SHILOLE aonesha MJENGO wake na kuandika haya kwa wanawake wenzake, JOKATE atia neno

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024

Комментарии • 103

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 4 года назад +12

    Wasanii wengi wanaishi nyumba za kupanga, hongera sana shishi. Kuwa na nyumba yako ndo kila kitu

  • @agnesnoelina2465
    @agnesnoelina2465 4 года назад

    Hongera sana my super woman Niko nyuma yako

  • @dggxxxxfgff3876
    @dggxxxxfgff3876 4 года назад +8

    Tunajenga dada 😍😍😘😘😘

  • @khadijaomar2723
    @khadijaomar2723 4 года назад +1

    Maa shaa allah

  • @hadijahmwajombe9588
    @hadijahmwajombe9588 4 года назад +6

    mashaallah shishi

  • @mwajumakweli6774
    @mwajumakweli6774 2 года назад

    Mashaallah

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 года назад

    Safi sana mama kuwa na nyumba nzuri ya akina Rahma na dada yake.Ongera sana nakupenda sana.Toka kusini.

  • @amayajones803
    @amayajones803 4 года назад +1

    Hongera sana shishi wewe kweli ni mfano wa kuigwa your super woman 😍❤️❤️🌷

  • @waheedahtanzania5884
    @waheedahtanzania5884 4 года назад +1

    MashAllaah Allah azidi kukupa nguvu na maarifa na ujasiri pia uzidi kupambana na akutimizie yale uloyatilia nia Inshaallah

  • @user-fv2sn7js7g
    @user-fv2sn7js7g 2 года назад

    Kabisa dad shishi beby 😊😊😊😊😊😊🥰🥰🥰🥰🥰🥰😘🤩

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 4 года назад +1

    MashaAllh sstr shish lov u

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 4 года назад +1

    Maashaa Allah

  • @aoman5214
    @aoman5214 4 года назад

    Hongera Sana dada

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 4 года назад +12

    Ushauri tumeupata

  • @mabyserolouchcraig2431
    @mabyserolouchcraig2431 4 года назад +3

    Mashallah kujenga si mchezo wallah

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 4 года назад +2

    Masha Allah

  • @hopechidera
    @hopechidera 4 года назад +6

    Ushahuri unafika Shishi👂🏽na unapenya hadi kwenye ubongo,kujenga ni lazma kabisa🏡

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 4 года назад +3

    Hongeraa shishi wangu kuna wadada wanatamba eyi nimepanga masaki? Pole zao..

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 4 года назад +3

    Mashallah Mashallah Mwanangu kwa kweli na kuku baling sana kama ulivyo weza kuchakazi uka weza kutengenezea Maisha yako na watt wako
    Usiku ali kuwa dhaifu kwa kiumbe ambae hakuja u mean zia wapi
    Wewe kama wewe ni bora kuliko chochote kilemba kuwa makini usiku baki tena kudhalilishwa na mtu asie Jua Ubpra wako
    Endelea na Maisha yako up nguvu moyo wako Uishi vizuri na watt wako na Alwah Azidi kukubariki
    Nakupenda sana na iko Siku nakutamania uje kunitembelea niko Qatar utuona tupo na tunachapa kazi Alhamdulilah Alhamdulilah

  • @marthaemmanuel3323
    @marthaemmanuel3323 4 года назад +2

    Asante Kwa ushaur mzur

  • @judywambui3409
    @judywambui3409 4 года назад +2

    Thanks girl 🥰💘

  • @immeimme2364
    @immeimme2364 4 года назад +2

    Good ❤️

  • @leanahbusanga8272
    @leanahbusanga8272 4 года назад

    Hongera sanaa shishi 👌👌

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 4 года назад +3

    Hongera mpendwa kila mja anandoto hiyo mungu atatushushia kher nasi inshallah cha muhimu kujituma.🤝👌🏿❤

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 4 года назад +2

    Nmesikia mam 😍🤝

  • @stainasimkoko7504
    @stainasimkoko7504 4 года назад +1

    Anahangaika kwsmi wa kwsnza wewe kujenga wewe sio msichana mi mwanamke ndio maana unaolewa kila siku unafikiri bado msichana

  • @abdallahnassoro7563
    @abdallahnassoro7563 4 года назад

    Ongera San ayo ndio mambo Sasa dada

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 4 года назад +2

    Saw

  • @Noah-se3ni
    @Noah-se3ni 4 года назад +3

    Kwahilotu ongera sana kwako shilole.

  • @maryannqueen7356
    @maryannqueen7356 4 года назад

    Brain woman from Tanzania!!!!! Sio kuweka na mawigi,na ma hotel LIFE.. Keep it up Shishi

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 4 года назад

    Hongera sana ushauri tumeupata tutaufanyia kazi.

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 4 года назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏

  • @johndieme6402
    @johndieme6402 4 года назад +1

    Shilole good

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 4 года назад

    👏👏👏👍Proficiat Shishi

  • @rahmaali4009
    @rahmaali4009 4 года назад +1

    Kabisa nimekuelew

  • @amneyabubakar7946
    @amneyabubakar7946 4 года назад

    Shukran habibty

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 4 года назад

    Congratulations shsh ngoja niendelee kupambana

  • @salamaoman8133
    @salamaoman8133 4 года назад

    Hongera sana

  • @Kanicynjuguna
    @Kanicynjuguna 4 года назад +1

    Of course..women's power 💪stop expecting men's all.the time

  • @fatmajuma9275
    @fatmajuma9275 4 года назад

    Hongera shi shi

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 4 года назад

    Kwa hilo hongera sana tuuu

  • @safinamdingi2338
    @safinamdingi2338 4 года назад

    Good sister

  • @ladysalimkabora9952
    @ladysalimkabora9952 4 года назад

    Nimekusikia

  • @ngulathfundikira4205
    @ngulathfundikira4205 4 года назад

    Hongera sana wakulugo

  • @rosekimaro3445
    @rosekimaro3445 4 года назад +1

    Nampongeza sana lakini pia na mpongeza uchebe kwa kumuongoza vema na mwishowe akaonekana hana mana.shilole mshukuru uchebe kwakukutuliza na ukawa na mawazo mazuri leo tuna jivunia kujifunza toka kwako

    • @shariphkasweha870
      @shariphkasweha870 4 года назад +1

      Uchebe mbona aliikuta nyumba

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 4 года назад

      Uchebe kamkuta na nyumba yake na mgahawa wake. Si hasha huyo uchebe alimfuata Shilole ili apate pa kukaa

  • @zenadaudzena2849
    @zenadaudzena2849 4 года назад

    Msichana mmama ukishazaa huitwi Msichana

  • @fildausally5855
    @fildausally5855 4 года назад

    Naomb no ya shish

  • @gorethmatondwa2923
    @gorethmatondwa2923 4 года назад

    Tumesikia mama....hongera mno...ila USITUFOKEE

  • @ramak.9587
    @ramak.9587 4 года назад +1

    Unashauri watu after kuachana na mmeo ili pia waachane waanze kudanga na zinaa. Mbna hujaonyesha kabla ya kutoka kwa ndoa

    • @RoseRose-qj5pw
      @RoseRose-qj5pw 4 года назад +1

      Sasa ni wapi huelewi watu wanaongelea mjengo ww unaongelea ndoa. Kwanza hajashawishi mtu yoyote kuolewa au kutoka kwa mume wake. Yy anachokisema ni kua mwanamke ni kua unaeza jifanyia lolote la maendeleo iwapo upo single au umeolewa

  • @Hussainkhan-ml7zq
    @Hussainkhan-ml7zq 4 года назад

    Good

  • @zainabubakari8489
    @zainabubakari8489 4 года назад

    Nashukuru shishi napambana na mm😂

  • @dilipdab3714
    @dilipdab3714 4 года назад

    Hanaishuu.shilole.mshamba.tu.wacha.watu.kane.watu.kwenye.mikutano.snura.kakashifuu.mwezie.sahivi.anajikoshaa

  • @zubedaseif2950
    @zubedaseif2950 4 года назад +1

    Amemjibu uchebe maana alionekana kwenye interview ya wasafi akikana kuwa hajawahi kuiona nyumba ya Shilole

  • @stainasimkoko7504
    @stainasimkoko7504 4 года назад

    Lakini hata kama ana nyumba atulie aache umalaya wanawske wengi tu wamejennga nyumba wametulia sio mapepe kama yeye

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 4 года назад

      Swadakta kwa ushauri wako.

    • @mishikitendo4983
      @mishikitendo4983 4 года назад

      Kwani mwanzoni alikua akilala nnjee....kabla yakupatan na shishi

  • @yudatadeshayo4434
    @yudatadeshayo4434 4 года назад

    Hongera sana shishi ila karibu kwenyw page yetu ya nyumba ni finishing Instagram tuibadilishe muonekano mafundi maiko

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 4 года назад

    Shishi msichana

  • @muganzajohn8191
    @muganzajohn8191 4 года назад +3

    Ampambane paka kwisho ila kama ana mum nibure tuuu eshima ni mume dada yangu.

    • @rose_Winchester86
      @rose_Winchester86 4 года назад

      Hakuna lolote heshima sio kuwa na mume au kuolewa. Heshima ni kuwa na vyako na mali zako hata kama umeolewa ndo mume pia atakuona wa maana. Olewa huna kitu unamtegemea mwanaume ndo utaisoma namba

  • @allthings1302
    @allthings1302 4 года назад +1

    .

  • @johndieme6402
    @johndieme6402 4 года назад

    Sunaonatukoulaya tunajenga kwetu kabisa

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 4 года назад

    Tupo tunapambana na mjengo

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 4 года назад

    Hii nyumba ya pili nahisi ma sha Allah dada zuwena

  • @ibtysophy3467
    @ibtysophy3467 4 года назад +1

    Ila ww sio msichana bt asante ushauri umetufikia

    • @yunglintz9377
      @yunglintz9377 4 года назад

      Ninani sasa😆😅😂🤣

    • @ibtysophy3467
      @ibtysophy3467 4 года назад

      @@yunglintz9377 huyo ni mmama sasa levo ya usichana ni ya watt wake

    • @yunglintz9377
      @yunglintz9377 4 года назад

      @@ibtysophy3467 sawa ila bado ni msichana tu ata hawe na watoto

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 4 года назад

      @@yunglintz9377 msichana ni neno la heshima sana watu wana jiitia tu.
      Ni yule ambae hajaguswa na mwanaume. Huyo ndio kwenye sifa ya kuitwa msichana.
      Lakini sio MTU kisha Fanya yoote na kuzaa amezaa bado anaitwa msichana. Hapana huyo ni mwanamke

  • @sekundambilinyi5450
    @sekundambilinyi5450 4 года назад

    Uchebe anaikujia hiyo nyumba

  • @johndieme6402
    @johndieme6402 4 года назад

    Mwanamukehananyumbasiyomutu

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 4 года назад

    Niushauli mzur

  • @Esty1248
    @Esty1248 4 года назад

    Shilole kwa hili umewashinda mastaa wengi haswa wa bongo movies, wakipata pesa wanapeleka kwa mawig na mavazi na maphoto shoot kutuma instagram bado wanaishi nyumba za kukodi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 года назад

    Kubwabwaja tuu toka zako bn punguza domo hilo

  • @rademm8924
    @rademm8924 4 года назад

    Nyumba ya Uchebe hio asitudanfanye

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 4 года назад

      Acha hizoo. Uchebe amemkuta Shishi tayari kisha jenga huyo Uchebe hiyo nyumba kaitoa wapi?

    • @mishikitendo4983
      @mishikitendo4983 4 года назад

      😀

  • @msowanelson5452
    @msowanelson5452 4 года назад

    Ila mafundi wako sio wazuri waweza kuwa na pesa ila wakakujengea kusipo na ubora

    • @rose_Winchester86
      @rose_Winchester86 4 года назад

      Tuonyeshe yako na wewe

    • @waheedahtanzania5884
      @waheedahtanzania5884 4 года назад +1

      @@rose_Winchester86 Astaghfirullahu laadhwimu hawa huwa wanabowa unamkuta kakaa kabisa ana ndoto yakuja kumiliki nyumba ya ulithi kama uliona mafundi si wazuri Si ungeenda kumjengea wewe walla hawa ndo wanga wa hasadi na hasidi

    • @rose_Winchester86
      @rose_Winchester86 4 года назад

      @@waheedahtanzania5884 kabisa

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 года назад

    Nyumb yenyew loo mbon km kituo cha afya jmn mafundi duu

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 4 года назад

    Congratulations shsh ngoja niendelee kupambana