Dah umenikumbusha mbali sannaa hapo skuli ya kiembe samaki kiukweli naipenda nchi yangu ya Zanzibar Allah aijaalie iwe na mamlaka kamili kwa muda huu napatikana katika nchi jirani ya Tanganyika usisahau kwenda njia ya saraevo to Nyamanzi huko ndio home na nenda kawaoneshe mji mpya wa Nyamanzi kazi njema.
Zanzibar ninchi yenye rahaa kama zoteee na wenyewe wastarab waumin wa kislam asilimiya 100 love Zanzibar
Shukran kaka
Ok poa
Hahaha
My home zanzibar
Beautiful Zanzibar
Beautiful Zanzibar
Dah umenikumbusha mbali sannaa hapo skuli ya kiembe samaki kiukweli naipenda nchi yangu ya Zanzibar Allah aijaalie iwe na mamlaka kamili kwa muda huu napatikana katika nchi jirani ya Tanganyika usisahau kwenda njia ya saraevo to Nyamanzi huko ndio home na nenda kawaoneshe mji mpya wa Nyamanzi kazi njema.
Karibu sana kaka
@@discoverzanzibar shukran karb nitakuja
Quality video bro, thanks
Thanks bro for the support
Ahsante kwa zawadi ya vocha
karibu sana boss
My home zanzibar lakin nipo saudia unanikumbusha brother😭😭😭
Home sweet home karibu sana kaka
Asante bro tunaomba ungeenda mpaka ile njia ya chukwani unayopitia airport
Shukran bro request yako inakuja soon inshaallah
@@discoverzanzibar thanks
HAKUNA mji hapo ni uchafu mtupu jengeni mji achaneni na fikra za karume
Mji ni hayo magofu barabarani, kuweni serious basi
Tupo serious boss wenyewe tumeridhika na tunaamini hata mbuyu ulianza kama mchicha.
@@discoverzanzibar Jengeni huyo mji acha mboyoyo za kuridhika hapa
@@ericboniphace6546 Tunajenga mkuu karibu sana
Mji Zanzibar kwa miji yenu ukitoa daresalaam,kwanza,dodoma ambao unahengwa kwa pesa A muungano na Arusha huu ni Bora Tena mzur