Masimoni SDA Church Choir, Nairobi Kenya Tumaini Langu
HTML-код
- Опубликовано: 20 сен 2024
- Msalabani aliangikwa kwa ajili yangu na kwa hivyo tumaini langu litabaki kuwa pale pale Kalvari. Wimbo huu ulitungwa na Mwalimu Davis Wekesa.
Unatuhimiza ya kwamba tulipata ukombozi wetu kupitia damu iliyotiririka msalabani. Tumaini letu liwe tu pale Kalvari.
Mungu munaye tumikia atawabariki watumishi wa Yesu
Nawapenda sana wanakwaya wenzangu God bless u so much
Nawapenda Sana wanakwaya wote wa SDA
Nipo Tz mmenibariki sana kwa huu kwa huu wimbo
Amen
Amina sana
What a powerful song, God bless..
Amina sana tunabarikiwa huku nyie
Amen and Amen
May god be praise
Amen