Wala usiangalie wangapi wana kujaji sabu mungu ndo anayechunguza moyo wako so wao na ndo mjuzi wa yaliyomo kwenye moyo wako na duniani kila mtu si mkamilifu ila mungu pekee
Ni kweli kabisa 💯 Kila mtu Ako na madhaifu yake. Bt Martha mwaipaja ageuze mavazi. Juu mavazi ya mkristo hayapaswi yawe kama hayo anayovaa. Asante 🙏🙏 ila niwie radhi kama nitakuwa nimekukwaza
Msimuhukumu dada wa watu, kama mmeyaona mapungufu yake na ninyi yakwenu mnayo, hakuna binadamu mkamilifu kikubwa mumuombeni kwa Mungu pamoja na huduma yake kama mnampenda, hakuna mwenye huduma nzur ya Mungu akakosa kupigwa vita na shetan, so tumuombee dada yetu
Sikilizeni watu wa Mungu, mjuwe kwamba hao wahimbaji wa leo % nyingi ni wasani tu kama bongo fleva sio wakristo hata uko kongo kuna kama hao hao watu wa kuzimu tu ,musishangee kapokelewa vipi ni nguvu za kuzimu, wakristo ombeni sana izi ni nyakati za mwisho.
⛪ebu acheni kumpaka mwenzenu mafuta kwa mgongo wa chupa kama kuonyana ni dhambi basi kanisani wasingetutenga tukifanya dhambi, nyie wote mnawajali wazazi wenu alafu yeye mnamshauri aendelee kuimba tu bila kujali mavazi yake wala mama yake, mfyuuuuuuuu ujinga huo
Congo ni watu wa polémiques, ukaleta franga zako, n'a polo tuna Enda, kwa mba Bunia atuna distraction, siyo juu y'a kumupenda, ai ku tamani vitendo vyake, arudi kwa mama yake aache kiburi naombe, Toba kwa wa Tanzanie. Musiogope wa Tanzanie sisi ni polémiques tuu leta franga, tutafanya propagande. 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Msimhukum mtu mwacheni mungu mwenyew ahukum yeye ndo anayejua yasirini na yadhahiri hajasema yeye kanyamaza mungu ndo mjuzi anajua anamakosa au Hana kwa hio nyie acheni waacheni jamani halafu hapa duniani hakuna mkamilifu kila mtu anatenda dhambi kutubu ni mungu mwenyew akikadiria huyu atupu atatupu kwa dhahiri au kwa siri yote yanakubalika
Kipofu awaezi kuongoza kipofu mweziye wote wawili wata dumbukia shimoni na ndivyo hapo alipo Congo wote ni vipofu ole wenu nyinyi wanao sapoti uhovu nazani kizuri munge mshahuri atenge neze na mama mzazi kisha ahende kufanya uduma vingi nevyo anaye mwongoza ni shetani
Martha fanya kazi ya mungu achana na watu watachoka mungu pekee ndio anasema ukweli... nakupenda sana martha
Mmekazana kumhukumu mungu afanye kazi ngani
Songa mbele dada nakupenda sana
Mungu akupiganie dda wanaona haya mmemchafua lkn mungu kazd kumpeleka mbele zaid martha ukimya wko nimeupenda sana
Mungu azidi kukupaka mafuta mabichi mathar mimi nakuombea songa mbele
@@femidayahaya9293unauhakika na huo uvumi au unakalia kuongea na kulopoka na kujiona mtakatifu ?
Msagaji
Msagaji
Msagaji
Mnataka asifanye huduma nyie ndio mliomtuma aimbe mwache amtumikie Mungu maana watu wanabarikiwa mavuno ni mengi watenda kazi wachache❤❤
@@ReginaLyimo-tg8ho I agree with you 💯💯
Karibu kwetu Bunia.
Mungu atubariki kupitia uduma ya Martha Mwaipaja.
Acheni mungu afae kanzi zake
Kwa mwana DAMU kwa pendo wake Amen 🙏🙏🙏
Watanzani siyo mungu Kama walikuwa atakukiwa wameshidwa
MATHA NI MGONJWA WA HAKILI HUYO,, HUPENDI MTOTO WA KUZAA HUPENDI MAMA MZAZI HUPENDI NDGU YEYOTE ,, TAPELI WAKUBWA HAO
Wala usiangalie wangapi wana kujaji sabu mungu ndo anayechunguza moyo wako so wao na ndo mjuzi wa yaliyomo kwenye moyo wako na duniani kila mtu si mkamilifu ila mungu pekee
Ni kweli kabisa 💯 Kila mtu Ako na madhaifu yake. Bt Martha mwaipaja ageuze mavazi. Juu mavazi ya mkristo hayapaswi yawe kama hayo anayovaa. Asante 🙏🙏 ila niwie radhi kama nitakuwa nimekukwaza
Madam tunashindwa kukuelewa kisahuyo kidudu mtu unayeishinaye ndiyo anaye kukoshesha amani😢😢😢😢😢
Kiburi kina mwisho
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Watanzania wanafki sana
Ampendani
Mnaongeya msio yajuwa
Nabihi ahana heshima kwao
Msimuhukumu dada wa watu, kama mmeyaona mapungufu yake na ninyi yakwenu mnayo, hakuna binadamu mkamilifu kikubwa mumuombeni kwa Mungu pamoja na huduma yake kama mnampenda, hakuna mwenye huduma nzur ya Mungu akakosa kupigwa vita na shetan, so tumuombee dada yetu
😅😅😅😅
Asiende kuhudumu afe Kwa njaa
Chapa kazi yamungu ussikilize sauti yaaduwi
Kushinda nilazima
Congo bunia hawajuwe scandle ya martha thats why alipokelewa ivo wakijuwa ata toroka
Ndigu nao
Mwacheni jamani kwani mulitakaje ata apa tanzania anapendwa
Hamna mtumishi hapo ila kuna msanii wa nyimbo za injiri bible inasema mtawatambua kwa matendo yao
Shida yetu huyu anaeongozana nae ni nan kwake?? Na ni kwann aongozane nae kila anakoenda????
Sikilizeni watu wa Mungu, mjuwe kwamba hao wahimbaji wa leo % nyingi ni wasani tu kama bongo fleva sio wakristo hata uko kongo kuna kama hao hao watu wa kuzimu tu ,musishangee kapokelewa vipi ni nguvu za kuzimu, wakristo ombeni sana izi ni nyakati za mwisho.
Hivyo.vyote.bure.maman.bado.congo.nikwetu.lakini.wende.kwa maman tu.uhombe.msamaha.guvu.za shetani.zina mtembeza.
Mshara wa zambi nimauti iposku tataona mengi
Hii dunia wanaofanya ushetan wana nguvu kuliko wanaopinga ushetan dunia inawapenda walio wake
Na wewe ukilaumu sema piya wewe siwa mungu unandanganya watu,
Na mungu ata ku shucha wewe !!!
Mpakwa mafuta wa Mungu
Tume mupenda saana huya mm tume mutaribicha kwatu bunia
Munadanganya nisi Congo hatunja mukubali
Imeandikwa usihukumu usije ukahukumiwa
HAPA TANZANIA HAWEZI KUHUDUMU POPOTE KANISA LITALO MWALIKA KUIMBA HUYO MCHUNGAJI ATAKOMA. MARTHA ANAPASWA KUMWOMBA MAMAKE MSAMAHA KWANZA.
Wewe kafanye mambo megine mwache martha
Wa Congo mwishoe wata muomba atubu na arudi kwa Mama mzazi. Na Joan arudi Kwao. Watasoma videos zake na lazma zisha mharibia sifa
Mamake analialia njaa kama msukule mikataba ya kuzimu freemason mapepo wachafu nyie toka kwa jina la Yesu
⛪ebu acheni kumpaka mwenzenu mafuta kwa mgongo wa chupa kama kuonyana ni dhambi basi kanisani wasingetutenga tukifanya dhambi, nyie wote mnawajali wazazi wenu alafu yeye mnamshauri aendelee kuimba tu bila kujali mavazi yake wala mama yake, mfyuuuuuuuu ujinga huo
USI LAUMU MWANA DAMU
LAKINI ACHENI MUNGU DIYE MWENYE UKUMU ,
Congo ni watu wa polémiques, ukaleta franga zako, n'a polo tuna Enda, kwa mba Bunia atuna distraction, siyo juu y'a kumupenda, ai ku tamani vitendo vyake, arudi kwa mama yake aache kiburi naombe, Toba kwa wa Tanzanie. Musiogope wa Tanzanie sisi ni polémiques tuu leta franga, tutafanya propagande. 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mhm mhm mhm ok
Kuburi caha uzima na Lina mwisho wake
Sina Shaka na Mtha ila hicho kijimtu anachotembea nacho
Hata yeye yupo ivo ila anajificha.....huwezi kuwa close na mtu mbaya halafu wewe ukawa mzuri.
Msimhukum mtu mwacheni mungu mwenyew ahukum yeye ndo anayejua yasirini na yadhahiri hajasema yeye kanyamaza mungu ndo mjuzi anajua anamakosa au Hana kwa hio nyie acheni waacheni jamani halafu hapa duniani hakuna mkamilifu kila mtu anatenda dhambi kutubu ni mungu mwenyew akikadiria huyu atupu atatupu kwa dhahiri au kwa siri yote yanakubalika
@@GraceLuvanda-g5rThat's true 💯 tunasema tunasema embe likianguka. Halianguki mbali na muembe.
Atubu kwa kosa lipi kawajibu kwa vitendo tazama mapokezi yake huko kongo
Kipofu awaezi kuongoza kipofu mweziye wote wawili wata dumbukia shimoni na ndivyo hapo alipo Congo wote ni vipofu ole wenu nyinyi wanao sapoti uhovu nazani kizuri munge mshahuri atenge neze na mama mzazi kisha ahende kufanya uduma vingi nevyo anaye mwongoza ni shetani
Kwenda
Martha tubu kwanza harafu Rudi kwenye familiya yako