Khadija Kopa: Wanaume Wa Siku Hizi Wanapenda Sana Mijimama.
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Sister khadija kopa na riyama ally nawapenda sana hakuna km nyinyi kwa mipasho nawakubal one love mwaaaaa
Huyo Dida kajichubua sana mpk kazeeka ukimwangalia Hadija Kopa anaonekana mdogo kwake
Sana tu dada
Khadija mama yng wakti umeshataraddad tena ...kaa kitako tena utizame khatma yako wacha muziki tena
red apple mfyuuuu...uenda wewe wala nyama zawatu...bora Huyo anaeimba
Kashajisahau aisee
hilo nenoo
mi nampenda huyu mama hajajichubua kabisaaa uko vizur mamaaa khadija kopaa
umenifulaisha sana
Hadija SEMA inshalah katika mambo yako huna hata ukijaliwa we utafanya show tu si mpaka mungu stake ebu neno Laki pitisha inshalah au ukijaliwa
Baada ya mguu wake kuingia vumbi duuh ....we miss u Bi khadijah in +254
Maalim Ali
Maalim Ali aje apige shooo Naii
Nakupenda sana mama khadija kopa. Hope to see you one day
Jamani ndio IBADA HIO YA DIKU YA IJUMAAA!!
Mash Allah Bi Khadija Kopa Ngoma zako poa na huniliwaza huku mbali niliko na Africa...Pongezi kwa Mipasho yako natamani nikirudi Africa nije nikuone LIVE huko Bongo.
JAMANI NDIO IBADA YA IBADA HIO YA IJUMAAA! IJUMAA TUKUFU KWA WAISLAM DUNIANI
Mashallah mama umesema ukwel jaman ntakuja kwazuchu
Bikhadij mm nakupenda unaipenda rangi yak vizur hujichbui km wengine
Kenyan 🇰🇪 citizen TV inatamba adi bongo??
Nakupenda sana bi Khadija! yani nimechea mpaka basi! Ha ha ha!
Mimi nakutaka kwenye kitchen party yangu khadija kopa
Bi khadija nakupenda sana, uko vizuri mamy.
nandio warivo wanaume wengine wakitogoza👌👌👌👌
Nakupenda khadija kopa, unajiamini sana cyo Hao wacyo jiamini
Nakupenda Sana b Khadija piga nyimbo Yako ya wifi
adija nimekukubali sana
Tupeee tupeee bi khadija ❤💋
Khadija anajua sana!
hadija kopa upo vizuri mumy
Hongera mama wambie
yani huyu mma anahongea ukweli mtupu hongera kwa maneno kuntu
Daaaaahh mama kopa nakupendaaa sanaa
Haaaaaaaaaaaaaa Mamy Khadija umenifurahisha jmn mpk raha
khadija uko top mama natural malkia wa mipasho
Uko vzuri sahv kuwa namahucano namajmama ndo vzur watoto wanasumbua
eti eeeh
Mama hadija chechei hongera mdonge mwenzangu
Bikhadija asa umenifurahishaa
Hatarii
yaani khadija unajua kunikosha
nakupenda buree malikia wa mipasho Nchini tz
Hahaha Aki nimecheka huyu mama ana Mambo but I love her truly
toka lini mwanamke akamtoa mwanaume kimaisha wanaume ndio uwatoa wanawake
Seif Mohamed Seif Naomba mawasiliano
Y6 Y6hg 0627 668 778
Y6 Y6hg hujambo
wanawake tunaojishuhulisha ..tuna chati saana
pataaaamu hapooooooo
nakupenda khadija kopa 100/ 100
Ha ha ha umenifuraisha mama upo vizuri
nakupenda bure bi mkubwa Khadija kopa
Khadijaa kopaa yuko vizuri sanaa tokaa anaimbaa na babo yangu chimben
Mama la wamama makubwa love you adija
Bi khadija nakupenda bureeeeee mama ang
wap Serengeti boys
weraaa
Mummy nakupenda mie shabiki wako sana lakini napenda tuwasiliane mammy unamawaidha mazuri niko mombasa
nakipendaga sana bi khadija
Uko juu mama
One luv
kweli khadija kopa
upo juu mama
mama nakupenda sana yani napenda nyimbozako sana 💜💜
mbAvu mieeeee....haloooooooo
Khadija fanya movie na Asha Boko please....
bi adija unanikosha jaman penda sn adija kopa
Maaashalah
Mashaallah BI KHADIJA wape hao wape
uko vzr mama
Haoo watto wskiume au wakike wanaotangazaa maana hawana tofauti na dida wote wanapakaa mkorogoo
hongera sana mama
hahaha alafu didah nakupenda Sana my
LADYBECKY Mchizzen nampenda sana Bi hadija ni muwazi
lv u bi khadija 😘😘😘
mama pasuakopa
Nakukubali mamaetu wape ukweli
Bi hadija Mimi mushabiki wako nakukibali sanna napenda nikualike kwenye harusi yangu itakayo fanyika dar mimi naitwa Hassan dede nipo mwanza
love u much mama 💋 ukwl mtupu
thantheeee love
Sa siaongee mmoja mmoja
love mama waambie
wambieeee...pambe tuuu
mama kopa nakutaka uwe mama yangu wa iyari nipeni mamba zake Mimi nko arusha rakini makazi daa uku kuangaika
waambie mamaa
Khadija punguza maneno
Hahaaaah nakupenda ni khadija kopa
wapashe wapashike wambile wa sikile bi adija
pamenooga...kwa utaam
bi khadija umekosha apo kwenye kutongoza kwakeli mm apo wamenishinda.jitu lakufata nipe namba khaaaa
Manaasha Athuman Chatt ya kwanza yapili Nipe no.baby 😂 kha!!nishakua baby ghafla
asante jimama
kweli kabisa
Patamu hapa jmn .hutaki tuition
Mapishai
Hehehhehe nampenda huyu mama
Majibu balaa
love mama
wahambie
pombe sio chai kopa
Haaa asante wajinaa mama yangu kipenzi changu mwenye jina kama langu khadijaaaa nakupenda sanaa waambie hao wanaoandika msg za kurap hahahaaaa
teeena vijana wengi hawajui hilo usela paka kwenye mapenz
Nazma Abdul you might wanna try mtoto wa kiganda. I
Naina
Uko dada Hadija
Bi. Khadija unajiamini sana
huyu mama hazeeki jaman!!
EXx za kibongo
Ukojuu sana mama kopa
duuh mama umetisha sana
Duh. Mhm
Halooooooo mjiongezeeee loh mijanadume yass haina akili
Hatali
MATOKEO YA UCHAGUZI WA URAIS KENYA...
Uko pow mama penda sana wewe
Dida uko vibaya ndugu yangu heee umejitia nn mtizame bi khadija na umri wake yuko na kisura kizur ww mtoto mdogo uso umekukaa vibaya kwa mikrimu acha Dida tafuta urembo mwengine
Asha Haji kwanza nyusi zake Mimi huniacha hoi
mnamuona wivu dida muacheni kama amjasoma ninyie mkome kumsaga mwezenu ata ivo kirasiku yupo juu tu
Asha Haji
Hahaha hahaha hahaha hahaha unimaliza
kila mtu na mapenz yake...punda anyw maj kwa lazima...hata nyie mmekomaa miguu kama kwato
B khadija nakukubar mno mungu akulinde katka kazi zako
Dida umezeeka kweli na hiyo creme imekuzeesha
Caslida Josephat..kwahyo unataka nn sasa? kazeeka USO nawe umezeeka nn? mnaacha kufuata maada kaz kuchonga domo tu...
muone kwanza ulivo simama mguu sawa kama unakaguliwa uniform za shule
hhhhhhh Kali hiyo
Uzee ndio Busara hata wewe utazeeka Mwenyezi Mungu Akikupa Umri 😮 teena uombeeee sana maana kwa Kauli hizi za kuwasema wazeeeee siyo kweli 🌸🌸🎀🌸🌸🧑🏾🦳👩🎓🔥🔥🔥🔥🎁♥️🌹🌹♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️☝️
Kweli Mama unayo sema sasaiv tahalabu mnaimbia baa kweli basata washulikiehili
Nyimbo ya kadandi
nyinyi vidume mapacha
naombeni namba ya adija kopa
nikweli Dada yng
Dida tafadhali naombeni number ya khadija kopa..nko na harusi Kenya plz nisaidieni ntampata vipi?
Mary Pendo Instagram jina la account yake ni @officialkhadijakopa utapata kuwasiliana naye vizuri
Lazais Kitoday ok tnx
Ngorongoro....
Ama Kweli Pombe Siyo Chai.
Mama wa kizanzibari huyo bhana