Njia iliyonyoka - 1.Hukumu ya mwenye kuacha swala

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Asalam waliekum warahmatullahi wabarakatu
    Hi mawaidha ya khutbah ya ijumaa yaliyotolewa katika msikiti wa ihsaani vetinar Temeke Tar. 28.08.2009
    Mada ni, Hukumu ya Mwenyekuacha Swala (part 1) mtoa mada ni Sh. Nurdeen Muhammad Ahmed Kishki

Комментарии •

  • @mariamsaidi7625
    @mariamsaidi7625 4 года назад +3

    Masha Allah mungu akulipe kheli akupe mwisho mwema sheghe wangu nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @saidswaleh6706
    @saidswaleh6706 7 месяцев назад

    Ameen Allah atutakabalie swala zetu sote waislamu

  • @radhiaibrahim2036
    @radhiaibrahim2036 4 года назад +1

    Shukran sana Shekh Nurdin. Allah S.W akupe mwisho mwema

  • @fatmehfaraj5188
    @fatmehfaraj5188 4 года назад

    Shukran sheikh Kwa mawaidha mazuri.

  • @jumacassim2530
    @jumacassim2530 10 лет назад +2

    M/mungu mjaalie uhai mrefu mja wako,kipenzi chako pia umpe afya bora na moyo wa kuendelea kutupa darsa inshaallah

  • @aishaally1436
    @aishaally1436 9 лет назад +1

    shukuran lnshaallah swala zetu zenye kutakambaliwa
    ameen

  • @rahmaabdi3163
    @rahmaabdi3163 10 лет назад +1

    Jazak Allahu kheir. I learned a lot

  • @rukialoice6629
    @rukialoice6629 6 лет назад

    Jazakhalau kheyran.sheikh kishki

  • @khamis251
    @khamis251 11 лет назад

    Aksante sana ma shekhe wetu.