Комментарии •

  • @hassanmchoro5077
    @hassanmchoro5077 Год назад +2

    Zanzibar ninchi yenye rahaa kama zoteee na wenyewe wastarab waumin wa kislam asilimiya 100 love Zanzibar

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 2 года назад +2

    Ok poa

  • @nadyasalim7956
    @nadyasalim7956 2 года назад +2

    My home zanzibar

  • @hashilfarahany
    @hashilfarahany Год назад +1

    Dah umenikumbusha mbali sannaa hapo skuli ya kiembe samaki kiukweli naipenda nchi yangu ya Zanzibar Allah aijaalie iwe na mamlaka kamili kwa muda huu napatikana katika nchi jirani ya Tanganyika usisahau kwenda njia ya saraevo to Nyamanzi huko ndio home na nenda kawaoneshe mji mpya wa Nyamanzi kazi njema.

  • @dubzman5874
    @dubzman5874 2 года назад +1

    Quality video bro, thanks

  • @bakokahama4647
    @bakokahama4647 2 года назад +1

    Ahsante kwa zawadi ya vocha

  • @salmsalmo931
    @salmsalmo931 Год назад

    My home zanzibar lakin nipo saudia unanikumbusha brother😭😭😭

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 2 года назад +1

    Asante bro tunaomba ungeenda mpaka ile njia ya chukwani unayopitia airport

  • @mwigaadam1179
    @mwigaadam1179 Год назад

    HAKUNA mji hapo ni uchafu mtupu jengeni mji achaneni na fikra za karume

  • @ericboniphace6546
    @ericboniphace6546 2 года назад

    Mji ni hayo magofu barabarani, kuweni serious basi

    • @discoverzanzibar
      @discoverzanzibar 2 года назад

      Tupo serious boss wenyewe tumeridhika na tunaamini hata mbuyu ulianza kama mchicha.

    • @ericboniphace6546
      @ericboniphace6546 2 года назад

      @@discoverzanzibar Jengeni huyo mji acha mboyoyo za kuridhika hapa

    • @discoverzanzibar
      @discoverzanzibar 2 года назад

      @@ericboniphace6546 Tunajenga mkuu karibu sana

    • @mwigaadam1179
      @mwigaadam1179 Год назад

      Mji Zanzibar kwa miji yenu ukitoa daresalaam,kwanza,dodoma ambao unahengwa kwa pesa A muungano na Arusha huu ni Bora Tena mzur