Khadija Kopa: Wanaume Wa Siku Hizi Wanapenda Sana Mijimama.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
    100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Комментарии • 204

  • @abubakarmohd5878
    @abubakarmohd5878 5 лет назад +1

    Sister khadija kopa na riyama ally nawapenda sana hakuna km nyinyi kwa mipasho nawakubal one love mwaaaaa

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 7 лет назад +2

    Huyo Dida kajichubua sana mpk kazeeka ukimwangalia Hadija Kopa anaonekana mdogo kwake

  • @dodomikleni9299
    @dodomikleni9299 7 лет назад +15

    Khadija mama yng wakti umeshataraddad tena ...kaa kitako tena utizame khatma yako wacha muziki tena

  • @siaelgerald31
    @siaelgerald31 7 лет назад +1

    mi nampenda huyu mama hajajichubua kabisaaa uko vizur mamaaa khadija kopaa

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 6 лет назад

    Hadija SEMA inshalah katika mambo yako huna hata ukijaliwa we utafanya show tu si mpaka mungu stake ebu neno Laki pitisha inshalah au ukijaliwa

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka9525 7 лет назад +4

    Baada ya mguu wake kuingia vumbi duuh ....we miss u Bi khadijah in +254

  • @luluafrica
    @luluafrica 7 лет назад +4

    Nakupenda sana mama khadija kopa. Hope to see you one day

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Год назад

    Jamani ndio IBADA HIO YA DIKU YA IJUMAAA!!

  • @kombogambare3574
    @kombogambare3574 7 лет назад

    Mash Allah Bi Khadija Kopa Ngoma zako poa na huniliwaza huku mbali niliko na Africa...Pongezi kwa Mipasho yako natamani nikirudi Africa nije nikuone LIVE huko Bongo.

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Год назад

    JAMANI NDIO IBADA YA IBADA HIO YA IJUMAAA! IJUMAA TUKUFU KWA WAISLAM DUNIANI

  • @mbarakamwachala2083
    @mbarakamwachala2083 Год назад

    Mashallah mama umesema ukwel jaman ntakuja kwazuchu

  • @aishaaisha18
    @aishaaisha18 7 лет назад

    Bikhadij mm nakupenda unaipenda rangi yak vizur hujichbui km wengine

  • @benaddymutua3425
    @benaddymutua3425 6 лет назад +2

    Kenyan 🇰🇪 citizen TV inatamba adi bongo??

  • @masanjamatina3619
    @masanjamatina3619 7 лет назад

    Nakupenda sana bi Khadija! yani nimechea mpaka basi! Ha ha ha!

  • @phina8058
    @phina8058 7 лет назад +2

    Mimi nakutaka kwenye kitchen party yangu khadija kopa

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 лет назад

    Bi khadija nakupenda sana, uko vizuri mamy.

  • @amenaamena2283
    @amenaamena2283 7 лет назад

    nandio warivo wanaume wengine wakitogoza👌👌👌👌

  • @moon3793
    @moon3793 7 лет назад

    Nakupenda khadija kopa, unajiamini sana cyo Hao wacyo jiamini

    • @user-hx4gq9qo2y
      @user-hx4gq9qo2y Год назад

      Nakupenda Sana b Khadija piga nyimbo Yako ya wifi

  • @veanunda1516
    @veanunda1516 7 лет назад +2

    adija nimekukubali sana

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 7 лет назад

    Tupeee tupeee bi khadija ❤💋

  • @pigapesa1013
    @pigapesa1013 6 лет назад +1

    Khadija anajua sana!

  • @mcnjovu3525
    @mcnjovu3525 7 лет назад +12

    hadija kopa upo vizuri mumy

    • @ashiraali3954
      @ashiraali3954 7 лет назад +2

      Hongera mama wambie

    • @khadijambuta4360
      @khadijambuta4360 7 лет назад +1

      yani huyu mma anahongea ukweli mtupu hongera kwa maneno kuntu

  • @josphineodongo9453
    @josphineodongo9453 7 лет назад

    Daaaaahh mama kopa nakupendaaa sanaa

  • @fareda1847
    @fareda1847 7 лет назад

    Haaaaaaaaaaaaaa Mamy Khadija umenifurahisha jmn mpk raha

  • @aminatahwamummy539
    @aminatahwamummy539 7 лет назад +6

    khadija uko top mama natural malkia wa mipasho

  • @mrishomuhmmed1203
    @mrishomuhmmed1203 5 лет назад

    Mama hadija chechei hongera mdonge mwenzangu

  • @pilimohammed4404
    @pilimohammed4404 7 лет назад

    Bikhadija asa umenifurahishaa
    Hatarii

  • @catherinekanyangali4940
    @catherinekanyangali4940 6 лет назад

    yaani khadija unajua kunikosha

  • @sheymahabdulwahidkhalid6355
    @sheymahabdulwahidkhalid6355 7 лет назад

    nakupenda buree malikia wa mipasho Nchini tz

  • @milliahachenya2749
    @milliahachenya2749 4 года назад

    Hahaha Aki nimecheka huyu mama ana Mambo but I love her truly

  • @seifmohamedseif9384
    @seifmohamedseif9384 7 лет назад +1

    toka lini mwanamke akamtoa mwanaume kimaisha wanaume ndio uwatoa wanawake

  • @khamisalaamri3913
    @khamisalaamri3913 7 лет назад +5

    wanawake tunaojishuhulisha ..tuna chati saana

  • @khamisalaamri3913
    @khamisalaamri3913 7 лет назад +1

    pataaaamu hapooooooo

  • @khamisalaamri3913
    @khamisalaamri3913 7 лет назад +1

    nakupenda khadija kopa 100/ 100

  • @khadijambuta4360
    @khadijambuta4360 7 лет назад

    nakupenda bure bi mkubwa Khadija kopa

  • @hassanmohdallyally9552
    @hassanmohdallyally9552 7 лет назад

    Khadijaa kopaa yuko vizuri sanaa tokaa anaimbaa na babo yangu chimben

  • @shadiashadia4701
    @shadiashadia4701 7 лет назад

    Mama la wamama makubwa love you adija

  • @latifamohamed6967
    @latifamohamed6967 6 лет назад

    Bi khadija nakupenda bureeeeee mama ang

  • @aselaaikarua4180
    @aselaaikarua4180 7 лет назад

    wap Serengeti boys
    weraaa

  • @nasraali6157
    @nasraali6157 6 лет назад +1

    Mummy nakupenda mie shabiki wako sana lakini napenda tuwasiliane mammy unamawaidha mazuri niko mombasa

  • @priscangimba6194
    @priscangimba6194 7 лет назад

    nakipendaga sana bi khadija

  • @mejumaabaraza8020
    @mejumaabaraza8020 6 лет назад

    Uko juu mama

  • @doricusmatemba5297
    @doricusmatemba5297 7 лет назад

    One luv

  • @bogoyoally6359
    @bogoyoally6359 7 лет назад

    kweli khadija kopa

  • @mwanambeuissa9210
    @mwanambeuissa9210 7 лет назад

    upo juu mama

  • @aishazulfa2832
    @aishazulfa2832 7 лет назад

    mama nakupenda sana yani napenda nyimbozako sana 💜💜

  • @khamisalaamri3913
    @khamisalaamri3913 7 лет назад +1

    mbAvu mieeeee....haloooooooo

  • @maulidhassani1416
    @maulidhassani1416 7 лет назад +1

    Khadija fanya movie na Asha Boko please....

  • @happynesspaul3522
    @happynesspaul3522 7 лет назад

    bi adija unanikosha jaman penda sn adija kopa

  • @halimadodo336
    @halimadodo336 6 лет назад

    Maaashalah

  • @mariammohamed7277
    @mariammohamed7277 6 лет назад

    Mashaallah BI KHADIJA wape hao wape

  • @bahatiyusuph1278
    @bahatiyusuph1278 7 лет назад

    uko vzr mama

  • @hassanmohdallyally9552
    @hassanmohdallyally9552 7 лет назад

    Haoo watto wskiume au wakike wanaotangazaa maana hawana tofauti na dida wote wanapakaa mkorogoo

  • @arafaiddy8962
    @arafaiddy8962 6 лет назад

    hongera sana mama

  • @halali_ya_naseeb
    @halali_ya_naseeb 7 лет назад +3

    hahaha alafu didah nakupenda Sana my

    • @safialupembe7354
      @safialupembe7354 6 лет назад

      LADYBECKY Mchizzen nampenda sana Bi hadija ni muwazi

  • @applebrighrvumu6151
    @applebrighrvumu6151 7 лет назад

    lv u bi khadija 😘😘😘

  • @ayshamahariq8126
    @ayshamahariq8126 7 лет назад +1

    Nakukubali mamaetu wape ukweli

    • @hassandede5901
      @hassandede5901 7 лет назад +1

      Bi hadija Mimi mushabiki wako nakukibali sanna napenda nikualike kwenye harusi yangu itakayo fanyika dar mimi naitwa Hassan dede nipo mwanza

  • @esterhasan524
    @esterhasan524 7 лет назад

    love u much mama 💋 ukwl mtupu

  • @zamzamhamisi7332
    @zamzamhamisi7332 7 лет назад

    thantheeee love

  • @happykipoya42
    @happykipoya42 6 лет назад

    Sa siaongee mmoja mmoja

  • @tungupaschal1340
    @tungupaschal1340 7 лет назад

    love mama waambie

  • @khamisalaamri3913
    @khamisalaamri3913 7 лет назад +2

    wambieeee...pambe tuuu

    • @awadhgenstar8583
      @awadhgenstar8583 7 лет назад

      mama kopa nakutaka uwe mama yangu wa iyari nipeni mamba zake Mimi nko arusha rakini makazi daa uku kuangaika

  • @bhathkimarioshop2054
    @bhathkimarioshop2054 6 лет назад

    waambie mamaa

  • @ramadhankidagaa5440
    @ramadhankidagaa5440 7 лет назад

    Khadija punguza maneno

  • @christinedisii626
    @christinedisii626 7 лет назад

    Hahaaaah nakupenda ni khadija kopa

  • @dohabisophicateqatar1742
    @dohabisophicateqatar1742 7 лет назад

    wapashe wapashike wambile wa sikile bi adija

  • @khamisalaamri3913
    @khamisalaamri3913 7 лет назад +1

    pamenooga...kwa utaam

  • @sashababy1321
    @sashababy1321 7 лет назад +2

    bi khadija umekosha apo kwenye kutongoza kwakeli mm apo wamenishinda.jitu lakufata nipe namba khaaaa

    • @mamujally3814
      @mamujally3814 6 лет назад

      Manaasha Athuman Chatt ya kwanza yapili Nipe no.baby 😂 kha!!nishakua baby ghafla

  • @mamamkami7243
    @mamamkami7243 6 лет назад

    asante jimama

  • @christineokwiri4720
    @christineokwiri4720 7 лет назад

    kweli kabisa

  • @salmazena1932
    @salmazena1932 7 лет назад +1

    Patamu hapa jmn .hutaki tuition

  • @khadoojomary.562
    @khadoojomary.562 7 лет назад +1

    Hehehhehe nampenda huyu mama

  • @barikiarastus8770
    @barikiarastus8770 7 лет назад

    Majibu balaa

  • @tungupaschal1340
    @tungupaschal1340 7 лет назад

    love mama

  • @rashidseif6103
    @rashidseif6103 7 лет назад +1

    pombe sio chai kopa

  • @hadijahadijaselemani4941
    @hadijahadijaselemani4941 6 лет назад

    Haaa asante wajinaa mama yangu kipenzi changu mwenye jina kama langu khadijaaaa nakupenda sanaa waambie hao wanaoandika msg za kurap hahahaaaa

  • @nazmaabdul949
    @nazmaabdul949 7 лет назад +8

    teeena vijana wengi hawajui hilo usela paka kwenye mapenz

    • @waliyahsayeed8109
      @waliyahsayeed8109 6 лет назад

      Nazma Abdul you might wanna try mtoto wa kiganda. I

  • @jamilasultani8903
    @jamilasultani8903 5 лет назад

    Naina

  • @saumumsuya2591
    @saumumsuya2591 6 лет назад

    Uko dada Hadija

  • @aishabakari7141
    @aishabakari7141 7 лет назад

    Bi. Khadija unajiamini sana

  • @sophytowo4212
    @sophytowo4212 7 лет назад

    huyu mama hazeeki jaman!!

  • @abdyussi2030
    @abdyussi2030 6 лет назад

    EXx za kibongo

  • @sarasamwel5163
    @sarasamwel5163 7 лет назад

    Ukojuu sana mama kopa

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 7 лет назад

    duuh mama umetisha sana

  • @tingbatuuka7278
    @tingbatuuka7278 7 лет назад

    Duh. Mhm

  • @prettyajumy4227
    @prettyajumy4227 7 лет назад

    Halooooooo mjiongezeeee loh mijanadume yass haina akili

  • @davidone4705
    @davidone4705 6 лет назад

    Hatali

  • @siddikimpole8301
    @siddikimpole8301 6 лет назад +1

    MATOKEO YA UCHAGUZI WA URAIS KENYA...

  • @heldaoman3070
    @heldaoman3070 7 лет назад

    Uko pow mama penda sana wewe

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 7 лет назад +8

    Dida uko vibaya ndugu yangu heee umejitia nn mtizame bi khadija na umri wake yuko na kisura kizur ww mtoto mdogo uso umekukaa vibaya kwa mikrimu acha Dida tafuta urembo mwengine

    • @roseandanje718
      @roseandanje718 7 лет назад

      Asha Haji kwanza nyusi zake Mimi huniacha hoi

    • @awadhgenstar8583
      @awadhgenstar8583 7 лет назад

      mnamuona wivu dida muacheni kama amjasoma ninyie mkome kumsaga mwezenu ata ivo kirasiku yupo juu tu

    • @tiffahbby3697
      @tiffahbby3697 6 лет назад

      Asha Haji
      Hahaha hahaha hahaha hahaha unimaliza

    • @emmyjohn3192
      @emmyjohn3192 6 лет назад

      kila mtu na mapenz yake...punda anyw maj kwa lazima...hata nyie mmekomaa miguu kama kwato

    • @kambimuhomba6176
      @kambimuhomba6176 5 лет назад

      B khadija nakukubar mno mungu akulinde katka kazi zako

  • @caslidajosephat778
    @caslidajosephat778 7 лет назад +6

    Dida umezeeka kweli na hiyo creme imekuzeesha

    • @emmyjohn3192
      @emmyjohn3192 6 лет назад +1

      Caslida Josephat..kwahyo unataka nn sasa? kazeeka USO nawe umezeeka nn? mnaacha kufuata maada kaz kuchonga domo tu...

    • @emmyjohn3192
      @emmyjohn3192 6 лет назад +1

      muone kwanza ulivo simama mguu sawa kama unakaguliwa uniform za shule

    • @jamillahmohamed4151
      @jamillahmohamed4151 6 лет назад

      hhhhhhh Kali hiyo

    • @ubongosahihi
      @ubongosahihi 3 месяца назад

      Uzee ndio Busara hata wewe utazeeka Mwenyezi Mungu Akikupa Umri 😮 teena uombeeee sana maana kwa Kauli hizi za kuwasema wazeeeee siyo kweli 🌸🌸🎀🌸🌸🧑🏾‍🦳👩‍🎓🔥🔥🔥🔥🎁♥️🌹🌹♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️☝️

  • @sandraasafisana811
    @sandraasafisana811 6 лет назад

    Kweli Mama unayo sema sasaiv tahalabu mnaimbia baa kweli basata washulikiehili

  • @rehemamwarami3706
    @rehemamwarami3706 6 лет назад

    Nyimbo ya kadandi

  • @maryammaryamkiriwashwa1626
    @maryammaryamkiriwashwa1626 7 лет назад

    nyinyi vidume mapacha

  • @ireneismaili7304
    @ireneismaili7304 7 лет назад

    naombeni namba ya adija kopa

  • @hamoudjaruphu2893
    @hamoudjaruphu2893 7 лет назад

    nikweli Dada yng

  • @marypendo5338
    @marypendo5338 7 лет назад +1

    Dida tafadhali naombeni number ya khadija kopa..nko na harusi Kenya plz nisaidieni ntampata vipi?

    • @lazaisblessings2695
      @lazaisblessings2695 7 лет назад +2

      Mary Pendo Instagram jina la account yake ni @officialkhadijakopa utapata kuwasiliana naye vizuri

    • @marypendo5338
      @marypendo5338 7 лет назад +1

      Lazais Kitoday ok tnx

  • @oyay2821
    @oyay2821 7 лет назад

    Ngorongoro....

  • @زليخهيوسف-ط1د
    @زليخهيوسف-ط1د 4 года назад

    Ama Kweli Pombe Siyo Chai.

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 6 лет назад

    Mama wa kizanzibari huyo bhana