Mim ata huyu boy alinibore vile alikataa mtoto wake na bib yake nkt anakaa mdomo kama ya chura nkt shame on you,,, baby girl wewe rudi kwenu utafute job
First wife anaonekana mature sana,,,mdenge wachana kabisa na huyo fala kama anaweza kuruka na mtoto kaa ukijua ni mtu nugu tu....mtaka yote hukosa yote
😂😂😂, wanawake hapa inje wanajaribu I tell you. The guy is thick, the last fool standing, jobless and hawa wanampigania? Trust me huyu nikapewa na hata na shamba juu siezi! Like aje sasa, aje?.. Why is she wasting her tears on such?!
Alafu kitu ajui ni ajui anacheza na akina nani sas anaona akina Joshua ni fala kama yeye ajui vile wazazi watafika hapo hata bro wake mwenye anamlazimishia mke
Unakaa huyu mama wa blue dress ako na pesa NDIO maana huyu sege anamkwamilia ,
Where is stano I miss him Joshua say hello to stano
Pia yy ameenda kupumzika juu Joshua amemaliza off yake
Huyo kijana ata nipewe buree na gunia ya waruu juu siwezi chukua 😅😅😅,,,kumbaffffffff😅😅😅😂😂😂
😂😂😂 aki ,alafu nikama sio human,umeona ulimi is extra red? Weee mimi nimemwogopa
😂😂😂
Mm nachukua gunia la waruu
😂😂😂😂😂😂 walai huyu hata busu siwezi mpea anakaa tu poko
😂😂😂😂
Boy child hajielewi 😢😢😢😢young girl usipiganie this man
😢😢😢
sanitise huyo madam akona dress ya blue,anakaa akona mtoi na hio ball si ya huyo mwanaume kiburi
Mama wa blue ako na do na ndio maana huyu kijana anakwamilia na ashaapatwa read handed
Mim ata huyu boy alinibore vile alikataa mtoto wake na bib yake nkt anakaa mdomo kama ya chura nkt shame on you,,, baby girl wewe rudi kwenu utafute job
I'll ready ako job
Sanitize huyo mum wa blue , Joshua we want to know more about her
Young gal Run ,Don't look back let him be,lea mtoi badilisha jina go place hatajua.and block this immature boy.
Pipe ya mkonjo isikudunishe baby gal.....leave the fool alone
Move on mama achana na hiyo gala hijielewi
This is game of love confusing hapa hakuna mwanaume hajielewi
Huyu boy wa nduthi ni kamalaya😂😂😂😂 hajielewi ako na wasichana kumi 😮😮😮poleni wadada
Woi madem surely,hata hamuoni the guy ni mwendawazimu
Akii mapenzi weee umetuaribia vijana wadogo
Yaani mtu anaacha mrembo na kuendea mwanaume😂
Uyu wa blue n mmama, but hana akili kwamba hapa n bayana uyu kijana anamchezea.
Huyu kijana ni mjinga. Ata nkapewa yy bure siwezi mtaka. Ghasia ya mtoto.
Kijana Malaya sana
HUYU BOI AMEYOGWA AKILI NDIO MAANA HADI ATAMBUI BIBI NA MTOTO WAKE
Bby girl mungu ako na sababu na ako na mume mwema wako amekupangia
Huyu ni kama tu Pastor Jeremiah venye alikana watoto wake live, baadaye it was a regrets
First wife anaonekana mature sana,,,mdenge wachana kabisa na huyo fala kama anaweza kuruka na mtoto kaa ukijua ni mtu nugu tu....mtaka yote hukosa yote
Stand we miss you please come back please
Confused elements hiki kipii😢
Na sasa kitu kaa hii inakuoa ikikubeleka wapi sasa surely 😢😢😢😢😢😢 Mungu ata mavi kinajua kupanguza kweri 😢😢😢😢
Uyu kijana n Fala sana hadi hajielewi mnapigania kitu gani hapa ladies beb girl kama unajisimamia mwenyewe wachana nahii nungu fanya kazi lea mtoto
😂😂😂, wanawake hapa inje wanajaribu I tell you. The guy is thick, the last fool standing, jobless and hawa wanampigania? Trust me huyu nikapewa na hata na shamba juu siezi! Like aje sasa, aje?.. Why is she wasting her tears on such?!
Let her heal hata amini what she was crying aboit
Baby girl Wacha kujidunisha na hii fala, jipende alaa!!!
Huyu kijana ako na nyota ya warembo
Msichana achana na huyu ngombe Lea mtoto wako huyu mwanaume akikuja chemsha Michele choma miguu
This blue is like mother to this boychild
This man needs deliverance 😅😅 atafutiwe pastor
Did you just say boy,,, or young stupid boy
Kina Kelly n wengi😂😂
As i played before god forgive all mad and foolish men on my behalf
I don't see anything to fight for here.. Huyu kijana anakaa mtu hana akili
Stop advertising phones🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu jamaa ni mbwa sana yupo na demu smatt fiti kazi ni umalaya tu ⛏️⛏️
Leta bro wake
I will come back when it's Stano interviewing and handling the show because I don't understand what Joshua says.
Big mama kimekuramba live😂😂😂😂😂
Hii dume imechanganyikiwa ako mixtup😅bure kabisa deadbeat
Huyo kijana ni short wire yaani wireless
😂😂👍
Hii story inanibore kabisa coz the guy looks abnormal
😂😂😂
Ni kujifanya tu coz ameshikwa na wife red hundred
Huyu ampigwe kias akili iamke ameniboo sana
😂huyu mwanaume a awacheza Hawa wanamama
Missing Stano,arudi sasa holiday imeisha
Stano ako holiday we need to see a 2 born gd luck
Hizo jina ya Alex,Ali iko na shida ya kukataa kata kata😢
Ukweli
Na sioni wanmpendea nn kweli mlunje bhanee
Huyu jamaa Ako na kiburi yaan namuroga😢
Huyu dame aachane na huyu jamaa. Anamfuata wa nini
Kweli uyu n William ruto kwa lies
C bre amejaa ulimi 😂😂😂
Stano ako outside kny kujibamba
Huyu jamaa ni fala kweli ako na ujinga mingi
Nyota ya ukimwi inag'aa kwa huyu boy
huyu mwenye ako na mimba atoke mapame juu huyu kijana aka na ujinga sana
Kwanza mwenye mimba ndio mjinga wa mwisho😂😂😂
Alafu kitu ajui ni ajui anacheza na akina nani sas anaona akina Joshua ni fala kama yeye ajui vile wazazi watafika hapo hata bro wake mwenye anamlazimishia mke
Stano one week without we miss you
huyu jamaa ana faa kuwekwa kofi kwa mdomo
Shida yangu ni wanapigania nani sasa muongo sura personal
😂😂😂😂😂😂uyu kijana hajielewi sasa kuoa ni ya nn
Msichana fun away na mtoto wako.hii sio kitu ya kuita mwanawe
Uyu ndyo mnaita mwanaume anakaa confused 😕😕
Walai sura yenyewe waaah 😅😅😅
Rejected sercrifice
Sura kama hii unapigania ya nn hata mdomo kama bakuli baby girl we jikate mapema wachie huyo shosh maybe alikua ameachwa pahali
Kwany kenya iliharibika aki wamama na vijana wadogo dio mtindo sasa 🙆🙆🙆
Huyo jamaa ni stupid , madam hata huyo sio mtu wa waste your time ,jipatie shughuli mungu akupatie an understanding man
Huyu nae ni sampuli ya wazee type gani....acha aende na huyo sugar mummy
Yaaaan ata liwe nini huyu naye hapana
😂😂😂 leo nimecheka mnangangania hii ng'ombe ya mwanaume hajielewi malaya mkubwa shenzi
Mmmh aki huyu c atapata ugongwa shitombi ama ako nayo already 😢😢😢
I guess so
hakuna haja ya kukonifirm yet it's true huyu jamaa anaruka familia yake...
Sweety gal jipe shughuli plz
Na huyu wa blue haoni red flag
😂😂😂😂😂😂 huyu wa dress ya blue anakaa tu yule maid wangu wa kitambo
Hpo hkuna mzeee so nyie mjipnge wte madem
Sure ni mbaya,sauti ni mbaya,😮😮😮ijust hate the Guy,,baby girl go ahead leave that fool move with your life &baby.
Aki umeona hata we anakaa mbaya hata aoni huyu dem amemfanyia fever kumpenda
Huyu jama ni matope,
Kwani hii ni nini watu wanapigania surely
Huyu hatakunja kulia one day
i ni ngamia 😂😂😂😂tu achana na.yeye fug
Joshua mambo ya grace ilifika wapi
Na huyu wa blue kichwa kubwa Lakini empty
But to say the truth uyu n mumama surely,,wamama tujiheshimu ,wewe mumama wa blue wacha kuharibu watoto na kuwalaani ukiwaonyesha ku.😇😀
Waende DNA
Bibi WA blue ni mluhya
Ni nn huyu mjinga Ako nayo ya kupiganiwa
Aka kakijana kana faa kipwibwa adi kajue dinia jinga sana Hana Ata aibu
Wachana naye mrembo ajipange umbwa
kwani hii gichana ni nduguye hasla🤣
Hyo jamaa anajifanya hpo na hajui kufaa anawekwa na mumama xx anaringa hpo ukubafu
Huyu mwaume ni wanzimu
Amechanganyikiwa na maroscoco
Baby gal acha kulia ww enda uwanze life na mtoto wako TU achana na huyo mjinga
Young girl please move on with your life with your kid you deserve better that man is a cheat and a cheat he will remain!
sasa huyu mwanaume sura hana alafu anakaa gunia ya makende
Joshua vipi ile case ya shosh aliuwawa na akina omondi?
Huyu mama ako na blue ni Mzee kuliko kijana
Sasa unachida ukipebereza uyo jama siuko nakazi siujikaiche mungu atakupa mume wamaana
Kijana ananyandua kwan kuna nini
Uyu jamaa ni mtoto bado haja komaa bado
Sasa huyu ni MTU wa kupigania 😏saitan