MTANZANIA ALIYEKUTANA NA SAMAKI MTU { MARMEID } UKWELI WA UWEPO WA VIUMBE VYA AJABU BAHARINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 58

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 Месяц назад

    Poleni sana wavuvi aisee🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mwalamiminda4895
    @mwalamiminda4895 4 месяца назад +5

    Nguva ni samaki kama samaki wengine.kufanana na binadamu ni kwenye viungo vya uzazi kwa maana ya viungo vyote mpaka matiti kwani nguva pia wanazaa na kunyonyesha.🙏

    • @inviolathaathanas7989
      @inviolathaathanas7989 3 месяца назад

      Hakuna kitu kama hicho. Una smart phone yako Google nguva na uone huyo samaki alivyo. Hizo ni hallucinations kama vile vampire pamoja na werewolf

  • @GraceEdson-eu7yl
    @GraceEdson-eu7yl 4 месяца назад +13

    Uyo mzee amedata au maana simwelewi mzuka wake 😂😂😂😂anaongeaje Sasa uyo?

    • @smh-zn5iv
      @smh-zn5iv 4 месяца назад +1

      Kweli jamaa kapagawa🤣🤣🤣🤣

    • @metro_vevo
      @metro_vevo 3 месяца назад

      😂😂😂😂

  • @monicalaizer7596
    @monicalaizer7596 4 месяца назад +3

    Mungu awasaidia wavuvi wanafanya kazi kubwa

  • @inviolathaathanas7989
    @inviolathaathanas7989 3 месяца назад +1

    Chukua smart phone yako, Google nguva, na uone huyo samaki alivyo.kuna baadhi wanamla ndio. Zile picha za kutengeneza pamoja na imaginations za miaka yote kwamba ni nusu binadamu nusu samaki ni sawa tu na kuwaza kwamba kuna binadamu ambao ni vampire pia wanaishi. Sio uhalisia, zinaitwa hallucinations . Najua kuna baadhi y’a watu hawajawahi kuona kabisa,ila tu wanapenda kuishi na stori walizoaminishwa na wengine. Baharini kuna mapepo, mashetani, vibwengo na wengine wengi, na ndo wengi wamekutana navyo.

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 4 месяца назад +4

    Sema hauna upeo wakuwa na kipato kikubwa na wala usisingizie kwasababu yakuwa umeishia darasa 7

    • @EmJesho
      @EmJesho 4 месяца назад

      Kabisa mtu mwenyewe anapenda mitungi

  • @StephanoKamunya
    @StephanoKamunya 12 дней назад

    Kaka muvuvi nimekubali kaka unasema ukweli kaka watu waongo eti huku binadamu acheni uongo

  • @kennethogonda2947
    @kennethogonda2947 4 месяца назад +1

    Nguva wapo ila ni viumbe vya kiroho na wapo katika dunia nyingine chini ya maji. Hawapatikani katika dunia ya kawaida na pia huyu uvuvi wake hauendi ndani ya maji sana.

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258 4 месяца назад

    Yuyoni mkuli wako majini tena wingi❤❤❤bahiri ina miujiza❤❤❤

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 4 месяца назад +4

    Kwani uvuvi sio ni KAZI ipokuwa mfumo WA maisha yetu nchi zingine mbona wavuvi ni KAZI nzuri sema serikali anategemea wakezaji lakini hao wanatakiwa kuezeshwa vyombo na utaalamu harafu inalipa kidogo kidogo.

  • @princessvivian0
    @princessvivian0 4 месяца назад +2

    Nusu samaki nusu mtu yupo ilitolewa Mombasa baharini

  • @JaneChanga-pi6lq
    @JaneChanga-pi6lq 3 месяца назад

    Pole bhnaaa

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 Месяц назад

    Hata meli kubwa ya titanike iligonga mwamba na mwamba ulitoboa ubavuni mwa meli ndio maji yakapata upenyo yakajaa meli ikazama

  • @agneskaseya8473
    @agneskaseya8473 Месяц назад

    Daaaah nimesikiliza huyu mwambia kweli cjamuelewa huyu hawezi kutana na hivyo vitu kwani anakuwa Yuko bwiii na vitu kama hivyo vinahitaki usafi

  • @FatmaSaid-zg1vy
    @FatmaSaid-zg1vy 4 месяца назад +3

    Sasa huo ni ukumbusho murudi Kwa Allah muache vitungi

  • @AbdallahShekhan-qx3kp
    @AbdallahShekhan-qx3kp 4 месяца назад

    Kweli naomba Dunia sasa iachane na mila potofu za kuamini kila lisemalwo hakuna samaki binadamu hao nguva ni jamii ya papa ila wao wana mapezi yamejitokeza kama maziwa kidogo ndio wanasemwa kawa kama mwanamke lkn ni samaki na analiwa kama samaki wengine.
    Kuhusu majini kweli wanaweza kuwepo lkn hakuna anae weza kumuona hata siku moja mpaka kiama kinasimama tunaamini uwepo wao sababu Mungu ametwambia wapo kama Malaika pia wapo lkn nani kawahi kumuona Malaika.
    Na hata hao Subiani ni miongoni wa majina ya Majini pia hayaonekani na hakuna anaweza kutengeneza jini wala kumuita wanaosema hivyo ni Waongo wakubwa.

  • @omarmutta4999
    @omarmutta4999 4 месяца назад +2

    Ukiwa mvuvi hususan Kwa wale wenye pembejeo Na boat za.machine,unsweza fikia ipeo MKUBWA sana kijchimi.Wavuvi wasijidunishe

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 4 месяца назад +3

    Bana unatudanganya nyangumi anakaa maji makuu😊 wala pwani yetu haona nyangumi

  • @TumsifuOnesmo
    @TumsifuOnesmo 4 месяца назад

    Dah apo kwenye mwamba ndo nmeshdw kuelewa kbs 🥸😂

  • @ChristianMalashi
    @ChristianMalashi 3 месяца назад

    🎉🎉

  • @sakinakhatibu1820
    @sakinakhatibu1820 4 месяца назад +2

    Uku mtu huku binaadamu😂😂

  • @Deanmbamba
    @Deanmbamba 4 месяца назад +2

    Kasema kweli nguva hakuna

  • @AlphayoLugallah
    @AlphayoLugallah 3 месяца назад

    Dah! si kwa ubaya ila uyo mvuvi ni maumbile ama!? kama yupo bwii!!

  • @AhmedHImran
    @AhmedHImran 4 месяца назад

    Huwezi muona jinn baharini kama huna ruhani anae husika na baharini

  • @JaneChanga-pi6lq
    @JaneChanga-pi6lq 3 месяца назад

    Vipi ndio unakutana naye ww.na unatoa ushuhuda je tukuite mwongo na wew

  • @hawaalihassan3932
    @hawaalihassan3932 4 месяца назад +2

    Wavuvi nchi za wenzetu na wakulima ndo matajiri

  • @AbdiMohammed-gm3ik
    @AbdiMohammed-gm3ik 4 месяца назад +1

    Bahari yetu nyangumi wapo na nguva pia wapo baharini kunaviumbe vya ajabu vingi hata majani yanatembea kama pweza mimi nimeona kwa macho yangu nyangumi na papa

  • @MohdTryson
    @MohdTryson 4 месяца назад +1

    Jamaa ananitamanisha togwa

  • @godfreygeraldmtamani9958
    @godfreygeraldmtamani9958 4 месяца назад +1

    Ona sasa babaake jaiva kumbe ni mvuvi mzur tu

  • @HassaniiddiHashimu
    @HassaniiddiHashimu 4 месяца назад

    Nguva wapo but cyo kwamb ni upande mtu upande samaki hapa mtuach ni uongo

  • @RichardJames-y2k
    @RichardJames-y2k 4 месяца назад +1

    Walev oeeeee kulaaaaa chuma hichooo

  • @redemtamkemwa6067
    @redemtamkemwa6067 4 месяца назад +1

    Haina saut

  • @AbdiMohammed-gm3ik
    @AbdiMohammed-gm3ik 4 месяца назад

    Yupo nguva Kenya alivuliwa na video zilirushwa

  • @wadudi2741
    @wadudi2741 4 месяца назад +1

    Kaamka nao

  • @marandujs
    @marandujs 4 месяца назад

    Hidayaaa

  • @AbdiMohammed-gm3ik
    @AbdiMohammed-gm3ik 4 месяца назад

    Yupo nguva Kenya alivuliwa na video zilirushwa jini pia yupo uhakika

  • @franknzowa22
    @franknzowa22 4 месяца назад

    😅😅😅😅 huku mtu huku binadamu

  • @MahamudJamala
    @MahamudJamala 4 месяца назад

    😢 muongo

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 4 месяца назад

    Huku ntu bana😂😂

  • @albertpike6208
    @albertpike6208 4 месяца назад

    Ameongea ukweli Nguva ni hadithi hakuna samaki nusu binadamu nusu

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 4 месяца назад

    Amedata kama wanyoka

  • @MahamudJamala
    @MahamudJamala 4 месяца назад

    Muongo sana uyo,hakuna samaki nusu mtu

  • @tanzaniaburundian582
    @tanzaniaburundian582 4 месяца назад

    pole saan duuuh

  • @allymshana1303
    @allymshana1303 4 месяца назад

    Unaziunazi😅

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 4 месяца назад

    Huyu mzee mbona kama kalewa

  • @godfreygeraldmtamani9958
    @godfreygeraldmtamani9958 4 месяца назад

    Ona sasa babaake jaiva kumbe ni mvuvi mzur tu

  • @AnisaA-v4v
    @AnisaA-v4v 4 месяца назад

    Wapo ila awajamtokezea

  • @mohammedmussa6740
    @mohammedmussa6740 4 месяца назад

    Ni hadithi