Tumsifu yesu kristu naipenda sana hii kwaya mko powa sana katika utume huu ushauri wangu mtubadilishie ladha katika matamasha yajayo watu wasiwazoee katika mlengo huu tu ambao umezoeleka kwa wengi uimbaji wenu hauna mashaka hata kidogo walau mtu badilishie radha ya nyimbo ili tusichoke kuwafatilia nawapenda sana mungu azidi kuwabariki ndugu zangu wa KMK makuburi🙏🙏🙏
I want to say that we always love you guys but kmk digital platform please work on sounds I want to hear everything including drums bass tenor and alto 🙏🙏🙏🙏asanteni sana kwa ujilishanji wenu mzuri God is happy
Tumsifu yesu kristu naipenda sana hii kwaya mko powa sana katika utume huu ushauri wangu mtubadilishie ladha katika matamasha yajayo watu wasiwazoee katika mlengo huu tu ambao umezoeleka kwa wengi uimbaji wenu hauna mashaka hata kidogo walau mtu badilishie radha ya nyimbo ili tusichoke kuwafatilia nawapenda sana mungu azidi kuwabariki ndugu zangu wa KMK makuburi🙏🙏🙏
Asante sana tumeuchukua ushauri kwa unyenyekevu mkuu 🙏🏼
Nape da nyimbo zenu sana natamani nikuje Tanzania siku Moja just vacation 🥰🥰🥰🔥🔥💪💪🙏 support
Mubarikiwe sana kwa utume❤
Bwana awabariki kwa kipaji chenu muendelee kueneza injili ya Mungu kwa nyimbo
NITASIMULIA NCHI YESU NI MWEMA YESU NI MWEMA💃💃💃💃💃💃 UMEITENDEA HAKI NAFASI MLIYOPEWA KUIMBA💃💃
Napenda sana uimbaji wenu Mungu awabariki sana ❤🎉❤
Hongereni Sana ndugu na rafiki zangu ktk Kristo
Haya majamaa yanaimba aise mungu awazidishie katk Maisha yenu mnainjilisha vzr sana 🙏
Mmependeza haswa❤❤❤❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉 wacha niwapatie maua hamna kingine baraka tele🥳🥳🥀🌹
Saafi...kazi nzuri. Uwakilishi saafi
Hingereni jaman kmk kwa utume mzuriiii
I want to say that we always love you guys but kmk digital platform please work on sounds I want to hear everything including drums bass tenor and alto 🙏🙏🙏🙏asanteni sana kwa ujilishanji wenu mzuri God is happy
Kabisaa sauti ya tenor and bass hai sikiki kabisaa
Kabisaa sauti ya tenor and bass hai sikiki kabisaa
Mbarikiwe sana KMK
Please always use this system to do sound recording,it's awesome
👏👏🙏