawaida, shughuli za kijamii, na matukio muhimu yanayohusu jamii yetu. Tunajitahidi kuleta vipindi mbalimbali vya burudani kama vile michezo, nyimbo, na vichekesho. Tunapenda kuwasiliana na watazamaji wetu, hivyo tunawakaribisha kutoa maoni yao na kuuliza maswal...
TUZO ZA LATRA WADAU WATOA NENO...
Просмотров 17914 дней назад
Manyunyu TV ni channel ya RUclips ambayo inakuletea matukio mbalimbali kutoka kwenye jamii. Tunaangazia maisha ya kila siku ya watu wa kawaida, shughuli za kijamii, na matukio muhimu yanayohusu jamii yetu. Tunajitahidi kuleta vipindi mbalimbali vya burudani kama vile michezo, nyimbo, na vichekesho. Tunapenda kuwasiliana na watazamaji wetu, hivyo tunawakaribisha kutoa maoni yao na kuuliza maswal...
RC DODOMA ATANGAZA ZIARA YA SIKU TATU ZA DKT. MPANGO KUONGEA NA WANANCHI ANA KWA ANA ..
Просмотров 553Месяц назад
RC DODOMA ATANGAZA ZIARA YA SIKU TATU ZA DKT. MPANGO KUONGEA NA WANANCHI ANA KWA ANA ..
MGOMBEA PEKEE WA KIUME AJITOSA KUWANIA NAFASI YA UBUNGE WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI...
Просмотров 548Месяц назад
MGOMBEA PEKEE WA KIUME AJITOSA KUWANIA NAFASI YA UBUNGE WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI...
#TRC: KUONGEZA TRENI ZA SAFARI DODOMA DAR ,WANANCHI VIJIJINI KUNUFAIKA NA MRADI WA MWENDOKASI.
Просмотров 9 тыс.Месяц назад
#TRC: KUONGEZA TRENI ZA SAFARI DODOMA DAR ,WANANCHI VIJIJINI KUNUFAIKA NA MRADI WA MWENDOKASI.
KAULI YA JAFO WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA KWENYE MAONESHO YA NANE NANE KITAIFA..
Просмотров 96Месяц назад
KAULI YA JAFO WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA KWENYE MAONESHO YA NANE NANE KITAIFA..
WATU WANAVYO PIGWA PESA UNUNUZI WA ARDHI DODOMA..NJIA SAHIHI YA UNUNUZI HII HAPA
Просмотров 149Месяц назад
WATU WANAVYO PIGWA PESA UNUNUZI WA ARDHI DODOMA..NJIA SAHIHI YA UNUNUZI HII HAPA
TUNATAKA WAFANYABIASHARA WAINGIE KWENYE SOKO LA AFRIKA RAIS WA CHEMBA..
Просмотров 228Месяц назад
TUNATAKA WAFANYABIASHARA WAINGIE KWENYE SOKO LA AFRIKA RAIS WA CHEMBA..
MAWAZIRI: NCHEMBA NA JENISTA WALIAMSHA JUKWAANI NANE NANE -DODOMA
Просмотров 150Месяц назад
MAWAZIRI: NCHEMBA NA JENISTA WALIAMSHA JUKWAANI NANE NANE -DODOMA
WANAFUNZI WA SHULE BORA YA MAKI NA FADHILA WATEMBELEA MAONESHO YA SHEREHE ZA NANE NANE KUJIFUNZA..
Просмотров 124Месяц назад
WANAFUNZI WA SHULE BORA YA MAKI NA FADHILA WATEMBELEA MAONESHO YA SHEREHE ZA NANE NANE KUJIFUNZA..
PINDA: KUBORESHA LISHE KWA KUTUMIA VYAKULA VYA ASILI..
Просмотров 258Месяц назад
PINDA: KUBORESHA LISHE KWA KUTUMIA VYAKULA VYA ASILI..
UHALIFU NA UKATILI POLISI WAIBUKIA KANISANI KUONGEA NA WAUMINI..
Просмотров 617Месяц назад
UHALIFU NA UKATILI POLISI WAIBUKIA KANISANI KUONGEA NA WAUMINI..
UBUNIFU WA MWANAFUNZI ASIYEONA WASHANGAZA WENGI..BUIGIRI DODOMA..
Просмотров 50Месяц назад
UBUNIFU WA MWANAFUNZI ASIYEONA WASHANGAZA WENGI..BUIGIRI DODOMA..
WAZIRI MKENDA: MARUFUKU KWA MWANAFUNZI KURUDISHWA NYUMBANI KWA MZAZI..HANA MCHANGO WA CHAKULA
Просмотров 224Месяц назад
WAZIRI MKENDA: MARUFUKU KWA MWANAFUNZI KURUDISHWA NYUMBANI KWA MZAZI..HANA MCHANGO WA CHAKULA
TIMU JULAI WAONYESHA MATENDO YA HURUMA KWA WAHITAJI SHULE YA WASIOONA BUIBIRI..
Просмотров 97Месяц назад
TIMU JULAI WAONYESHA MATENDO YA HURUMA KWA WAHITAJI SHULE YA WASIOONA BUIBIRI..
RC DODOMA AELEZA MAANDALIZI YA NANE NANE KITAIFA...ATAJA WASHIRIKI MPAKA SASA..
Просмотров 78Месяц назад
RC DODOMA AELEZA MAANDALIZI YA NANE NANE KITAIFA...ATAJA WASHIRIKI MPAKA SASA..
#ROBOTI KUWAONGOZA WANAO POTEA JENGO KUBWA LA MAHAKAMA DODOMA
Просмотров 1 тыс.Месяц назад
#ROBOTI KUWAONGOZA WANAO POTEA JENGO KUBWA LA MAHAKAMA DODOMA
NDEGE AINA YA JOHN WANAOTEMBEA UMBALI MREFU WANAPATIKIKANA DODOMA KWENYE KISIWA..
Просмотров 152Месяц назад
NDEGE AINA YA JOHN WANAOTEMBEA UMBALI MREFU WANAPATIKIKANA DODOMA KWENYE KISIWA..
WANUFAIKA LAKI NNE KUONDOLEWA KATIKA MPANGO WA TASAF BAADA YA UCHUMI KUIMARIKA.
Просмотров 982 месяца назад
WANUFAIKA LAKI NNE KUONDOLEWA KATIKA MPANGO WA TASAF BAADA YA UCHUMI KUIMARIKA.
TAZAMA KIWANDA KIKUBWA KINAVYO ZALISHAJI MBOLEA DODOMA...
Просмотров 2502 месяца назад
TAZAMA KIWANDA KIKUBWA KINAVYO ZALISHAJI MBOLEA DODOMA...
TASWILA SEKTA YA KILIMO JIJI LA DODOMA MIAKA 3 YA RAIS SAMIA..
Просмотров 1062 месяца назад
TASWILA SEKTA YA KILIMO JIJI LA DODOMA MIAKA 3 YA RAIS SAMIA..
TANZANIA YA KIDIJITALI YEPELEKA WANUFAIKA WA UFADHILI WA MAFUNZO AWAMU YA PILI
Просмотров 1172 месяца назад
TANZANIA YA KIDIJITALI YEPELEKA WANUFAIKA WA UFADHILI WA MAFUNZO AWAMU YA PILI
Acheni kujifanya warohon mmejaa kukosoa kosoa watumishi nyinyi ndomnaboa mnakwaza yaani Kwan hapa mtumishi kaomba maombi ya kumualika shetan au kumfukuza kwenye family mbal mbal kuhusu lugha anayoitumia huyu ni mtoto wa mjini kaitwa na Mungu kwa jinsi hiyohiyo
mchungaji nakupenda sana unayaongea yakwel
Dodoma yetu wekeza upate matunda
Kwa kweli
😂😂😂😂
Na ulivyo nasura mbaya hata usingejionyesha
Tanzania ni ya kwanza
Kanisani lake liko wap
ALLAHUMMA AAMIIN.
SWADAKTA MASHALLAH ♥️ BARAKALLAHUFIKUM.
Thanks
Chanzo cha mapato ni kilimo, madini na utalii kwa nchi nyingi, kitu cha kushangaza zaidi Tanzania imebarikiwa madini na vivutio vingi vya utalii lakini haipo, hata kwenye Top10 😂😅😅
Kwel tanzania 🇹🇿 walaji weng
@@LauMagwaja Rushwa na ufisadi ni tatizo kubwa sana Tz🇹🇿
Sio walangi ni warangi ☺☺
Kwa kutupatia taarifa kama hizi
Hongera
Tumepokea
Changa moto muongeze viti station ya morogorow
Barabara ya Mbande hadi Mpwapwa ni aibu kubwa sana kwa serikali ya ccm. Ni aibu kwa wilaya iliyo ndani ya makao makuu ya nchi kukosa lami tangu uhuru
Eee Mungu tunusuru
Manyunyu TV is Ambassador Dodoma
ndo nini sasa
HONGERA KWA KUJIELEZA
Jpm mungu amuweke mahali pema peponi, inshaallah
Mtafanya jambo la maana sana kuongeza Treni maana Dodoma ni Jiji linalokuwa Kwa Kasi sana
Mhmhmh..... Wotta Kibakwe madudu mengi xnaaa viongozi cjuu wanafanya nini .... Duuuuh
Kweli baba NI kweli Dodoma tunayofursa nyngi,NI SSI wanadodoma.
Hakuna chochote
Mbona mzungusho tu
Anafaa sana kwa uwezo wake wa kufikiri✅✅
Anafaa sana na anaweza sana, kwakua anapenda maendeleo,
Jamani mbunge wa East Africa ndio huyu sasa
Dr. George anafaa, jina lipelekwe Bungeni, safari moja huanzisha nyingine
Hizi online tv nyingine ni hovyo kabisa
Mnaaneisha train mpya mnauwa train iliyokuwepo tokea enzi zote.
Tunataka Train kutoka DSM kwenda Tanga na Kilimanjaro kama ilivyokuwa tokea enzi za Ukoloni. Sio kujenga train kanda ya ziwa tu.
ongezeni ruti zamchana
Msisahau mikoa ya kaskazini, Tanga, kilimanjaro na Arusha. Huko Treni inaweza kupata hata trip 4 kwa siku moja yaani manake 8!! Kadogosa komaa simamia kama biashara yako binafsi, achana na mara dodoso utaacha historia kubwa. Piga kazi usijali mawe kwa kua ni kawaida mti wenye matunda huatupiwa mawe mengi.
Ndugu Kadogosa umeongea vyema ila biashara haitakiwi kusema ni mpaka uone wateja ndio uongeze rout. Biashara ni lazima ujitolee siku za mwanzo na baadae wateja wanafuata huduma sio huduma zifuate watu. Kibiashara imekaa hivyo. Na hiki ndio chanzo cha mashirika mengi kwenda ndivyo sivyo.
Ninyi manyunyu mmeweka nyimbo za kanisani. Mpaka mtu anaona kizunguzungu😢
Vip kuhusu yale mabehewa ya ghorofa?
YANI JENGENI NA YA DAR ARUSHA, MTAPIGA HELA ADI MTAACHANA NA MADUKA.
Adi ndio nini? Mbona unachanganya kiswahili😮
Treni hadi nchi jirani iharakishwe kuinua uchumi. Treni mizigo iharakishwe. Ulinzi dhidi ya uhujumu uimarishwe. Tuwekeze kwa magari ya umeme nchi nzima. Vituo vya kuchajia umeme viwekwe nchi nzima. Tuzalishe magari ya umeme kama Uganda. Tupunguze matumizi ya mafuta.
Mwenye akili pekee atakuelewa. 👏🏿👏🏿
Train, lazima iwe huduma bora kwa Wananchi, na mali zao. Gharama inapswa kushuka zaidi na zaidi. Ndo maana halisi ya Uhuru na Maendeleo. Siyo maandamano kila uchwao.
Urudi shule hufai kuwa mwandishi
Anzisheni pia ya Moshi na Arusha
Labda baada ya miaka 10😢
@@h.alshidhani8971Sasa huko wangeleta tatizo Kenya hawajaleta proposal ya kuunga na tz
Nimesafiri kwa SGR Jumamosi tar 10/8 ya kuondoka Dar saa 3.30 Asubuhi. Utaratibu wa Abiria kupata Ticket na Kupanda Super kama Uwanja wa Ndege-Ticket ukiwa Umekata Online huna haja kupata Physical Ticket -Ticket ya Mtandao Una Scan tu Unapita Geti ya Kuingilia Boarding Area. Upandaji na Ukaaji kwa Viti Ndani ya Behewa nako Excellent. Muda wa Safari kwa Ordinary SGR unazingatiwa. Ila katika safari hii ya tar 10/8 kulitokea kasoro au koşa kubwa sana baada ya Station ya Ruvu kwenda Ngerengere Train lilisima kwa Ghafla na Mtikisiko Mkubwa na Kuzimwa Taa mithiri kama Umeme kukatwa-baada ya muda ukawashwa na Train kurudi nyuma kwa muda na kuambiwa kutoa nafasi kupishana na Down Train (kutumia old term ya MGR) -Ina maana kama kulikuwa na miscommunication ya Signaling & Clearance Kungetokea Train Kugongana.!Wakati wa Kurudi hii haikutokea Down na UpCountry Train zilipishana vizuri kama mpangilio Wao. Otherwise the Ride was Nice na kuvutiwa au Ukiacha Mitikisiko ya Viungio vya Kati ya Mabehewa! Lingine ambalo nililiona sio sawa na kutokuunganisha Miradi inayoshabiana ni Kuchelewa kujenga barabara kiwango cha lami kutoka SGR Station Kubwa Zenye Abiria Wengi Kuja Mjini haswa kwa Morogoro na Kilosa. TARURA ilikuwa ikiona na kusoma Uzinduzi wa Safari za SGR utakuwa lini-kwanini wakati inakaribia hivyo Access Road kwa Station haikuwa Designed na Kujengwa na LARTRA nao kuweka Route za Usafiri wa Mabus- Station to Mjini Kati. Ni Mradi Mzuri Changamoto kubwa Ni namna tutakavyo Uendeleza na Kudumu-kama Ulivyo isije ikawa kama BRT. Pongezi kwa Wote- Waliofanikisha Mradi Huu kuanzia Wazo, Uchambuzi Yakinifu, Uchoraji, Utafutaji Fedha, Uamuzi Kuanza Kutekeleza na Utekelezaji. Tanzania tuna Kitu cha Kujivunia Tujizatiti kwa Juhudi Zote SGR İfike Tabora-Kigoma: Tabora - Mwanza; Kailua-Mpanda-Kabwe au Karema.
Nimesafiri kwa SGR Jumamosi tar 10/8 ya kuondoka Dar saa 3.30 Asubuhi. Utaratibu wa Abiria kupata Ticket na Kupanda Super kama Uwanja wa Ndege-Ticket ukiwa Umekata Online huna haja kupata Physical Ticket -Ticket ya Mtandao Una Scan tu Unapita Geti ya Kuingilia Boarding Area. Upandaji na Ukaaji kwa Viti Ndani ya Behewa nako Excellent. Muda wa Safari kwa Ordinary SGR unazingatiwa. Ila katika safari hii ya tar 10/8 kulitokea kasoro au koşa kubwa sana baada ya Station ya Ruvu kwenda Ngerengere Train lilisima kwa Ghafla na Mtikisiko Mkubwa na Kuzimwa Taa mithiri kama Umeme kukatwa-baada ya muda ukawashwa na Train kurudi nyuma kwa muda na kuambiwa kutoa nafasi kupishana na Down Train (kutumia old term ya MGR) -Ina maana kama kulikuwa na miscommunication ya Signaling & Clearance Kungetokea Train Kugongana.!Wakati wa Kurudi hii haikutokea Down na UpCountry Train zilipishana vizuri kama mpangilio Wao. Otherwise the Ride was Nice na kuvutiwa au Ukiacha Mitikisiko ya Viungio vya Kati ya Mabehewa! Lingine ambalo nililiona sio sawa na kutokuunganisha Miradi inayoshabiana ni Kuchelewa kujenga barabara kiwango cha lami kutoka SGR Station Kubwa Zenye Abiria Wengi Kuja Mjini haswa kwa Morogoro na Kilosa. TARURA ilikuwa ikiona na kusoma Uzinduzi wa Safari za SGR utakuwa lini-kwanini wakati inakaribia hivyo Access Road kwa Station haikuwa Designed na Kujengwa na LARTRA nao kuweka Route za Usafiri wa Mabus- Station to Mjini Kati. Ni Mradi Mzuri Changamoto kubwa Ni namna tutakavyo Uendeleza na Kudumu-kama Ulivyo isije ikawa kama BRT. Pongezi kwa Wote- Waliofanikisha Mradi Huu kuanzia Wazo, Uchambuzi Yakinifu, Uchoraji, Utafutaji Fedha, Uamuzi Kuanza Kutekeleza na Utekelezaji. Tanzania tuna Kitu cha Kujivunia Tujizatiti kwa Juhudi Zote SGR İfike Tabora-Kigoma: Tabora - Mwanza; Kailua-Mpanda-Kabwe au Karema.
Mh kafigosa hebu fanya hatua za maana huu ni muda mzuri kufanya kazi kubwa lakini sisi tunatabia ya usingizi watu wamechoka ajali za basi na trucks .
Wepeleke mabasi mikoani
Anzisheni ya mizigo Milori inakera mitaani hasa hapa amana dsm
Kadogosa msirudi nyuma reli tunahitaji kuliko basi. Mabasi yanatuua sana.