Комментарии •

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 14 дней назад +3

    HAWA WATU WANAHITAJ MTU KAMA MWAMPOSA AWAOMBEE MAKE KAMA KUNAKITU HAKIKO SAWA AU NYIE MMAONAJE😢😢

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 14 дней назад +4

    Kwa hotuba kama hizo. CHADEMA watasubiri sana.

    • @bonifacekalima5273
      @bonifacekalima5273 7 дней назад

      Yaani kwa sasa seera za za chadema kwanza ni keelo,,labda kwasababu wao posho za ziara ,seela zi meisha

  • @ShukuruSanga-rq1lt
    @ShukuruSanga-rq1lt 14 дней назад +3

    Huna swaga kaka acha ccm ifanye kazi npo nAmibia

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 14 дней назад +3

    Ziloooo

  • @Jamesmokolalaizer
    @Jamesmokolalaizer 14 дней назад +3

    Hata wewe boya 2 kwann wewe unaakili

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z 14 дней назад +1

    Timiza tu ratiba bwana huna msaada wowote

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 14 дней назад +1

    Lema umekonda sana jamani

  • @rashidhamad6501
    @rashidhamad6501 14 дней назад +1

    Hapo alipo kama hayuko sawa

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 14 дней назад +1

    Lema siasa za matusi zimepitwa na wakati .Umekuwa kama kichekesho Lema .Lema ungekuwa na pesa nyingi sijuwi ungekuwaje .CCM huiwezi Lema

  • @pwaniseries
    @pwaniseries 14 дней назад +1

    Kuna Baadhi yenu Sera zao zinashawishi hata Sera zako zipo zinazoshawishi ila kuna zingine kaka unatumia maneno makali

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 9 дней назад

    Boya wewe siyo Anna Kilango

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 13 дней назад

    Mbona sion watu hapo nimajungu tu watoa taarifa

  • @jacksonmsele1500
    @jacksonmsele1500 13 дней назад

    Ila huyu mtu huyu

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 13 дней назад

    Damu za watu zinamgeuka kuwateka watu na kuwalipa alafu waseme ccm

  • @abelluhende1422
    @abelluhende1422 14 дней назад +1

    Lema umechoka Mimi naipenda chadema lakini kwa kauli zako ni kichefuchefu na una kauli za kukejeli maisha ya wananchi.

    • @bonifacekalima5273
      @bonifacekalima5273 7 дней назад

      Yaani seera za kijinga,,halafu baadae waseme tumeibiwa kuula kumbe hawakuwa na seera za kuwambia wananchi baali walikuwa wanaleta story kwenye majukwaa

  • @harunimwambene1599
    @harunimwambene1599 14 дней назад +3

    Selikari imejenga miundo mbinu Kila Kona jukumu la kutumia punda ni la mwananchi mwenyewe selikari haiwezi kuwanunulia magari ya kutumia wananchi kama UNAWEZA wewe wanunulie japo pikipiki tukuone. Neno boya linatoka wapi ndio maana ulikimbia nchi kwa sababu ya akili Yako mbovu. Sasa wewe. Tengenza hoja mtasubiri sana kwenye nchi hii

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 13 дней назад

    Jenga hoja Lema watu watakuelewa , jazba , kejeli na lugha 😅zisifaa haina afya.

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka 14 дней назад

    Kumbe nawewe ulikua mbunge ulikua boya we acha matusi wambie ulifanya nini

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 9 дней назад

    Tatizo lenu nyie Chama cha Chadema Saccoss matusi mtahangaika sanaaaa

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 13 дней назад

    Bado hamjashawishi wezi nyie wauwaji ccm Bado IPO juu

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey 12 дней назад

    HODARI WA KUZUA NA UGOMBANISHI
    KWA MWEZI MACHUKUA RUZUKU Tsh MILLION MIA NNE mmefanya NINI zaidi ya kudanganya wananchi kuficha matumizi mabovu ya uharibifu WA Kodi za watanzania tu

  • @TarimoMangi
    @TarimoMangi 12 дней назад

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 13 дней назад

    Kamanada lema punguza kidogo maneno yenye uwelekeo wa madharau na matusi ila zidisha maneno yenye ushawishi na kuonyesha madhaifu ya wenzako

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 14 дней назад

    Sasa we lifisiyemu unataka fisiyemu. Iachwe ifanye kazi gani miaka 64 inatosha nyie tulieni sindano iwaingie

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 13 дней назад

    Huyu mpumbavu ana dharau KUBWA sana....!!

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d 12 дней назад

    Mbwa Kama huyu hafai kuwa mjimbe wa nyumba kumi nyie mnaomsikiliza kiongozi wa maboya Duniani ingieni yutiubu halafu andika Kariakoo ya mwaka 64 halafu linganisha na sasa yeye boya huyo aliwahi Mbunge kafanyanini ? Hakufanya chochote zaidi ya wezi mbwa wewe

  • @saidramadhan71
    @saidramadhan71 14 дней назад +1

    Mbwa wewe

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 12 дней назад

    Tunapenda vyama vya siasa viingie bungeni lakini tuwe na busara ktk kujenga hoja hata mungu kasema hivyo sasa kama utatukana au maneno makali huwezi kutoboa yani yule alie shika mpin hatokubali matusi

    • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
      @AlphaxardMRusweka-jr1wi 11 дней назад

      Aliyeshika mpini,kwani nani,na wewe hujielewi .aliyeshika mpini ni wananchi .GNEZ

    • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
      @AlphaxardMRusweka-jr1wi 11 дней назад

      GENZ ndo anayeamua nani ashike dola na GENZ hao hao ndo wanapmfurahia na kumsikiliza

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 14 дней назад +2

    Ya leo kali CCM MJIANDAYE SANA MTAKOSA VITI VINGI VYA UBUNGE

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 13 дней назад

    Jenga hoja Lema watu watakuelewa , jazba , kejeli na lugha 😅zisifaa haina afya.