Mashallah Mashallah Mwanangu kwa kweli na kuku baling sana kama ulivyo weza kuchakazi uka weza kutengenezea Maisha yako na watt wako Usiku ali kuwa dhaifu kwa kiumbe ambae hakuja u mean zia wapi Wewe kama wewe ni bora kuliko chochote kilemba kuwa makini usiku baki tena kudhalilishwa na mtu asie Jua Ubpra wako Endelea na Maisha yako up nguvu moyo wako Uishi vizuri na watt wako na Alwah Azidi kukubariki Nakupenda sana na iko Siku nakutamania uje kunitembelea niko Qatar utuona tupo na tunachapa kazi Alhamdulilah Alhamdulilah
Nampongeza sana lakini pia na mpongeza uchebe kwa kumuongoza vema na mwishowe akaonekana hana mana.shilole mshukuru uchebe kwakukutuliza na ukawa na mawazo mazuri leo tuna jivunia kujifunza toka kwako
Sasa ni wapi huelewi watu wanaongelea mjengo ww unaongelea ndoa. Kwanza hajashawishi mtu yoyote kuolewa au kutoka kwa mume wake. Yy anachokisema ni kua mwanamke ni kua unaeza jifanyia lolote la maendeleo iwapo upo single au umeolewa
Hakuna lolote heshima sio kuwa na mume au kuolewa. Heshima ni kuwa na vyako na mali zako hata kama umeolewa ndo mume pia atakuona wa maana. Olewa huna kitu unamtegemea mwanaume ndo utaisoma namba
@@yunglintz9377 msichana ni neno la heshima sana watu wana jiitia tu. Ni yule ambae hajaguswa na mwanaume. Huyo ndio kwenye sifa ya kuitwa msichana. Lakini sio MTU kisha Fanya yoote na kuzaa amezaa bado anaitwa msichana. Hapana huyo ni mwanamke
Shilole kwa hili umewashinda mastaa wengi haswa wa bongo movies, wakipata pesa wanapeleka kwa mawig na mavazi na maphoto shoot kutuma instagram bado wanaishi nyumba za kukodi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@rose_Winchester86 Astaghfirullahu laadhwimu hawa huwa wanabowa unamkuta kakaa kabisa ana ndoto yakuja kumiliki nyumba ya ulithi kama uliona mafundi si wazuri Si ungeenda kumjengea wewe walla hawa ndo wanga wa hasadi na hasidi
Wasanii wengi wanaishi nyumba za kupanga, hongera sana shishi. Kuwa na nyumba yako ndo kila kitu
Hongera sana my super woman Niko nyuma yako
Tunajenga dada 😍😍😘😘😘
Maa shaa allah
mashaallah shishi
Mashaallah
Safi sana mama kuwa na nyumba nzuri ya akina Rahma na dada yake.Ongera sana nakupenda sana.Toka kusini.
Hongera sana shishi wewe kweli ni mfano wa kuigwa your super woman 😍❤️❤️🌷
MashAllaah Allah azidi kukupa nguvu na maarifa na ujasiri pia uzidi kupambana na akutimizie yale uloyatilia nia Inshaallah
Kabisa dad shishi beby 😊😊😊😊😊😊🥰🥰🥰🥰🥰🥰😘🤩
MashaAllh sstr shish lov u
Sophia habar
Maashaa Allah
Hongera Sana dada
Ushauri tumeupata
Mashallah kujenga si mchezo wallah
Masha Allah
Ushahuri unafika Shishi👂🏽na unapenya hadi kwenye ubongo,kujenga ni lazma kabisa🏡
Hongeraa shishi wangu kuna wadada wanatamba eyi nimepanga masaki? Pole zao..
Mashallah Mashallah Mwanangu kwa kweli na kuku baling sana kama ulivyo weza kuchakazi uka weza kutengenezea Maisha yako na watt wako
Usiku ali kuwa dhaifu kwa kiumbe ambae hakuja u mean zia wapi
Wewe kama wewe ni bora kuliko chochote kilemba kuwa makini usiku baki tena kudhalilishwa na mtu asie Jua Ubpra wako
Endelea na Maisha yako up nguvu moyo wako Uishi vizuri na watt wako na Alwah Azidi kukubariki
Nakupenda sana na iko Siku nakutamania uje kunitembelea niko Qatar utuona tupo na tunachapa kazi Alhamdulilah Alhamdulilah
Asante Kwa ushaur mzur
Thanks girl 🥰💘
Good ❤️
Hongera sanaa shishi 👌👌
Hongera mpendwa kila mja anandoto hiyo mungu atatushushia kher nasi inshallah cha muhimu kujituma.🤝👌🏿❤
hongera sanaa ila wewe siyo msichana ni mama
Amiin 🤲👏
Nmesikia mam 😍🤝
Anahangaika kwsmi wa kwsnza wewe kujenga wewe sio msichana mi mwanamke ndio maana unaolewa kila siku unafikiri bado msichana
Ongera San ayo ndio mambo Sasa dada
Saw
Kwahilotu ongera sana kwako shilole.
Brain woman from Tanzania!!!!! Sio kuweka na mawigi,na ma hotel LIFE.. Keep it up Shishi
Hongera sana ushauri tumeupata tutaufanyia kazi.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏
Shilole good
👏👏👏👍Proficiat Shishi
Kabisa nimekuelew
Shukran habibty
Congratulations shsh ngoja niendelee kupambana
Hongera sana
Of course..women's power 💪stop expecting men's all.the time
Hongera shi shi
Kwa hilo hongera sana tuuu
Good sister
Nimekusikia
Hongera sana wakulugo
Nampongeza sana lakini pia na mpongeza uchebe kwa kumuongoza vema na mwishowe akaonekana hana mana.shilole mshukuru uchebe kwakukutuliza na ukawa na mawazo mazuri leo tuna jivunia kujifunza toka kwako
Uchebe mbona aliikuta nyumba
Uchebe kamkuta na nyumba yake na mgahawa wake. Si hasha huyo uchebe alimfuata Shilole ili apate pa kukaa
Msichana mmama ukishazaa huitwi Msichana
Naomb no ya shish
Tumesikia mama....hongera mno...ila USITUFOKEE
Unashauri watu after kuachana na mmeo ili pia waachane waanze kudanga na zinaa. Mbna hujaonyesha kabla ya kutoka kwa ndoa
Sasa ni wapi huelewi watu wanaongelea mjengo ww unaongelea ndoa. Kwanza hajashawishi mtu yoyote kuolewa au kutoka kwa mume wake. Yy anachokisema ni kua mwanamke ni kua unaeza jifanyia lolote la maendeleo iwapo upo single au umeolewa
Good
Nashukuru shishi napambana na mm😂
Hanaishuu.shilole.mshamba.tu.wacha.watu.kane.watu.kwenye.mikutano.snura.kakashifuu.mwezie.sahivi.anajikoshaa
Amemjibu uchebe maana alionekana kwenye interview ya wasafi akikana kuwa hajawahi kuiona nyumba ya Shilole
Huwenda alimficha uchebe
Lakini hata kama ana nyumba atulie aache umalaya wanawske wengi tu wamejennga nyumba wametulia sio mapepe kama yeye
Swadakta kwa ushauri wako.
Kwani mwanzoni alikua akilala nnjee....kabla yakupatan na shishi
Hongera sana shishi ila karibu kwenyw page yetu ya nyumba ni finishing Instagram tuibadilishe muonekano mafundi maiko
Shishi msichana
Ampambane paka kwisho ila kama ana mum nibure tuuu eshima ni mume dada yangu.
Hakuna lolote heshima sio kuwa na mume au kuolewa. Heshima ni kuwa na vyako na mali zako hata kama umeolewa ndo mume pia atakuona wa maana. Olewa huna kitu unamtegemea mwanaume ndo utaisoma namba
.
Sunaonatukoulaya tunajenga kwetu kabisa
Tupo tunapambana na mjengo
Hii nyumba ya pili nahisi ma sha Allah dada zuwena
Ila ww sio msichana bt asante ushauri umetufikia
Ninani sasa😆😅😂🤣
@@yunglintz9377 huyo ni mmama sasa levo ya usichana ni ya watt wake
@@ibtysophy3467 sawa ila bado ni msichana tu ata hawe na watoto
@@yunglintz9377 msichana ni neno la heshima sana watu wana jiitia tu.
Ni yule ambae hajaguswa na mwanaume. Huyo ndio kwenye sifa ya kuitwa msichana.
Lakini sio MTU kisha Fanya yoote na kuzaa amezaa bado anaitwa msichana. Hapana huyo ni mwanamke
Uchebe anaikujia hiyo nyumba
Mwanamukehananyumbasiyomutu
Niushauli mzur
Shilole kwa hili umewashinda mastaa wengi haswa wa bongo movies, wakipata pesa wanapeleka kwa mawig na mavazi na maphoto shoot kutuma instagram bado wanaishi nyumba za kukodi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kubwabwaja tuu toka zako bn punguza domo hilo
Kaa kwa kutulia ww
Nyumba ya Uchebe hio asitudanfanye
Acha hizoo. Uchebe amemkuta Shishi tayari kisha jenga huyo Uchebe hiyo nyumba kaitoa wapi?
😀
Ila mafundi wako sio wazuri waweza kuwa na pesa ila wakakujengea kusipo na ubora
Tuonyeshe yako na wewe
@@rose_Winchester86 Astaghfirullahu laadhwimu hawa huwa wanabowa unamkuta kakaa kabisa ana ndoto yakuja kumiliki nyumba ya ulithi kama uliona mafundi si wazuri Si ungeenda kumjengea wewe walla hawa ndo wanga wa hasadi na hasidi
@@waheedahtanzania5884 kabisa
Nyumb yenyew loo mbon km kituo cha afya jmn mafundi duu
Duuu Amina khaaa
🤣🤣acha dharau kituo cha afya eti, kajenge cha kwako upost tuone, hongera shishi
We unayo😏😏
Safi shishi, unastahili pongezi
We unayo😹
Congratulations shsh ngoja niendelee kupambana