ANAPOISHI CRISS MZIWANDA SEBULENI KWAKWE KUNA MOTO/AOENESHA BAR KUBWA ANAYOMILIKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 179

  • @lil_billy909
    @lil_billy909 10 месяцев назад +19

    Camera 📷 man anajua zamaradi mwongeze mshahala

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 10 месяцев назад +59

    Nimechunguza sana wandishi wa habari mukienda majumbani nyie ndio munajilia camera man anakula kwa macho kwa nini humwambii aweke chini nae ale au anywe😂😂❤❤❤❤❤❤

    • @Nadhifasaid-1654
      @Nadhifasaid-1654 10 месяцев назад +5

      😂😂😂 wewe kumbe unawaza kama mimi

    • @annaedwardrobert6778
      @annaedwardrobert6778 10 месяцев назад +7

      Mnajuaje km hawali

    • @marrypius576
      @marrypius576 10 месяцев назад +11

      Anakula baada ya show jmn sas akiweka camera chini wew utaonaje sasa 😂😂😂

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 10 месяцев назад +10

      Sheria no moja camera man hula baada ya kazi

    • @hawasaid7151
      @hawasaid7151 10 месяцев назад +3

      Anakula baada ya show kuisha hawawez kustop kuacha ku record

  • @theopistamwayeya1764
    @theopistamwayeya1764 10 месяцев назад +18

    Huyu kaka msafi, kila kitu utafikir ni vipya kabisaa, hongera.

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq 9 месяцев назад +12

    Great interview.. Chriss ana utulivu sana kwenye maelezo yako. Smart!!!

  • @uwimanacitegetse9926
    @uwimanacitegetse9926 10 месяцев назад +15

    Mufananowake ndivyoalivyo hatanyumbanikwake nimusafi❤❤❤ tofauti nawengine he’s so handsome❤

  • @JanethMadios-oe5ue
    @JanethMadios-oe5ue 10 месяцев назад +23

    Mmmh yaani wasaniii anajifanya ka ma alikuwa hana taarifa ya ugeni😅😅😅😅😅😅

    • @bennamush4616
      @bennamush4616 9 месяцев назад +2

      😂😂😂 wanajifanyaga hawana taarifa Ila wanakuwa nazo kabisa wasituone watoto

    • @gracepatric4371
      @gracepatric4371 9 месяцев назад +1

      Na pale getini mwanzo mtu alikuwa standby kabisa miguu imeonekana

    • @pendokimesu
      @pendokimesu 9 месяцев назад

      😂😂😂😂😂

  • @florahbenedict
    @florahbenedict 9 месяцев назад +5

    Huyu ni mwanaume! Mwanaume narudia tena, kupima akili ya mtu ni pamoja na unayojieleza! Nimependa sana! Imetulia sana!

  • @HoneysugarPudding
    @HoneysugarPudding 10 месяцев назад +22

    Huyu kaka ukimuona live mzuri zaidi anarangi flan ya rangi mbichi nilimuona kwenye pub yake yeye na rafiki yake Rammy❤

    • @bahatirngulika4493
      @bahatirngulika4493 9 месяцев назад +1

      Ht mi nlimuona kazimoto tabata ana rangi amazing sn

    • @HoneysugarPudding
      @HoneysugarPudding 9 месяцев назад

      @@bahatirngulika4493 kabisa yaani rangi ya asali mbichi halafu hata haringi yuko poa sana

  • @jackycharles6419
    @jackycharles6419 9 месяцев назад +4

    Smart sana humble saf kaka

  • @LawyerKalikumbi
    @LawyerKalikumbi 2 месяца назад

    Good job Saleh classic

  • @stellaemmanuel5526
    @stellaemmanuel5526 9 месяцев назад +5

    Siku tunasubiri tuone kwako ndugu mtangazaji 😄

    • @safiaimran6455
      @safiaimran6455 9 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 8 месяцев назад +1

    Bi gapu mzee Chris
    Wauni tunapika muelewe
    Wadada na siyo tunashindwa
    Kuwa na nyinyi hapana
    Ni wasumbufu sana

  • @dady_media5899
    @dady_media5899 9 месяцев назад +1

    Hii show bizz ni Kali Kinomaaaa ✌️

  • @MayarashidiMayarashidi
    @MayarashidiMayarashidi Месяц назад

    Mashaailah

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 9 месяцев назад +1

    Kiukweli hajisifu wala nini hongera sana kaka mziwanda

  • @KhadijaAlly-r3p
    @KhadijaAlly-r3p 9 месяцев назад +2

    nakupenda mziwanda❤❤❤❤

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 9 месяцев назад +2

    Mkaka yupo smart sana usafi mwingi so yule kichaa aliekuwa katuvalia boxa kwenye interview hana adabu kabisa

  • @edinalihedule7609
    @edinalihedule7609 9 месяцев назад +3

    Kalumbu🙏🙏wagogo yetu nyama😋

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 8 месяцев назад +2

    Mchizi kafanana na 2pac sana jamani au naiona mimi tuu hii

  • @jumalihumbo5314
    @jumalihumbo5314 10 месяцев назад +5

    Kuna mwanetu chuo alikua anamuelewa sn uy jamaa mpk kiparangoto akakipig ili t afanane n uy jamaa😂😂😂

    • @Atb300
      @Atb300 10 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂😂

  • @abisinaramadhani1460
    @abisinaramadhani1460 10 месяцев назад +8

    Kwan huyu salimu yeye tatembelewa kwake lini

  • @happnesskatandula4189
    @happnesskatandula4189 9 месяцев назад

    Ilove the story hauna masifuli kk muonekano wako na story yako mwingine angeanza misifa

  • @skyscapeinternational9658
    @skyscapeinternational9658 9 месяцев назад

    chriss mnyama sanaa ni icon

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 9 месяцев назад +2

    Inawekana ndo kafungiwa chumbani pale 😂😂😂 we linnah weee

  • @RoseKesi-zj4yy
    @RoseKesi-zj4yy 10 месяцев назад +9

    Nampendaga Sana huyu kaka❤❤

  • @carolinemahenge1674
    @carolinemahenge1674 10 месяцев назад +3

    Nampenda sana uyu kaka

  • @lightnessabdallah2340
    @lightnessabdallah2340 10 месяцев назад +6

    Jmn mk waandishi wa habari wanavaa helen 😢😢😢😢

    • @monicachondo6784
      @monicachondo6784 9 месяцев назад

      Kwa mwandishi wa habari za burudan kama Mziki, it’s allowed and normal too
      May angekua anatangaza taarifa za habari angevaa official bila bling bling zozote

  • @hawakindamba6519
    @hawakindamba6519 9 месяцев назад +16

    Yan huyu kaka kama umjui unaweza kusema analinga sema nimemuona live kwenye msiba wa rafiki yake alifiwa na mama ake ni mtu poah sana❤

  • @RoseKesi-zj4yy
    @RoseKesi-zj4yy 10 месяцев назад +4

    Mwenyewe nilikuwa ni mkelewe maana anafanana na ex wangu

  • @KhadijaAbdallah-kn3ii
    @KhadijaAbdallah-kn3ii 9 месяцев назад +1

    Huyu kaka namkubali sana

  • @Japhee93
    @Japhee93 6 месяцев назад

    Tumieni na drone italeta muonekano poa wa video hasa from aerial angel

  • @beatricemshiu2816
    @beatricemshiu2816 10 месяцев назад +20

    Mnaosifia usafi, ni kwamba mnasahau kuwa hao hupewa taarifa kabla hivyo wanajiandaaga kabisa

    • @ramlabaruani4202
      @ramlabaruani4202 10 месяцев назад +10

      Hata kama msafi ni msafi tu

    • @beatricemshiu2816
      @beatricemshiu2816 10 месяцев назад

      @@ramlabaruani4202 uzuri hamna aliesema ni mchafu

    • @pascalinajames9117
      @pascalinajames9117 10 месяцев назад +6

      We ukiambiwa salehe anakuja kwako kutakua kusafi hvyo ukijiandaa..acha wivu omba Mungu akupe roho nzuri😏

    • @beatricemshiu2816
      @beatricemshiu2816 10 месяцев назад

      @@pascalinajames9117 labda kwako sho🤔

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 10 месяцев назад +1

      @@pascalinajames9117 waja mnafurahisha nadhan ataenda kwa jiran kuazima mpk fagio kuna wale watu akivua nguo hizo hizo anatumia kufagilia ndan😂😂😂😂😂😂

  • @FrankSanga-z6y
    @FrankSanga-z6y 9 месяцев назад

    Uuuuh this life amaizing

  • @silviambalwa8862
    @silviambalwa8862 9 месяцев назад +1

    Nampendaga uyu kaka mwee😢

  • @sylivesterbulili6636
    @sylivesterbulili6636 10 месяцев назад +7

    Wow❤

  • @Queenruuh
    @Queenruuh 10 месяцев назад +2

    Albert 😢😢😢anko chipe

  • @Devo_xoxo2
    @Devo_xoxo2 9 месяцев назад +2

    Chumban kwake kulikuwa na fezza akaona asichomoe betri

  • @Bongofairytales
    @Bongofairytales 10 месяцев назад +3

    We chris acha uongo eti ushawahi kukaba..Umemkaba nani😂

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 9 месяцев назад

    Chris ni, kijana ana jitambua

  • @jamessitati7396
    @jamessitati7396 9 месяцев назад

    well organized guy

  • @halimanassoro1762
    @halimanassoro1762 10 месяцев назад +3

    ❤❤

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 9 месяцев назад +1

    Ebwana unyama mwanetu huyo Dom moja makao makuu

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 9 месяцев назад +2

    Kaka auna baya kabisa mzwanda

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk Месяц назад

    Eti na ubrotherman alishawahii kukabaaaa mmmh

  • @kudoja_fish_shop9592
    @kudoja_fish_shop9592 9 месяцев назад +1

    Mbagala na temeke ndio makao makuu ya masela mavi tanzania

  • @rosesilio9008
    @rosesilio9008 10 месяцев назад +4

    Kaka msafi wewe kuna miwanaume wengine ni wachafu hatari ukiingia chumbani kwao uvundo wa viatu na soks mpaka utakimbia

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 9 месяцев назад

      Dahh, umenusaje harufu ukajua hakuna uvundo?

  • @HappyKasinde
    @HappyKasinde 9 месяцев назад

    Nakupenda sana

  • @roserobert4951
    @roserobert4951 9 месяцев назад

    tumesoma wote nakukumbuka sana 😂

  • @AniphaMbeyu-ft9ue
    @AniphaMbeyu-ft9ue 9 месяцев назад

    Watoto wa temeke oyeeee

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 9 месяцев назад +1

    😂😂😂Saleh muhuni ww maswali yako dah

  • @selinathindwa9754
    @selinathindwa9754 10 месяцев назад +14

    Ndani ni kunzuri, ni msafi kuzidi hadi baadhi ya wanawake

  • @mariyam9219
    @mariyam9219 8 месяцев назад

    Mahogany nyie ote mnavaa evening kama wanawake kawekeni kuma basi muwe mademoiselle kabisa

  • @mfaumejames7344
    @mfaumejames7344 10 месяцев назад +1

    Wa kwanza leo😅😅

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Месяц назад

    Jamaa wala aji sha ui uyu takua mchawi wewe manina wewe

  • @RichAuntie-g6s
    @RichAuntie-g6s 2 месяца назад

    Ni kwel tumeanza kukujua kwenye huba ndio akaja zuchu

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 9 месяцев назад

    Mpitie na kwangu jamani

  • @UpendoJames-m5r
    @UpendoJames-m5r 10 месяцев назад +4

    Umo ndani chumbn kwako Kuna fedha keys 😂😂

  • @greeneraston6102
    @greeneraston6102 8 месяцев назад

    Yaan huyu Kaka lazima tuendane na mim coz I like sweet things like chocolate 🍫🍫🍫🍫 biscuits na zile cake's

  • @RachelBahahazo
    @RachelBahahazo 2 месяца назад

    Lixuri Ili likaka alaf lisafi sana

  • @newzon5300
    @newzon5300 10 месяцев назад +3

    WATAKUJA KUFILA UYU MSENGEE😅😅😅😅

  • @kimodonaa
    @kimodonaa 9 месяцев назад

    Uyu ni yule mme wa lolita au namfananisha

  • @dianacharles8147
    @dianacharles8147 10 месяцев назад +1

    😂twende tukaone

  • @Diamongproduct
    @Diamongproduct 9 месяцев назад

    Nice

  • @NoorainMasalu
    @NoorainMasalu 6 месяцев назад

    Temeke school na school bus wap na wap jmn mbn anatk kutuchap

  • @18nationmedia46
    @18nationmedia46 9 месяцев назад

    igizo liko poa

  • @IbrahimMvanga-sk4gr
    @IbrahimMvanga-sk4gr 9 месяцев назад

    Kaka mcheshi huyu had raha

  • @shmsazahir4021
    @shmsazahir4021 10 месяцев назад +4

    Babu maparaa umejitahidi msaf

  • @gracepatric4371
    @gracepatric4371 9 месяцев назад +1

    Ila salehe hahahahaha king'ang'anizi, hahahaha

  • @edwardfaraji1133
    @edwardfaraji1133 9 месяцев назад

    Gym sana mwanangu huyu...

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 9 месяцев назад +1

    Sio kapewa taarifa ndo akaweka usafi hapana huyu bro muonekano wake ni msafi halisi sio wa kukulupushwa kwa kweli kama mijanaume mingine loh usafi ni lazima sio kushikiwa bakora ni afya pia yani anavutia complete mpka unatamani uendlee kumsikiliza kwa kweli.😂

  • @abassimussa7473
    @abassimussa7473 10 месяцев назад +7

    Swali ni mjengo ni wake ama amepanga ?

    • @mrambadiana9678
      @mrambadiana9678 10 месяцев назад +5

      Sasa utajenga kabla hujapitia kupanga acha wivu na ushamba

    • @paulalove1223
      @paulalove1223 10 месяцев назад +2

      Kwani mtu akipanga anakua hajakamilika Yani mtu hakosi chakukosoa kaona vyote kamkosa

    • @emmanuelmchomvu2676
      @emmanuelmchomvu2676 9 месяцев назад

      Ww umejenga au

  • @amanieliraha2505
    @amanieliraha2505 9 месяцев назад

    Wa sita

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 10 месяцев назад +7

    Kwetu huku United kingdom kuna baridi ndio limeanza😢😢

    • @slimshed55
      @slimshed55 9 месяцев назад

      Nicheki Basi nami niko huku nina zawadi yako

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 9 месяцев назад +1

      @@slimshed55
      Hiyo zawadi itume humu humu tuipokutana

    • @slimshed55
      @slimshed55 9 месяцев назад

      @@FatimaAli-of4gh Nipe basi namba ya whatsApp bwana Fatma🥰😊😁😁

    • @safiaimran6455
      @safiaimran6455 9 месяцев назад +1

      @@FatimaAli-of4gh😂😂😂😂😂 hutaki zawadi

    • @slimshed55
      @slimshed55 8 месяцев назад

      @@safiaimran6455 Hataki zawadi si bora niikupe wewe tu jamani hahaa 🤣 😂

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 10 месяцев назад +3

    🎉

  • @gracelwoga9891
    @gracelwoga9891 9 месяцев назад

    Ila anajishaua

  • @mukeshimanarose1334
    @mukeshimanarose1334 9 месяцев назад

    🧦

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 9 месяцев назад

    Nilishangaa huyu kijana kua gay na akina Haki duh wanaume wanapungua dar

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq 9 месяцев назад +1

    Huyo dogo mtangazaji ana wenge kinoma.. inabidi umwache host wako ndio akutembeze kwenye nyumba yake. Sio wewe ndio unakuwa kimbelembele kama kwako

    • @dreamonline1997
      @dreamonline1997 9 месяцев назад

      Mashoga uwa wana viherehere

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA 9 месяцев назад +1

      Host wake yupi tena wakati yeye ndio host

    • @sarachawe8113
      @sarachawe8113 9 месяцев назад

      ​@@sir_ENOCKMACHAatakua haelewi😂😂😂😂

    • @zalhathasaid2060
      @zalhathasaid2060 9 месяцев назад

      ​@@sir_ENOCKMACHA😂😂😂kupatwa kwa host

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 10 месяцев назад +10

    Tz na drama zots izo akuna barabara nzuri mtaani km kwetu burundi tuna paves mitaa yote mjii unapendeza ila tz loooo pachafu

    • @dolphin4791
      @dolphin4791 10 месяцев назад

      Kuma ww

    • @charlesmtaita9664
      @charlesmtaita9664 10 месяцев назад

      ​@@dolphin4791😂😂

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 10 месяцев назад +12

      Burundi ipi unayoongelea tutasitisha misaada tunayowapa kila sehemu pumbavu

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 10 месяцев назад

      Mungu akubariki kijana mtanasharti na anayempenda Mungu

    • @souvenirweber7169
      @souvenirweber7169 10 месяцев назад +6

      Mjinga wewe Burundi nchi maskini na ndogo kama mkoa wetu mmoja unalinganisha na Tz nchi kubwa mala dufu kwenu? unataka kutukanwa? Iseme tenw Tz K wewe

  • @MwanakheriAbdallah
    @MwanakheriAbdallah 9 месяцев назад

    𝖄𝖆𝖓𝖎 𝖘𝖒𝖆𝖗𝖙 𝖒𝖐𝖕 𝕽𝖆𝖍𝖆𝖆

  • @dangomc_niger
    @dangomc_niger 9 месяцев назад +2

    mme wa lolita

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 8 месяцев назад +2

    Mtangazaji mwenyewe amevutiwa na maisha ya mjamaa

  • @zeyanaalhabsi8636
    @zeyanaalhabsi8636 9 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi 5 месяцев назад

    But in the ancient Middle East, the writers of the Hebrew Bible forbade tattooing. Per Leviticus 19:28, “You shall not make gashes in your flesh for the dead, or incise any marks on yourselves.” Historically, scholars have often understood this as a warning against pagan practices of mourning

  • @JanethMathias
    @JanethMathias 9 месяцев назад +5

    Sema mwana aongezag sana masifuri

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk Месяц назад

    Daaaah jux african boy katupwa chooni kama paziaaaa

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 10 месяцев назад +7

    Ni. Mgogo lkn ni. Msmart mno
    Mashallah 🎉🎉😂

  • @tabithadaniel7364
    @tabithadaniel7364 9 месяцев назад +5

    Wix na serum juu safi sana mziwanda

  • @giztony2009
    @giztony2009 9 месяцев назад +6

    This dude is very humble and cool