Masimoni SDA Church Choir, Nairobi Kenya Tumaini Langu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 сен 2024
  • Msalabani aliangikwa kwa ajili yangu na kwa hivyo tumaini langu litabaki kuwa pale pale Kalvari. Wimbo huu ulitungwa na Mwalimu Davis Wekesa.
    Unatuhimiza ya kwamba tulipata ukombozi wetu kupitia damu iliyotiririka msalabani. Tumaini letu liwe tu pale Kalvari.

Комментарии • 11