How to solve paper jam for Canon IR 2520/2525/2420,(OFFICE MACHINE MANTAINANCE)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • KARIBU KWENYE CHANNEL YA MAFUNDI.KUMBUKA KU-SUBSCRIBE KWANZA,#OFFICE_EQUIPMENT

Комментарии • 173

  • @hashimselashi5250
    @hashimselashi5250 4 года назад +2

    Shukran imesaidia sana video yako. Nimefanikiwa kufix tatizo la printer kwa mara 1 👍

  • @TeferaKebede-oc4dx
    @TeferaKebede-oc4dx 5 месяцев назад

    Wow the best work

  • @godfreymbevi2879
    @godfreymbevi2879 3 года назад

    Asante kak mung azid kukupa moyo uwo uwo wa kuelimisha,kutufundisha ufundi coz nimejifunz sana kupitia video yako...

  • @alihemed4484
    @alihemed4484 4 года назад

    habar wadau, mimi mgeni wa haya nataka ninunuwe fotocopy machine jee aina gani ni mzuri isio matatizo na ambyo wino na spare zake hazina tabu na ambyo inafanya kazi vzri kwa ufanisi . ahasanteni

  • @zayomaonlinetv.6067
    @zayomaonlinetv.6067 Год назад

    Good....

  • @gideonmbabazi8436
    @gideonmbabazi8436 5 лет назад +2

    Wow, nice to get this.... My canon 2520 had the same problem like this...asante sana..

  • @aminaibrahim8632
    @aminaibrahim8632 5 лет назад

    Soma safi,tunashukuru sana.

  • @calvinmbanile9986
    @calvinmbanile9986 5 лет назад +2

    hlw! safi sana na asante kwa kusolve tatizo langu endelea kutoa vitu vyenye uhakika tutakusapot

  • @KhamisAbdulwahabi
    @KhamisAbdulwahabi 7 месяцев назад +1

    Shukran

  • @paulsanga9703
    @paulsanga9703 5 лет назад +1

    Asantee sana Maira TV, mimi natafuta waya huo huo watatizo hilo kwan panya wamekula sehemu kubwa kiasi ambacho hata kuunga imeshindikana. Nahitaji waya mzima kwa ajili ya replacement, alie nao naomba anisaidie napatikana Misungwi-Mwanza

  • @alainmugisha2958
    @alainmugisha2958 9 месяцев назад

    Vip

  • @saidmaamir1184
    @saidmaamir1184 2 года назад +1

    Habari Mkuu. Mimi nina ir2520 ambayo tatizo lake ni paper jam kwenye roller... naomba msaada tafadhali sana

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  2 года назад

      Kwenye roller gani?upande upi wa roller?ni transfer roller au,charge roller au iron roller, ipi upande wa fixing? Ebu ikinasa tuma picha kwenye whatsap 0656 151515 aksante

  • @petermwansasu3051
    @petermwansasu3051 5 лет назад

    Nimekwelewa sana na uko vizuri, sasa hujaonesha namna ya kuitoa na namna ya kuirudisha hiyo tray. Nimeona ukiwa tayari umeitoa na ukiwa tayari umeirudisha

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      hapana kitu ambacho nimekifanya hapo,baada ya kugundua kuwa kuna waya ambazo ndio zimekatwa waya za mawasiliano kutoka kwenye cruch kwenda kwenye boars,kwa hivyo shida ndio ilikuwa pale zaid kwa hivyo kwenye machenism ya trey kulikuwa hakuna tatizo unaona mpaka mwisho nimeunga waya zile na imekubali, kutoa trey ni kuikata machine kuiachanisha vipande viwili ntakuja na hilo somo ndani ya wiki ya j.3 jinsi ya kuikata trey,

  • @eligitairo781
    @eligitairo781 3 года назад

    Kazi nzuri Weka mawasilino yako tukupigie simu na kukusaport.

  • @ramakrishnamkrishna3444
    @ramakrishnamkrishna3444 3 года назад +1

    Tq so much sir

  • @mairaOnlineTV
    @mairaOnlineTV  5 лет назад

    Click link to watch more about paper jam
    ruclips.net/video/Zsyt_sAAL_k/видео.html

  • @mairaOnlineTV
    @mairaOnlineTV  5 лет назад +1

    mambo vipi wadau wa office machine mantainance,(O.M.M)siku nyingi kidogo,ila kuna wadau wameniomba, kama bado huja subscribe hii channel basi fanya ku subscribe, JUMA 4 Ntakuja na jinsi ya kutenganisha trey machinism na main board,kuna wadau wameniomba kufanya hivyo usipitwe,

  • @soggy-janvierbamina8568
    @soggy-janvierbamina8568 5 лет назад +2

    habari zenu? asante sana kutufunza kifundi kupitia hapa maira tv lakini mimi nilijaribu kwenye machine yangu sikufanikiwa paka sasa inanipa mesage ya paper jammed sijui nitafutiye wapi kosa hilo. kama kuna zingin sababu za paper jam mtufunze tufanikiwe. asante

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      itakaa vizur hiyo clip inaweza isikusaidie kitoka na tatizo lilipo kwenye machine yako..karibu soggy

  • @khamisabi4244
    @khamisabi4244 3 года назад +1

    asante kwa vedio nzuri, kln mimi mashine yangu inapata paper jam wakati wa kupiga dublex wakati karatasi inarudi kuchoraupande wa pili wakaratasi, tatizo ni nini

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  3 года назад

      Karibu..Mara nyingi tatizo Hilo huwa linasababishwa na zile cruch za nyuma zile zinazofanya dublex,fungua kule nyuma then angalia.mzunguko wakati Ina heuza uwone zile cruch Zina mzunguko sawa,na ule 1 side?

  • @luogajr
    @luogajr 3 года назад +1

    Nipo mtibwa nmekufuatilia ngoja na mm nifanye ninatatizo Hilo, then nitalipa feedback

  • @sarahdaoud6462
    @sarahdaoud6462 3 года назад

    Tahnk you

  • @zubeirmuhammed4997
    @zubeirmuhammed4997 3 года назад +1

    Thank, imasaidia Sana, ila Sasa ina tatizo LA kukunja karatasi SEHEMU YA drum unity. So utanisaidia vipi halo. Nawakubali sna.

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  3 года назад

      Kama inakunja kwenye drum,by means kuwa drum haizunguuki,kama inazunguka,na karatasi inapita mpaka kwenye fixing unit basi chukuwa mafuta white oil au white Grace,fungua filims paper paka,lakin pia fatilia drum kama ina rotate ipasavyo?

  • @johnmalimi4773
    @johnmalimi4773 4 года назад +1

    nakufuatilia vilivyo

  • @SamuelAmos-s4j
    @SamuelAmos-s4j Месяц назад +1

    Tatizo la kutoa madoadoa ya wino kwenye karatasi

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  Месяц назад

      Nichek whatsap kaka 0656 151515

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  Месяц назад

      Hayo madoa madoa yako je?

    • @SamuelAmos-s4j
      @SamuelAmos-s4j Месяц назад

      @@mairaOnlineTV doti nyeusi na mistari mistari nyeusi kwenye karatasi

  • @shaabanmahmoud5425
    @shaabanmahmoud5425 5 лет назад +1

    Safi sana kk uko vzr sana ila ninaomba kujua katika kuunganisha waya tunatakiwa kuzingatia nini maybe kuna kiwango fulan cha waya kinachoendana na waya ulokatika au waya wowote waweza kifanya kazi ??

  • @tungaraza7794
    @tungaraza7794 2 года назад +1

    ir 2520 kila nikiprint/copy karatasi inakuwa inanasia shida itakuwa nini nimejaribu kubadili tray ya kuwekea paper lakini tatizo ni lile lile msaada tafadhali mkuu

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  2 года назад

      Inanasia sehemu gani?

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  2 года назад

      CHEKI na hizo roller zako,kama ziko sawa au poa chukuwa maji na sabuni fungua roller sugua vizur hizo roller Kisha weka jaribu japo hujasema wapi inaanzia kukwama?

    • @tungaraza7794
      @tungaraza7794 2 года назад

      @@mairaOnlineTV FUSER UNIT NDIPO KARATASI ZINAKWAMIA NILIFUNGUA NIKASAFISHA NOW INATOA COPY ILA INAKUWA NA UCHAFU WA WINO

  • @indianstar8454
    @indianstar8454 4 года назад +3

    Kindly upload video for Canon 2525 finisher unit replacement with normal output tray

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 3 года назад +1

    Uongo

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  3 года назад

      unaweza ukawa unajuwa zaidi sio mbaya ukiwafundisha na wengine vile ujuwavyo.utakuwa umewapa faidi kubwa wanao jifunza hii fan...karibu.

  • @tungaraza7794
    @tungaraza7794 2 года назад +1

    NINA Color lserjet nikiprint page zaidi ya moja inatoa ile page ya kwanza alaf inayfuatia ina inakwama nikiitoa nikaprint tena ina print page moja tu nyingin tena ina inakwama msaada tafadhali

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  2 года назад +1

      Ingawa sijakuelewa kwa uzur lakin ishu yako kama machine shida ipo kwenye cruch ebu check vizur ,cruch trey uwone iko sawa?

    • @tungaraza7794
      @tungaraza7794 2 года назад

      @@mairaOnlineTV yaani Kwa mfano nikiprint kazi yenye page tatu ile page ya kwanza inatoka fresh ila ya pili inang'ang'ania nikifungua printer nikaitoa hiyo karatasi then nikaprint tena ina print page moja inayofuatia inang'ang'ania

  • @floramturano
    @floramturano 2 месяца назад

    Ir. 2520 inatoa cop na kuprint katikati tu maandishi mengine haitoi.shida ni nini mkuu

  • @yagnikpatel6150
    @yagnikpatel6150 2 года назад

    I am in rdc 🇨🇩

  • @SydneyHamafumba
    @SydneyHamafumba 10 месяцев назад

    kindly do the English version subtitles please

  • @pieeremasjacob901
    @pieeremasjacob901 3 года назад +1

    hili tatizo la paper jam limenipata kwenye mashine yng ya Cannon 2206 haivuti paper kwenye tray, nipo mwanza-Ukiriguru naomba msaada wako fundi

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  3 года назад +1

      Pole kwanza,lakin pia wakati inataka kuvuta ukifungua trey unaona kama ilikuwa inavutwa?ukiangalia vizur utaona kama uchafu kidogo pale mwanzo kabisa ya karatasi ilipo kuwa inataka kuvutwa na roller,kama chafu chukuwa maji na kitambaa futa zile roller vizur kisha toa copy,ikikataa,cheki kuna kitu kinaitwa seronide cruch au cruch tu kazi yake ni kufunga na kufungua sasa huenda ikawa inafunga haifungui mara nyingi hutokea kama tu cruch ile sponji yake nikiwa ime expire.

    • @cassianmalunda7263
      @cassianmalunda7263 3 года назад

      Fundi naona kazi yako nzuri ya kutufundisha mm nipo morogoro mashine yangu inashindwa kuoandisha karatasi inasema paper jam na shida nineona ipo kwenye trey na ile krachi sponji yake imeisha ili nilekebishe natakiwa kufanyaje aina ya mashine yangu ir2016j

  • @filbertmachesha9323
    @filbertmachesha9323 3 года назад

    Nashukuru kwa kutufundisha napenda kuuliza mtumiaji alikua anatumia mashine ir 2318 karatasi ikajam kwenye fixing unit nabaadae ilitoka na mwisho wa siku baada ya kutoa bado inasoma paper jam pamoja nilifungua uniti nzima na kusafisha lakini bado inaonyesha paper jam

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  3 года назад

      Hapo acheki ile sensor ya kwenye unity Itakuwa imeachia ule mtego wa springs wakat anatoa alivuta kwa nguvu.

  • @jennythomas3341
    @jennythomas3341 2 года назад

    Pls show the cute wire joint.how to do it

  • @nicolastesha2321
    @nicolastesha2321 Год назад

    I have that one paper jam on tray before machen piking

  • @libentboniphace9599
    @libentboniphace9599 5 лет назад +1

    Asante sana kaka kwa kutujali kwako. Bado kaka naomba unisaidie error code canon ir1022if

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      Karibu sana kaka. Nikusaidie error code ya ir 1022,inatoa error code ya ngapi? Au ile E 010, kama ni ile ni ya motor imefail.

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      Umeshajuwa sehemu ya kuicheki kule nyuma umeifungua ukacheki zile waya zake zipo vizur connected na board? Hazijaliwa na mende au panya?

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      Nipe watsap # yako ntakucheki nikuelekeze vizur kaka.

    • @libentboniphace9599
      @libentboniphace9599 5 лет назад

      @@mairaOnlineTV Nashukuru sana kwa kujali kwako # ya whatsapp 0737056770

    • @libentboniphace9599
      @libentboniphace9599 5 лет назад +1

      @@mairaOnlineTV Nimecheki ziko vizuri nita recode nikutumie whatsapp inavofanya.

  • @shaningajah942
    @shaningajah942 3 года назад +1

    Habari mi mgeni naomba kusaiwa nina photocopy IR 4235 inanipa error ya 0000804-0000 na nilibadilisha cooling hani lakini bado inarudi

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  3 года назад

      Hiyo fan inazunguka?baadae ya kubadilisha?

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  3 года назад

      Na je baadae ya kubadilisha hiyo fan umeclear machine?clear engeen au all uwone performance yake.

  • @abdulhhabibu4046
    @abdulhhabibu4046 2 года назад +1

    Kaka ahsante sana kwa kutujuza tusiyoyajua kwa vitendo nimepata kutatua tatizo la machine yangu kwa kupitia video zako .Mimj ni kijana mwenye ndoto za kujifunza ufundi Nisaidie Kujua majina ya vitu vya photocopy kwa majina kama mfano naweza kuambiwa nibadili waste toner sensor sasa mi nakua siijui ni ipi, Nisaidie kwa njia ya mawasiliano au blog ambayo itanijuza majina ya vifaa Na picha zake Tafadhali Kaka help me

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  2 года назад

      0656151515 whatsap namba hiyo.utakuwa unanichek unapokuwa unakwama.

  • @ashishkumarbhanja7875
    @ashishkumarbhanja7875 4 года назад

    Second pick up section ir 2525 Ka kaese kholenge

  • @frankkessy1260
    @frankkessy1260 5 лет назад +1

    Mkuu printer yangu ni canon ir 2520 ina tatizo la jamu nimefanya kama ulivofanya pamoja na kuclear error lakini kila nikitoa copy inasema remove the paper from the output tray.

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      inakuonyesha wapi kuwa imejam?

    • @poureenkunambi6413
      @poureenkunambi6413 4 года назад

      frank kessy sorry frank leo printer angi inanambia hivo namm,nilkua naomba unisaidie pls,kama una namba za hyu maira tv nisaidie tafadhar

  • @dictyosomesgolgi2537
    @dictyosomesgolgi2537 Месяц назад +1

    I need to buy

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  Месяц назад

      You need to buy machine

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  Месяц назад

      And which model but now never get new from shop that is old model there is new model.

  • @yagnikpatel6150
    @yagnikpatel6150 2 года назад

    I need man who know this machine very well
    If you need job tell me

  • @sr.morningstatus4020
    @sr.morningstatus4020 5 лет назад

    2270 Canon printr se print ok hai but photo copy me one inch ka lmbi patti aata hai ye patti kabhi kabhi thik bhi ho jata hai kya kren

  • @kuchumabhunia5673
    @kuchumabhunia5673 4 года назад

    How to solve paper jamed problem in Image runner 2022i please sir

  • @nannurajesh
    @nannurajesh 4 года назад

    B

  • @TeferaKebede-oc4dx
    @TeferaKebede-oc4dx 5 месяцев назад

    I can do it ?

  • @yimchantha1010
    @yimchantha1010 2 года назад

    Hello, I have a problem with the paper when the machine is running a little, it is stuck with paper (when hot), please help me

  • @mwakamwamlima3603
    @mwakamwamlima3603 4 года назад +1

    Kaka samahani nina mashine canon 2204 inaniambia out of toner,ingawa wino upo tena umejaa,nimesafisha developer unity na mambo mengine lakini bado,naomba msaada hapo

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  4 года назад +1

      Katika kusafisha na kufungua ulikumbuka kucheki sensor ambayo ndio inaitambulisha hiyo pannel ya wino?

    • @mwakamwamlima3603
      @mwakamwamlima3603 3 года назад +1

      @@mairaOnlineTV ndio kaka nimeiweka vizuri kabisa,si unazungumzia kile kibati cha shaba?lkn now inaniletea error ya insert drum unit na inaprint blank page

    • @mwakamwamlima3603
      @mwakamwamlima3603 3 года назад +1

      Please naomba nisaidie coz nipo shinyanga,kama ningekuwa Dar ningekutafuta

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  3 года назад +1

      Hapo kaka,ujuwe ishu kubwa itakuwa kwenye sensor ya ambayo inaitambulisha wino,ipo sensor ambayo kazi yake ni kuilinda tonner bin,tulia vizur sana ifatilie vizur hiyo tonner bin utagundua kuna sensor hapo ina fleper,

  • @mrpj1030
    @mrpj1030 4 года назад +1

    Yangu kila kitu kikosawa but bado inaandika paper has jammed.
    Nyingine inapeak karatas but ikifika kwenye unit inajam

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  4 года назад

      hapana hapo kuna vitu haviko sawa ndio maana inaandika hivyo sasa,fungua trey itoe kabisa trey tazama chini yake utaona pickup roller ya nusu mwezi ifatilie hakikisha imekaa katika njia zake na ,kingine tafuta cruch ya trey huko nyuma itazame iko sawa?

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  4 года назад +1

      au ncheki whatsap 0656151515

    • @mrpj1030
      @mrpj1030 4 года назад

      @@mairaOnlineTV sawa nimekutext whatsapp

  • @justinmsoffe7298
    @justinmsoffe7298 5 лет назад +1

    Habari bro. Msaada kuna same issue naipata kwenye machine yangu same model na hiyo umeitengeneza but hii nimesha angalia tray iko poa lakini bado inaleta hiyo message ya paper has jammed
    Msaada Pls

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад +1

      pole kwa kuchelewa kukujibu,ukiangalia hapo kwenye display inakuonyesha paper jam upamde gani,ila ishu nyingine ambay huwa inasumbua sana ni upande wa sensor huwa. kuna sensor ya chini ya trey inaweza kuwa imefunga tu tu haifungui na kubwa kama ile fleper yake iwe imefyatuka spring nakushaur fatilia sensor ya trey na sensor ya fixing unit hapo juu. lakin pia na sensor ya kwenye transifer,most kama utaona una fail nichek kwenye telegram 0736233233 au kwenye watsa namba hiyo hiyo,karibu nikusaidie.

    • @poureenkunambi6413
      @poureenkunambi6413 4 года назад

      maira Tv mbona hupatikan? Mm pia nna shida pls kaka

  • @siatha_lee3793
    @siatha_lee3793 2 года назад

    What was the problem? I didn't get anything especially that I couldn't understand the language

  • @shaningajah942
    @shaningajah942 3 года назад +1

    Habari nina photocopy IR1610 ina andika mixid toner nini sheda

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  3 года назад

      Toa ile tona bin yake then weka pembeni ile tonner ya mule ndani usiimwage weka pembeni kwa kuwa ni wino msafi,au upunguze kutoka mule then rudisha ile bin uwone performance yake,hapo Kuna ishu ya tonner au haifiki kwenye bin au unafika lakin haifungui kwenda kwenye tonner roller,by means ishu IPO kwenye toner bin,
      Toner bin NI like jumba ambao unaingiza ile chupa ya wino ndio toner bin fungua anagalia Kuna wino unaingia?

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  3 года назад

      Au jina lingine developer unity. Ndio tonner bin kiufund zaid

  • @princekaale6946
    @princekaale6946 2 года назад +1

    Vipi kuhusu canon ir 2425

  • @user-kc5wt1bc9z
    @user-kc5wt1bc9z Год назад

    in the. copiet. wire. bote. little. mouse

  • @frankanthony9143
    @frankanthony9143 5 лет назад +1

    mkuu we umeajiliwa au umejiajili

  • @sindoudosso9964
    @sindoudosso9964 5 лет назад +3

    Hello brother help me my canon printer IR 2520 poster re-check if the hood top and right are closed. forgive help me

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      Hi.

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад +1

      If you have your copier there,please capture the word which display on screen. Or send to me the word shown on display I'll help you soon as possible.

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      You may send to me on my Instagram account (tubongemedia)

    • @sindoudosso9964
      @sindoudosso9964 5 лет назад

      @@mairaOnlineTV ok no worries must help

    • @sindoudosso9964
      @sindoudosso9964 5 лет назад

      find me on my account gmail hangout we find laba so that I can send you the foto of my machine

  • @peterpius3452
    @peterpius3452 5 лет назад

    Canon 2420 A4 plain

  • @samuelkwabenaokyere9545
    @samuelkwabenaokyere9545 4 года назад

    Ir 2520 jams after two printout... Any solution

  • @setiagulo212
    @setiagulo212 Год назад

    subthemistor location ir 2520?

  • @shigelakeya2414
    @shigelakeya2414 2 года назад

    Machine yangu ina tatizo la load paper kwenye screen, naomba msaada cannon 2520

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  2 года назад

      Pole Sana mdau aiseee Sasa CHEKI na flaper ipo chini ya trey ukito trey chini kabisa ukichungulia utaona flaper Ina chungulia Kuna sensor pale icheki iko sawa?

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  2 года назад

      Fatilia huo way wa flaper.

  • @danielkaguli7500
    @danielkaguli7500 5 лет назад +2

    Nimekuelewa brother upo sahihi kabisa ila natatzo la photocopy iR 2420 paper jam na haionekan nifatilie maeneo yapi?

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      Kwanza karibu,na nafurahi kunielewa,
      Answer-
      Inapo kwambia paperjam inakuonyesha upande gani katika display yako?

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      Lakin pia kubwa zaid la kufanya hapo kwanz kwa haraka,na ishu kubwa hapo iliopo ,kuna mambo mawili,kwamza lazima kuna sensor ambayo inaruhusu karasi,ambayo inafunga na kufungua wakati wa kutaka kutoa copy itakuwa imefyatuka,sasa imefunga,kwa hivyo ina asume kama kuna paper jam.

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      Lakin most la kuku saidi,nicheki kwenye email yangu hii,nikupe watsap # ambayo tutawasiliana na ntakwambia namna ya kulitatua tatizo lako faster sana,nicheki hapa.simwanzacom@gmail.com,we tuma namba yako hapo au,ntakupijia tutaongea but kwa kesho,thanks and dont 4get to be a member,bonya susbscribe tu hapo then kengere hiyo,mimi ntakuona na utakuwa pamoja,na nyumba ya mafundi.

  • @ebaraniathomas4750
    @ebaraniathomas4750 3 года назад

    kama inajam karatasi kwenye ut kila muda tatizo nini

  • @sainathyadav6596
    @sainathyadav6596 5 месяцев назад

    2525 ir error code 197-0000

  • @LawMghase
    @LawMghase 3 месяца назад +1

    Boss mawasiliano naomba

  • @musondapeter3441
    @musondapeter3441 5 лет назад +1

    I a Canon ir3025 showing paper jam message when there's no paper jam. Kindly assist.

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      youre welcome to the office equipment chennel,please dont forget to click subscribe,you have 3025 ir and shown paper jam while no any kindl of paper, solve the solutions by check the paper sensor of fixing unity.ihope sensor is moving other side and machine apear jam,thank for vist us.

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      check for insure all sensor from to trey machenism till to fixing unity,also check cable of main door if is correct installed.hope not as insure try to cool your brain you will be solved hope it

  • @rararuru3128
    @rararuru3128 4 года назад

    Canon 2530i E000197

  • @mohammedalamery8417
    @mohammedalamery8417 5 лет назад +1

    Hello is Canon2520 paper is appear copy vary dark wat is making ????

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      How are you mohammed your welcome to my channel,and this is offce machine mantainance,,
      Problem is charnging roller replace it,take drum unit under the drum there is a dack roller thats is charng roller.replace it now,your copy will be arlight

  • @parthapoddar9112
    @parthapoddar9112 4 года назад +1

    3025 load paper problem kindly solution

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  4 года назад

      thanks for contact with us,
      check trey sensor,there is a sensor under the trey,which make machine to catch la paper, main sorution remove the trey,inside of the trey machenism you will see that sensor ihope its out of the position.

  • @kimberlybautista3319
    @kimberlybautista3319 4 года назад

    how to solve the printer canon pixma ip 2770 paper jammed but there is no paper insidr

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  4 года назад

      Its about sensor of tha trey, check it well

  • @wisehachintu7134
    @wisehachintu7134 2 года назад +1

    Use English bro

  • @stiviemshuza446
    @stiviemshuza446 4 года назад +2

    Asee kiongozi napambana na machine yangu inaniambia System error E808 ,ni canon IR2016J nini itakua tatizo!?

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  4 года назад +1

      pole kwa kuchelewa kutuma majibu,

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  4 года назад +1

      je umesha solve tatizo?kama bado hiyo 2016 shida ipo kwenye fixing films unity,

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  4 года назад +1

      hakikisha zile terminal zinazoshika ile unit ambayo katika ina vaa films iko sawa na ile element yake inapata moto wa kutosha.

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  4 года назад +1

      kama utaona inakusumbua nichek kwenye watsap 0656-151515

    • @stiviemshuza446
      @stiviemshuza446 4 года назад

      @@mairaOnlineTV thanks bro ngoja niicheki kesho ikizingua nitakucal mkuu

  • @bonykilonzo855
    @bonykilonzo855 5 лет назад +1

    have a problem with canon ir2520, karatasi inakwama apo kwa drum area. kindly what might be the problem? also help with your number so as to reach you for such solutions..

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      Your welcome,ukiitazama drum wakati wa karatasi kukwama je inakuwa chafu,? Ntumie picha watsap wakati inakuwa imekwama.au ncheki kwenye email simwanzacom@gmail.com ntakupa namba uncheki whatsap nikueleweshe kitu.

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      By the way chake na fixing unit kuna uchafu kwenye transifer iron ndani ya unit hapo.

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      ruclips.net/video/Zsyt_sAAL_k/видео.html

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      Open link,jinsi ya ku solve tatizo lako la kukwama chini ya drum

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  5 лет назад

      ruclips.net/video/Zsyt_sAAL_k/видео.html

  • @mairaOnlineTV
    @mairaOnlineTV  3 года назад

    ruclips.net/video/YHEAyTGs5sU/видео.html

  • @dottoerasto6394
    @dottoerasto6394 2 года назад

    Nisaidie namba yako

  • @tizitadana294
    @tizitadana294 4 года назад +1

    H! How to Solve error for Canon IR 2420

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  4 года назад

      your welcome,

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  4 года назад

      very easy but how tyoe of error shown?

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  4 года назад

      any way click *28* then clear click ok then engine click ok,ok,ok ok 3 or 4 times then off machine after 1sec turn on,solve.

    • @mairaOnlineTV
      @mairaOnlineTV  4 года назад

      iwill send video how to clear it. by to morrow.

  • @zubeirmuhammed4997
    @zubeirmuhammed4997 3 года назад +1

    Naomba mawasiliano menu YA simu plz. 0778183711

  • @Computertech-ik1jv
    @Computertech-ik1jv 4 года назад

    Phn no boloo apna