Nguva ni samaki kama samaki wengine.kufanana na binadamu ni kwenye viungo vya uzazi kwa maana ya viungo vyote mpaka matiti kwani nguva pia wanazaa na kunyonyesha.🙏
Chukua smart phone yako, Google nguva, na uone huyo samaki alivyo.kuna baadhi wanamla ndio. Zile picha za kutengeneza pamoja na imaginations za miaka yote kwamba ni nusu binadamu nusu samaki ni sawa tu na kuwaza kwamba kuna binadamu ambao ni vampire pia wanaishi. Sio uhalisia, zinaitwa hallucinations . Najua kuna baadhi y’a watu hawajawahi kuona kabisa,ila tu wanapenda kuishi na stori walizoaminishwa na wengine. Baharini kuna mapepo, mashetani, vibwengo na wengine wengi, na ndo wengi wamekutana navyo.
Nguva wapo ila ni viumbe vya kiroho na wapo katika dunia nyingine chini ya maji. Hawapatikani katika dunia ya kawaida na pia huyu uvuvi wake hauendi ndani ya maji sana.
Kwani uvuvi sio ni KAZI ipokuwa mfumo WA maisha yetu nchi zingine mbona wavuvi ni KAZI nzuri sema serikali anategemea wakezaji lakini hao wanatakiwa kuezeshwa vyombo na utaalamu harafu inalipa kidogo kidogo.
Kweli naomba Dunia sasa iachane na mila potofu za kuamini kila lisemalwo hakuna samaki binadamu hao nguva ni jamii ya papa ila wao wana mapezi yamejitokeza kama maziwa kidogo ndio wanasemwa kawa kama mwanamke lkn ni samaki na analiwa kama samaki wengine. Kuhusu majini kweli wanaweza kuwepo lkn hakuna anae weza kumuona hata siku moja mpaka kiama kinasimama tunaamini uwepo wao sababu Mungu ametwambia wapo kama Malaika pia wapo lkn nani kawahi kumuona Malaika. Na hata hao Subiani ni miongoni wa majina ya Majini pia hayaonekani na hakuna anaweza kutengeneza jini wala kumuita wanaosema hivyo ni Waongo wakubwa.
Bahari yetu nyangumi wapo na nguva pia wapo baharini kunaviumbe vya ajabu vingi hata majani yanatembea kama pweza mimi nimeona kwa macho yangu nyangumi na papa
Poleni sana wavuvi aisee🙏🙏🙏🙏🙏
Nguva ni samaki kama samaki wengine.kufanana na binadamu ni kwenye viungo vya uzazi kwa maana ya viungo vyote mpaka matiti kwani nguva pia wanazaa na kunyonyesha.🙏
Hakuna kitu kama hicho. Una smart phone yako Google nguva na uone huyo samaki alivyo. Hizo ni hallucinations kama vile vampire pamoja na werewolf
Uyo mzee amedata au maana simwelewi mzuka wake 😂😂😂😂anaongeaje Sasa uyo?
Kweli jamaa kapagawa🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Mungu awasaidia wavuvi wanafanya kazi kubwa
Chukua smart phone yako, Google nguva, na uone huyo samaki alivyo.kuna baadhi wanamla ndio. Zile picha za kutengeneza pamoja na imaginations za miaka yote kwamba ni nusu binadamu nusu samaki ni sawa tu na kuwaza kwamba kuna binadamu ambao ni vampire pia wanaishi. Sio uhalisia, zinaitwa hallucinations . Najua kuna baadhi y’a watu hawajawahi kuona kabisa,ila tu wanapenda kuishi na stori walizoaminishwa na wengine. Baharini kuna mapepo, mashetani, vibwengo na wengine wengi, na ndo wengi wamekutana navyo.
Sema hauna upeo wakuwa na kipato kikubwa na wala usisingizie kwasababu yakuwa umeishia darasa 7
Kabisa mtu mwenyewe anapenda mitungi
Kaka muvuvi nimekubali kaka unasema ukweli kaka watu waongo eti huku binadamu acheni uongo
Nguva wapo ila ni viumbe vya kiroho na wapo katika dunia nyingine chini ya maji. Hawapatikani katika dunia ya kawaida na pia huyu uvuvi wake hauendi ndani ya maji sana.
Yuyoni mkuli wako majini tena wingi❤❤❤bahiri ina miujiza❤❤❤
Kwani uvuvi sio ni KAZI ipokuwa mfumo WA maisha yetu nchi zingine mbona wavuvi ni KAZI nzuri sema serikali anategemea wakezaji lakini hao wanatakiwa kuezeshwa vyombo na utaalamu harafu inalipa kidogo kidogo.
Nusu samaki nusu mtu yupo ilitolewa Mombasa baharini
Hukuona kwa macho my dear, watu wanatengeneza hizo vitu kupata tu views na likes
Siamini
Pole bhnaaa
Hata meli kubwa ya titanike iligonga mwamba na mwamba ulitoboa ubavuni mwa meli ndio maji yakapata upenyo yakajaa meli ikazama
Daaaah nimesikiliza huyu mwambia kweli cjamuelewa huyu hawezi kutana na hivyo vitu kwani anakuwa Yuko bwiii na vitu kama hivyo vinahitaki usafi
Sasa huo ni ukumbusho murudi Kwa Allah muache vitungi
Kweli naomba Dunia sasa iachane na mila potofu za kuamini kila lisemalwo hakuna samaki binadamu hao nguva ni jamii ya papa ila wao wana mapezi yamejitokeza kama maziwa kidogo ndio wanasemwa kawa kama mwanamke lkn ni samaki na analiwa kama samaki wengine.
Kuhusu majini kweli wanaweza kuwepo lkn hakuna anae weza kumuona hata siku moja mpaka kiama kinasimama tunaamini uwepo wao sababu Mungu ametwambia wapo kama Malaika pia wapo lkn nani kawahi kumuona Malaika.
Na hata hao Subiani ni miongoni wa majina ya Majini pia hayaonekani na hakuna anaweza kutengeneza jini wala kumuita wanaosema hivyo ni Waongo wakubwa.
Ukiwa mvuvi hususan Kwa wale wenye pembejeo Na boat za.machine,unsweza fikia ipeo MKUBWA sana kijchimi.Wavuvi wasijidunishe
Bana unatudanganya nyangumi anakaa maji makuu😊 wala pwani yetu haona nyangumi
Dah apo kwenye mwamba ndo nmeshdw kuelewa kbs 🥸😂
🎉🎉
Uku mtu huku binaadamu😂😂
Kasema kweli nguva hakuna
wapo
Dah! si kwa ubaya ila uyo mvuvi ni maumbile ama!? kama yupo bwii!!
Huwezi muona jinn baharini kama huna ruhani anae husika na baharini
Vipi ndio unakutana naye ww.na unatoa ushuhuda je tukuite mwongo na wew
Wavuvi nchi za wenzetu na wakulima ndo matajiri
Bahari yetu nyangumi wapo na nguva pia wapo baharini kunaviumbe vya ajabu vingi hata majani yanatembea kama pweza mimi nimeona kwa macho yangu nyangumi na papa
Jamaa ananitamanisha togwa
Ona sasa babaake jaiva kumbe ni mvuvi mzur tu
Nguva wapo but cyo kwamb ni upande mtu upande samaki hapa mtuach ni uongo
Walev oeeeee kulaaaaa chuma hichooo
😂😂😂😂
Haina saut
Yupo nguva Kenya alivuliwa na video zilirushwa
Kaamka nao
Hidayaaa
Yupo nguva Kenya alivuliwa na video zilirushwa jini pia yupo uhakika
😅😅😅😅 huku mtu huku binadamu
😢 muongo
Huku ntu bana😂😂
Ameongea ukweli Nguva ni hadithi hakuna samaki nusu binadamu nusu
Amedata kama wanyoka
Muongo sana uyo,hakuna samaki nusu mtu
hayajakukuta sema utakavyo
pole saan duuuh
Unaziunazi😅
Huyu mzee mbona kama kalewa
Uwoni uko na mchupa wa mtongi
Ona sasa babaake jaiva kumbe ni mvuvi mzur tu
Wapo ila awajamtokezea
Ni hadithi