Nimechunguza sana wandishi wa habari mukienda majumbani nyie ndio munajilia camera man anakula kwa macho kwa nini humwambii aweke chini nae ale au anywe😂😂❤❤❤❤❤❤
Kwa mwandishi wa habari za burudan kama Mziki, it’s allowed and normal too May angekua anatangaza taarifa za habari angevaa official bila bling bling zozote
Sio kapewa taarifa ndo akaweka usafi hapana huyu bro muonekano wake ni msafi halisi sio wa kukulupushwa kwa kweli kama mijanaume mingine loh usafi ni lazima sio kushikiwa bakora ni afya pia yani anavutia complete mpka unatamani uendlee kumsikiliza kwa kweli.😂
But in the ancient Middle East, the writers of the Hebrew Bible forbade tattooing. Per Leviticus 19:28, “You shall not make gashes in your flesh for the dead, or incise any marks on yourselves.” Historically, scholars have often understood this as a warning against pagan practices of mourning
Camera 📷 man anajua zamaradi mwongeze mshahala
Nimechunguza sana wandishi wa habari mukienda majumbani nyie ndio munajilia camera man anakula kwa macho kwa nini humwambii aweke chini nae ale au anywe😂😂❤❤❤❤❤❤
😂😂😂 wewe kumbe unawaza kama mimi
Mnajuaje km hawali
Anakula baada ya show jmn sas akiweka camera chini wew utaonaje sasa 😂😂😂
Sheria no moja camera man hula baada ya kazi
Anakula baada ya show kuisha hawawez kustop kuacha ku record
Huyu kaka msafi, kila kitu utafikir ni vipya kabisaa, hongera.
Great interview.. Chriss ana utulivu sana kwenye maelezo yako. Smart!!!
Mufananowake ndivyoalivyo hatanyumbanikwake nimusafi❤❤❤ tofauti nawengine he’s so handsome❤
Mmmh yaani wasaniii anajifanya ka ma alikuwa hana taarifa ya ugeni😅😅😅😅😅😅
😂😂😂 wanajifanyaga hawana taarifa Ila wanakuwa nazo kabisa wasituone watoto
Na pale getini mwanzo mtu alikuwa standby kabisa miguu imeonekana
😂😂😂😂😂
Huyu ni mwanaume! Mwanaume narudia tena, kupima akili ya mtu ni pamoja na unayojieleza! Nimependa sana! Imetulia sana!
Huyu kaka ukimuona live mzuri zaidi anarangi flan ya rangi mbichi nilimuona kwenye pub yake yeye na rafiki yake Rammy❤
Ht mi nlimuona kazimoto tabata ana rangi amazing sn
@@bahatirngulika4493 kabisa yaani rangi ya asali mbichi halafu hata haringi yuko poa sana
Smart sana humble saf kaka
Good job Saleh classic
Siku tunasubiri tuone kwako ndugu mtangazaji 😄
😂😂😂😂😂😂😂😂
Bi gapu mzee Chris
Wauni tunapika muelewe
Wadada na siyo tunashindwa
Kuwa na nyinyi hapana
Ni wasumbufu sana
Hii show bizz ni Kali Kinomaaaa ✌️
Mashaailah
Kiukweli hajisifu wala nini hongera sana kaka mziwanda
nakupenda mziwanda❤❤❤❤
Mkaka yupo smart sana usafi mwingi so yule kichaa aliekuwa katuvalia boxa kwenye interview hana adabu kabisa
Yupi alivaa boxa
Kalumbu🙏🙏wagogo yetu nyama😋
Mchizi kafanana na 2pac sana jamani au naiona mimi tuu hii
Kuna mwanetu chuo alikua anamuelewa sn uy jamaa mpk kiparangoto akakipig ili t afanane n uy jamaa😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Kwan huyu salimu yeye tatembelewa kwake lini
Ilove the story hauna masifuli kk muonekano wako na story yako mwingine angeanza misifa
chriss mnyama sanaa ni icon
Inawekana ndo kafungiwa chumbani pale 😂😂😂 we linnah weee
Nampendaga Sana huyu kaka❤❤
Nakupenda sana
Nampenda sana uyu kaka
Jmn mk waandishi wa habari wanavaa helen 😢😢😢😢
Kwa mwandishi wa habari za burudan kama Mziki, it’s allowed and normal too
May angekua anatangaza taarifa za habari angevaa official bila bling bling zozote
Yan huyu kaka kama umjui unaweza kusema analinga sema nimemuona live kwenye msiba wa rafiki yake alifiwa na mama ake ni mtu poah sana❤
Mwenyewe nilikuwa ni mkelewe maana anafanana na ex wangu
Huyu kaka namkubali sana
Tumieni na drone italeta muonekano poa wa video hasa from aerial angel
Mnaosifia usafi, ni kwamba mnasahau kuwa hao hupewa taarifa kabla hivyo wanajiandaaga kabisa
Hata kama msafi ni msafi tu
@@ramlabaruani4202 uzuri hamna aliesema ni mchafu
We ukiambiwa salehe anakuja kwako kutakua kusafi hvyo ukijiandaa..acha wivu omba Mungu akupe roho nzuri😏
@@pascalinajames9117 labda kwako sho🤔
@@pascalinajames9117 waja mnafurahisha nadhan ataenda kwa jiran kuazima mpk fagio kuna wale watu akivua nguo hizo hizo anatumia kufagilia ndan😂😂😂😂😂😂
Uuuuh this life amaizing
Nampendaga uyu kaka mwee😢
Wow❤
Albert 😢😢😢anko chipe
Chumban kwake kulikuwa na fezza akaona asichomoe betri
We chris acha uongo eti ushawahi kukaba..Umemkaba nani😂
😅😅😅😅😅
Chris ni, kijana ana jitambua
well organized guy
❤❤
Ebwana unyama mwanetu huyo Dom moja makao makuu
Kaka auna baya kabisa mzwanda
Eti na ubrotherman alishawahii kukabaaaa mmmh
Mbagala na temeke ndio makao makuu ya masela mavi tanzania
Kaka msafi wewe kuna miwanaume wengine ni wachafu hatari ukiingia chumbani kwao uvundo wa viatu na soks mpaka utakimbia
Dahh, umenusaje harufu ukajua hakuna uvundo?
Nakupenda sana
tumesoma wote nakukumbuka sana 😂
Watoto wa temeke oyeeee
😂😂😂Saleh muhuni ww maswali yako dah
Ndani ni kunzuri, ni msafi kuzidi hadi baadhi ya wanawake
Kabisa
Sana
Kamzidi mwene wa ndindi😂😂😂
Mahogany nyie ote mnavaa evening kama wanawake kawekeni kuma basi muwe mademoiselle kabisa
Wa kwanza leo😅😅
Jamaa wala aji sha ui uyu takua mchawi wewe manina wewe
Ni kwel tumeanza kukujua kwenye huba ndio akaja zuchu
Mpitie na kwangu jamani
Umo ndani chumbn kwako Kuna fedha keys 😂😂
Yaan huyu Kaka lazima tuendane na mim coz I like sweet things like chocolate 🍫🍫🍫🍫 biscuits na zile cake's
Lixuri Ili likaka alaf lisafi sana
WATAKUJA KUFILA UYU MSENGEE😅😅😅😅
Uyu ni yule mme wa lolita au namfananisha
😂twende tukaone
Nice
Temeke school na school bus wap na wap jmn mbn anatk kutuchap
igizo liko poa
Kaka mcheshi huyu had raha
Babu maparaa umejitahidi msaf
Ila salehe hahahahaha king'ang'anizi, hahahaha
Gym sana mwanangu huyu...
Sio kapewa taarifa ndo akaweka usafi hapana huyu bro muonekano wake ni msafi halisi sio wa kukulupushwa kwa kweli kama mijanaume mingine loh usafi ni lazima sio kushikiwa bakora ni afya pia yani anavutia complete mpka unatamani uendlee kumsikiliza kwa kweli.😂
Swali ni mjengo ni wake ama amepanga ?
Sasa utajenga kabla hujapitia kupanga acha wivu na ushamba
Kwani mtu akipanga anakua hajakamilika Yani mtu hakosi chakukosoa kaona vyote kamkosa
Ww umejenga au
Wa sita
Kwetu huku United kingdom kuna baridi ndio limeanza😢😢
Nicheki Basi nami niko huku nina zawadi yako
@@slimshed55
Hiyo zawadi itume humu humu tuipokutana
@@FatimaAli-of4gh Nipe basi namba ya whatsApp bwana Fatma🥰😊😁😁
@@FatimaAli-of4gh😂😂😂😂😂 hutaki zawadi
@@safiaimran6455 Hataki zawadi si bora niikupe wewe tu jamani hahaa 🤣 😂
🎉
Ila anajishaua
Sio kwer
🧦
Nilishangaa huyu kijana kua gay na akina Haki duh wanaume wanapungua dar
Duh jamaa shoga? Khaa
Chuki itakuua wewe, punguza kupaniki
@@sir_ENOCKMACHAhakuna anayefahamu hilo
Huyo dogo mtangazaji ana wenge kinoma.. inabidi umwache host wako ndio akutembeze kwenye nyumba yake. Sio wewe ndio unakuwa kimbelembele kama kwako
Mashoga uwa wana viherehere
Host wake yupi tena wakati yeye ndio host
@@sir_ENOCKMACHAatakua haelewi😂😂😂😂
@@sir_ENOCKMACHA😂😂😂kupatwa kwa host
Tz na drama zots izo akuna barabara nzuri mtaani km kwetu burundi tuna paves mitaa yote mjii unapendeza ila tz loooo pachafu
Kuma ww
@@dolphin4791😂😂
Burundi ipi unayoongelea tutasitisha misaada tunayowapa kila sehemu pumbavu
Mungu akubariki kijana mtanasharti na anayempenda Mungu
Mjinga wewe Burundi nchi maskini na ndogo kama mkoa wetu mmoja unalinganisha na Tz nchi kubwa mala dufu kwenu? unataka kutukanwa? Iseme tenw Tz K wewe
𝖄𝖆𝖓𝖎 𝖘𝖒𝖆𝖗𝖙 𝖒𝖐𝖕 𝕽𝖆𝖍𝖆𝖆
mme wa lolita
Mtangazaji mwenyewe amevutiwa na maisha ya mjamaa
❤❤❤❤❤❤❤
But in the ancient Middle East, the writers of the Hebrew Bible forbade tattooing. Per Leviticus 19:28, “You shall not make gashes in your flesh for the dead, or incise any marks on yourselves.” Historically, scholars have often understood this as a warning against pagan practices of mourning
Sema mwana aongezag sana masifuri
Daaaah jux african boy katupwa chooni kama paziaaaa
Ni. Mgogo lkn ni. Msmart mno
Mashallah 🎉🎉😂
Kwani uliambiwa wagogo sio smart
Wix na serum juu safi sana mziwanda
This dude is very humble and cool