Thamani ya uzalishaji wa makonge Tanzania
HTML-код
- Опубликовано: 18 окт 2024
- Tanzania ni nchi ya pili duniani kwa uzalishaji wa katani au mkonge baada ya Brazil. Katika makala haya, tunaangazia jinsi vijana walivyotambua thamani kubwa kutokana na sekta hii nchini Tanzania, na jinsi wanavyopambana na changamoto zilizopo katika biashara hii.
#bbcswahili #Tanzania #biashara #makonge
safi saana BBC mko vema
Safi sana
Salute 🫡
100/%
Simbadei