KONGAMANO LA BIASHARA NA UCHUMI LAFUNGUA NJIA KWA VIJANA
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- Kongamano la Uchumi na Biashara lililoandaliwa na na Taasisi ya MAYODA ECONOMIC GROUP, mkoani Dodoma, lawafungua macho vijana na kuanza kufikiria jinsi ya kuanza kumiliki uchumi wa nchi kupitia ujasiriamali
Hizi nafas za kuhudhuria makongamano kama haya na sie tunataman kuhudhuria😰
Ni kweli kabisa Freshop
Watuangalie kwa jicho la tatu maana vijana ndio tuna nguvu za kufanya maendeleo lakini unakuta watu wa TRA bado kodi sio rafiki
Ni kweli kabisa Lady Mayanka
Vizuri sana